• Matendo ya Mitume 23:11
    [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.

    Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini.

    Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi .

    Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) .

    Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia .


    Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia
    Yoshua 1:6
    [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa

    Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa .

    Waamuzi 6:12-14
    [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa.

    [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
    .
    [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?

    Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 23:11 [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini. Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi . Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) . Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia . Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia Yoshua 1:6 [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa . Waamuzi 6:12-14 [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa. [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani. . [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·73 Views
  • Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro .

    Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu.

    Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu???

    Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii .

    Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI .
    Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia.

    Ufunuo 6:11
    Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa.

    Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu.

    Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana .

    Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii .

    #build new eden
    #restore men position
    Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro . Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu. Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu??? Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii . Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI . Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia. Ufunuo 6:11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa. Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu. Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana . Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·84 Views
  • Matendo ya Mitume 20:29-32
    [29]Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kuangusha mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi;

    [30]tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao.
    .
    [31]Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.

    [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa.

    Ukitizama vizuri utagundua Paulo alipo taka kurudi Yerusalemu kwa ajiri ya pentecost alilipitia kanisa na kuliaga .

    Alipo kuwa akiwaaga alisikia hakika ya kuwa hatorudi ikabidi aliachie kanisa mausia au maagizo .

    Na moja ya maagizo ni kuwa ili kanisa lizidi kukua katika roho na kuishi maisha ya Kristo lazima wakeshe wakiomba .

    Si tu kukesha katika kuomba bali wakeshe pia wakikumbuka kuwa ndani ya MAOMBI lazima pia wawe watu sakuonyana na kuchukuliana kwa ajiri ya mwili wa Kristo.

    Na pia kanisa lisiyakubali mfundisho ya wanikolai maana uamsho ukipoa watakuja watu na mafundisho ya kila aina ambayo kwa sehemu kubwa ni kulipotezq kanisa.

    .Matendo ya Mitume 20:28
    [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.

    Kumbe maombi ni kitu muhimu sana kwa huduma kwani hata muasisu wa huduma akitoka bado huduma haitateteleka.


    Kanisa la kwanza lilikuwa imara kwa sababu Yesu alipo ondoka kanisa aliliachia maagizo wakae wakisubiri roho ,na si kuwa walikuwa wakila na kunywa hapana bali walikuwa wakiomba mchana na usiku na ndio mana walifanya ishara na maajabu mengi na uamsho mkubwa sana.

    Ili Mungu alionekanie kanisa lazima liwe hai katika maombi na wala si kitu kingine chochote.

    Kanisa la maombi mengi ndilo kanisa la wapindua meza .

    Mungu alisaidie kanisa la uamsho la Tanzania kwani ni muda wa kanisa kukesha kuomba umefika .

    Yesu mwenyewe pia alisema kesheni mkiomba maana hamjui saa ya mwana wa adamu kurejea.
    .

    Ok naitwa sylvester mwakabende Kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 20:29-32 [29]Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kuangusha mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi; [30]tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao. . [31]Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi. [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa. Ukitizama vizuri utagundua Paulo alipo taka kurudi Yerusalemu kwa ajiri ya pentecost alilipitia kanisa na kuliaga . Alipo kuwa akiwaaga alisikia hakika ya kuwa hatorudi ikabidi aliachie kanisa mausia au maagizo . Na moja ya maagizo ni kuwa ili kanisa lizidi kukua katika roho na kuishi maisha ya Kristo lazima wakeshe wakiomba . Si tu kukesha katika kuomba bali wakeshe pia wakikumbuka kuwa ndani ya MAOMBI lazima pia wawe watu sakuonyana na kuchukuliana kwa ajiri ya mwili wa Kristo. Na pia kanisa lisiyakubali mfundisho ya wanikolai maana uamsho ukipoa watakuja watu na mafundisho ya kila aina ambayo kwa sehemu kubwa ni kulipotezq kanisa. .Matendo ya Mitume 20:28 [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. Kumbe maombi ni kitu muhimu sana kwa huduma kwani hata muasisu wa huduma akitoka bado huduma haitateteleka. Kanisa la kwanza lilikuwa imara kwa sababu Yesu alipo ondoka kanisa aliliachia maagizo wakae wakisubiri roho ,na si kuwa walikuwa wakila na kunywa hapana bali walikuwa wakiomba mchana na usiku na ndio mana walifanya ishara na maajabu mengi na uamsho mkubwa sana. Ili Mungu alionekanie kanisa lazima liwe hai katika maombi na wala si kitu kingine chochote. Kanisa la maombi mengi ndilo kanisa la wapindua meza . Mungu alisaidie kanisa la uamsho la Tanzania kwani ni muda wa kanisa kukesha kuomba umefika . Yesu mwenyewe pia alisema kesheni mkiomba maana hamjui saa ya mwana wa adamu kurejea. . Ok naitwa sylvester mwakabende Kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·70 Views
  • 1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona .

    My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako .

    Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako.

    Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida.

    3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo.

    4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote .

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32

    5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako .

    Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa.
    Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe.
    *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10.
    Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri .
    Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto.

    6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa .

    Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake .

    Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano .

    Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine.

    Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo.


    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona . My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako . Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako. Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida. 3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo. 4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote . Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32 5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako . Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa. Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10. Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri . Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto. 6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa . Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake . Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano . Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine. Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·185 Views
  • Nguvu ya damu ya Yesu.

    Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.

    Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.

    Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
    Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*

    Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.

    Ebrania 9:21
    "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"

    Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.

    Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19

    Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .

    Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.

    Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .

    Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
    maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)

    kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.

    Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo

    Ebrania 10:16-19
    16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
    Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
    Na katika nia zao nitaziandika;
    ndipo anenapo,
    17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
    18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
    Wito wa kuwa Wavumilivu
    19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,

    Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.

    Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.

    #build new eden
    #restore men position
    Nguvu ya damu ya Yesu. Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano. Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake. Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake. Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.* Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani. Ebrania 9:21 "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo" Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi. Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19 Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane . Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu. Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi . Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11) kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha. Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo Ebrania 10:16-19 16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika; ndipo anenapo, 17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. 18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi. Wito wa kuwa Wavumilivu 19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako. Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako. #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·126 Views
  • 16/21
    BWANA ANATUTAKA TUONGEZE WENGINE
    Ni rahisi sana watu tulio okoka kumwomba Mungu atuongeze ikiwa sisi hatuja fanya chochote juu ya ufalme wake.

    Yohana15:1-5 BHN
    1.“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

    2.Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.

    3.Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu
    4.Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.

    5.“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.

    Ni maneno yaa Yesu aliyo kuwa akiwaambia wanafunzi wake kuwa yeye ni mzabibu na baba ni mkulima .

    Katika maneno haya tukiangalia kwa upana zaidi kuna jambo kubwa tunakwenda kujifunza ambalo ni

    1.Kama mtoto wa Mungu kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu.

    2.kuzaa na kuongezeka ni kanuni ya kiungu kabisa .
    2."Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi."

    Ukisha okoka lazima ujenge tabia ya kuongeza wengine ili nawe uongezeke na kusitawi .

    Kumbe kazi ya kushuhudia si ya mchungaji peke yake bali ya wote katika kuujenga mwili wa kristo.

    3.Kuwa na moyo safi ni ishara ya kuwa ndani ya kristo.

    Kumbe kama mapenzi ya Mungu ni sisi kukaa ndani yake ili tuweze kumpendeza yeye kisha yeye awe ndani yetu.

    Na kama tunavyo jua ili Mungu akae ndani yetu lazima tuwe safi katika moyo wetu kwani yeye ni msafi kila wakati.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu ni sisi tuzae matunda iliatuongeze sana lakini bahati mbaya sasa tumewaachia wachungaji ndio wazae matunda (wawalete watu kwa Yesu).

    Ni vyema kama mwamini ukipata nafasi ya kuvuna nafsi ivune ili baba asije akakukata kwa kuwa ni mzabibu usio zaaa.

    Natamani kama kila mtu ndani ya kanisa akaelewa yeye ni tawi ndani ya mzabibu ko lazima ategemee kuzaa wengine .

    Bwana lengo lake ni kutupanda kuwa mzabibu mwema lakini sisi tumegeuka kuwa mzabibu mwitu..

    Wakati mwingine kuna baraka tumezikosa kwa sababu tu ya kuto kuongeza watu wengine katika ufalme wa Mungu.

    Lete mamilioni ya watu kwa Yesu na Yesu atajivunia wewe . Mbingu ilijivunia mitume sababu ya nguvu ya kutafuta wengine kwa ajiri ya ufalme vipi wewe na mimi tumefanya nini kwa ajiri ya ufalme?

    Au tunasubiri kukatwa tawi letu ndipo tuelewe vizr , la hasha tunapaswa kusafishiwa ili tusitawi sana na kufanikiwa sana.

    Kama ni prays unawezaje kuzaa wengine katika prays yako , kama ni mwimbaj unawezaj kuzaa wengine sababu ya uimbaji wako , na wengine katika hicho ulicho pewa unawezaje kuzaa wengine?

    Bwana akusaidie sana na mimi anisaidie tugeuke tuzae matunda kabla tujakatwa au kudumaa kihuduma, kwani huduma ni zawadi tu ,,

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (BUILD NEW EDEN)

