Shirikisho la soka la Uhispania linafikiria kumwita Alejandro Balde kwa ajili ya mashindano ya Olimpiki msimu huu, lakini Barcelona wanapendelea apumzike baada ya kuumia kwa muda mrefu.

#Sportsview
⚽Shirikisho la soka la Uhispania linafikiria kumwita Alejandro Balde kwa ajili ya mashindano ya Olimpiki msimu huu, lakini Barcelona wanapendelea apumzike baada ya kuumia kwa muda mrefu. #Sportsview
Like
Love
5
· 2 Comments ·0 Shares ·619 Views