#PART 2
Na kweli dogo akasoma kwa bidii. Ila kumbe kwa nyuma kulikuwa na mpango wa siri.
Ilikuwa ni siku ya furaha kwa kila mzazi ambaye mtoto wake amemaliza chuo. Siku ya mahafali.
50 Cent alikuwa na mipango mikubwa kwa kijana wake. Alikuwa tayari kumpa zawadi ya maisha, gari la kifahari ambalo lingemfungulia milango ya mafanikio zaidi.
Lakini kilichotokea siku hiyo kilimvunja moyo.
Hakupewa hata mwaliko wa mahafali.
Fikiria baba ambaye amehangaika kuhakikisha mtoto wake anapata elimu bora, amemlipia kila kitu, amempa maisha ya ndoto, lakini siku kubwa kama hii hatakiwi hata kufika.
Habari za mahafali alipewa na washikaji wa dogo. Walikuwa wanataka kumuona 50 Cent siku hiyo ili wapige naye picha.
Lakini dogo mwenyewe? Hakumwambia chochote
Hii haikuwa bahati mbaya, ilikuwa ni mpango wa makusudi.
50 Cent hakuelewa nini kilichotokea, akapiga simu chuoni kuuliza.
"Leo kuna mahafali, si ndiyo?"
Wakamwambia ndiyo!
Lilikuwa ni pigo lisilopimika kwa baba aliyetoa kila kitu kwa mwanawe.
Lakini kilichomvunja moyo zaidi hakikuwa kutoalikwa tu kwenye mahafali.
Na kweli dogo akasoma kwa bidii. Ila kumbe kwa nyuma kulikuwa na mpango wa siri.
Ilikuwa ni siku ya furaha kwa kila mzazi ambaye mtoto wake amemaliza chuo. Siku ya mahafali.
50 Cent alikuwa na mipango mikubwa kwa kijana wake. Alikuwa tayari kumpa zawadi ya maisha, gari la kifahari ambalo lingemfungulia milango ya mafanikio zaidi.
Lakini kilichotokea siku hiyo kilimvunja moyo.
Hakupewa hata mwaliko wa mahafali.
Fikiria baba ambaye amehangaika kuhakikisha mtoto wake anapata elimu bora, amemlipia kila kitu, amempa maisha ya ndoto, lakini siku kubwa kama hii hatakiwi hata kufika.
Habari za mahafali alipewa na washikaji wa dogo. Walikuwa wanataka kumuona 50 Cent siku hiyo ili wapige naye picha.
Lakini dogo mwenyewe? Hakumwambia chochote
Hii haikuwa bahati mbaya, ilikuwa ni mpango wa makusudi.
50 Cent hakuelewa nini kilichotokea, akapiga simu chuoni kuuliza.
"Leo kuna mahafali, si ndiyo?"
Wakamwambia ndiyo!
Lilikuwa ni pigo lisilopimika kwa baba aliyetoa kila kitu kwa mwanawe.
Lakini kilichomvunja moyo zaidi hakikuwa kutoalikwa tu kwenye mahafali.
#PART 2
Na kweli dogo akasoma kwa bidii. Ila kumbe kwa nyuma kulikuwa na mpango wa siri.
Ilikuwa ni siku ya furaha kwa kila mzazi ambaye mtoto wake amemaliza chuo. Siku ya mahafali.
50 Cent alikuwa na mipango mikubwa kwa kijana wake. Alikuwa tayari kumpa zawadi ya maisha, gari la kifahari ambalo lingemfungulia milango ya mafanikio zaidi.
Lakini kilichotokea siku hiyo kilimvunja moyo.
Hakupewa hata mwaliko wa mahafali.
Fikiria baba ambaye amehangaika kuhakikisha mtoto wake anapata elimu bora, amemlipia kila kitu, amempa maisha ya ndoto, lakini siku kubwa kama hii hatakiwi hata kufika.
Habari za mahafali alipewa na washikaji wa dogo. Walikuwa wanataka kumuona 50 Cent siku hiyo ili wapige naye picha.
Lakini dogo mwenyewe? Hakumwambia chochote
Hii haikuwa bahati mbaya, ilikuwa ni mpango wa makusudi.
50 Cent hakuelewa nini kilichotokea, akapiga simu chuoni kuuliza.
"Leo kuna mahafali, si ndiyo?"
Wakamwambia ndiyo!
Lilikuwa ni pigo lisilopimika kwa baba aliyetoa kila kitu kwa mwanawe.
Lakini kilichomvunja moyo zaidi hakikuwa kutoalikwa tu kwenye mahafali.
0 Commentaires
·0 Parts
·356 Vue