    #build new eden
    #restore men position
    16/21 BWANA ANATUTAKA TUONGEZE WENGINE Ni rahisi sana watu tulio okoka kumwomba Mungu atuongeze ikiwa sisi hatuja fanya chochote juu ya ufalme wake. Yohana15:1-5 BHN 1.“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. 2.Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi. 3.Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu 4.Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu. 5.“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote. Ni maneno yaa Yesu aliyo kuwa akiwaambia wanafunzi wake kuwa yeye ni mzabibu na baba ni mkulima . Katika maneno haya tukiangalia kwa upana zaidi kuna jambo kubwa tunakwenda kujifunza ambalo ni 1.Kama mtoto wa Mungu kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu. 2.kuzaa na kuongezeka ni kanuni ya kiungu kabisa . 2."Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi." Ukisha okoka lazima ujenge tabia ya kuongeza wengine ili nawe uongezeke na kusitawi . Kumbe kazi ya kushuhudia si ya mchungaji peke yake bali ya wote katika kuujenga mwili wa kristo. 3.Kuwa na moyo safi ni ishara ya kuwa ndani ya kristo. Kumbe kama mapenzi ya Mungu ni sisi kukaa ndani yake ili tuweze kumpendeza yeye kisha yeye awe ndani yetu. Na kama tunavyo jua ili Mungu akae ndani yetu lazima tuwe safi katika moyo wetu kwani yeye ni msafi kila wakati. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu ni sisi tuzae matunda iliatuongeze sana lakini bahati mbaya sasa tumewaachia wachungaji ndio wazae matunda (wawalete watu kwa Yesu). Ni vyema kama mwamini ukipata nafasi ya kuvuna nafsi ivune ili baba asije akakukata kwa kuwa ni mzabibu usio zaaa. Natamani kama kila mtu ndani ya kanisa akaelewa yeye ni tawi ndani ya mzabibu ko lazima ategemee kuzaa wengine . Bwana lengo lake ni kutupanda kuwa mzabibu mwema lakini sisi tumegeuka kuwa mzabibu mwitu.. Wakati mwingine kuna baraka tumezikosa kwa sababu tu ya kuto kuongeza watu wengine katika ufalme wa Mungu. Lete mamilioni ya watu kwa Yesu na Yesu atajivunia wewe . Mbingu ilijivunia mitume sababu ya nguvu ya kutafuta wengine kwa ajiri ya ufalme vipi wewe na mimi tumefanya nini kwa ajiri ya ufalme? Au tunasubiri kukatwa tawi letu ndipo tuelewe vizr , la hasha tunapaswa kusafishiwa ili tusitawi sana na kufanikiwa sana. Kama ni prays unawezaje kuzaa wengine katika prays yako , kama ni mwimbaj unawezaj kuzaa wengine sababu ya uimbaji wako , na wengine katika hicho ulicho pewa unawezaje kuzaa wengine? Bwana akusaidie sana na mimi anisaidie tugeuke tuzae matunda kabla tujakatwa au kudumaa kihuduma, kwani huduma ni zawadi tu ,, Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (BUILD NEW EDEN) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·445 Views
  • 15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana.

    Ayubu 42:2
    "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika."

    Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata.

    Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote.

    Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake.

    Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo.

    "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17)

    Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu .

    Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27)

    Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza.

    Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa.

    Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu"

    Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi.

    Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau .

    Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo.

    Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1)

    Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako .

    Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu.

    Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje?
    Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza.

    Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu.

    Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha.

    Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am

    #build new eden
    #restore men position
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana. Ayubu 42:2 "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika." Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata. Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote. Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake. Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo. "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17) Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu . Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27) Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza. Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa. Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi. Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau . Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo. Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1) Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako . Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje? Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza. Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu. Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha. Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote. Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·499 Views
  • 14 /21 Yesu ni vyote zaidi ya vyote.

    *Petro kauliza tumeacha vyote tumekufuata wewe tutapata nini?*

    Ndipo Petro aka mwambia, “Na sisi tulioacha kila kitu tukakufuata tutapata nini?”

    *Swali hili no swali gumu na kila aliye itwa na Mungu huanza kuliuliza lakini ukitulia vizuri utagundua yesu alimjibu Petro kwa vizuri sana.*

    28 Yesu akawajibu, “Ninawahakikishia kwamba, katika dunia mpya, wakati mimi Mwana wa Adamu nitakapoketi kwenye kiti changu cha utukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli.


    Utapata vyote vya duniani kisha uzima ule wa milele.

    29 Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au mashamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na atarithi uzima wa milele.

    *Kumbe kadiri unavyo acha kwa ajiri ya injiri ndivyo unavyo pata.*

    Na hili linatimia pale mfalme alipo omba hekima ya kuamua na kuongoza Mungu akampa vyote zaidi ya vyote.

    *Watu wa Mungu ni muhimu sana kujua kuwa kama Mungu amekutenga kwa ajiri ya kazi yake pia hawezi kukuacha hivi hivi lazima tu atakubaliki zaidi .*

    Kumbe kuhimu sana ni utii wa lile kusudi ulilopewa na Mungu .

    Najua hata wewe unajiuliza swali lile lile kuwa nitapata nini nikimfuata Yesu utapata vyote vya duniani kisha mbinguni uzima wa milele na kutawala na Kristo.

    *Walio kubali kumfuata yesu ndio wanapaswa kuitwa vichwa na wala si mkia kwa kuwa yesu ni kichwa cha kanisa kumbe hata sisi ni vichwa mara zote .Ko ni wewe tu kuamua kumfuata yeye ambaye ni zaidi ya vyote.*

    Maandiko yanasema mjue sana Mungu ndipo mema ya kufuate ,kumbe ili yakufuate kuna kanuni yake lazima umjue sana na kumjua ndiko kumuishi (kumfuata ).

    *Ok ni vyema jion hii ukamtaka Yesu ambaye ni vyote zaidi ya vyote ili awe Bwana na mwokozi wa maisha yako na akabadilisha historia yako yote.*

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende (build new eden) .

