Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine.

Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka.

Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita.

Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza.

Ukraine yuko peke yake.

Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu?

Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza.

Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya.
Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine. Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka. Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita. Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza. Ukraine yuko peke yake. Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu? Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza. Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya. Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
Like
1
· 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·107 Views