• 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tariq Lamptey amejiunga na Fiorentina hadi 2030, baada ya mkataba wake kutamatika Brighton.
    🚨🇬🇭💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tariq Lamptey amejiunga na Fiorentina hadi 2030, baada ya mkataba wake kutamatika Brighton.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·15 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dili la Victor Boniface (24) kwenda Milan! rasmi limekufa baada ya straika huyo kufeli vipimo vya afya
    🚨🇳🇬 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dili la Victor Boniface (24) kwenda Milan! rasmi limekufa baada ya straika huyo kufeli vipimo vya afya ❌
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·41 Views
  • Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League

    🎙"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu"

    Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani.

    Hii inaonyesha tu kujitolea kwake."

    Humble N'golo


    #SportsElite
    😄📱🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League 🎙"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu" Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani. Hii inaonyesha tu kujitolea kwake." Humble N'golo #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·137 Views
  • OFFICIAL : Baada ya Kufanyiwa Upasuaji wa Goti sasa Romelu Lukaku atakuwa njee kwa miezi minne.

    Source Sky Sports

    #SportsElite
    🚨 OFFICIAL : Baada ya Kufanyiwa Upasuaji wa Goti sasa Romelu Lukaku atakuwa njee kwa miezi minne. Source Sky Sports #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·126 Views
  • BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand..

    Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand.. Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·164 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe.

    Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena

    Source Mike Keagan

    #SportsElite
    🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe. Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena Source Mike Keagan #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·104 Views
  • | Girona imeonesha nia ya kumuhitaji golikipa Iñaki Peña,baada ya golikipa wao Gazzaniga kufanya vibaya mechi iliyopita.

    Barça inapanga kumuongeza mkataba golikipa huyo ndipo imtoe kwa mkopo.
    Thamani yake ni €4M, kwa klabu yoyote itakayo muhitaji .

    Pia Barça itamuingiza kwenye mfumo Szczesny

    Via (): @alexlunafut [MD]

    #FCBlive #Transfers

    #SportsElite
    🚨🇪🇸 | Girona imeonesha nia ya kumuhitaji golikipa Iñaki Peña,baada ya golikipa wao Gazzaniga kufanya vibaya mechi iliyopita. 🔵🔴 Barça inapanga kumuongeza mkataba golikipa huyo ndipo imtoe kwa mkopo. 💰 Thamani yake ni €4M, kwa klabu yoyote itakayo muhitaji . 👉 Pia Barça itamuingiza kwenye mfumo Szczesny 📎 Via (🟢): @alexlunafut [MD] #FCBlive #Transfers #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·123 Views
  • Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026.
    Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho.
    De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi.

    Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja.


    #SportsElite
    🚨🚨Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026. Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho. De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi. Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·92 Views
  • Klabu ya Strasbourg imeandika historia kwa kuwa timu ya kwanza katika ligi kubwa tano barani Ulaya kuanza mchezo ikiwa na wachezaji kumi na moja wote waliozaliwa katika karne ya 21 (baada ya mwaka 2000).

    Tukio hilo lilitokea katika mchezo wao dhidi ya Metz ambapo Strasbourg ilishinda bao 1-0, shukrani kwa bao la Joaquín Panichelli dakika ya 86.

    Kikosi kilichoipeleka Strasbourg kwenye historia hiyo kilikuwa na vijana wenye umri kati ya miaka 19 hadi 22 pekee.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Strasbourg imeandika historia kwa kuwa timu ya kwanza katika ligi kubwa tano barani Ulaya kuanza mchezo ikiwa na wachezaji kumi na moja wote waliozaliwa katika karne ya 21 (baada ya mwaka 2000). Tukio hilo lilitokea katika mchezo wao dhidi ya Metz ambapo Strasbourg ilishinda bao 1-0, shukrani kwa bao la Joaquín Panichelli dakika ya 86. Kikosi kilichoipeleka Strasbourg kwenye historia hiyo kilikuwa na vijana wenye umri kati ya miaka 19 hadi 22 pekee. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·134 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze.

    Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda

    Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners.

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze. Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·128 Views
  • Mshambuliaji wa Atalanta Ademola Lookman amerudi kwenye uwanja wa mazoezi katika klabu yake ya Atalanta baada ya dili lake la kwenda Inter Milan kufeli.

    Mnigeria huyo alitaka kujiunga na Inter lakini hakuna makubaliano yaliyofikiwa na Atalanta, hivyo hatua hiyo imeshindikana.