    #build new eden
    #restore men position
    14 /21 Yesu ni vyote zaidi ya vyote. *Petro kauliza tumeacha vyote tumekufuata wewe tutapata nini?* Ndipo Petro aka mwambia, “Na sisi tulioacha kila kitu tukakufuata tutapata nini?” *Swali hili no swali gumu na kila aliye itwa na Mungu huanza kuliuliza lakini ukitulia vizuri utagundua yesu alimjibu Petro kwa vizuri sana.* 28 Yesu akawajibu, “Ninawahakikishia kwamba, katika dunia mpya, wakati mimi Mwana wa Adamu nitakapoketi kwenye kiti changu cha utukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli. Utapata vyote vya duniani kisha uzima ule wa milele. 29 Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au mashamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na atarithi uzima wa milele. *Kumbe kadiri unavyo acha kwa ajiri ya injiri ndivyo unavyo pata.* Na hili linatimia pale mfalme alipo omba hekima ya kuamua na kuongoza Mungu akampa vyote zaidi ya vyote. *Watu wa Mungu ni muhimu sana kujua kuwa kama Mungu amekutenga kwa ajiri ya kazi yake pia hawezi kukuacha hivi hivi lazima tu atakubaliki zaidi .* Kumbe kuhimu sana ni utii wa lile kusudi ulilopewa na Mungu . Najua hata wewe unajiuliza swali lile lile kuwa nitapata nini nikimfuata Yesu utapata vyote vya duniani kisha mbinguni uzima wa milele na kutawala na Kristo. *Walio kubali kumfuata yesu ndio wanapaswa kuitwa vichwa na wala si mkia kwa kuwa yesu ni kichwa cha kanisa kumbe hata sisi ni vichwa mara zote .Ko ni wewe tu kuamua kumfuata yeye ambaye ni zaidi ya vyote.* Maandiko yanasema mjue sana Mungu ndipo mema ya kufuate ,kumbe ili yakufuate kuna kanuni yake lazima umjue sana na kumjua ndiko kumuishi (kumfuata ). *Ok ni vyema jion hii ukamtaka Yesu ambaye ni vyote zaidi ya vyote ili awe Bwana na mwokozi wa maisha yako na akabadilisha historia yako yote.* Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende (build new eden) . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·582 Views
  • Ufunuo 2:18 KANISA LA ZINAA

    Ufunuo wa Yohana 2:18-19
    [18]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika;
    Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana.

    *[19]Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza*.

    Kanisa la thiatra lilikuwa kanisa zuri kabisa lakini lilitawaliwa na roho ya Yezeberi kiasi cha kwamba lilikuwa tayari kufuata mfundisho ya yezeberi.

    Biblia inasema nayajua matendo yako ,imani yako na subira yako .kwa lugha nyepesi ni kuwa matendo yao yalikuwa safi kabisa tatizo ni moja tu na ndilo lilikuwa kubwa sana.

    *Tatizo wanalidhia mafundisho ya Yezeberi,(roho ya Yezeberi) ambayo ni roho ya uharibifu sana kuliko kawaida .*

    Roho ya Yezeberi ni roho ya uharibifu ni roho iliyopo kanisani ambako watu ni walokole lakin wanaongoza kwa uzinzi ,uasherati na mabo mengine.

    Kuna muda lazima tuseme ukweli kanisa la thiatra ni kanisa kubwa lililoko huku duniani s,sadaka linatoa ,kuabudu na kusifu linasifu lakini likitoka hapo linaweza kwenda kwa mchepuko na kuzini naye.

    *Kwa sababu hii imepelekea kanisa kupoteza utu wake kama kanisa na kubaki kama kopo tu*

    Uwezi kuwa mtumishi mzuri ,prayer worier ,worship mzuri huku roho ya Yezeberi imekutawala.

    *Roho za Yezeberi ni zipi. Kanisa lenye zinaa kama maisha yao .Roho ya kujiinua na roho ya kutotii ni roho za Yezeberi na kanisa lisipo tubu litakuwa limepoteza sana kuliko kawaida*

    *Biblia inasema wazi kabisa kosa kubwa alilo lifanya Ahabui ni kuoa YEZEBERI bint Ethbaali.*

    Ahabu alikosea hapo kwa kuoa binti ambaye alikuwa amelelewa na kukuzwa katika miungu ya baali .

    Ok naomba nirudi kwenye mada muhimu sana kuwa kanisa la thiatra linaishi mpaka leo kwa kuwa kanisa bado linaiishi zinaa kama sehemu ya maisha yake.

    *Kristo anasema hivi ametoa nafasi ya watu kutubu kama amta tubu ndipo tutajua kuwa yeye ni Mungu anaye chunguza moyo na viuno*

    Ufunuo wa Yohana 2:20-21
    *[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.*

    [21]Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.

    Kama kanisa tumepewa nafasi ya kutubu ili tuweze kumuona Mungu.

    *Toba ni muhimu sana kama kanisa ili roho ya Yezeberi isilikumbe kanisa kama ilivyo likumba kabisa la thiatra .*

    Huu ndo wito wetu kwa kanisa la leo kurejea kumtafuta masihi kwa kuikataa roho ya yezeberi kwa toba kama Kristo alivyo toa nafasi ya toba.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden )

