“Siku yangu ya kwanza nilipoenda kufanya majaribio nilichekwa sana, nilivalia suruali ndefu na viatu vyangu vilichanika sana, watu waliniona kama kituko, sikuonekana kama mcheza soka” - Sadio Mane, Mchezaji wa kimataifa wa Senegal na klabu ya Al Nasr ya Saudi Arabia .

Rekodi yake.

- Mechi : 686.
- Mabao : 277.
- "Assists" : 136.

“Siku yangu ya kwanza nilipoenda kufanya majaribio nilichekwa sana, nilivalia suruali ndefu na viatu vyangu vilichanika sana, watu waliniona kama kituko, sikuonekana kama mcheza soka” - Sadio Mane, Mchezaji wa kimataifa wa Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³ na klabu ya Al Nasr ya Saudi Arabia πŸ‡ΈπŸ‡¦. Rekodi yake. - Mechi : 686. - Mabao : 277. - "Assists" : 136.
Like
1
Β· 0 Comments Β·0 Shares Β·93 Views