• 3.Virtue (MKE MWEMA)

    Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema .
    mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato

    Mke mwema lazima awe multitasking.

    Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha.

    Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako .

    Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma.

    *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.*

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340

    #build new eden
    Restoremenposition
    3.Virtue (MKE MWEMA) Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema . mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato Mke mwema lazima awe multitasking. Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha. Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako . Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma. *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.* Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340 #build new eden Restoremenposition
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·23 Views
  • Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake

    1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
    Muhubiri 10:18
    Mithali 19:15

    2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .

    3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.

    2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.


    Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14

    Naombaje .

    1.Omba toba kwa kumaanisha

    2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
    .
    3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)

    4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.

    Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
    #build new eden
    #restore men position
    Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake 1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia. Muhubiri 10:18 Mithali 19:15 2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako . 3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako. 2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia. Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14 Naombaje . 1.Omba toba kwa kumaanisha 2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili . 3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti) 4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike. Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu. #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·34 Views
  • Habari ya jioni ni siku ya tano leo kati ya saba katika mwendelezo wa somo linaloitwa ndoto na namna ya kutafsiri ndoto yako.

    Je umewai kuota ndoto mwanaume wa zamani kabisa wa ujanani au muliachana miaka 6 lakin qnajirudia rudia na saiz umeolewa ni mume wa mtu tayr au mke wa mtu .?
    Nini maana yake ?

    1.Kuna agano la ujanani uliingia na huyo mwanamke au mwanaume na ujatoka kwenye agano hilo kiroho.

    Zaburi 25:7 "usiyakumbuke makosa ya ujanani"

    Makosa hayo yamepelekea kufungwa na kukunajusi wewe katika ulimwengu wa roho.

    Naombaje

    1.Omba toba juu ya uovu wa ujanani .

    2.Omba maombi maalumu ya kujitenga na maagano ya ujanani .

    3.Muone kuhani aliye pakwa mafuta na Bwana kwa msada zaidi.

    Ahsante sana kwa majina naitwa sylvester Mwakabende wa (Build new eden)

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Habari ya jioni ni siku ya tano leo kati ya saba katika mwendelezo wa somo linaloitwa ndoto na namna ya kutafsiri ndoto yako. Je umewai kuota ndoto mwanaume wa zamani kabisa wa ujanani au muliachana miaka 6 lakin qnajirudia rudia na saiz umeolewa ni mume wa mtu tayr au mke wa mtu .? Nini maana yake ? 1.Kuna agano la ujanani uliingia na huyo mwanamke au mwanaume na ujatoka kwenye agano hilo kiroho. Zaburi 25:7 "usiyakumbuke makosa ya ujanani" Makosa hayo yamepelekea kufungwa na kukunajusi wewe katika ulimwengu wa roho. Naombaje 1.Omba toba juu ya uovu wa ujanani . 2.Omba maombi maalumu ya kujitenga na maagano ya ujanani . 3.Muone kuhani aliye pakwa mafuta na Bwana kwa msada zaidi. Ahsante sana kwa majina naitwa sylvester Mwakabende wa (Build new eden) #Build new eden #Restoremenposition
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·154 Views
  • WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ?

    Yohana 8:3-11
    Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu .

    *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .*

    Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika.

    *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.*

    *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.*
    Yohana 8:7
    [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

    Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu.

    *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao*

    Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena*

    Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa.

    Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo.

    Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo.

    *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.*

    *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,*

    Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo.

    Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni
    kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu..

    Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza.

    Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN

    #RESTORE MEN POSITION
    WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ? Yohana 8:3-11 Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu . *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .* Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika. *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.* *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.* Yohana 8:7 [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu. *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao* Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena* Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa. Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo. Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo. *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.* *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,* Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo. Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu.. Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza. Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN #RESTORE MEN POSITION
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·154 Views
  • THANK YOU.

    Luke 17:11-19
    We look at the story of the ten lepers who were all healed.

    However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus.

    Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?"

    This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks.

    What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart."

    In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level.

    He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19)

    So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus.

    With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward.

    If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?"

    This is where you understand that giving thanks is a way to praise God.

    "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9)

    To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful."

    After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21)

    To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57)

    After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2)

    Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7)

    You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards.

    My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340.


    #buildneweden

    ##restoremenposition
    THANK YOU. Luke 17:11-19 We look at the story of the ten lepers who were all healed. However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus. Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?" This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks. What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart." In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level. He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19) So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus. With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward. If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?" This is where you understand that giving thanks is a way to praise God. "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9) To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful." After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21) To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57) After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2) Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7) You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards. My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340. #buildneweden ##restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·216 Views
  • TUTAREJEA KATIKA UIMARA WETU, NIAMINI - PACOME
    Mchezaji wa Yanga @pacom_zouzoua kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika

    "Habari za jioni, hivi karibuni klabu yetu imekuwa katika nyakati ngumu kwa kufungwa mfululizo, lakini niwahakikishie kuwa msimu ni mrefu sana na lazima tujifunze kutokana na vipigo vyetu ili tuweze kurejea Imara , si rahisi kwa shabiki kuuona timu yake aipendayo inafungwa kwa mara kwa mara hili tunalifahamu kwa sababu hatujawazoesha wapendwa Wananchi,

    lakini nawaahidi kuwa tutapambana kwelikweli, tutapambana kama msimu uliopita ili kurudisha heshima ya klabu bora nchini... sisi tutarejea katika muda uliopangwa ujao, niamini.
    Tunashindwa pamoja na tunashinda pamoja.

    Asanteni wapendwa Wananchi

    Profesa"

    Kwa lugha ya Kingereza

    Good evening everyone, lately, the club has been going through difficult times with successive defeats, but I assure you that the season is very long and we must learn from our defeats to bounce back, it is not easy for a supporter to see his favorite team chain defeats after defeats, we are aware of this because we have not accustomed you to this dear Citizens, but I promise you that we will really fight, fight like last season to restore the reputation of the best club in the country ... we will bounce back in the upcoming deadlines, believe me.
    We lose together and we win together.

    Thank you dear Wananchi

    The professor
    TUTAREJEA KATIKA UIMARA WETU, NIAMINI - PACOME Mchezaji wa Yanga @pacom_zouzoua kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika "Habari za jioni, hivi karibuni klabu yetu imekuwa katika nyakati ngumu kwa kufungwa mfululizo, lakini niwahakikishie kuwa msimu ni mrefu sana na lazima tujifunze kutokana na vipigo vyetu ili tuweze kurejea Imara , si rahisi kwa shabiki kuuona timu yake aipendayo inafungwa kwa mara kwa mara hili tunalifahamu kwa sababu hatujawazoesha wapendwa Wananchi, lakini nawaahidi kuwa tutapambana kwelikweli, tutapambana kama msimu uliopita ili kurudisha heshima ya klabu bora nchini... sisi tutarejea katika muda uliopangwa ujao, niamini. Tunashindwa pamoja na tunashinda pamoja. Asanteni wapendwa Wananchi 💚💛 Profesa✅" Kwa lugha ya Kingereza Good evening everyone, lately, the club has been going through difficult times with successive defeats, but I assure you that the season is very long and we must learn from our defeats to bounce back, it is not easy for a supporter to see his favorite team chain defeats after defeats, we are aware of this because we have not accustomed you to this dear Citizens, but I promise you that we will really fight, fight like last season to restore the reputation of the best club in the country ... we will bounce back in the upcoming deadlines, believe me. We lose together and we win together. Thank you dear Wananchi 💚💛 The professor✅
    Like
    Love
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·970 Views