Hatua ya Rais wa Marekani , Donald Trump ya kusitisha misaada yote kwenye baadhi ya Nchi za Afrika ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo iliyokuwa ikitolewa na Marekani imeongeza hali ya wasiwasi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambako mamilioni ya Wakimbizi walikuwa wakitegemea misaada hiyo.

Afisa kutoka Umoja wa Mataifa, Bruno Lemarquis, amenukuliwa akisema kuwa Nchi ya DR Congo ilikuwa ikipokea asilimia sabini (70) ya misaada ya kibinadamu kutoka Nchini Marekani. Uamuzi wa Trump umesababisha upungufu mkubwa wa mahitaji muhimu kwa Wakimbizi. Afisa huyo ameongeza kuwa kwa mwaka 2024 pekee, DR Congo ilipokea dola milioni 910 kutoka Nchini Marekani pamoja na misaada mingine kwa Waathirika wa mapigano kati ya Majeshi ya Serikali na Waasi Nchini humo.

Hatua ya Rais wa Marekani ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ, Donald Trump ya kusitisha misaada yote kwenye baadhi ya Nchi za Afrika ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo iliyokuwa ikitolewa na Marekani imeongeza hali ya wasiwasi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambako mamilioni ya Wakimbizi walikuwa wakitegemea misaada hiyo. Afisa kutoka Umoja wa Mataifa, Bruno Lemarquis, amenukuliwa akisema kuwa Nchi ya DR Congo ilikuwa ikipokea asilimia sabini (70) ya misaada ya kibinadamu kutoka Nchini Marekani. Uamuzi wa Trump umesababisha upungufu mkubwa wa mahitaji muhimu kwa Wakimbizi. Afisa huyo ameongeza kuwa kwa mwaka 2024 pekee, DR Congo ilipokea dola milioni 910 kutoka Nchini Marekani pamoja na misaada mingine kwa Waathirika wa mapigano kati ya Majeshi ya Serikali na Waasi Nchini humo.
Like
1
ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท44 Views