Mchezaji wa klabu ya Yanga SC na Askari, Ibrahim Bacca amepandishwa cheo kutoka kuwa Koplo hadi Sajenti. Mchezaji huyo amepandishwa cheo kutokana na kuonyesha kiwango bora katika klabu yake ya Yanga SC pamoja na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).

Mchezaji wa klabu ya Yanga SC na Askari, Ibrahim Bacca amepandishwa cheo kutoka kuwa Koplo hadi Sajenti. Mchezaji huyo amepandishwa cheo kutokana na kuonyesha kiwango bora katika klabu yake ya Yanga SC pamoja na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).
0 Commentaires ·0 Parts ·48 Vue