Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) limetangaza kanuni mpya kwenye mchezo wa mpira wa miguu ambayo inatoa kona (Corner) kwa Timu pinzani endapo Golkipa atakaa na mpira kwa zaidi ya sekunde nane (8) akiwa nao mikononi (mkononi) mwake.

Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) limetangaza kanuni mpya kwenye mchezo wa mpira wa miguu ambayo inatoa kona (Corner) kwa Timu pinzani endapo Golkipa atakaa na mpira kwa zaidi ya sekunde nane (8) akiwa nao mikononi (mkononi) mwake.
Like
1
· 0 Comments ·0 Shares ·57 Views