Hivyo, wale waliokuwa hawana ushahidi wa moja kwa moja wakaanza kuhamishwa.
Lakini wale waliokuwa na rekodi ya ugaidi wa kiwango cha juu, wakabaki.
Kwa Trump, Guantanamo lilikuwa muhimu.
Lilikuwa sehemu ya kuhakikisha magaidi hawana sehemu ya kujificha.
Hapa hakuna kesi.
Hakuna mawakili.
Hakuna upendeleo.
Ukiingia, unasahau kama kuna dunia nje.
Mateso yanayotokea ndani ya gereza hili ni siri kubwa ya Marekani.
Lakini waliowahi kutoka, au maafisa wa zamani wa CIA na FBI, wamesema kwamba mateso ya Guantanamo yanaweza kumfanya mtu mwenye msimamo mkali wa kidini aseme Yesu alikuwa Muislam na Muhammad alikuwa Myahudi.
Lakini wale waliokuwa na rekodi ya ugaidi wa kiwango cha juu, wakabaki.
Kwa Trump, Guantanamo lilikuwa muhimu.
Lilikuwa sehemu ya kuhakikisha magaidi hawana sehemu ya kujificha.
Hapa hakuna kesi.
Hakuna mawakili.
Hakuna upendeleo.
Ukiingia, unasahau kama kuna dunia nje.
Mateso yanayotokea ndani ya gereza hili ni siri kubwa ya Marekani.
Lakini waliowahi kutoka, au maafisa wa zamani wa CIA na FBI, wamesema kwamba mateso ya Guantanamo yanaweza kumfanya mtu mwenye msimamo mkali wa kidini aseme Yesu alikuwa Muislam na Muhammad alikuwa Myahudi.
Hivyo, wale waliokuwa hawana ushahidi wa moja kwa moja wakaanza kuhamishwa.
Lakini wale waliokuwa na rekodi ya ugaidi wa kiwango cha juu, wakabaki.
Kwa Trump, Guantanamo lilikuwa muhimu.
Lilikuwa sehemu ya kuhakikisha magaidi hawana sehemu ya kujificha.
Hapa hakuna kesi.
Hakuna mawakili.
Hakuna upendeleo.
Ukiingia, unasahau kama kuna dunia nje.
Mateso yanayotokea ndani ya gereza hili ni siri kubwa ya Marekani.
Lakini waliowahi kutoka, au maafisa wa zamani wa CIA na FBI, wamesema kwamba mateso ya Guantanamo yanaweza kumfanya mtu mwenye msimamo mkali wa kidini aseme Yesu alikuwa Muislam na Muhammad alikuwa Myahudi.
0 Comments
·0 Shares
·18 Views