• NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·39 Views
  • Mwanaume Mmoja aliefahamika kwa jina la YayuMusa (27) amekiri kumuua mama mkwe wake, AtayiAbdul (50), kwa kumpiga mapanga hadi kufa huko Olla, Kogi State, Nigeria.
    .
    Tukio lilitokea Julai 25, alipomvizia marehemu akiwa njiani kuelekea shambani. Musa alidai alifanya hivyo kwa sababu mama mkwe wake alitaka kumzuia asiendelee na ndoa na binti yake, licha ya juhudi zake kubwa kuiweka ndoa hiyo hai.
    .
    Baada ya tukio hilo, alikimbia lakini alikamatwa na kikundi cha ulinzi wa jadi. Polisi wanaendelea na uchunguzi.
    .
    Katika video ya mahojiano, #Musa alieleza sababu ya kufanya mauaji hayo..

    “Nilimuua kwa sababu alitaka kunizuia nisimuoe binti yake, Umi Idris. Alinipa binti yake kama mke, na nimetumia fedha zangu zote kuhakikisha ndoa yetu inafanya kazi.”

    “Alikuwa anaendelea kusema mimi si mwanaume kamili na kwamba atamtoa mke wangu kwa mwanaume mwingine kwa sababu hawezi kushika mimba,” alisema.
    .
    Musa alisisitiza kuwa alifanya hivyo kutokana na msongo wa mawazo na mapenzi kwa mkewe, akisema..

    “Sikutaka kumuona akiolewa na mwanaume mwingine wakati mimi bado hai."
    Mwanaume Mmoja aliefahamika kwa jina la YayuMusa (27) amekiri kumuua mama mkwe wake, AtayiAbdul (50), kwa kumpiga mapanga hadi kufa huko Olla, Kogi State, Nigeria. . Tukio lilitokea Julai 25, alipomvizia marehemu akiwa njiani kuelekea shambani. Musa alidai alifanya hivyo kwa sababu mama mkwe wake alitaka kumzuia asiendelee na ndoa na binti yake, licha ya juhudi zake kubwa kuiweka ndoa hiyo hai. . Baada ya tukio hilo, alikimbia lakini alikamatwa na kikundi cha ulinzi wa jadi. Polisi wanaendelea na uchunguzi. . Katika video ya mahojiano, #Musa alieleza sababu ya kufanya mauaji hayo.. “Nilimuua kwa sababu alitaka kunizuia nisimuoe binti yake, Umi Idris. Alinipa binti yake kama mke, na nimetumia fedha zangu zote kuhakikisha ndoa yetu inafanya kazi.” “Alikuwa anaendelea kusema mimi si mwanaume kamili na kwamba atamtoa mke wangu kwa mwanaume mwingine kwa sababu hawezi kushika mimba,” alisema. . Musa alisisitiza kuwa alifanya hivyo kutokana na msongo wa mawazo na mapenzi kwa mkewe, akisema.. “Sikutaka kumuona akiolewa na mwanaume mwingine wakati mimi bado hai."
    0 Comments ·0 Shares ·60 Views
  • RASMI: Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kutoka Sekhukhune United ya South Africa kwa mkopo kwa msimu mmoja wenye kipengele cha kununuliwa mazima kwa $100,000.

    Msimu wa 2022/23 akiwa na Power Dynamos,Andy Boyeli alitwaa kiatu cha mfungaji bora wa ligi ya Zambia,baada ya kufunga goli 18,pia msimu huo alitwaa tuzo ya MVP.

    #SportsElite
    🚨🚨 RASMI: Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kutoka Sekhukhune United ya South Africa kwa mkopo kwa msimu mmoja wenye kipengele cha kununuliwa mazima kwa $100,000. Msimu wa 2022/23 akiwa na Power Dynamos,Andy Boyeli alitwaa kiatu cha mfungaji bora wa ligi ya Zambia,baada ya kufunga goli 18,pia msimu huo alitwaa tuzo ya MVP. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·129 Views
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah 📝✅ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·111 Views
  • Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja.

    Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨🚨Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja. Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. (Chanzo: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·100 Views
  • Man City imemtaarifu golikipa Ortega anaweza kuondoka klabuni hapo baada ya ujio wa James Trafford.

    (Source: Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    🚨 Man City imemtaarifu golikipa Ortega anaweza kuondoka klabuni hapo baada ya ujio wa James Trafford. 🇩🇪👋 (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·67 Views
  • BREAKING

    Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake.

    Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M.

    Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2.

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake. Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M. Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·126 Views
  • Arsenal wanapanga kumsajili Eberechi Eze (27) mara baada ya kukamilisha dili la Gyökeres, kwa mujibu wa @MiguelDelaney.

    #SportsElite
    🚨🚨Arsenal wanapanga kumsajili Eberechi Eze (27) mara baada ya kukamilisha dili la Gyökeres, kwa mujibu wa @MiguelDelaney. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·109 Views
  • JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

    Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.


    #SportsElite
    🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·166 Views
  • Crystal Palace imefungua milango kwa Marc Guéhi kuondoka klabuni hapo,, baada ya Liverpool kuonesha nia ya kumuhitaji na Liverpool imependekeza ofa ya £45M, Huku akiwa amesalia mkataba wa mwaka mmoja..

    (Source: GiveMeSport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace imefungua milango kwa Marc Guéhi kuondoka klabuni hapo,, baada ya Liverpool kuonesha nia ya kumuhitaji na Liverpool imependekeza ofa ya £45M, Huku akiwa amesalia mkataba wa mwaka mmoja.. (Source: GiveMeSport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·73 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle United inavutiwa na kumsajili Benjamin Sesko baada ya Manchester United kushindwa kufikia bei..

    @David_Orsntien

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle United inavutiwa na kumsajili Benjamin Sesko baada ya Manchester United kushindwa kufikia bei.. @David_Orsntien #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·112 Views
  • Manchester United italazimika kulipa £40 milioni kumsajili Emi Martinez baada ya ombi lao la mkopo kukataliwa na Aston Villa.

    #SportsElite
    Manchester United italazimika kulipa £40 milioni kumsajili Emi Martinez baada ya ombi lao la mkopo kukataliwa na Aston Villa. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • ...Baada ya utambulisho wa Offen Chikola hapo jana, Wananchi wanasema saa 8:30 mchana wa leo watakuwa na utambulisho mwingine

    #SportsElite
    ...Baada ya utambulisho wa Offen Chikola hapo jana, Wananchi wanasema saa 8:30 mchana wa leo watakuwa na utambulisho mwingine #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·148 Views
  • SC Braga wamekamilisha usajili wa Pau Victor akitokea Fc Barcelona kwa ada ya €12M pamoja na nyongeza ya €3M.

    Pia kutakuwa na asilimia watakazopokea Barcelona kwenye mauzo yoyote ya Pau Victor hapo baadae kama sehemu ya makubaliano.

    #SportsElite
    SC Braga wamekamilisha usajili wa Pau Victor akitokea Fc Barcelona kwa ada ya €12M pamoja na nyongeza ya €3M. Pia kutakuwa na asilimia watakazopokea Barcelona kwenye mauzo yoyote ya Pau Victor hapo baadae kama sehemu ya makubaliano. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·118 Views
  • Ukiachana na kushindwa kuperform kwenye EPL, pia alishindwa kuperform kwenye Championship alipokuwa na Umri wa Miaka 22 hadi 25

    Kisha alikimbilia kwenye ligi ya wakulima, Baada ya misimu miwili watu wameingia mkenge, wamemrudisha kule kule Kwa Jana

    #SportsElite
    Ukiachana na kushindwa kuperform kwenye EPL, pia alishindwa kuperform kwenye Championship alipokuwa na Umri wa Miaka 22 hadi 25 Kisha alikimbilia kwenye ligi ya wakulima, Baada ya misimu miwili watu wameingia mkenge, wamemrudisha kule kule Kwa Jana #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • Mazungumzo kati ya Chelsea na Leipzig yataanza kesho rasmi baada ya Mchezaji huyo kusema kuwa anataka kujiunga na Chelsea!

