“Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe,Lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Ijiuzulu. Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu?

“Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto,Vya Kijinga sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .Kama watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao” - Wallace Karia, Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).

“Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe,Lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Ijiuzulu. Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu? “Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto,Vya Kijinga sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .Kama watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao” - Wallace Karia, Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).
0 Kommentare ·0 Anteile ·71 Ansichten