"Hatakama Yanga wangevuka hatua ya makundi na kwenda robo fainali ya CAF Champions Ligi, huku mshabuliaji wao kinara akiwa PRINCE DUBE bado uwezekano wa kufanya vyema ungekuwa mdogo msimu huu, kwakuwa ni dhahiri sasa kwamba DUBE sio mfungaji asilia, ni aina ya mshambuliaji anaehitaji nafasi 6 za WAZI kufunga mabao 2 dhidi ya KEN GOLD walio mkiani kwenye ligi kuu" - Jemedari Said, Mchambuzi.
"Hatakama Yanga wangevuka hatua ya makundi na kwenda robo fainali ya CAF Champions Ligi, huku mshabuliaji wao kinara akiwa PRINCE DUBE bado uwezekano wa kufanya vyema ungekuwa mdogo msimu huu, kwakuwa ni dhahiri sasa kwamba DUBE sio mfungaji asilia, ni aina ya mshambuliaji anaehitaji nafasi 6 za WAZI kufunga mabao 2 dhidi ya KEN GOLD walio mkiani kwenye ligi kuu" - Jemedari Said, Mchambuzi.
0 Comments
·0 Shares
·136 Views