“Kwenye ile vita ya siku 12; ilipofika siku ya 3, walianza kuandika pale Twitter: kubaliani masharti yetu. Ilipofika siku ya 12, wenyewe waliomba kusitisha mapigano bila ya uwepo wa masharti yoyote. Nawakumbusha kwamba, iwapo watathubutu kufanya makosa, tutawapa somo litakalowaumiza kwa maisha yao yote”
- Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran.
- Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran.
“Kwenye ile vita ya siku 12; ilipofika siku ya 3, walianza kuandika pale Twitter: kubaliani masharti yetu. Ilipofika siku ya 12, wenyewe waliomba kusitisha mapigano bila ya uwepo wa masharti yoyote. Nawakumbusha kwamba, iwapo watathubutu kufanya makosa, tutawapa somo litakalowaumiza kwa maisha yao yote”
- Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran.
0 Comentários
0 Compartilhamentos
24 Visualizações