Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .
*Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*
*Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .
Zaburi 22:16
*[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
Wamenizua mikono na miguu*
For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.
1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati
Mithali26:11 SUV
*Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*
Kutoka 22:31 BHN
*Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*
Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .
Torati 23:18 BHN
*Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
2wafalme 9;10
Zaburi 22;20 BHN
*Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*
*Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
.
2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.
Isaya 56:11 BHN
*Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*
Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA
1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .
2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia
3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .
4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.
Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.
Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
Simu no :0622625340
*Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*
*Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .
Zaburi 22:16
*[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
Wamenizua mikono na miguu*
For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.
1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati
Mithali26:11 SUV
*Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*
Kutoka 22:31 BHN
*Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*
Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .
Torati 23:18 BHN
*Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
2wafalme 9;10
Zaburi 22;20 BHN
*Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*
*Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
.
2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.
Isaya 56:11 BHN
*Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*
Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA
1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .
2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia
3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .
4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.
Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.
Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
Simu no :0622625340
Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .
*Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*
*Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .
Zaburi 22:16
*[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
Wamenizua mikono na miguu*
For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.
1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati
Mithali26:11 SUV
*Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*
Kutoka 22:31 BHN
*Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*
Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .
Torati 23:18 BHN
*Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
2wafalme 9;10
Zaburi 22;20 BHN
*Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*
*Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
.
2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.
Isaya 56:11 BHN
*Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*
Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA
1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .
2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia
3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .
4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.
Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.
Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
Simu no :0622625340
0 Commentarios
·0 Acciones
·6 Views