• SIKU YA MWANANCHI

    #EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya.

    #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC

    #SportsElite
    SIKU YA MWANANCHI 🚨#EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya. #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·0 Views
  • Golikipa wa Paris Saint-Germain Gianluigi Donnarumma tayari amefikia makubaliano binafsi ya mkataba na Manchester City,

    na tayari mazungumzo ya Vilabu yanaendelea..

    (Source: Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    🚨Golikipa wa Paris Saint-Germain Gianluigi Donnarumma tayari amefikia makubaliano binafsi ya mkataba na Manchester City, na tayari mazungumzo ya Vilabu yanaendelea.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·0 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tariq Lamptey amejiunga na Fiorentina hadi 2030, baada ya mkataba wake kutamatika Brighton.
    🚨🇬🇭💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tariq Lamptey amejiunga na Fiorentina hadi 2030, baada ya mkataba wake kutamatika Brighton.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·0 Views
  • Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote... Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu

    Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani
    🌀Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote...✊ Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu😀 Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani ❔❓😀
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1 Views
  • Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla

    Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.

    Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.

    Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake

    #SportsElite
    🚨🚨Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla ✊🇧🇷 🌀Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa. Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati. 💔✨ Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake 😀 #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·0 Views
  • “Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” .

    Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti .

    #fcbarcelonaswahilinews

    #SportsElite
    🚨🚨“Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” 😂🤣. Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti 😏. #fcbarcelonaswahilinews #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal

    Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta.

    Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii."

    #AFC #Eze10 #PremierLeague

    ---------follow Csmahona update

    #SportsElite
    🔴⚪✨ Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta. 🙌🔥 🗣️ Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii." #AFC #Eze10 #PremierLeague ---------follow Csmahona update #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • Bruno Fernandes akizungumzia kukosa penalti:

    “Nilihuzunika. Kama mpigaji wa penalti una utaratibu wako maalum na mbinu zako unazozifuata. Nilikasirika kwa sababu refa hakuniomba msamaha na hilo ndilo lililonichochea kwa wakati huo... lakini hilo si kisingizio.”

    #SportsElite
    🚨🚨Bruno Fernandes akizungumzia kukosa penalti: “Nilihuzunika. Kama mpigaji wa penalti una utaratibu wako maalum na mbinu zako unazozifuata. Nilikasirika kwa sababu refa hakuniomba msamaha na hilo ndilo lililonichochea kwa wakati huo... lakini hilo si kisingizio.” #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • Ruben Dias amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Manchester City mkataba ambao utaenda mpaka 2029 kukiwa na kipengele cha kuongeza mkataba mwingine.

    #CaroScore #SportsUp

    #SportsElite
    🚨🚨Ruben Dias amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Manchester City mkataba ambao utaenda mpaka 2029 kukiwa na kipengele cha kuongeza mkataba mwingine. 📝✅ #CaroScore #SportsUp #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!

    Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.

    "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.

    "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."

    Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.

    #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal

    #SportsElite
    Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham imetuma ofa ya €70M kwaajili ya Nico Paz lakini mchezaji amegoma kuondoka.

    “Paz anatarajia kujiunga na REAL MADRID 2026”, says Fabrizio on YouTube.

    #SportsElite
    🚨🚨😳 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham imetuma ofa ya €70M kwaajili ya Nico Paz lakini mchezaji amegoma kuondoka. “Paz anatarajia kujiunga na REAL MADRID 2026”, says Fabrizio on YouTube. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1 Views
  • BREAKING: Mmiliki wa West Ham David Sullivan atampa Graham Potter michezo mingine miwili ya kutetea kibarua chake kwenye kilabu.

    🏟 Michezo hiyo miwili ni dhid ya Wolves (away)
    🏟 Na dhid ya Nottm Forest (away)

    (Source : Graeme Bailey)

    #SportsElite
    🚨 BREAKING: Mmiliki wa West Ham David Sullivan atampa Graham Potter michezo mingine miwili ya kutetea kibarua chake kwenye kilabu. 🏟 Michezo hiyo miwili ni dhid ya Wolves (away) 🏟 Na dhid ya Nottm Forest (away) (Source : Graeme Bailey) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1 Views


  • Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo cha Bild cha nchini Ujerumani, Chelsea imekuwa ikihusishwa kuwania saini ya beki raia wa Ecuador, taifa wanalotokea Moises Caicedo na Kendry Paez, Piero Hincapie.

    Nyota huyo anayecheza nafasi ya beki alimwaga machozi wakati klabu yake ya Bayer Leverkusen ilipofungwa 2-1 jumamosi ya wiki iliyoisha na kitendo hicho kimehusishwa kama ishara ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu mojawapo huku Chelsea ikitajwa kwenye orodha.

