#PART1
Katika maisha, kuna mafanikio, kuna mapenzi, na kuna maumivu.
Lakini maumivu gani yanaweza kuwa makali zaidi ya baba kugombana na damu yake mwenyewe?
Hii ni stori ya 50 Cent, mwanamuziki, mfanyabiashara, na mtu aliye role model wa mamilioni ya wanaume duniani.
Jamaa aliinuka kutoka mitaa ya ghetto, akapambana, akawa milionea. Lakini pamoja na pesa zote, hakununua upendo wa mtoto wake wa kwanza.
Miaka ya nyuma, 50 Cent alikuwa baba mwenye furaha. Alikuwa anampenda mtoto wake kupita maelezo.
Ilikuwa siyo tu kwa sababu ni damu yake, bali pia alitaka kuhakikisha kijana wake anakuwa na maisha bora zaidi.
Aliamua kumuandalia mtoto wake maisha mazuri. Akampeleka kwenye shule nzuri ya mpira wa kikapu. Akalipia kila kitu, kutoka ada mpka mavazi.
Mtoto akapewa kila alichohitaji, maisha ya kifahari yakawa sehemu yake ya kila siku.
Lakini kitu kimoja hakikumpenda. Mpira wa kikapu haukumpenda.
Dogo akaamua kuachana na basketball. Baba yake hakukasirika, akamwambia
"Sawa mwanangu, kama siyo mpira, basi komaa na shule."
Katika maisha, kuna mafanikio, kuna mapenzi, na kuna maumivu.
Lakini maumivu gani yanaweza kuwa makali zaidi ya baba kugombana na damu yake mwenyewe?
Hii ni stori ya 50 Cent, mwanamuziki, mfanyabiashara, na mtu aliye role model wa mamilioni ya wanaume duniani.
Jamaa aliinuka kutoka mitaa ya ghetto, akapambana, akawa milionea. Lakini pamoja na pesa zote, hakununua upendo wa mtoto wake wa kwanza.
Miaka ya nyuma, 50 Cent alikuwa baba mwenye furaha. Alikuwa anampenda mtoto wake kupita maelezo.
Ilikuwa siyo tu kwa sababu ni damu yake, bali pia alitaka kuhakikisha kijana wake anakuwa na maisha bora zaidi.
Aliamua kumuandalia mtoto wake maisha mazuri. Akampeleka kwenye shule nzuri ya mpira wa kikapu. Akalipia kila kitu, kutoka ada mpka mavazi.
Mtoto akapewa kila alichohitaji, maisha ya kifahari yakawa sehemu yake ya kila siku.
Lakini kitu kimoja hakikumpenda. Mpira wa kikapu haukumpenda.
Dogo akaamua kuachana na basketball. Baba yake hakukasirika, akamwambia
"Sawa mwanangu, kama siyo mpira, basi komaa na shule."
#PART1
Katika maisha, kuna mafanikio, kuna mapenzi, na kuna maumivu.
Lakini maumivu gani yanaweza kuwa makali zaidi ya baba kugombana na damu yake mwenyewe?
Hii ni stori ya 50 Cent, mwanamuziki, mfanyabiashara, na mtu aliye role model wa mamilioni ya wanaume duniani.
Jamaa aliinuka kutoka mitaa ya ghetto, akapambana, akawa milionea. Lakini pamoja na pesa zote, hakununua upendo wa mtoto wake wa kwanza.
Miaka ya nyuma, 50 Cent alikuwa baba mwenye furaha. Alikuwa anampenda mtoto wake kupita maelezo.
Ilikuwa siyo tu kwa sababu ni damu yake, bali pia alitaka kuhakikisha kijana wake anakuwa na maisha bora zaidi.
Aliamua kumuandalia mtoto wake maisha mazuri. Akampeleka kwenye shule nzuri ya mpira wa kikapu. Akalipia kila kitu, kutoka ada mpka mavazi.
Mtoto akapewa kila alichohitaji, maisha ya kifahari yakawa sehemu yake ya kila siku.
Lakini kitu kimoja hakikumpenda. Mpira wa kikapu haukumpenda.
Dogo akaamua kuachana na basketball. Baba yake hakukasirika, akamwambia
"Sawa mwanangu, kama siyo mpira, basi komaa na shule."
0 Comments
·0 Shares
·131 Views