• NENO LA LEO(MKABIZI MUNGU HAJA ZAKO)
    Mithali 16:3-4
    [3]Mkabidhi BWANA kazi zako,
    Na mawazo yako yatathibitika.
    [4]BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake;

    Ukimkabizi BWANA Mambo yako ,maana yake unataka Mungu aingilie kati kila jambo lako na kila jambo langu pia.

    Na tunakubaliana MUNGU ndo mwenye sababu ya uzima na kusudi letu la kuishi,k ukimkabizi maisha yako maana yake unataka Bwana aamue kuingilia kusudi lako na kulisimamia.

    1 Mambo ya Nyakati 17:27
    kwa hiyo nakuomba uibariki nyumba yangu, mimi mtumishi wako, ili idumu milele mbele yako; kwani unachobariki wewe, huwa kimebarikiwa milele..

    Tukimkabizi Mungu vitu vyetu akivizingira na kuvibariki vinadumu milele yote .

    Natamani sote tumpe Mungu na kumkabizi kila jambo kwetu ili Mungu aingilie kati maisha yetu .

    Na nikisema kumkabizi Bwana, namaanisha kwamba kuongozwa na Bwana na kupiga hatua katika maisha yako.

    Nakuombea Mungu akuongoze katika kila jambo na kila jambo liwe linaanza na Mungu wako.

    Nikutakie asubui njema na siku njema.

    Kwa mafundisho zaidi jiunge na link hapo chini

    https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ndio_wale_tunao piganiwa_na_Bwana.
    NENO LA LEO(MKABIZI MUNGU HAJA ZAKO) Mithali 16:3-4 [3]Mkabidhi BWANA kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika. [4]BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Ukimkabizi BWANA Mambo yako ,maana yake unataka Mungu aingilie kati kila jambo lako na kila jambo langu pia. Na tunakubaliana MUNGU ndo mwenye sababu ya uzima na kusudi letu la kuishi,k ukimkabizi maisha yako maana yake unataka Bwana aamue kuingilia kusudi lako na kulisimamia. 1 Mambo ya Nyakati 17:27 kwa hiyo nakuomba uibariki nyumba yangu, mimi mtumishi wako, ili idumu milele mbele yako; kwani unachobariki wewe, huwa kimebarikiwa milele.. Tukimkabizi Mungu vitu vyetu akivizingira na kuvibariki vinadumu milele yote . Natamani sote tumpe Mungu na kumkabizi kila jambo kwetu ili Mungu aingilie kati maisha yetu . Na nikisema kumkabizi Bwana, namaanisha kwamba kuongozwa na Bwana na kupiga hatua katika maisha yako. Nakuombea Mungu akuongoze katika kila jambo na kila jambo liwe linaanza na Mungu wako. Nikutakie asubui njema na siku njema. Kwa mafundisho zaidi jiunge na link hapo chini https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ndio_wale_tunao piganiwa_na_Bwana.
    0 Comments 0 Shares 66 Views
  • Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza.

    #Warumi 7:18-19
    [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.

    [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
    .
    Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini.

    Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa.

    #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako.

    #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka.

    #Mwanzo 39:11-12
    [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani;

    [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.

    Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa

    1 Wakorintho 6:18
    [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

    #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata .

    Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una.

    Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi.

    Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena

    #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani.

    Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi.

    Isaya 6:5-7
    [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.

    [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;

    [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.

    Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake.

    MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)

    #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.
    Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza. #Warumi 7:18-19 [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati. [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo. . Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini. Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa. #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako. #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka. #Mwanzo 39:11-12 [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani; [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje. Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa 1 Wakorintho 6:18 [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata . Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una. Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi. Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani. Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi. Isaya 6:5-7 [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi. [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu; [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa. Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake. MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.
    0 Comments 0 Shares 207 Views
  • NENO LA SIKU

    Isaya 43:18–19
    Msiyakumbuke ya kale, wala msiyatafakari ya zamani. Tazama, nitatenda jambo jipya; sasa litachipuka; je, hamtalijua? Nitaweka njia nyikani, na mito jangwani.

