.DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!

Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!

---

WALIOSAJILIWA (RASMI):

1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.

2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!

3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.

4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.

---

WALIOUZWA (CONFIRMED):

Aziz Ki

Djigui Diarra

Clement Mzize

Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.

---

HAWAMO KWENYE MPANGO:

Kennedy Musonda

Aboubakar Khomeiny

Yao Kouassi

Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.

---

WANAOWINDWA:

Aishi Manula

Pascal Msindo

Kelvin Nashon

Henock Inonga Baka

Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.

---

WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):

Jonas Mkude

Aziz Andambwile

Sureboy

Farid Musa

Jonathan Ikangalombo

Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.

---

MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
.DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️‍♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
Love
1
· 0 Commenti ·0 condivisioni ·58 Views