Hawa M23 Hawataki Utani..

Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita.

Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
Hawa M23 Hawataki Utani.. Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita. Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
0 Comments ·0 Shares ·107 Views