    Bwana anatutaka tumtazame yeye katika kila jambo ,

    Background,hadithi za zamani zisitufanye tujione kama wakosefu sana kiasi cha kushundwa kuomba tena.

    Historia ya familia unayo tokea isikufanye ujione kama uwezi kufanya jambo kubwa kesho ,Bwana anasema atafanya jambo jipya usilo liweza , atafanya mambo makuu usiyo yafikiri fikiri.

    Bwana anasema hivi tusitafakari juu ya njia zetu mbovu za kale badala yake tumuombe yeye tu afanye jambo jipya.

    BWANA akatende jambo jipya kwenye maisha yako na maisha yangu pia katika jina la YESU

    Yale yote tusiyo yaweza Bwana akatupe kusimama tena na kuyafanya kwa ukubwa Sana kwa kuwa mwaka umeanza kwa nguvu mpya naakiri mpya.

    2 Wakorintho 5:17
    [17]Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.

    Natamani jambo jipya kwetu kama Yesu alivyo tufanya tuwe viumbe vipya ndivyo jambo jipya lizaliwe katika maisha yetu.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ ndio_ wale_tunao_piganiwa_na _Bwana.
    NENO LA SIKU Isaya 43:18–19 Msiyakumbuke ya kale, wala msiyatafakari ya zamani. Tazama, nitatenda jambo jipya; sasa litachipuka; je, hamtalijua? Nitaweka njia nyikani, na mito jangwani. Bwana anatutaka tumtazame yeye katika kila jambo , Background,hadithi za zamani zisitufanye tujione kama wakosefu sana kiasi cha kushundwa kuomba tena. Historia ya familia unayo tokea isikufanye ujione kama uwezi kufanya jambo kubwa kesho ,Bwana anasema atafanya jambo jipya usilo liweza , atafanya mambo makuu usiyo yafikiri fikiri. Bwana anasema hivi tusitafakari juu ya njia zetu mbovu za kale badala yake tumuombe yeye tu afanye jambo jipya. BWANA akatende jambo jipya kwenye maisha yako na maisha yangu pia katika jina la YESU Yale yote tusiyo yaweza Bwana akatupe kusimama tena na kuyafanya kwa ukubwa Sana kwa kuwa mwaka umeanza kwa nguvu mpya naakiri mpya. 2 Wakorintho 5:17 [17]Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. Natamani jambo jipya kwetu kama Yesu alivyo tufanya tuwe viumbe vipya ndivyo jambo jipya lizaliwe katika maisha yetu. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ ndio_ wale_tunao_piganiwa_na _Bwana.
    0 Comments 0 Shares 168 Views
  • Sumary ya kile tulicho jifunza .

    Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026.

    Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU.

    Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu.

    Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu.

    #Mithali 8:4

    Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako

    Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha.

    Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha .

    Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu

    Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana.

    Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida.

    Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua.
    #Torati 4:35-36

    Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani.

    https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf

    #2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
    Sumary ya kile tulicho jifunza . Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026. ⏩Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU. ⏩Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu. ⏩Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu. #Mithali 8:4 ⏩Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako ⏩Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha. ⏩Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha . ⏩Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu ⏩Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana. ⏩Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida. Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua. #Torati 4:35-36 Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani. https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf #2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
    0 Comments 0 Shares 196 Views
  • INUKA WEWE!!
    luka 8:51-56
    Kisa cha mtoto wa mkuu wa sinagogi ambaye alikuja kumuomba Yesu akamponye mtoto wake lakini kabla hata hajaenda walimletea taarifa kuwa binti yake amefariki tayari.

    Yesu kabla ajaenda kwake anamwambia mambo mawili makubwa *usiwe na hofu* na *Amini tu* mtoto wako ataponywa.

    Kumbuka huyu mtoto amekufa anawakuta wanalia anawambia msilie wao wanamcheka na sababu ya kumcheka ni wanauhakika kuwa amekufa tayari.

    Lakini Yesu anamshika anamwita yule mtoto anainuka.

    Nini ninacho jiuliza kwanini Yesu asemi fufuka anamwita kwa kumuamsha pia alifanya hivyo kwa Lazaro aliye kaa kaburini siku nne.

