• Sumary ya kile tulicho jifunza .

    Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026.

    Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU.

    Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu.

    Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu.

    #Mithali 8:4

    Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako

    Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha.

    Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha .

    Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu

    Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana.

    Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida.

    Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua.
    #Torati 4:35-36

    Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani.

    https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf

    #2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
    Sumary ya kile tulicho jifunza . Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026. ⏩Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU. ⏩Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu. ⏩Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu. #Mithali 8:4 ⏩Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako ⏩Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha. ⏩Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha . ⏩Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu ⏩Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana. ⏩Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida. Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua. #Torati 4:35-36 Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani. https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf #2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 138 Views
  • Kumbukumbu la Torati 4:20
    [20]Bali BWANA amewatwaa ninyi, na kuwatoa katika tanuu ya chuma, katika Misri, mpate kuwa watu wa urithi kwake, kama mlivyo leo hivi.

    BWANA AMEKUTWAA WEWE KUWA MTU WAKE ILI UPATE KUMSIFU ,KUMTUKUZA NA KUMWABUDU YEYE PEKE YAKE.

    NA BWANA NAWE PIA AKAKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA LA MISRI ILI UPATE KUISHI NA KUMTAFUTA BWANA MUNGU KATIKA KILA JAMBO.

    INAWEZEKANA MAHUSIANO,NDOA ,BIASHARA,WATU WAKAUGEUKA KUWA TANUU LA CHUMA LAKINI BWANA AMEKWITA KWA JINA LAKE ILI AKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA KATIKA MISRI.

    NA BWANA AKUTOE KATIKA TANURU LA CHUMA LA MISRI YAKO KATIKA JINA L YESU.

    NA MBINGU ZIKUONE KAMA MMOJA WA WARITHI WA AHADI ZA BWANA KATIKA JINA LA YESU.

    Sylvester Elia Gentleman
    Build new eden
    #2026_SISI_NDIO_WALE_WANAO_PIGANIWA_NA _ BWANA.

    @everyone
    Kumbukumbu la Torati 4:20 [20]Bali BWANA amewatwaa ninyi, na kuwatoa katika tanuu ya chuma, katika Misri, mpate kuwa watu wa urithi kwake, kama mlivyo leo hivi. BWANA AMEKUTWAA WEWE KUWA MTU WAKE ILI UPATE KUMSIFU ,KUMTUKUZA NA KUMWABUDU YEYE PEKE YAKE. NA BWANA NAWE PIA AKAKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA LA MISRI ILI UPATE KUISHI NA KUMTAFUTA BWANA MUNGU KATIKA KILA JAMBO. INAWEZEKANA MAHUSIANO,NDOA ,BIASHARA,WATU WAKAUGEUKA KUWA TANUU LA CHUMA LAKINI BWANA AMEKWITA KWA JINA LAKE ILI AKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA KATIKA MISRI. NA BWANA AKUTOE KATIKA TANURU LA CHUMA LA MISRI YAKO KATIKA JINA L YESU. NA MBINGU ZIKUONE KAMA MMOJA WA WARITHI WA AHADI ZA BWANA KATIKA JINA LA YESU. Sylvester Elia Gentleman Build new eden #2026_SISI_NDIO_WALE_WANAO_PIGANIWA_NA _ BWANA. @everyone
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 273 Views