


@sikilizaS
Buildneweden is the ministry which deal with sharpening of youth generation and to make reformation and revival in the world.
53 Posts
5 Photos
0 Videos
Lives in Dar es salaam
From Mbeya
Male
Single
05/11/1998
-
Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana .
Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university.
Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma.
Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake .
Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."*
Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
.
Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu.
Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo.
Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao.
Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu.
1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa.
Waamuzi 6:15
[15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu*
Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi .
Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote .
Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda .
Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo.
Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika .
Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi .
Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika.
Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako.
Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu .
Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
.
#build new eden
#restore men positionMtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana . Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university. Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma. Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake . Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."* Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu. Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo. Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao. Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu. 1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa. Waamuzi 6:15 [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu* Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi . Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote . Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda . Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo. Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika . Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi . Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika. Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako. Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu . Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . #build new eden #restore men position0 Comments ·0 Shares ·16 Views -
Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe.
Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa .
Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu.
Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa).
1.love
Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba.
Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua .
Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri .
Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu.
Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love.
Kipindi cha pili kinaitwa realization.
Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha .
Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje.
Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha .
Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana .
Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah.
Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
Kipindi cha tatu: Redemption period
Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa .
Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love .
Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi.
Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake.
Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano
Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa .
Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho.
Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry)
Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
#build new eden
#restore men positionSijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe. Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa . Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu. Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa). 1.love Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba. Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua . Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri . Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu. Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love. Kipindi cha pili kinaitwa realization. Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha . Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje. Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha . Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana . Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah. Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Kipindi cha tatu: Redemption period Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa . Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love . Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi. Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake. Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa . Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho. Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry) Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position0 Comments ·0 Shares ·38 Views -
Mathayo 18:10- 12
[10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.
*[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*
Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.
Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.
Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.
Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.
Yesu anatolea mfano huu
Mathayo 18:12
[12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?
Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.
Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
.Mathayo 7:1-2
[1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
Judge not, that ye be not judged.
[2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .
Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.
Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .
Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.
Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .
Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.
Ufunuo wa Yohana 2:7
[7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.
Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .
Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .
Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
#build new eden
#restore men positionMathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position0 Comments ·0 Shares ·158 Views -
*Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.*
Kutoka 15:26
[26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.
Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu.
Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa.
Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana.
Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata
Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza.
Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake.
Zaburi 91:14-15
[14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
Nitamwokoa; na kumweka palipo juu,
Kwa kuwa amenijua Jina langu.
.
[15]Ataniita nami nitamwitikia;
Nitakuwa pamoja naye taabuni,
Nitamwokoa na kumtukuza;
Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha .
Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake .
Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye .
Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua.
Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine.
Hesabu 21:2-3
[2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*.
[3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.
Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba .
Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo.
Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda
[14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
*Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu*
Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake .
Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia.
Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo .
Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini .
#build new eden
#restore men position @*Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.* Kutoka 15:26 [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye. Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu. Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa. Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana. Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza. Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake. Zaburi 91:14-15 [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu. . [15]Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza; Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha . Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake . Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye . Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua. Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine. Hesabu 21:2-3 [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*. [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma. Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba . Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo. Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu* Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake . Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia. Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo . Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini . #build new eden #restore men position @0 Comments ·0 Shares ·311 Views -
What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others
.Example of King Josiah (2 Kings 22)
Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13).
He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands.
To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16)
Joshua gave the Israelites a choice:
serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You
Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to:
Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others.
Challenge
Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More
If you want to study God’s Word more,
join this WhatsApp group:
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR
Sylvester Mwakabende from Build New Eden.
#BuildNewEden
#RestoreMenPositionWhat is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others .Example of King Josiah (2 Kings 22) Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13). He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands. To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16) Joshua gave the Israelites a choice: serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to: Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others. Challenge Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More If you want to study God’s Word more, join this WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR Sylvester Mwakabende from Build New Eden. #BuildNewEden #RestoreMenPosition0 Comments ·0 Shares ·378 Views -
UAMSHO.
Maana ni kurudi kwenye uzima.
Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.
Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.
Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .
Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.
Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.
2 Wafalme 22:13
[13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.
Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .
[16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;
[17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike
Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.
muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .
Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.
2wafalme 22:18-20.
Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .
Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.
Yeye aliazimia mambo kazaa moja
1.nikumfuata Bwana
2.kuyashika maagizo yote.
