Privaldinho
CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.
Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma
Makipa
Vs Kagera - Metacha
Vs JKT - Amas
Vs KMC - Masalanga
Vs Yanga - Masalanga
Ndani ya mechi nne makipa watatu
Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.
Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.
Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.
Viungo wa kati
Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)
Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.
NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt
Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu
Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.
Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei
Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.
Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma
Makipa
Vs Kagera - Metacha
Vs JKT - Amas
Vs KMC - Masalanga
Vs Yanga - Masalanga
Ndani ya mechi nne makipa watatu
Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.
Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.
Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.
Viungo wa kati
Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)
Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.
NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt
Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu
Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.
Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei
Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
Privaldinho ✍️
CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.
Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma
Makipa
Vs Kagera - Metacha
Vs JKT - Amas
Vs KMC - Masalanga
Vs Yanga - Masalanga
Ndani ya mechi nne makipa watatu
Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.
Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.
Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.
Viungo wa kati
Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)
Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.
NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt
Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu
Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.
Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei
Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
0 Comments
·0 Shares
·99 Views