    Lookman sasa amerejea katika uwanja wa mazoezi wa Atalanta na itabidi azungumze na klabu na kocha kurekebisha uhusiano uliokuwepo hapo awali kwani aligomea mazoezi akishinikiza kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo Sky Sport)


    #SportsElite
    🚨🔵⚪Mshambuliaji wa Atalanta Ademola Lookman amerudi kwenye uwanja wa mazoezi katika klabu yake ya Atalanta baada ya dili lake la kwenda Inter Milan kufeli. Mnigeria huyo alitaka kujiunga na Inter lakini hakuna makubaliano yaliyofikiwa na Atalanta, hivyo hatua hiyo imeshindikana. ❌ Lookman sasa amerejea katika uwanja wa mazoezi wa Atalanta na itabidi azungumze na klabu na kocha kurekebisha uhusiano uliokuwepo hapo awali kwani aligomea mazoezi akishinikiza kuondoka klabuni hapo. (Chanzo Sky Sport) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·80 Views
  • Napoli wanasajili kwa akili kubwa sana...

    Baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kwamba Lukaku hatokuwa sehemu ya kikosi hadi mwezi November kwa sababu ya majeraha, Napoli wamemuibukia Jamie Vardy ambaye ni mchezaji huru kwa sasa.

    Kama dili litakamilika naona hapa Napoli watakuwa wamepata mbadala sahihi kwa kipindi hiki cha mpito ukizingatia hata Vardy ana ufanisi mkubwa sana kwenye umaliziaji.

    Sasa upande KDB af McTomminay na Zambo Anguissa hapo basi akiongezeka Vardy wanaweza kuwa na timu imara ya kupambana kuwania taji la Scudetto tena msimu ujao

    #SportsElite
    🚨🚨Napoli wanasajili kwa akili kubwa sana... Baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kwamba Lukaku hatokuwa sehemu ya kikosi hadi mwezi November kwa sababu ya majeraha, Napoli wamemuibukia Jamie Vardy ambaye ni mchezaji huru kwa sasa. Kama dili litakamilika naona hapa Napoli watakuwa wamepata mbadala sahihi kwa kipindi hiki cha mpito ukizingatia hata Vardy ana ufanisi mkubwa sana kwenye umaliziaji. Sasa upande KDB af McTomminay na Zambo Anguissa hapo basi akiongezeka Vardy wanaweza kuwa na timu imara ya kupambana kuwania taji la Scudetto tena msimu ujao 📌 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·88 Views
  • kutokana na vyanzo mbalimbali vya Kuaminika ni kwamba Man United imeongeza jina la kiungo wa Real Madrid Edward Camavinga baada ya kumkosa Kiungo wa Brighton Baleba mwnye thamani ya €140m

    #SportsElite
    🥴🚨 kutokana na vyanzo mbalimbali vya Kuaminika ni kwamba Man United imeongeza jina la kiungo wa Real Madrid Edward Camavinga baada ya kumkosa Kiungo wa Brighton Baleba mwnye thamani ya €140m #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·57 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Yoane Wissa huwenda akaukosa mchezo wa ufunguzi wa Premier League kati ya Brentford na Nottingham Forest after baada ya kutaka kuondoka klabuni hapo..

    (Source: BBC Sport)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Yoane Wissa huwenda akaukosa mchezo wa ufunguzi wa Premier League kati ya Brentford na Nottingham Forest after baada ya kutaka kuondoka klabuni hapo.. ❌ (Source: BBC Sport) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·230 Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·354 Views
  • Al-Hilal inapanga kulipa kiasi €25M ili kuvunja mkataba wa mshambuliaji Aleksandar Mitrović.

    Msebia huyo huwenda akarudi tena katika ligi ya Uingereza( Premier League) baada ya kuwa mchezaji huru..

    (Source: Al-Kas)

    #SportsElite
    🚨 Al-Hilal inapanga kulipa kiasi €25M ili kuvunja mkataba wa mshambuliaji Aleksandar Mitrović. Msebia huyo huwenda akarudi tena katika ligi ya Uingereza( Premier League) baada ya kuwa mchezaji huru.. (Source: Al-Kas) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·99 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027.

    Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses..

    #SportsElite
    🚨🇬🇭 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027. Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses.. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·136 Views
  • Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake
    🚨💙❤️ Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake🇸🇦
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·110 Views
  • Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M.

    (Source: El Nacional)

    #SportsElite
    🚨 Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M. (Source: El Nacional) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·170 Views
  • Bournemouth ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Amine Adli baada ya kufikia makubaliano binafsi ya mkataba na mchezaji..

    Majadiliano yanaendelea baina ya Bournemouth na Bayer Leverkusen,

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    🚨 Bournemouth ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Amine Adli baada ya kufikia makubaliano binafsi ya mkataba na mchezaji.. Majadiliano yanaendelea baina ya Bournemouth na Bayer Leverkusen, (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·75 Views
Arama Sonuçları