3.kuzifuata shuhuda zake .
4.kuzifuata na kutii amri zake .
5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.
Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .
Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.
Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.
Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.
Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .
Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.
Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.
Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.
Yoshua 24:15-16
[15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
.
[16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;
Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.
Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.
Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
#build new eden
#restore men positionUAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position0 Comments ·0 Shares ·344 Views -
Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu.
Mithali 8:4
[4]Enyi watu, nawaita ninyi;
Na sauti yangu ni kwa wanadamu.
Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu.
Mwanzo 1:26
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu .
Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo.
Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu.
Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU.
Mithali 8:13
[13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote .
Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa.
Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap.
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
#Build new eden
#RestoremenpositionSauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu. Mithali 8:4 [4]Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu. Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu . Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo. Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu. Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU. Mithali 8:13 [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote . Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition0 Comments ·0 Shares ·356 Views -
.Wafilipi 4:13
[13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.
Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.
Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa
-Msaada wote ni katika Bwana.
Zaburi 121:2
Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.
-lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
Mika 7:7
Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.
-Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
Yakobo 5:18
Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao
Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.
Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.
Zaburi 126:5-6
Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake
Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .
Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.
-Tumaini lako liwe kwa bwana tu
Ombolezo 3:25
Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*
Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Mfano ayubu alijua siri hii pia
Ayubu 14:7
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .
Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .
*wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*
Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .
Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).
Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
#Build new eden
#Restoremenposition.Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition -
Sefania 1:15,17-18
[15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
Siku ya fadhaa na dhiki,
Siku ya uharibifu na ukiwa,
Siku ya giza na utusitusi,
Siku ya mawingu na giza kuu,
[17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
.
[18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.
Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .
Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.
Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.
Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.
Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.
Yoeli 2:3
[3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.
Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.
Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.
Ufunuo wa Yohana 22:11
[11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.
Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake
Ufunuo wa Yohana 16:15
[15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)
Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.
Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.
Ufunuo wa Yohana 22:12,14
[12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
[14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.
Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.
Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )
#build new eden
#restore men positionSefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position -
Waamuzi 21:1,18
[1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini.
.
[18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke.
Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu .
Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye.
Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia.
Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano.
Nikifundisha kuhusu agano namaanisha .
.
Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo.
Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung
.
Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa
Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri.
Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry.
#Restoremenposition
#build new edenWaamuzi 21:1,18 [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini. . [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke. Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu . Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye. Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia. Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano. Nikifundisha kuhusu agano namaanisha . . Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo. Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung . Luka 4:18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri. Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry. #Restoremenposition #build new eden -
1 Yohana 3:1-3
[1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
.
[2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.
[3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.
Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi.
Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo.
Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani.
Yohana 1:12-13
[12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
[13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.
Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia.
Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee.
Yohana 20:17
[17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida.
Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana.
Yohana 16:4
[4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.
Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo .
Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake.
Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden)
#Restoremenposition
#Buildneweden1 Yohana 3:1-3 [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. . [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu. Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi. Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo. Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani. Yohana 1:12-13 [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia. Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee. Yohana 20:17 [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida. Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana. Yohana 16:4 [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo . Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake. Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden) #Restoremenposition #Buildneweden -
Damu ya Yesu kama damu ya Agano.
Waebrania 8:6
*[6]Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora*.
Agano ni muunganiko wa uhai baina ya Mungu na watu wake.
Agano pia ni kiapo au makubaliano yaliyoandikwa au ahadi kwa kawaida chini ya muhuri kati ya pande mbili au zaidi hasa kwa ajili ya utekelezaji wa hatua fulani
Mwanzo 22:16
*[16]akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,*
Agano lazima liambatane na kiapo chenye kushuhudiwa na vitu au watu.
50 Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe
Ziko aina nyinyi za agano yaweza kuwa
1.MTU NA MTU
2.MTU NA VITU
3.MTU NA SHETANI
4.MTU NA MUNGU
5.MUNGU NA VIUMBE VYAKE .
6.MUNGU NA MTU
7.MTU NA UZAO WAKE
Aina zote hizi ili zitamatike au kutimia lazima ziandikwe katika vipokeleo vya sadaka au wengine wanaita vitunza kumbukumbu.
