"Utofauti wangu mimi na Wanasiasa ni kuwa, hakuna Mwanasiasa anayefanya siasa bila faida, iwe faida yake binafsi au kwa familia yake

Mimi sio Mwanasiasa bali ni Kiongozi hivyo basi hakuna jambo lolote litakalofanyika katika nchi yangu bila ya kuwa na faida kwa Wananchi wa Burkina Faso iwe kwa sasa au kwa vizazi vijavyo "

- Kaptain Ibrahim Traore, Rais wa Burkina Faso

Toa maoni yako
#Habari
"Utofauti wangu mimi na Wanasiasa ni kuwa, hakuna Mwanasiasa anayefanya siasa bila faida, iwe faida yake binafsi au kwa familia yake Mimi sio Mwanasiasa bali ni Kiongozi hivyo basi hakuna jambo lolote litakalofanyika katika nchi yangu bila ya kuwa na faida kwa Wananchi wa Burkina Faso iwe kwa sasa au kwa vizazi vijavyo " - Kaptain Ibrahim Traore, Rais wa Burkina Faso Toa maoni yako #Habari
0 Comentários 0 Compartilhamentos 79 Visualizações