    Najifunza nini
    Kufa ni usingizi wa milele lakini ikitokea nguvu kubwa kuliko maiti inaweza kuamshwa kwa kuitwa na ikasikia.

    Kuna sehemu watu walio kufa au vitu vinavyo kufa huwa vinahifadhiwa sauti yako ikifanikiwa kupenya mpaka kwenye eneo hilo kitu kinarudi hai tena.

    Kumbe mahusiano,ndoa ,kazi , biashara iliyokufa inahitaji mtu aiite kwa sauti na mamlaka ili irudi kuwa hai tena.

    Hakuna kinacho kufa harafu hakiwezi kurudi kwa kuwa kinakuwa kimelala na kchochote kilicho lala kinaweza kuamshwa tena

    Tunakubaliana sote kila kazi yangu ambayo katika ulimwengu wa damu na nyama ikaonekana imekufa naiamsha tena kwa kuiita kwa sautu kuu INUKA ,INUKA ,INUKA KATIKA JINA LA YESU.

    Nakuombea nawe pia kila mahusiano,ndoa ,iliyo kuwa imekufa nayaamsha tena amka katika jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

    SEMA NAMI AMKA ,AMKA,MKA EWE BIASHARA,EWE NDOA ,EWE KIBALI,EWE HUDUMA,EWE KARAMA ,EWE NDOA ,EWE MCHUMBA ULIYE LALA YESU ANAKUITA ANASEMA AMKA ,AMKA ,AMKA KATIKA JINA NA UWEZA WA DAMU YAKE KRISTO YESU WA NAZARETH.

    Namuona mtu mmoja anakwenda kunyanyuka na kuinuka tena kutoka katika usingizi mzito aliyo kuwa amelala ,2026 utanyanyuka tena na kufufuka tena kwa mbio mpya ,unakwenda kuwa na njaa ya mafanikio kwa ukubwa kiwango ambacho mbingu itashindwa kujizuia kukuahibisha mema na matunda yake kwa jina la Yesu.

    Nimetumwa nikwambie kuwa.

    Warumi 8:11
    [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.

    Sema lazima nitafufuka tena kwa sababu roho yule yule aliye mfufua Kristi ndiye atakaye uisha karama na huduma yangu iliyo katika hali ya kufa.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ndiyo_wale_tunao_piganiwa_na_Bwaan
    INUKA WEWE!! luka 8:51-56 Kisa cha mtoto wa mkuu wa sinagogi ambaye alikuja kumuomba Yesu akamponye mtoto wake lakini kabla hata hajaenda walimletea taarifa kuwa binti yake amefariki tayari. Yesu kabla ajaenda kwake anamwambia mambo mawili makubwa *usiwe na hofu* na *Amini tu* mtoto wako ataponywa. Kumbuka huyu mtoto amekufa anawakuta wanalia anawambia msilie wao wanamcheka na sababu ya kumcheka ni wanauhakika kuwa amekufa tayari. Lakini Yesu anamshika anamwita yule mtoto anainuka. Nini ninacho jiuliza kwanini Yesu asemi fufuka anamwita kwa kumuamsha pia alifanya hivyo kwa Lazaro aliye kaa kaburini siku nne. Najifunza nini ⏩ Kufa ni usingizi wa milele lakini ikitokea nguvu kubwa kuliko maiti inaweza kuamshwa kwa kuitwa na ikasikia. ⏩Kuna sehemu watu walio kufa au vitu vinavyo kufa huwa vinahifadhiwa sauti yako ikifanikiwa kupenya mpaka kwenye eneo hilo kitu kinarudi hai tena. Kumbe mahusiano,ndoa ,kazi , biashara iliyokufa inahitaji mtu aiite kwa sauti na mamlaka ili irudi kuwa hai tena. ⏩Hakuna kinacho kufa harafu hakiwezi kurudi kwa kuwa kinakuwa kimelala na kchochote kilicho lala kinaweza kuamshwa tena Tunakubaliana sote kila kazi yangu ambayo katika ulimwengu wa damu na nyama ikaonekana imekufa naiamsha tena kwa kuiita kwa sautu kuu INUKA ,INUKA ,INUKA KATIKA JINA LA YESU. Nakuombea nawe pia kila mahusiano,ndoa ,iliyo kuwa imekufa nayaamsha tena amka katika jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. SEMA NAMI AMKA ,AMKA,MKA EWE BIASHARA,EWE NDOA ,EWE KIBALI,EWE HUDUMA,EWE KARAMA ,EWE NDOA ,EWE MCHUMBA ULIYE LALA YESU ANAKUITA ANASEMA AMKA ,AMKA ,AMKA KATIKA JINA NA UWEZA WA DAMU YAKE KRISTO YESU WA NAZARETH. Namuona mtu mmoja anakwenda kunyanyuka na kuinuka tena kutoka katika usingizi mzito aliyo kuwa amelala ,2026 utanyanyuka tena na kufufuka tena kwa mbio mpya ,unakwenda kuwa na njaa ya mafanikio kwa ukubwa kiwango ambacho mbingu itashindwa kujizuia kukuahibisha mema na matunda yake kwa jina la Yesu. Nimetumwa nikwambie kuwa. Warumi 8:11 [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu. Sema lazima nitafufuka tena kwa sababu roho yule yule aliye mfufua Kristi ndiye atakaye uisha karama na huduma yangu iliyo katika hali ya kufa. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ndiyo_wale_tunao_piganiwa_na_Bwaan
    0 Comments 0 Shares 315 Views
  • NENO LA SIKU.

