MAPENZI .
Uhusiano unajengwa na watu wawili . Wawili hawa ili wadumu wanapaswa kuishi katika UKWELI . UKWELI wa maisha una USIRI mkubwa , unaweza kuubomoa ukiweka wazi UKWELI au unaweza kuujenga ukiweza kuyaishi maisha ya UONGO . Japo kuwa maisha ya uongo utakao kwepa huwezi kudumu milele .
#TAFAKARI
( UKWELI una faida & hasara zake , UONGO pia una faida & hasara zake )
Uhusiano unajengwa na watu wawili . Wawili hawa ili wadumu wanapaswa kuishi katika UKWELI . UKWELI wa maisha una USIRI mkubwa , unaweza kuubomoa ukiweka wazi UKWELI au unaweza kuujenga ukiweza kuyaishi maisha ya UONGO . Japo kuwa maisha ya uongo utakao kwepa huwezi kudumu milele .
#TAFAKARI
( UKWELI una faida & hasara zake , UONGO pia una faida & hasara zake )
MAPENZI ❤️🩹.
Uhusiano unajengwa na watu wawili . Wawili hawa ili wadumu wanapaswa kuishi katika UKWELI . UKWELI wa maisha una USIRI mkubwa , unaweza kuubomoa ukiweka wazi UKWELI au unaweza kuujenga ukiweza kuyaishi maisha ya UONGO . Japo kuwa maisha ya uongo utakao kwepa huwezi kudumu milele .
#TAFAKARI
( UKWELI una faida & hasara zake , UONGO pia una faida & hasara zake )