PART 6
Saa 3:59 asubuhi, Mnara wa Kusini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center (WTC) ulidondoka wenyewe, dakika 55 matukio hayo ya kwanza.
Ndege ya nne, ya shirika la ndege la United Airlines Flight 93, ilianguka saa 10: 03 asubuhi kwenye chamba moja karibu na Pittsburg, huko Pennsylvania, ikiwa na watu 44, wakiwemo magaidi wanne. Abiria kwenye ndege hiyo waliripotiwa kupigana na watekaji nyara baada ya kuambiwa juu ya mkasa huo kwenye simu zao za rununu. Inaaminika kwamba ndege hii, iliyokuwa ikielekea Washington,ilienda kushambulia Capitol, makao makuu ya Bunge la Marekani.
Saa 3:59 asubuhi, Mnara wa Kusini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center (WTC) ulidondoka wenyewe, dakika 55 matukio hayo ya kwanza.
Ndege ya nne, ya shirika la ndege la United Airlines Flight 93, ilianguka saa 10: 03 asubuhi kwenye chamba moja karibu na Pittsburg, huko Pennsylvania, ikiwa na watu 44, wakiwemo magaidi wanne. Abiria kwenye ndege hiyo waliripotiwa kupigana na watekaji nyara baada ya kuambiwa juu ya mkasa huo kwenye simu zao za rununu. Inaaminika kwamba ndege hii, iliyokuwa ikielekea Washington,ilienda kushambulia Capitol, makao makuu ya Bunge la Marekani.
PART 6
Saa 3:59 asubuhi, Mnara wa Kusini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center (WTC) ulidondoka wenyewe, dakika 55 matukio hayo ya kwanza.
Ndege ya nne, ya shirika la ndege la United Airlines Flight 93, ilianguka saa 10: 03 asubuhi kwenye chamba moja karibu na Pittsburg, huko Pennsylvania, ikiwa na watu 44, wakiwemo magaidi wanne. Abiria kwenye ndege hiyo waliripotiwa kupigana na watekaji nyara baada ya kuambiwa juu ya mkasa huo kwenye simu zao za rununu. Inaaminika kwamba ndege hii, iliyokuwa ikielekea Washington,ilienda kushambulia Capitol, makao makuu ya Bunge la Marekani.
0 Commentarii
·0 Distribuiri
·56 Views