    #build new eden
    #restore men position
    Ufunuo 2:18 KANISA LA ZINAA Ufunuo wa Yohana 2:18-19 [18]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika; Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana. *[19]Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza*. Kanisa la thiatra lilikuwa kanisa zuri kabisa lakini lilitawaliwa na roho ya Yezeberi kiasi cha kwamba lilikuwa tayari kufuata mfundisho ya yezeberi. Biblia inasema nayajua matendo yako ,imani yako na subira yako .kwa lugha nyepesi ni kuwa matendo yao yalikuwa safi kabisa tatizo ni moja tu na ndilo lilikuwa kubwa sana. *Tatizo wanalidhia mafundisho ya Yezeberi,(roho ya Yezeberi) ambayo ni roho ya uharibifu sana kuliko kawaida .* Roho ya Yezeberi ni roho ya uharibifu ni roho iliyopo kanisani ambako watu ni walokole lakin wanaongoza kwa uzinzi ,uasherati na mabo mengine. Kuna muda lazima tuseme ukweli kanisa la thiatra ni kanisa kubwa lililoko huku duniani s,sadaka linatoa ,kuabudu na kusifu linasifu lakini likitoka hapo linaweza kwenda kwa mchepuko na kuzini naye. *Kwa sababu hii imepelekea kanisa kupoteza utu wake kama kanisa na kubaki kama kopo tu* Uwezi kuwa mtumishi mzuri ,prayer worier ,worship mzuri huku roho ya Yezeberi imekutawala. *Roho za Yezeberi ni zipi. Kanisa lenye zinaa kama maisha yao .Roho ya kujiinua na roho ya kutotii ni roho za Yezeberi na kanisa lisipo tubu litakuwa limepoteza sana kuliko kawaida* *Biblia inasema wazi kabisa kosa kubwa alilo lifanya Ahabui ni kuoa YEZEBERI bint Ethbaali.* Ahabu alikosea hapo kwa kuoa binti ambaye alikuwa amelelewa na kukuzwa katika miungu ya baali . Ok naomba nirudi kwenye mada muhimu sana kuwa kanisa la thiatra linaishi mpaka leo kwa kuwa kanisa bado linaiishi zinaa kama sehemu ya maisha yake. *Kristo anasema hivi ametoa nafasi ya watu kutubu kama amta tubu ndipo tutajua kuwa yeye ni Mungu anaye chunguza moyo na viuno* Ufunuo wa Yohana 2:20-21 *[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.* [21]Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake. Kama kanisa tumepewa nafasi ya kutubu ili tuweze kumuona Mungu. *Toba ni muhimu sana kama kanisa ili roho ya Yezeberi isilikumbe kanisa kama ilivyo likumba kabisa la thiatra .* Huu ndo wito wetu kwa kanisa la leo kurejea kumtafuta masihi kwa kuikataa roho ya yezeberi kwa toba kama Kristo alivyo toa nafasi ya toba. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·598 Views
  • 13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI.

    Torati 13:1-2
    *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo*

    Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani .

    *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.*

    Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*.

    *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.*

    Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi .

    (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona )

    *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.*

    Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani*

    Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi .

    Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo.

    Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana .

    Ukisoma Yeremia 28:
    Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo .

    , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15)

    Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo.

    Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao.

    Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi.

    Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani.

    Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"*

    Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao.

    Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua.

    Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.*

    Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu .

    Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa.

    Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki

    Yeremia 28:9
    *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.*

    Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli .

    *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa*


    Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu.

    Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga.

    Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake.

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden)

    Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340

    #build new eden
    #Restoremenposition
    13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI. Torati 13:1-2 *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo* Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani . *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.* Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*. *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.* Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi . (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona ) *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.* Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani* Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi . Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo. Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana . Ukisoma Yeremia 28: Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo . , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15) Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo. Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao. Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi. Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani. Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"* Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao. Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua. Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.* Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu . Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa. Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki Yeremia 28:9 *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.* Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli . *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa* Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu. Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga. Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake. Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden) Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340 #build new eden #Restoremenposition
    0 Comments ·0 Shares ·697 Views
  • 10/21 Nguvu za Mungu.

    Huwezi kumuona Mungu ikiwa tu hufanyi mapenzi yake .

    Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuona kanisa linamju Mungu katika eneo la msamaha.

    Nguvu za Mungu zinatafutwa na muamini anaye zihitaji .

    Zaburi 105:4

    *Mtakeni BWANA na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote*

    Ukiona maandiko yameweka wazi kabisa kwamba nguvu za Mungu ili uzipate lazima uzitake kwa kuomba, kusoma neno na kulitafakari na kuzidi kutenda wema.

    *Watu wengi tunachanganya mambo tunazani ukiokoka tu nguvu za Mungu utakuwa nazo kitu ambacho si kweli .*

    Mitume walio fanya kazi na Yesu bdo yesu aliwapa maelekezo ya kupata nguvu zake kupitia msaada wa roho mtakatifu lakini pia walikutwa wanaomba .

    Walipokea nguvu wakati wakiendelea na maombi.

    Matendo 1:8 SUV
    *Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”*

    Kumbe maombi ndiyo siri ya kupata nguvu za kuweza kukusaidia hata kishinda majaribu.

    *Kadiri unavyo weza mtafuta Mungu katika kuongezeka nguvu zake ndivyo unavyo jisogeza mbali na majaribu na mitego ya majaribu.*

    Yesu alishinda jaribu kwa kuwa alikuwa mtu wa maombi muda wake wote aliokuwepo duniani.
    Luka 5
    *Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani*
    Kumbe alipata kumshinda shetani katika jaribu zote kwa sababu tu alipata nguvu kipitia zile siku arobaini.

    Sasa kumbe kuna watu sababu ya kukosa nguvu wnazimia kirahisi sana.