Yaweza kuwa 1.ARDHI 2.ANGA 3.MAJI 4.MOTO
Agano lazima liambatane na madhabau kwa maana ya ibada na sadaka.
Watu wengi sana wanaishi maisha ya mateso pasipo kujua kumbe ni kwa sababu wanaishi ndani ya agano ambalo pengine hata wao hawalijui.
Sifa za agano
Agano lenye nguvu huwa lazima liwe la damu.
Agano lazima libebe matokeo yaneweza kuwa mema(baraka) au mabaya (laana).
Agano lazima liambatane na maneno au maandishi.
*Agano huvunjwa na agano*
Na ahsante Yesu kwa kuwa yeye ndiye bwana wa agano jipya.
Lengo la Mungu kuja kuleta agano jipya ambalo linamuhusisha Kristo ni kutupa ushindi dhidi ya adui.
Wagalatia 3:29
[29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Lazima tujue kuomba namna ya kutoka katika masgano ambayo siyo mazuri kwetu na tuyakimbie kabisa.
Inawezekana kabisa wala usiogope mana maandiko yanasema
Na imekuwa mtu akiwa ndani ya kristo na amekuwa kiumbe kipya kweli ya kale yote yamesha kwisha kupita
Natumai umejifunza Mungu akituongoza tunaendelea na sehemu ya pili hapa hapa.
Naitwa sylvester Mwakabende kutoka ( build new eden)
#build new eden
#restore men positionDamu ya Yesu kama damu ya Agano. Waebrania 8:6 *[6]Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora*. Agano ni muunganiko wa uhai baina ya Mungu na watu wake. Agano pia ni kiapo au makubaliano yaliyoandikwa au ahadi kwa kawaida chini ya muhuri kati ya pande mbili au zaidi hasa kwa ajili ya utekelezaji wa hatua fulani Mwanzo 22:16 *[16]akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,* Agano lazima liambatane na kiapo chenye kushuhudiwa na vitu au watu. 50 Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe Ziko aina nyinyi za agano yaweza kuwa 1.MTU NA MTU 2.MTU NA VITU 3.MTU NA SHETANI 4.MTU NA MUNGU 5.MUNGU NA VIUMBE VYAKE . 6.MUNGU NA MTU 7.MTU NA UZAO WAKE Aina zote hizi ili zitamatike au kutimia lazima ziandikwe katika vipokeleo vya sadaka au wengine wanaita vitunza kumbukumbu. Yaweza kuwa 1.ARDHI 2.ANGA 3.MAJI 4.MOTO Agano lazima liambatane na madhabau kwa maana ya ibada na sadaka. Watu wengi sana wanaishi maisha ya mateso pasipo kujua kumbe ni kwa sababu wanaishi ndani ya agano ambalo pengine hata wao hawalijui. Sifa za agano Agano lenye nguvu huwa lazima liwe la damu. Agano lazima libebe matokeo yaneweza kuwa mema(baraka) au mabaya (laana). Agano lazima liambatane na maneno au maandishi. *Agano huvunjwa na agano* Na ahsante Yesu kwa kuwa yeye ndiye bwana wa agano jipya. Lengo la Mungu kuja kuleta agano jipya ambalo linamuhusisha Kristo ni kutupa ushindi dhidi ya adui. Wagalatia 3:29 [29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi. Lazima tujue kuomba namna ya kutoka katika masgano ambayo siyo mazuri kwetu na tuyakimbie kabisa. Inawezekana kabisa wala usiogope mana maandiko yanasema Na imekuwa mtu akiwa ndani ya kristo na amekuwa kiumbe kipya kweli ya kale yote yamesha kwisha kupita Natumai umejifunza Mungu akituongoza tunaendelea na sehemu ya pili hapa hapa. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka ( build new eden) #build new eden #restore men position -
"Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "
Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .
Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .
Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.
Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .
Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.
Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .
Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .
Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa
Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .
Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.
Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..
Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "
Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#restore men position
Build new eden"Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa " Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa . Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye . Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake. Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi . Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo. Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra . Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo . Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi . Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu. Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa .. Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako " Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #restore men position Build new eden -
Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa.
Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa .
Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa.
Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa
Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa .
Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao .
Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ?
Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana.
Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa?
Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ?
Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako.
Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako.
Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi .
Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa. Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa . Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa. Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa . Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao . Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ? Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana. Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa? Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ? Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako. Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako. Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi . Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) -
Power of choice part 5.
Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26
Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua.
Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo.
Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa .
2.SAMSON
Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 .
Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi.
Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua.
Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake .
Waamuzi 14:16
[16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe?
Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili .
Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena .
Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi.
Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa)
Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28
[17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.
Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao .
Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu.
[28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili
Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema .
Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden )
#build new edenPower of choice part 5. Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26 Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua. Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo. Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa . 2.SAMSON Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 . Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi. Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua. Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake . Waamuzi 14:16 [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe? Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili . Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena . Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi. Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa) Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28 [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu. Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao . Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu. [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema . Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden ) #build new eden -
Power of choise part 4.
Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26
Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha.
Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata.
Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza .
Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate.
1.Sauil
Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja ..
Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea.
1 Samweli 13:11-14
[11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi;
[12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.
.
[13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele.
[14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.
Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua.
1 Samweli 15:23
[23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi,
Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago;
Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA,
Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.
Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua.
Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua .
Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri .
Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua.
Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu.
Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha .
Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden )
#build new eden
#restore men positionPower of choise part 4. Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26 Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha. Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata. Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza . Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate. 1.Sauil Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja .. Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea. 1 Samweli 13:11-14 [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi; [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa. . [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele. [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru. Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua. 1 Samweli 15:23 [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme. Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua. Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua . Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri . Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua. Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu. Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha . Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position -
Power of choise part 3.
Maisha ni kanuni uwezi kufanikiwa kama uzijui kanuni za mafanikio.
Na kwa kuwa Mungu wetu ni Mungu wa kanuni na utaratibu basi moja ya kanuni hizo ni NGUVU ya kuchagua.
Tunaendelea kuongozwa na neno la msingi hili
Torati 11:26 "Angalia nawawekea mbele yenu baraka na laana."
Vyote viwili viko mbele yako yaani baraka na laana pia .
Kila matokeo utakayo yapata duniani yameyokana na nguvu iliyo ndani yako na nguvu hiyo ni nguvu ya kuchagua.
Hata kuokoka ni matokeo ya kuchagua pia .
Zaburi 27:4-6
Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, .
Kumbe hata kupata nguvu na kukaa uweponi pia ni matokeo ya kuchagua pia
Eliya alisimamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu kwa kuwa tu aliweza kuijua nguvu ya kuchagua na akachagua kutembea na Bwana .
Katikati ya Mungu wa bahari jabari la Mungu eliya aliamua kumdhiiriaha Mungu na moto ulishuka ukasababisha hata wasio amini wachague kumwamini Mungu wa Elia.
Matokeo ya kuchagua kwa eliya ndiyo yalileta matokeo ya maamuzi ya watu kusema anaye paswa kuabudiwa ni Mungu wa Elia.
Ukikosea kuchagua au kuto kujua nguvu ya kuchagua ni kumkosea Mungu wako pia.
Yoshua pia aliiijua nguvu hii ndiyo alipo wapa machaguo wana wa islaeri kwamba chagueni hivi leo mtakaye mtumikia.
Yoshua 24:15
Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
Ahsante sana naimani kuna kitu umejifunza katika nguvu ya kuchagua
Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#RestoremenpositionPower of choise part 3. Maisha ni kanuni uwezi kufanikiwa kama uzijui kanuni za mafanikio. Na kwa kuwa Mungu wetu ni Mungu wa kanuni na utaratibu basi moja ya kanuni hizo ni NGUVU ya kuchagua. Tunaendelea kuongozwa na neno la msingi hili Torati 11:26 "Angalia nawawekea mbele yenu baraka na laana." Vyote viwili viko mbele yako yaani baraka na laana pia . Kila matokeo utakayo yapata duniani yameyokana na nguvu iliyo ndani yako na nguvu hiyo ni nguvu ya kuchagua. Hata kuokoka ni matokeo ya kuchagua pia . Zaburi 27:4-6 Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, . Kumbe hata kupata nguvu na kukaa uweponi pia ni matokeo ya kuchagua pia Eliya alisimamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu kwa kuwa tu aliweza kuijua nguvu ya kuchagua na akachagua kutembea na Bwana . Katikati ya Mungu wa bahari jabari la Mungu eliya aliamua kumdhiiriaha Mungu na moto ulishuka ukasababisha hata wasio amini wachague kumwamini Mungu wa Elia. Matokeo ya kuchagua kwa eliya ndiyo yalileta matokeo ya maamuzi ya watu kusema anaye paswa kuabudiwa ni Mungu wa Elia. Ukikosea kuchagua au kuto kujua nguvu ya kuchagua ni kumkosea Mungu wako pia. Yoshua pia aliiijua nguvu hii ndiyo alipo wapa machaguo wana wa islaeri kwamba chagueni hivi leo mtakaye mtumikia. Yoshua 24:15 Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. Ahsante sana naimani kuna kitu umejifunza katika nguvu ya kuchagua Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #Restoremenposition -
Nguvu ya kuchagua sehemu ya pili.