    Dirisha la usajili limebakiza siku 7 tu kabla ya kufungwa.
    #d1905_usajili

    #SportsElite
    🚨🚨 Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo cha Bild cha nchini Ujerumani, Chelsea imekuwa ikihusishwa kuwania saini ya beki raia wa Ecuador, taifa wanalotokea Moises Caicedo na Kendry Paez, Piero Hincapie. Nyota huyo anayecheza nafasi ya beki alimwaga machozi wakati klabu yake ya Bayer Leverkusen ilipofungwa 2-1 jumamosi ya wiki iliyoisha na kitendo hicho kimehusishwa kama ishara ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu mojawapo huku Chelsea ikitajwa kwenye orodha. Dirisha la usajili limebakiza siku 7 tu kabla ya kufungwa. #d1905_usajili #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • BREAKING: Mazungumzo sasa yapo keenye hatua za juu kati ya Man United na Napoli kwa mkataba wa mkopo na ada ya mkopo yenye thamani ya € 5m pamoja na chaguo la € 45m kununua.

    Napoli wako tayari kulipa mshahara mzima wa Rasmus Højlund.

    Napoli inaamini kushiriki kwao Ligi ya Mabingwa kunaweza kumshawishi Højlund kujiunga nao.

    Source the athletic

    #SportsElite
    🚨 BREAKING: Mazungumzo sasa yapo keenye hatua za juu kati ya Man United na Napoli kwa mkataba wa mkopo na ada ya mkopo yenye thamani ya € 5m pamoja na chaguo la € 45m kununua. Napoli wako tayari kulipa mshahara mzima wa Rasmus Højlund. Napoli inaamini kushiriki kwao Ligi ya Mabingwa kunaweza kumshawishi Højlund kujiunga nao. Source the athletic #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • Ratiba ya michezo Barcelona Laliga
    🚨Ratiba ya michezo Barcelona Laliga
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1 Views
  • Affordable Pet Sitting Services for Stress-Free Pet Care

    Discover affordable pet sitting services tailored to your pet’s needs. From daily check-ins to overnight stays, trusted sitters ensure comfort, safety, and love while you’re away, giving you complete peace of mind.

    Visit Now :- https://doggynomads.com.au/
    Affordable Pet Sitting Services for Stress-Free Pet Care Discover affordable pet sitting services tailored to your pet’s needs. From daily check-ins to overnight stays, trusted sitters ensure comfort, safety, and love while you’re away, giving you complete peace of mind. Visit Now :- https://doggynomads.com.au/
    doggynomads.com.au
    Explore trusted pet boarding in Sydney and professional dog sitting services for your furry friend. Safe, caring, and reliable options are available near you.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·8 Views
  • Takwimu za Benjamin Šeško vs Fulham:

    • 38 minutes played
    • 0 shots
    • 0 golas
    • 0 assists
    • 0 dribbles
    • 0 key passes
    • 0 long balls
    • 0 ground duels won
    • 9 passes
    😬🚨 Takwimu za Benjamin Šeško vs Fulham: • 38 minutes played • 0 shots • 0 golas • 0 assists • 0 dribbles • 0 key passes • 0 long balls • 0 ground duels won • 9 passes
    0 Commenti ·0 condivisioni ·6 Views
  • Aston Villa iko mbioni kutuma ofa €30M ili kuona uwezekano wa kumpata Marc Casadó, ambae anatajwa kuondoka FC Barcelona dirisha hili.

    (Source: El País)

    #SportsElite
    🚨 Aston Villa iko mbioni kutuma ofa €30M ili kuona uwezekano wa kumpata Marc Casadó, ambae anatajwa kuondoka FC Barcelona dirisha hili. (Source: El País) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • Arsenal iko mbioni kukamilisha usajiri wa kinda wa Shamrock Rovers 16 Victor Ozhianvuna.

    @gunnerblog after @McDonnellDan The Athletic FC

    #SportsElite
    🚨 Arsenal iko mbioni kukamilisha usajiri wa kinda wa Shamrock Rovers 16 Victor Ozhianvuna. @gunnerblog after @McDonnellDan The Athletic FC #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·13 Views
  • Real Madrid C.F. itakuwa tayari kumuuza Vinicius Junior kwa €150M kwa dirisha kubwa la usajili msimu ujao endapo hatoongeza mkataba mpya klabuni hapo..

    (Source: Defensa Central)

    #SportsElite
    🚨 Real Madrid C.F. itakuwa tayari kumuuza Vinicius Junior kwa €150M kwa dirisha kubwa la usajili msimu ujao endapo hatoongeza mkataba mpya klabuni hapo.. (Source: Defensa Central) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·6 Views
Pagine in Evidenza