    Mithali 24:10
    *Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.*

    *Wokovu ni zaidi ya hapo kwani lazima uamue kuto kuzimia kabisa .*

    Ukiokoka lazima ujifunze kuzitaka nguvu za Mungu kupitia roho takatifu ili usiweze zimia moyo.

    Ni matumaini yangu maombi yanaweza kuwa maisha yetu ili tupate kumuona Mungu.

    Bila maombi uwezi pokea kwani biblia inasema ili *upokee lazima tuombe*

    Na yesu pia anasema *tukeshe katika maombi*

    Nguvu za Mungu ni muhimu sana ili uufurahie wokovu na ahadi za Mungu.

    *Mtafute bwana naye awe shirika nawe ili upate kuishi mapenzi yake .*

    Ahsante sana naitwa mwl.Sylvester Mwakabende (kutoka build new eden )

    #build new eden
    #Restoremenposition
    10/21 Nguvu za Mungu. Huwezi kumuona Mungu ikiwa tu hufanyi mapenzi yake . Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuona kanisa linamju Mungu katika eneo la msamaha. Nguvu za Mungu zinatafutwa na muamini anaye zihitaji . Zaburi 105:4 *Mtakeni BWANA na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote* Ukiona maandiko yameweka wazi kabisa kwamba nguvu za Mungu ili uzipate lazima uzitake kwa kuomba, kusoma neno na kulitafakari na kuzidi kutenda wema. *Watu wengi tunachanganya mambo tunazani ukiokoka tu nguvu za Mungu utakuwa nazo kitu ambacho si kweli .* Mitume walio fanya kazi na Yesu bdo yesu aliwapa maelekezo ya kupata nguvu zake kupitia msaada wa roho mtakatifu lakini pia walikutwa wanaomba . Walipokea nguvu wakati wakiendelea na maombi. Matendo 1:8 SUV *Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”* Kumbe maombi ndiyo siri ya kupata nguvu za kuweza kukusaidia hata kishinda majaribu. *Kadiri unavyo weza mtafuta Mungu katika kuongezeka nguvu zake ndivyo unavyo jisogeza mbali na majaribu na mitego ya majaribu.* Yesu alishinda jaribu kwa kuwa alikuwa mtu wa maombi muda wake wote aliokuwepo duniani. Luka 5 *Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani* Kumbe alipata kumshinda shetani katika jaribu zote kwa sababu tu alipata nguvu kipitia zile siku arobaini. Sasa kumbe kuna watu sababu ya kukosa nguvu wnazimia kirahisi sana. Mithali 24:10 *Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.* *Wokovu ni zaidi ya hapo kwani lazima uamue kuto kuzimia kabisa .* Ukiokoka lazima ujifunze kuzitaka nguvu za Mungu kupitia roho takatifu ili usiweze zimia moyo. Ni matumaini yangu maombi yanaweza kuwa maisha yetu ili tupate kumuona Mungu. Bila maombi uwezi pokea kwani biblia inasema ili *upokee lazima tuombe* Na yesu pia anasema *tukeshe katika maombi* Nguvu za Mungu ni muhimu sana ili uufurahie wokovu na ahadi za Mungu. *Mtafute bwana naye awe shirika nawe ili upate kuishi mapenzi yake .* Ahsante sana naitwa mwl.Sylvester Mwakabende (kutoka build new eden ) #build new eden #Restoremenposition
    0 Comments ·0 Shares ·590 Views
  • (9/21) Kanuni za msamaha.
    Kama tulivyoona awali kuwa msamaha si jambo kimwili bali ni jambo la kiroho.

    *Na kila jambo la kiroho lazima likupe matokeo yaweza kuwa chanya au hasi ila lazima upate matokeo .*

    Aina ya matokeo yanachagizwa na aina ya kanuni uliyo chagua kuifuata ,,,

    Kiufupi msamaha wowote ule lazima uambatane na kanuni za msamaha .

    *Ukijua kanuni za msamaha haitakupa shida kuwa uliye msamehe yeye ajakusamehe.*

    1.msamaha ni jambo la kibinafsi siyo jambo la kundi .
    Ko hatupaswi endeshwa na makundi tunayo ya fahamu bali tunapaswa kujua tu faida ya msamaha na kuuishi huo msamaha.

    Kolosai3:12-13
    *Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe nyinyi*

    2.jizoeze kusamehe hata kama ujaombwa msamaha .

    Matendo ya Mitume 7:59-60
    [59]Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.
    [60] *Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii* . Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake.

    *Stephano aliwaombea heri walio kuwa wanampiga lakini yeye aliona njia salama ni kuwaombea neemea kwa huyu Mungu kwa kuwa tu alijua msamaha ni tabia ya kuingu.*

    3.Jizoeze kusamehe kila wakati pasipo kuhesabu mabaya.

    Jifunze kuwa mtu mwenye moyo wa toba mara zote kwa kusamehe na kusamehewa .

    Mathayo 18:21,23
    [21]Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba?
    [23]Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumwa wake.

    *Ukijengwa na moyo wa msahama unakuwa na moyo safi na lazima ujengwe kwa mazingiera ambayo Mungu anauona moyo wako kama moyo safi usio na mawaa.*

    4.Msamaha ni tabia ya kiungu.

