World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland
2. Denmark
3. Iceland
4. Sweden
5. Uholanzi
6. Costa Rica
7. Norway
8. Israel
9. Luxemborg
10.Mexico
78. Mauritius
79. Libya
84. Algeria
115. Kenya
116. Uganda
122. Somalia
136. Tanzania
145. Lebanon
146. Sierra Leone
147. Afghanistan
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland
2. Denmark
3. Iceland
4. Sweden
5. Uholanzi
6. Costa Rica
7. Norway
8. Israel
9. Luxemborg
10.Mexico
78. Mauritius
79. Libya
84. Algeria
115. Kenya
116. Uganda
122. Somalia
136. Tanzania
145. Lebanon
146. Sierra Leone
147. Afghanistan
World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland ๐ซ๐ฎ ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania ๐น๐ฟ, licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia ๐ธ๐ด. Nchi jirani kama Kenya ๐ฐ๐ช na Uganda ๐บ๐ฌ, ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius ๐ฒ๐ท inaongoza, wakati Lebanon ๐ฑ๐ง, Sierra Leone ๐ธ๐ฑna Afghanistan ๐ฆ๐ซ ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland ๐ซ๐ฎ
2. Denmark ๐ฉ๐ฐ
3. Iceland ๐ฎ๐ธ
4. Sweden ๐ธ๐ช
5. Uholanzi ๐ณ๐ฑ
6. Costa Rica ๐จ๐ท
7. Norway ๐ณ๐ด
8. Israel ๐ฎ๐ฑ
9. Luxemborg ๐ฑ๐บ
10.Mexico ๐ฒ๐ฝ
78. Mauritius ๐ฒ๐ท
79. Libya ๐ฑ๐พ
84. Algeria ๐ฉ๐ฟ
115. Kenya ๐ฐ๐ช
116. Uganda ๐บ๐ฌ
122. Somalia ๐ธ๐ด
136. Tanzania ๐น๐ฟ
145. Lebanon ๐ฑ๐ง
146. Sierra Leone ๐ธ๐ฑ
147. Afghanistan ๐ฆ๐ซ
0 Comments
ยท0 Shares
ยท54 Views