PICHA: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Arusha na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama cha Mapinduzi, Vyombo vya ulinzi na usalama katika uwanja wa ndege wa Arusha leo tarehe 16 Mei 2024.

Rais Dk.Mwinyi kesho tarehe 17 Mei 2024 anatarajiwa kufungua semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha )AICC). #MillardAyoUPDATES
PICHA: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Arusha na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama cha Mapinduzi, Vyombo vya ulinzi na usalama katika uwanja wa ndege wa Arusha leo tarehe 16 Mei 2024. Rais Dk.Mwinyi kesho tarehe 17 Mei 2024 anatarajiwa kufungua semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha )AICC). #MillardAyoUPDATES
Like
Love
15
3 Comments 0 Shares 309 Views