Nguvu ya kuchagua ndiyo nguvu inayo sitawisha mtu .
Isacka alibarikiwa sana baada ya kuchagua kutii maagizo aliyo ambiwa na Mungu .
Wakati njaa inatokea wengine wote walichagua kwenda misri yeye akapewa jumbe tofauti na alipo sikia akachukua nguvu ya kuanza na akasitawishwa sana.
Mwanzo 26:1-2
Nguvu ya kuchagua lazima iambatane na Nguvu ya kuanza baada ya kuchagua.
Mwanzo 6:12
Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki.
Watu wengi tunamsoma Yusuph kama mtu aliye ishinda zinaa na kufanyika kutengeneza taifa la wenzake tunasahau kitu kimoja tu Nguvu ya kuchagua ndiyo kitu kilicho mfanya aishinde zambi ya zinaa na kuwa mkubwa alipo chagua kutafsiri ndoto ndipo alipo chagua kuonekana na kukumbukwa .
Lugha nyepesi kama angekataa kuchagua vyema angezini na potifa basi ukubwa wake ungeshindwa kutimia .
Nje ya ndoto alizoota akiwakwao lakini nguvu ya kuchagua ndiyo ilimpa baraka za kifalme.
Danieli aliitwa apendwaye sana tu sababu ya kutokuwa tayari kuchagua kula vyakula vya kifalme na kuabudu sanamu .
Na hiyo kutokuwa tayari ni nguvu ya uchaguzi wakati wengine wanachagua kufuata miungu ya mfalme yeye alichagua kufuata vyema.
Ruthu sababu ya kuchagua kumfuata naomi na Mungu wake alijikuta amebarikiwa na kupitia yeye baraka za Yudah zikatimia kupitia yeye daudi anazaliwa na masihi anazaliwa na hii ndiyo inaitwa nguvu ya kuchagua.
Loti alitazama macho ya mwili alichagua kwenda sehemu nzuri kumbe ni sodoma na Gomora baadaye .
Katika kila kuchagua kuna nguvu ya kufanikiwa ndiyo maana msingi wetu unaitwa baraka na laana umepewa mkononi mwako jinsi unavyo chagua ndivyo unavyo elekea mafanikio .
Maisha ni machaguo kichagua vibaya ni kuamua kutoishi .
Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
##restore men position.Nguvu ya kuchagua sehemu ya pili. Nguvu ya kuchagua ndiyo nguvu inayo sitawisha mtu . Isacka alibarikiwa sana baada ya kuchagua kutii maagizo aliyo ambiwa na Mungu . Wakati njaa inatokea wengine wote walichagua kwenda misri yeye akapewa jumbe tofauti na alipo sikia akachukua nguvu ya kuanza na akasitawishwa sana. Mwanzo 26:1-2 Nguvu ya kuchagua lazima iambatane na Nguvu ya kuanza baada ya kuchagua. Mwanzo 6:12 Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki. Watu wengi tunamsoma Yusuph kama mtu aliye ishinda zinaa na kufanyika kutengeneza taifa la wenzake tunasahau kitu kimoja tu Nguvu ya kuchagua ndiyo kitu kilicho mfanya aishinde zambi ya zinaa na kuwa mkubwa alipo chagua kutafsiri ndoto ndipo alipo chagua kuonekana na kukumbukwa . Lugha nyepesi kama angekataa kuchagua vyema angezini na potifa basi ukubwa wake ungeshindwa kutimia . Nje ya ndoto alizoota akiwakwao lakini nguvu ya kuchagua ndiyo ilimpa baraka za kifalme. Danieli aliitwa apendwaye sana tu sababu ya kutokuwa tayari kuchagua kula vyakula vya kifalme na kuabudu sanamu . Na hiyo kutokuwa tayari ni nguvu ya uchaguzi wakati wengine wanachagua kufuata miungu ya mfalme yeye alichagua kufuata vyema. Ruthu sababu ya kuchagua kumfuata naomi na Mungu wake alijikuta amebarikiwa na kupitia yeye baraka za Yudah zikatimia kupitia yeye daudi anazaliwa na masihi anazaliwa na hii ndiyo inaitwa nguvu ya kuchagua. Loti alitazama macho ya mwili alichagua kwenda sehemu nzuri kumbe ni sodoma na Gomora baadaye . Katika kila kuchagua kuna nguvu ya kufanikiwa ndiyo maana msingi wetu unaitwa baraka na laana umepewa mkononi mwako jinsi unavyo chagua ndivyo unavyo elekea mafanikio . Maisha ni machaguo kichagua vibaya ni kuamua kutoishi . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden ##restore men position. -
21/21.*NGUVU YA KUCHAGUA*
Maisha ni kuchagua.
Kila matokeo au jambo linalo onekana katika miasha limejengwa na msingi wa kuchagua.
Ukikosea kuchagua ,umekosea kuishi . Watu wengi sana wanazani maisha ni bahati na hivyo uishia kuona kuwa wao hawana bahati kumbe bahati njema ni matokeo ya chaguo jema na bahati mbaya ni matokeo ya chaguo baya.
Kumbukumbu la Torati 11:26
[26]Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;
Ndicho Mungu alicho kifanya katika maisha ameweka mbele yetu baraka na laana , kustawi au kutokustawi kutaamuliwa na nguvu ya chaguo .
Kumbe nguvu ya kuchagua ndiyo itakayo kuamulia kiwango cha baraka zako au laana yako.
Hii ni moja ya kanuni ya kuzitaka baraka baada ya kuchagua kutenda haya.
Kumbukumbu la Torati 11:27
[27]baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo;
Ukichagua kutii maagizo, kuwa na bidii ya bwana ndipo utakuwa umechagua baraka.
Kumbukumbu la Torati 28:1-2
[1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;
[2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.
3.lazima uchague kumjua sana Mungu.
Ayubu 22:21
[21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;
Ndivyo mema yatakavyokujia.
Chagua kumjua Mungu ili mema yakufuate lakini pia usipo chagua hivyo pia lazima utapata matokeo.
Kumbukumbu la Torati 11:28
[28]na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.
Laaana ni matokeo ya kujiongoza vibaya na ndipo matokeo lazima uyapate tu .
Kumbukumbu la Torati 28:15-17
[15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.
[16]Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.
.
[17]Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.
Utakuja kuona kuna watu tunaishi copy za maisha yetu sababu tu ya kutokuchagua vyema au kuichagua dunia..
Yoshua alitangaza nguvu ya kuchagua lakini yeye alishachagua kuwa yeye na nyumba yake watamtumikia Mungu.
Namaliza kwa kusema hakuna baraka zinazo weza kukujia ikiwa wewe uko nje ya agano la Mungu ambalo ni WOKOVU.
