Bee Sagenge

@Saggy

34 Berichten
22 foto's
2 Video’s
Male
24/09/2001
Actueel
  • Like
    Love
    Haha
    5
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·503 Views ·27
  • Galatasaray wamechukuwa ubingwa wao wa 𝟐𝟒 kwenye lingi ya Uturuki 1️⃣0️⃣2️⃣ point
    🔴🟡 Galatasaray wamechukuwa ubingwa wao wa 𝟐𝟒 kwenye lingi ya Uturuki 1️⃣0️⃣2️⃣ point🏆✨
    Like
    Love
    6
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·490 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Harry Kane ameshinda tuzo ya 2023/24 𝐄𝐮𝐫𝐨𝐩𝐞𝐚𝐧 𝐆𝐨𝐥𝐝𝐞𝐧 𝐁𝐨𝐨𝐭 kama mfungaji Bora !
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Harry Kane ameshinda tuzo ya 2023/24 𝐄𝐮𝐫𝐨𝐩𝐞𝐚𝐧 𝐆𝐨𝐥𝐝𝐞𝐧 𝐁𝐨𝐨𝐭 kama mfungaji Bora ! ✨
    Like
    Love
    6
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·512 Views
  • Like
    Love
    6
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·487 Views
  • Like
    Love
    6
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·503 Views
  • Shirikisho la soka la Uhispania linafikiria kumwita Alejandro Balde kwa ajili ya mashindano ya Olimpiki msimu huu, lakini Barcelona wanapendelea apumzike baada ya kuumia kwa muda mrefu.

    #Sportsview
    ⚽Shirikisho la soka la Uhispania linafikiria kumwita Alejandro Balde kwa ajili ya mashindano ya Olimpiki msimu huu, lakini Barcelona wanapendelea apumzike baada ya kuumia kwa muda mrefu. #Sportsview
    Like
    Love
    5
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·998 Views
  • Like
    5
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·540 Views
  • Like
    Love
    Haha
    8
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·524 Views
  • Wakuu!!
    Wakuu!!
    Like
    Haha
    7
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·515 Views
  • Bayern Munich wanamfuatilia beki wa England na Manchester City John Stones, mwenye umri wa miaka 29 (Football Insider)

    Kiungo wa kati wa Manchester City na Uingereza Jack Grealish, mwenye umri wa miaka 28, pia analengwa na Bayern (Sun)

    Manchester City ya Pep Guardiola haitamzuia mlinda lango wa Brazil Ederson ikiwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 anataka kuhamia Saudi Arabia, lakini masharti yanapaswa kuwa sawa kwao juu ya uhamisho wowote.(90 Min)

    Burnley wanaomba fidia ya £17m kutoka kwa Bayern ili kumruhusu meneja Vincent Kompany kuchukua mikoba katika klabu hiyo ya Ujerumani. (Sky Sports Ujerumani)

    Liverpool wameelekeza mawazo yao kwa winga wa Leeds Mholanzi Crysencio Summerville, 22, baada ya kuamua kumnunua winga wa Newcastle na England Anthony Gordon, 23. (90 Min).


    Manchester United wanaongoza katika kinyang'anyiro cha kuinasa sahihi ya winga wa kikosi cha chini ya miaka 21 wa Crystal Palace na Ufaransa Michael Olise, 22. (Football Transfers)

    Aston Villa wanafikiria kusitisha mkataba wa kiungo wa kati wa Brazil Philippe Coutinho, 31. (Givemesport)

    Winga wa Nottingham Forest na Uingereza Callum Hudson-Odoi, 22, anatarajiwa kulengwa na Tottenham(Guardian)

    Ajax na Feyenoord wanavutiwa na winga wa Chelsea Omari Hutchinson, mwenye umri wa miaka 22, ambaye aliichezea Ipswich kwa mkopo msimu uliopita(Football London).
    #Sports view
    🌎Bayern Munich wanamfuatilia beki wa England na Manchester City John Stones, mwenye umri wa miaka 29 (Football Insider) Kiungo wa kati wa Manchester City na Uingereza Jack Grealish, mwenye umri wa miaka 28, pia analengwa na Bayern (Sun) Manchester City ya Pep Guardiola haitamzuia mlinda lango wa Brazil Ederson ikiwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 anataka kuhamia Saudi Arabia, lakini masharti yanapaswa kuwa sawa kwao juu ya uhamisho wowote.(90 Min) Burnley wanaomba fidia ya £17m kutoka kwa Bayern ili kumruhusu meneja Vincent Kompany kuchukua mikoba katika klabu hiyo ya Ujerumani. (Sky Sports Ujerumani) Liverpool wameelekeza mawazo yao kwa winga wa Leeds Mholanzi Crysencio Summerville, 22, baada ya kuamua kumnunua winga wa Newcastle na England Anthony Gordon, 23. (90 Min). Manchester United wanaongoza katika kinyang'anyiro cha kuinasa sahihi ya winga wa kikosi cha chini ya miaka 21 wa Crystal Palace na Ufaransa Michael Olise, 22. (Football Transfers) Aston Villa wanafikiria kusitisha mkataba wa kiungo wa kati wa Brazil Philippe Coutinho, 31. (Givemesport) Winga wa Nottingham Forest na Uingereza Callum Hudson-Odoi, 22, anatarajiwa kulengwa na Tottenham(Guardian) Ajax na Feyenoord wanavutiwa na winga wa Chelsea Omari Hutchinson, mwenye umri wa miaka 22, ambaye aliichezea Ipswich kwa mkopo msimu uliopita(Football London). #Sports view
    Like
    Love
    13
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Newcastle United wanawania wachezaji wawili wa Uingereza, huku Thomas Tuchel akiwa mgombea anayeongoza kuchukua mikoba huko Manchester United...

