10/21 Nguvu za Mungu.

Huwezi kumuona Mungu ikiwa tu hufanyi mapenzi yake .

Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuona kanisa linamju Mungu katika eneo la msamaha.

Nguvu za Mungu zinatafutwa na muamini anaye zihitaji .

Zaburi 105:4

*Mtakeni BWANA na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote*

Ukiona maandiko yameweka wazi kabisa kwamba nguvu za Mungu ili uzipate lazima uzitake kwa kuomba, kusoma neno na kulitafakari na kuzidi kutenda wema.

*Watu wengi tunachanganya mambo tunazani ukiokoka tu nguvu za Mungu utakuwa nazo kitu ambacho si kweli .*

Mitume walio fanya kazi na Yesu bdo yesu aliwapa maelekezo ya kupata nguvu zake kupitia msaada wa roho mtakatifu lakini pia walikutwa wanaomba .

Walipokea nguvu wakati wakiendelea na maombi.

Matendo 1:8 SUV
*Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”*

Kumbe maombi ndiyo siri ya kupata nguvu za kuweza kukusaidia hata kishinda majaribu.

*Kadiri unavyo weza mtafuta Mungu katika kuongezeka nguvu zake ndivyo unavyo jisogeza mbali na majaribu na mitego ya majaribu.*

Yesu alishinda jaribu kwa kuwa alikuwa mtu wa maombi muda wake wote aliokuwepo duniani.
Luka 5
*Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani*
Kumbe alipata kumshinda shetani katika jaribu zote kwa sababu tu alipata nguvu kipitia zile siku arobaini.

Sasa kumbe kuna watu sababu ya kukosa nguvu wnazimia kirahisi sana.

Mithali 24:10
*Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.*

*Wokovu ni zaidi ya hapo kwani lazima uamue kuto kuzimia kabisa .*

Ukiokoka lazima ujifunze kuzitaka nguvu za Mungu kupitia roho takatifu ili usiweze zimia moyo.

Ni matumaini yangu maombi yanaweza kuwa maisha yetu ili tupate kumuona Mungu.

Bila maombi uwezi pokea kwani biblia inasema ili *upokee lazima tuombe*

Na yesu pia anasema *tukeshe katika maombi*

Nguvu za Mungu ni muhimu sana ili uufurahie wokovu na ahadi za Mungu.

*Mtafute bwana naye awe shirika nawe ili upate kuishi mapenzi yake .*

Ahsante sana naitwa mwl.Sylvester Mwakabende (kutoka build new eden )

#build new eden
#Restoremenposition
10/21 Nguvu za Mungu. Huwezi kumuona Mungu ikiwa tu hufanyi mapenzi yake . Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuona kanisa linamju Mungu katika eneo la msamaha. Nguvu za Mungu zinatafutwa na muamini anaye zihitaji . Zaburi 105:4 *Mtakeni BWANA na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote* Ukiona maandiko yameweka wazi kabisa kwamba nguvu za Mungu ili uzipate lazima uzitake kwa kuomba, kusoma neno na kulitafakari na kuzidi kutenda wema. *Watu wengi tunachanganya mambo tunazani ukiokoka tu nguvu za Mungu utakuwa nazo kitu ambacho si kweli .* Mitume walio fanya kazi na Yesu bdo yesu aliwapa maelekezo ya kupata nguvu zake kupitia msaada wa roho mtakatifu lakini pia walikutwa wanaomba . Walipokea nguvu wakati wakiendelea na maombi. Matendo 1:8 SUV *Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”* Kumbe maombi ndiyo siri ya kupata nguvu za kuweza kukusaidia hata kishinda majaribu. *Kadiri unavyo weza mtafuta Mungu katika kuongezeka nguvu zake ndivyo unavyo jisogeza mbali na majaribu na mitego ya majaribu.* Yesu alishinda jaribu kwa kuwa alikuwa mtu wa maombi muda wake wote aliokuwepo duniani. Luka 5 *Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani* Kumbe alipata kumshinda shetani katika jaribu zote kwa sababu tu alipata nguvu kipitia zile siku arobaini. Sasa kumbe kuna watu sababu ya kukosa nguvu wnazimia kirahisi sana. Mithali 24:10 *Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.* *Wokovu ni zaidi ya hapo kwani lazima uamue kuto kuzimia kabisa .* Ukiokoka lazima ujifunze kuzitaka nguvu za Mungu kupitia roho takatifu ili usiweze zimia moyo. Ni matumaini yangu maombi yanaweza kuwa maisha yetu ili tupate kumuona Mungu. Bila maombi uwezi pokea kwani biblia inasema ili *upokee lazima tuombe* Na yesu pia anasema *tukeshe katika maombi* Nguvu za Mungu ni muhimu sana ili uufurahie wokovu na ahadi za Mungu. *Mtafute bwana naye awe shirika nawe ili upate kuishi mapenzi yake .* Ahsante sana naitwa mwl.Sylvester Mwakabende (kutoka build new eden ) #build new eden #Restoremenposition
0 Comments ·0 Shares ·15 Views