Wanasema kwamba ukiingizwa kwenye chumba cha mateso, unaweza kuanza kuongea kabla hata hawajauliza maswali.
Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja.
Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi.
Ndiyo maana wanasema,
"Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao."
Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea.
Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja.
Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi.
Ndiyo maana wanasema,
"Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao."
Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea.
Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
Wanasema kwamba ukiingizwa kwenye chumba cha mateso, unaweza kuanza kuongea kabla hata hawajauliza maswali.
Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja.
Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi.
Ndiyo maana wanasema,
"Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao."
Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea.
Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·18 Views