    #SportsElite
    ✍️🇳🇱Mazungumzo kati ya Chelsea na Leipzig yataanza kesho rasmi baada ya Mchezaji huyo kusema kuwa anataka kujiunga na Chelsea! #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·131 Views
  • Kocha wa Real Madrid Xabi Alonso ameuambia uongozi kuwa Brahim Diaz hatokuwa mchezaji anaeanza kwenye kikosi chake kuanzia msimu ujao.

    Ni wakati sahihi kabisaa wa fundi Brahim Diaz kwenda kutafta malisho nje ya Real Madrid kwangu mm naona ni wakati umefika Mara baada ya Kocha mkuu wa klabu hiyo kuuwambia uongozi kuwa hatokuwa mchezaji wake ambae anamtegemea kwenye kikosi chake.

    #SportsElite
    Kocha wa Real Madrid Xabi Alonso ameuambia uongozi kuwa Brahim Diaz hatokuwa mchezaji anaeanza kwenye kikosi chake kuanzia msimu ujao. Ni wakati sahihi kabisaa wa fundi Brahim Diaz kwenda kutafta malisho nje ya Real Madrid kwangu mm naona ni wakati umefika Mara baada ya Kocha mkuu wa klabu hiyo kuuwambia uongozi kuwa hatokuwa mchezaji wake ambae anamtegemea kwenye kikosi chake. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·112 Views
  • Marcus Rashford ameonekana kwenye mazoezi ya Fc Barcelona baada ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo akitokea Manchester united.

    #SportsElite
    Marcus Rashford ameonekana kwenye mazoezi ya Fc Barcelona baada ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo akitokea Manchester united. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·91 Views
  • BREAKING: Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali Lassine Kouma (21)

    Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow


    #SportsElite
    BREAKING: Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali 🇲🇱 Lassine Kouma (21)✅ Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·261 Views
  • On fire

    Victor Osimhen akamilisha uhamisho mkubwa kwenda Galatasaray.*

    Klabu hiyo ya Uturuki imekubaliana kumsajili mshambuliaji huyo kwa jumla ya *euro milioni 75*. Malipo hayo yamepangwa kufanyika kwa awamu mbili: *euro milioni 40 zitalipwa mara moja*, huku *euro milioni 35 zikilipwa baada ya mwaka mmoja*.

    Zaidi ya hayo, Napoli imehakikishiwa *asilimia 10 ya faida endapo Osimhen atauzwa tena kwa dau kubwa zaidi siku za usoni*.

    Mkataba huo pia umeweka *kizuizi cha miaka miwili* ambacho kinakataza Galatasaray kumuuza #Osimhen kwa klabu yoyote ya Italia. Hii inakuja baada ya Osimhen kuonyesha kiwango bora msimu uliopita kwa kufunga *mabao 37 katika mechi 41*, akiiwezesha Galatasaray kutwaa mataji ya ligi na kombe la Uturuki.

    #SportsElite
    On fire 🔥 Victor Osimhen akamilisha uhamisho mkubwa kwenda Galatasaray.* Klabu hiyo ya Uturuki imekubaliana kumsajili mshambuliaji huyo kwa jumla ya *euro milioni 75*. Malipo hayo yamepangwa kufanyika kwa awamu mbili: *euro milioni 40 zitalipwa mara moja*, huku *euro milioni 35 zikilipwa baada ya mwaka mmoja*. Zaidi ya hayo, Napoli imehakikishiwa *asilimia 10 ya faida endapo Osimhen atauzwa tena kwa dau kubwa zaidi siku za usoni*. Mkataba huo pia umeweka *kizuizi cha miaka miwili* ambacho kinakataza Galatasaray kumuuza #Osimhen kwa klabu yoyote ya Italia. Hii inakuja baada ya Osimhen kuonyesha kiwango bora msimu uliopita kwa kufunga *mabao 37 katika mechi 41*, akiiwezesha Galatasaray kutwaa mataji ya ligi na kombe la Uturuki. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·222 Views
More Results