Baada ya sauti yake kuvuja kwenye mitandao ya kijamii akimkejeli Mume wa Hamisa Mobetto, Aziz Ki kwa kumsema vibaya eti "ana mdomo mbaya", Rushayna alimuomba msamaha Hamisa Mobetto kwa kosa hilo lakini ameendelea kukazia msamaha huo kupitia ujumbe aliomuandikia Hamisa Mobetto kama inavyosemekana pichani.

Baada ya sauti yake kuvuja kwenye mitandao ya kijamii akimkejeli Mume wa Hamisa Mobetto, Aziz Ki kwa kumsema vibaya eti "ana mdomo mbaya", Rushayna alimuomba msamaha Hamisa Mobetto kwa kosa hilo lakini ameendelea kukazia msamaha huo kupitia ujumbe aliomuandikia Hamisa Mobetto kama inavyosemekana pichani.
Like
1
· 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·31 Visualizações