    Bwana anapendezwa na moyo wa toba kwa kuwa yeye ni bwana wa msamahana .

    Moyo uliojaa toba ni rahisi kusamehe wengine .kumbe ili mungu atusamehe makosa yetu lazima na sisi tuwasamehe wengine .

    *Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyo wasamehe walo tukosea .*

    Nazungumza na majasusi wa mbinguni lazima tuwe na moyo wa msamaha katika kuzalisha tanzania ya ndoto ya Mungu wetu.

    *Tanzania ni lango la uamsho lenye mamasihi wa bwana walio itwa kwa jina la mbingu sasa lazima tuishi kwa kujua kuwa tunapaswa kusamehe sana na sana.*

    Ahsante sana naamini kuna kitu kitakujenga katika kuusogelea mwili wa kristo .
    Sylvester Gentleman Mwakabende (build new eden)
    #build new eden
    #restore Men position
    .
    (9/21) Kanuni za msamaha. Kama tulivyoona awali kuwa msamaha si jambo kimwili bali ni jambo la kiroho. *Na kila jambo la kiroho lazima likupe matokeo yaweza kuwa chanya au hasi ila lazima upate matokeo .* Aina ya matokeo yanachagizwa na aina ya kanuni uliyo chagua kuifuata ,,, Kiufupi msamaha wowote ule lazima uambatane na kanuni za msamaha . *Ukijua kanuni za msamaha haitakupa shida kuwa uliye msamehe yeye ajakusamehe.* 1.msamaha ni jambo la kibinafsi siyo jambo la kundi . Ko hatupaswi endeshwa na makundi tunayo ya fahamu bali tunapaswa kujua tu faida ya msamaha na kuuishi huo msamaha. Kolosai3:12-13 *Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe nyinyi* 2.jizoeze kusamehe hata kama ujaombwa msamaha . Matendo ya Mitume 7:59-60 [59]Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu. [60] *Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii* . Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake. *Stephano aliwaombea heri walio kuwa wanampiga lakini yeye aliona njia salama ni kuwaombea neemea kwa huyu Mungu kwa kuwa tu alijua msamaha ni tabia ya kuingu.* 3.Jizoeze kusamehe kila wakati pasipo kuhesabu mabaya. Jifunze kuwa mtu mwenye moyo wa toba mara zote kwa kusamehe na kusamehewa . Mathayo 18:21,23 [21]Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba? [23]Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumwa wake. *Ukijengwa na moyo wa msahama unakuwa na moyo safi na lazima ujengwe kwa mazingiera ambayo Mungu anauona moyo wako kama moyo safi usio na mawaa.* 4.Msamaha ni tabia ya kiungu. Bwana anapendezwa na moyo wa toba kwa kuwa yeye ni bwana wa msamahana . Moyo uliojaa toba ni rahisi kusamehe wengine .kumbe ili mungu atusamehe makosa yetu lazima na sisi tuwasamehe wengine . *Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyo wasamehe walo tukosea .* Nazungumza na majasusi wa mbinguni lazima tuwe na moyo wa msamaha katika kuzalisha tanzania ya ndoto ya Mungu wetu. *Tanzania ni lango la uamsho lenye mamasihi wa bwana walio itwa kwa jina la mbingu sasa lazima tuishi kwa kujua kuwa tunapaswa kusamehe sana na sana.* Ahsante sana naamini kuna kitu kitakujenga katika kuusogelea mwili wa kristo . Sylvester Gentleman Mwakabende (build new eden) #build new eden #restore Men position .
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·657 Views
  • 8/21 NGUVU YA MSAMAHA.

    Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho .

    Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe.
    Efeso 4:32 BHN
    *Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe*

    Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake .

    Lawi 19:18
    *Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.*

    *Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana*

    *Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu*

    Kwanini tunasamehe.

    1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako
    Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea*

    2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako .
    Isaya 59:1-2

    Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia.

    3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali.
    Mathayo 5:23-24

    4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15

    5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako
    mwanzo 37:23-27

    6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine.
    Luka 23:33-34
    Rumi 12:14

    Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu.

    *Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.*

    Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #Restoremenposition
    8/21 NGUVU YA MSAMAHA. Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho . Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe. Efeso 4:32 BHN *Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe* Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake . Lawi 19:18 *Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.* *Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana* *Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu* Kwanini tunasamehe. 1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea* 2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako . Isaya 59:1-2 Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia. 3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali. Mathayo 5:23-24 4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15 5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako mwanzo 37:23-27 6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine. Luka 23:33-34 Rumi 12:14 Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu. *Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.* Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #Restoremenposition
    0 Comments ·0 Shares ·544 Views
  • MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·724 Views
  • 6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI.

    Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi .
    Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu.

    1samweli 2:2
    *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu*

    Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu .

    Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake .
    Mwanzo 2:27
    *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba*

    Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu.

    Lawi 19:2.
    *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu*

    Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema .

    Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu

    1 Petro 1:15-16
    *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”*
    Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu.
    Yesu mwenyewe anaonyesha
    Mathayo 5:48 NIV
    *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.*

    Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu.

    Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini.

    *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.*

    *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari*

    Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo.

    Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU.

    Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe .

    Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili.

    Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake.

    Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani .

