Kwa mujibu wa Magazeti Nchini Burkina Faso , Aziz K alitoa sharti la kusafiri na Mke wake Hamisa Mobeto kwenda kuitumikia Timu ya Taifa (Les Étalons) na alipiwe gharama zote za safari hadi Nchini Burkina Faso. Lakini Jambo ambalo lilikaliwa na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso, Brama Traoré.

Ikumbukwe kwamba Kocha Traoré alitangaza kikosi chake kwa mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 huku Aziz K hajaitwa. Timu ya Taifa ya Burkina Faso inajiandaa na mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Djibouti Machi 21, na baadae itacheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Guinea-Bissau Machi 24, 2025

Burkina Faso wapo nafasi ya 3 wakiwa na alama tano 5, katika kundi A linaloongozwa na Misri wenye alama 10.

Kwa mujibu wa Magazeti Nchini Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ, Aziz K alitoa sharti la kusafiri na Mke wake Hamisa Mobeto kwenda kuitumikia Timu ya Taifa (Les Étalons) na alipiwe gharama zote za safari hadi Nchini Burkina Faso. Lakini Jambo ambalo lilikaliwa na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso, Brama Traoré. Ikumbukwe kwamba Kocha Traoré alitangaza kikosi chake kwa mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 huku Aziz K hajaitwa. Timu ya Taifa ya Burkina Faso inajiandaa na mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Djibouti ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฏ Machi 21, na baadae itacheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Guinea-Bissau ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ผ Machi 24, 2025 Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ wapo nafasi ya 3 wakiwa na alama tano 5, katika kundi A linaloongozwa na Misri ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ wenye alama 10.
0 Comments ยท0 Shares ยท36 Views