"Nazielewa sana Frustration za Clement Mzize baada ya Kutolewa
Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO.
Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa.
Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi
Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu..
Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa?
I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO.
Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa.
Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi
Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu..
Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa?
I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
"Nazielewa sana Frustration za Clement Mzize baada ya Kutolewa✍️
Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO.
Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa.
Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi
Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu..
Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa?
I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
0 Комментарии
·0 Поделились
·1 Просмотры