Naitwa sylvester mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#restore men position21/21.*NGUVU YA KUCHAGUA* Maisha ni kuchagua. Kila matokeo au jambo linalo onekana katika miasha limejengwa na msingi wa kuchagua. Ukikosea kuchagua ,umekosea kuishi . Watu wengi sana wanazani maisha ni bahati na hivyo uishia kuona kuwa wao hawana bahati kumbe bahati njema ni matokeo ya chaguo jema na bahati mbaya ni matokeo ya chaguo baya. Kumbukumbu la Torati 11:26 [26]Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana; Ndicho Mungu alicho kifanya katika maisha ameweka mbele yetu baraka na laana , kustawi au kutokustawi kutaamuliwa na nguvu ya chaguo . Kumbe nguvu ya kuchagua ndiyo itakayo kuamulia kiwango cha baraka zako au laana yako. Hii ni moja ya kanuni ya kuzitaka baraka baada ya kuchagua kutenda haya. Kumbukumbu la Torati 11:27 [27]baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo; Ukichagua kutii maagizo, kuwa na bidii ya bwana ndipo utakuwa umechagua baraka. Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. 3.lazima uchague kumjua sana Mungu. Ayubu 22:21 [21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia. Chagua kumjua Mungu ili mema yakufuate lakini pia usipo chagua hivyo pia lazima utapata matokeo. Kumbukumbu la Torati 11:28 [28]na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua. Laaana ni matokeo ya kujiongoza vibaya na ndipo matokeo lazima uyapate tu . Kumbukumbu la Torati 28:15-17 [15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata. [16]Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani. . [17]Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia. Utakuja kuona kuna watu tunaishi copy za maisha yetu sababu tu ya kutokuchagua vyema au kuichagua dunia.. Yoshua alitangaza nguvu ya kuchagua lakini yeye alishachagua kuwa yeye na nyumba yake watamtumikia Mungu. Namaliza kwa kusema hakuna baraka zinazo weza kukujia ikiwa wewe uko nje ya agano la Mungu ambalo ni WOKOVU. Naitwa sylvester mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position -
Matendo ya Mitume 23:11
[11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.
Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini.
Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi .
Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) .
Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia .
Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia
Yoshua 1:6
[6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa
Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa .
Waamuzi 6:12-14
[12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa.
[13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
.
[14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?
Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo.
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#restore men positionMatendo ya Mitume 23:11 [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini. Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi . Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) . Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia . Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia Yoshua 1:6 [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa . Waamuzi 6:12-14 [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa. [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani. . [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position -
Shambulio dhidi ya haki ni shambulio dhidi ya kanisa na mwili wa KRISTO.
Kwani kabla ya kanisa kushambuliwa masihi alishamhuliwa na kupigwa na kuuawa .
Na ndio maans suleiman alisema haki huinua taifa
Mwenye sikio na asikilie roho ayawmbiayo makanisaShambulio dhidi ya haki ni shambulio dhidi ya kanisa na mwili wa KRISTO. Kwani kabla ya kanisa kushambuliwa masihi alishamhuliwa na kupigwa na kuuawa . Na ndio maans suleiman alisema haki huinua taifa Mwenye sikio na asikilie roho ayawmbiayo makanisa0 Comments ·0 Shares ·221 Views -
Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro .
Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu.
Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu???
Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii .
Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI .
Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia.
Ufunuo 6:11
Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa.
Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu.
Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana .
Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii .
#build new eden
#restore men positionMtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro . Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu. Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu??? Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii . Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI . Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia. Ufunuo 6:11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa. Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu. Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana . Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii . #build new eden #restore men position -
Matendo ya Mitume 20:29-32
[29]Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kuangusha mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi;
[30]tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao.
.
[31]Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.
[32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa.
Ukitizama vizuri utagundua Paulo alipo taka kurudi Yerusalemu kwa ajiri ya pentecost alilipitia kanisa na kuliaga .
Alipo kuwa akiwaaga alisikia hakika ya kuwa hatorudi ikabidi aliachie kanisa mausia au maagizo .
Na moja ya maagizo ni kuwa ili kanisa lizidi kukua katika roho na kuishi maisha ya Kristo lazima wakeshe wakiomba .
Si tu kukesha katika kuomba bali wakeshe pia wakikumbuka kuwa ndani ya MAOMBI lazima pia wawe watu sakuonyana na kuchukuliana kwa ajiri ya mwili wa Kristo.
Na pia kanisa lisiyakubali mfundisho ya wanikolai maana uamsho ukipoa watakuja watu na mafundisho ya kila aina ambayo kwa sehemu kubwa ni kulipotezq kanisa.
.Matendo ya Mitume 20:28
[28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.
