Kifo ni FUMBO!
Ndio tunaweza kusema, asubuhi palikucha lakini jioni ilibaki historia ya kutisha
Ni simulizi ya kifo cha kusikitisha, cha kikatili, na cha kutisha, kilichowafanya wengi kuogopa mapango milele.
John Edward Jones, masaa 27 ya mateso, mwaka 2009, dunia ilishuhudia moja ya vifo vya kutisha zaidi katika historia ya upimaji wa mapango.
Alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 26, ndani ya pango la Nutty Putty Cave, Utah, na licha ya juhudi kubwa za kumuokoa, hakutoka hai.
Ilikuwaje,
Ndio tunaweza kusema, asubuhi palikucha lakini jioni ilibaki historia ya kutisha
Ni simulizi ya kifo cha kusikitisha, cha kikatili, na cha kutisha, kilichowafanya wengi kuogopa mapango milele.
John Edward Jones, masaa 27 ya mateso, mwaka 2009, dunia ilishuhudia moja ya vifo vya kutisha zaidi katika historia ya upimaji wa mapango.
Alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 26, ndani ya pango la Nutty Putty Cave, Utah, na licha ya juhudi kubwa za kumuokoa, hakutoka hai.
Ilikuwaje,
Kifo ni FUMBO!
Ndio tunaweza kusema, asubuhi palikucha lakini jioni ilibaki historia ya kutisha
Ni simulizi ya kifo cha kusikitisha, cha kikatili, na cha kutisha, kilichowafanya wengi kuogopa mapango milele.
John Edward Jones, masaa 27 ya mateso, mwaka 2009, dunia ilishuhudia moja ya vifo vya kutisha zaidi katika historia ya upimaji wa mapango.
Alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 26, ndani ya pango la Nutty Putty Cave, Utah, na licha ya juhudi kubwa za kumuokoa, hakutoka hai.
Ilikuwaje,
0 Comments
·0 Shares
·78 Views