    NAKUOMBEA SIKU YA LEO IKAWE SIKU YA KUFUJGULIWA KWA MALANGO YAKOPANDE ZOTE NNE ZA NCHI.

    BWANA AKAFUNGUE MALANGO YAKO YA FURSA ,MALANGO YAKO YA NDOA ,MALANGO YAKO YA UCHUMI,MALANGO YAKO YA BISHARA .

    Isaya 60:11
    [11]Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;
    Hayatafungwa mchana wala usiku;
    Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa,
    Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao.

    MALANGO YAKO YAWE WAZI WAKATI HUO HUO MUNGU AKUSOGEZEEE WATU SAHIHI AMBAO WATAKUJA KUKULETEA UTAJIRI KONA ZOTE ZA NCHI.

    MUNGU AKAKUFANYE KUWA SUMAKU INAYO WEZA KUVUTA WATU WA MAANA WAKATI MALANGO YAKO YAKO WAZI.

    Isaya 60:14

    [14]Na wana wa watu wale waliokutesa
    Watakuja kwako na kukuinamia;
    Nao wote waliokudharau
    Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako;
    Nao watakuita, Mji wa BWANA,
    Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli.

    KILA ADUI YAKO ALIYE KUTESA ATAANGUKA MBELE YAKO NA WEWE UTASHUHUDIA WAZI WAZI NAWE UTASEMA BWANA KANILETEA MFALME WA SIHONI NIMPIGE MBELE YANGU

    NA BAADA TU YA KUMPIGA MALANGO YATAANZA KUWA WAZI WAKATI WOTE NA WAFALME KUTOKA MBALI YA NCHI WATAKUSANYANA WAKITAKA KUJUA KUKUONA WAKIAMBIANA YULE NDIYE BWANA ALIYE MBARIKI NA KUMPA MILKI YOTE YA NCHI HII.