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN

    #build new eden
    #restore men position
    6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI. Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi . Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu. 1samweli 2:2 *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu* Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu . Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake . Mwanzo 2:27 *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba* Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu. Lawi 19:2. *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu* Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa🤣 utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema . Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu 1 Petro 1:15-16 *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”* Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu. Yesu mwenyewe anaonyesha Mathayo 5:48 NIV *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.* Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu. Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini. *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.* *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari* Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo. Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU. Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe . Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili. Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake. Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·590 Views
  • 4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.

    *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*

    *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*

    Zaburi 127:1-2
    *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*

    Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.

    1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako

    Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*

    Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*

    Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.

    2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya

    Zaburi 91:4
    *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
    Zaburi 121:1-4

    Zaburi 34:7
    *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*

    Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .

    *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
    Ayubu 22:21

    *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*

    Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.

    Kutoka 14;14 SUV
    *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*

    Zaburi 23:4
    *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*

    *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*

    *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*

    *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*

    #build new eden
    #restore men position
    4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu. *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.* *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.* Zaburi 127:1-2 *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."* Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja. 1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama* Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote* Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu. 2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya Zaburi 91:4 *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake* Zaburi 121:1-4 Zaburi 34:7 *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.* Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako . *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .* Ayubu 22:21 *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia* Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu. Kutoka 14;14 SUV *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.* Zaburi 23:4 *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda* *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu* *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.* *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.* #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·701 Views
  • MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI.

    *Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.*

    Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu.

    *Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.*

    1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake.

    Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.

    *Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.*

    Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni."

    *Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.*

    Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake.

    2.Neno la mungu lina mamlaka .

    Yohana 1;3-5
    *Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.*

    Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo.

    *Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*,

    Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka .

    *Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.*

    Ebrania 4:12-13
    Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli .
    33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili .

    *Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.*

    Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake.

    Marko 16:17
    *Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya*

    *Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.*

    Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
    #build new eden
    #restore men position
    MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI. *Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.* Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu. *Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.* 1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake. Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. *Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.* Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni." *Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.* Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake. 2.Neno la mungu lina mamlaka . Yohana 1;3-5 *Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.* Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo. *Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*, Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka . *Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.* Ebrania 4:12-13 Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli . 33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili . *Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.* Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake. Marko 16:17 *Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya* *Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.* Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·670 Views
  • 3.Virtue (MKE MWEMA)

    Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema .
    mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato

    Mke mwema lazima awe multitasking.

    Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha.

    Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako .

    Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma.

    *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.*

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340

    #build new eden
    Restoremenposition
    3.Virtue (MKE MWEMA) Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema . mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato Mke mwema lazima awe multitasking. Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha. Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako . Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma. *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.* Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340 #build new eden Restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·715 Views
  • Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake

    1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
    Muhubiri 10:18
    Mithali 19:15

    2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .

    3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.

    2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.


    Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14

    Naombaje .

    1.Omba toba kwa kumaanisha

    2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
    .
    3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)

    4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.

    Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
    #build new eden
    #restore men position
    Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake 1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia. Muhubiri 10:18 Mithali 19:15 2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako . 3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako. 2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia. Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14 Naombaje . 1.Omba toba kwa kumaanisha 2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili . 3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti) 4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike. Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu. #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·607 Views
  • Habari ya jioni ni siku ya tano leo kati ya saba katika mwendelezo wa somo linaloitwa ndoto na namna ya kutafsiri ndoto yako.

    Je umewai kuota ndoto mwanaume wa zamani kabisa wa ujanani au muliachana miaka 6 lakin qnajirudia rudia na saiz umeolewa ni mume wa mtu tayr au mke wa mtu .?
    Nini maana yake ?

    1.Kuna agano la ujanani uliingia na huyo mwanamke au mwanaume na ujatoka kwenye agano hilo kiroho.

    Zaburi 25:7 "usiyakumbuke makosa ya ujanani"

    Makosa hayo yamepelekea kufungwa na kukunajusi wewe katika ulimwengu wa roho.

    Naombaje

    1.Omba toba juu ya uovu wa ujanani .

    2.Omba maombi maalumu ya kujitenga na maagano ya ujanani .

    3.Muone kuhani aliye pakwa mafuta na Bwana kwa msada zaidi.

    Ahsante sana kwa majina naitwa sylvester Mwakabende wa (Build new eden)

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Habari ya jioni ni siku ya tano leo kati ya saba katika mwendelezo wa somo linaloitwa ndoto na namna ya kutafsiri ndoto yako. Je umewai kuota ndoto mwanaume wa zamani kabisa wa ujanani au muliachana miaka 6 lakin qnajirudia rudia na saiz umeolewa ni mume wa mtu tayr au mke wa mtu .? Nini maana yake ? 1.Kuna agano la ujanani uliingia na huyo mwanamke au mwanaume na ujatoka kwenye agano hilo kiroho. Zaburi 25:7 "usiyakumbuke makosa ya ujanani" Makosa hayo yamepelekea kufungwa na kukunajusi wewe katika ulimwengu wa roho. Naombaje 1.Omba toba juu ya uovu wa ujanani . 2.Omba maombi maalumu ya kujitenga na maagano ya ujanani . 3.Muone kuhani aliye pakwa mafuta na Bwana kwa msada zaidi. Ahsante sana kwa majina naitwa sylvester Mwakabende wa (Build new eden) #Build new eden #Restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·692 Views
More Results