Kumbe maombi ni kitu muhimu sana kwa huduma kwani hata muasisu wa huduma akitoka bado huduma haitateteleka.
Kanisa la kwanza lilikuwa imara kwa sababu Yesu alipo ondoka kanisa aliliachia maagizo wakae wakisubiri roho ,na si kuwa walikuwa wakila na kunywa hapana bali walikuwa wakiomba mchana na usiku na ndio mana walifanya ishara na maajabu mengi na uamsho mkubwa sana.
Ili Mungu alionekanie kanisa lazima liwe hai katika maombi na wala si kitu kingine chochote.
Kanisa la maombi mengi ndilo kanisa la wapindua meza .
Mungu alisaidie kanisa la uamsho la Tanzania kwani ni muda wa kanisa kukesha kuomba umefika .
Yesu mwenyewe pia alisema kesheni mkiomba maana hamjui saa ya mwana wa adamu kurejea.
.
Ok naitwa sylvester mwakabende Kutoka (build new eden)
#build new eden
#restore men positionMatendo ya Mitume 20:29-32 [29]Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kuangusha mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi; [30]tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao. . [31]Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi. [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa. Ukitizama vizuri utagundua Paulo alipo taka kurudi Yerusalemu kwa ajiri ya pentecost alilipitia kanisa na kuliaga . Alipo kuwa akiwaaga alisikia hakika ya kuwa hatorudi ikabidi aliachie kanisa mausia au maagizo . Na moja ya maagizo ni kuwa ili kanisa lizidi kukua katika roho na kuishi maisha ya Kristo lazima wakeshe wakiomba . Si tu kukesha katika kuomba bali wakeshe pia wakikumbuka kuwa ndani ya MAOMBI lazima pia wawe watu sakuonyana na kuchukuliana kwa ajiri ya mwili wa Kristo. Na pia kanisa lisiyakubali mfundisho ya wanikolai maana uamsho ukipoa watakuja watu na mafundisho ya kila aina ambayo kwa sehemu kubwa ni kulipotezq kanisa. .Matendo ya Mitume 20:28 [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. Kumbe maombi ni kitu muhimu sana kwa huduma kwani hata muasisu wa huduma akitoka bado huduma haitateteleka. Kanisa la kwanza lilikuwa imara kwa sababu Yesu alipo ondoka kanisa aliliachia maagizo wakae wakisubiri roho ,na si kuwa walikuwa wakila na kunywa hapana bali walikuwa wakiomba mchana na usiku na ndio mana walifanya ishara na maajabu mengi na uamsho mkubwa sana. Ili Mungu alionekanie kanisa lazima liwe hai katika maombi na wala si kitu kingine chochote. Kanisa la maombi mengi ndilo kanisa la wapindua meza . Mungu alisaidie kanisa la uamsho la Tanzania kwani ni muda wa kanisa kukesha kuomba umefika . Yesu mwenyewe pia alisema kesheni mkiomba maana hamjui saa ya mwana wa adamu kurejea. . Ok naitwa sylvester mwakabende Kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position -
1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona .
My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako .
Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako.
Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida.
3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo.
4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote .
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32
5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako .
Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa.
Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe.
*Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10.
Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri .
Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto.
6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa .
Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake .
Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano .
Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine.
Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo.
Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#restore men position1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona . My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako . Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako. Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida. 3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo. 4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote . Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32 5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako . Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa. Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10. Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri . Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto. 6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa . Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake . Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano . Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine. Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position -
Nguvu ya damu ya Yesu.
Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.
Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.
Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*
Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.
Ebrania 9:21
"Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"
Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.
Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19
Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .
Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.
Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)
kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.
Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo
Ebrania 10:16-19
16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
Na katika nia zao nitaziandika;
ndipo anenapo,
17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
Wito wa kuwa Wavumilivu
19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,
Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.
Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.
#build new eden
#restore men positionNguvu ya damu ya Yesu. Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano. Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake. Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake. Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.* Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani. Ebrania 9:21 "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo" Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi. Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19 Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane . Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu. Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi . Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11) kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha. Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo Ebrania 10:16-19 16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika; ndipo anenapo, 17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. 18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi. Wito wa kuwa Wavumilivu 19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako. Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako. #build new eden #restore men position
More Stories