    Newcastle United wanatumai kusajili wachezaji wawili wa kimataifa wa Uingereza huku mshambuliaji wa Everton Dominic Calvert-Lewin, mwenye umri wa miaka 27, na mshambuliaji wa West Ham Jarrod Bowen, pia mwenye umri wa miaka 27, wakiwa kwenye rada yao.(Telegraph)

    Newcastle wanataka karibu pauni milioni 200 kumnunua mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak, 24, ambaye amekuwa akihusishwa na Arsenal(Mirror)

    Thomas Tuchel, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Bayern Munich, ndiye mgombea anayeongoza kuchukua mikoba ya Manchester United ikiwa klabu hiyo ya Old Trafford itamfukuza Erik ten Hag baada ya fainali ya Kombe la FA (Guardian).
    #Sports view
    🌎Newcastle United wanawania wachezaji wawili wa Uingereza, huku Thomas Tuchel akiwa mgombea anayeongoza kuchukua mikoba huko Manchester United... Newcastle United wanatumai kusajili wachezaji wawili wa kimataifa wa Uingereza huku mshambuliaji wa Everton Dominic Calvert-Lewin, mwenye umri wa miaka 27, na mshambuliaji wa West Ham Jarrod Bowen, pia mwenye umri wa miaka 27, wakiwa kwenye rada yao.(Telegraph) Newcastle wanataka karibu pauni milioni 200 kumnunua mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak, 24, ambaye amekuwa akihusishwa na Arsenal(Mirror) Thomas Tuchel, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Bayern Munich, ndiye mgombea anayeongoza kuchukua mikoba ya Manchester United ikiwa klabu hiyo ya Old Trafford itamfukuza Erik ten Hag baada ya fainali ya Kombe la FA (Guardian). #Sports view
    Like
    Love
    9
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·762 Views
  • Like
    Love
    8
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·507 Views
  • Like
    Haha
    Love
    9
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·503 Views
  • "TUTA WASAMEHE, ENDAPO WATALITAMBUA KOSA LAO"
    "TUTA WASAMEHE, ENDAPO WATALITAMBUA KOSA LAO" 😫😫
    Like
    Love
    7
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·501 Views
  • Umeelewanini hapo
    Umeelewanini hapo
    Like
    4
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·479 Views
  • Like
    3
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·483 Views
  • Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·497 Views
  • Like
    2
    · 2 Reacties ·2 aandelen ·525 Views
  • LINAPOFIKA SWALA LA PESA HATA AKILI YANGU HUWA SIIAMINI
    LINAPOFIKA SWALA LA PESA HATA AKILI YANGU HUWA SIIAMINI
    Love
    Like
    Haha
    9
    · 7 Reacties ·0 aandelen ·485 Views
  • Like
    Love
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·496 Views
  • Like
    Love
    2
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·442 Views
  • KWENYE KUONGEA WANATUZIDI ILA VITENDO MMH! WATUACHIE SISI
    KWENYE KUONGEA WANATUZIDI ILA VITENDO MMH! WATUACHIE SISI💪
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·457 Views
  • "TUNATAKA TUISHI KAMA WEWE"
    ndio KWASABABU UMEKUWA MFANO KWAO!!
    "TUNATAKA TUISHI KAMA WEWE" ndio KWASABABU UMEKUWA MFANO KWAO!!
    Like
    Love
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·438 Views
  • Oldonyo Lengai Maasai
    Oldonyo Lengai Maasai 🇹🇿
    Love
    Like
    3
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·443 Views
  • Oldonyo Lengai (Maasai)
    Oldonyo Lengai (Maasai)🇹🇿
    0 Reacties ·0 aandelen ·451 Views
Meer blogs