    Sylvester Mwakabende
    0622625340
    #2026_SISI_NDOO_WALE_TUNAO PIGANIWA_NA _BWANA.
    NENO LA SIKU. NAKUOMBEA SIKU YA LEO IKAWE SIKU YA KUFUJGULIWA KWA MALANGO YAKOPANDE ZOTE NNE ZA NCHI. BWANA AKAFUNGUE MALANGO YAKO YA FURSA ,MALANGO YAKO YA NDOA ,MALANGO YAKO YA UCHUMI,MALANGO YAKO YA BISHARA . Isaya 60:11 [11]Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao. MALANGO YAKO YAWE WAZI WAKATI HUO HUO MUNGU AKUSOGEZEEE WATU SAHIHI AMBAO WATAKUJA KUKULETEA UTAJIRI KONA ZOTE ZA NCHI. MUNGU AKAKUFANYE KUWA SUMAKU INAYO WEZA KUVUTA WATU WA MAANA WAKATI MALANGO YAKO YAKO WAZI. Isaya 60:14 [14]Na wana wa watu wale waliokutesa Watakuja kwako na kukuinamia; Nao wote waliokudharau Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako; Nao watakuita, Mji wa BWANA, Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli. KILA ADUI YAKO ALIYE KUTESA ATAANGUKA MBELE YAKO NA WEWE UTASHUHUDIA WAZI WAZI NAWE UTASEMA BWANA KANILETEA MFALME WA SIHONI NIMPIGE MBELE YANGU NA BAADA TU YA KUMPIGA MALANGO YATAANZA KUWA WAZI WAKATI WOTE NA WAFALME KUTOKA MBALI YA NCHI WATAKUSANYANA WAKITAKA KUJUA KUKUONA WAKIAMBIANA YULE NDIYE BWANA ALIYE MBARIKI NA KUMPA MILKI YOTE YA NCHI HII. Sylvester Mwakabende 0622625340 #2026_SISI_NDOO_WALE_TUNAO PIGANIWA_NA _BWANA.
    0 Comments 0 Shares 333 Views
  • Kumbukumbu la Torati 4:20
    [20]Bali BWANA amewatwaa ninyi, na kuwatoa katika tanuu ya chuma, katika Misri, mpate kuwa watu wa urithi kwake, kama mlivyo leo hivi.

    BWANA AMEKUTWAA WEWE KUWA MTU WAKE ILI UPATE KUMSIFU ,KUMTUKUZA NA KUMWABUDU YEYE PEKE YAKE.

    NA BWANA NAWE PIA AKAKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA LA MISRI ILI UPATE KUISHI NA KUMTAFUTA BWANA MUNGU KATIKA KILA JAMBO.

    INAWEZEKANA MAHUSIANO,NDOA ,BIASHARA,WATU WAKAUGEUKA KUWA TANUU LA CHUMA LAKINI BWANA AMEKWITA KWA JINA LAKE ILI AKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA KATIKA MISRI.

    NA BWANA AKUTOE KATIKA TANURU LA CHUMA LA MISRI YAKO KATIKA JINA L YESU.

    NA MBINGU ZIKUONE KAMA MMOJA WA WARITHI WA AHADI ZA BWANA KATIKA JINA LA YESU.

    Sylvester Elia Gentleman
    Build new eden
    #2026_SISI_NDIO_WALE_WANAO_PIGANIWA_NA _ BWANA.

    @everyone
    Kumbukumbu la Torati 4:20 [20]Bali BWANA amewatwaa ninyi, na kuwatoa katika tanuu ya chuma, katika Misri, mpate kuwa watu wa urithi kwake, kama mlivyo leo hivi. BWANA AMEKUTWAA WEWE KUWA MTU WAKE ILI UPATE KUMSIFU ,KUMTUKUZA NA KUMWABUDU YEYE PEKE YAKE. NA BWANA NAWE PIA AKAKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA LA MISRI ILI UPATE KUISHI NA KUMTAFUTA BWANA MUNGU KATIKA KILA JAMBO. INAWEZEKANA MAHUSIANO,NDOA ,BIASHARA,WATU WAKAUGEUKA KUWA TANUU LA CHUMA LAKINI BWANA AMEKWITA KWA JINA LAKE ILI AKUTOE KATIKA TANUU LA CHUMA KATIKA MISRI. NA BWANA AKUTOE KATIKA TANURU LA CHUMA LA MISRI YAKO KATIKA JINA L YESU. NA MBINGU ZIKUONE KAMA MMOJA WA WARITHI WA AHADI ZA BWANA KATIKA JINA LA YESU. Sylvester Elia Gentleman Build new eden #2026_SISI_NDIO_WALE_WANAO_PIGANIWA_NA _ BWANA. @everyone
    0 Comments 0 Shares 322 Views