0 Comments
路0 Shares
路81 Views
-
Kama uliangalia vizuri zile picha za "Best Man na Woman) kwenye harusi ya Jux, huenda ukaelewa hii "Posti" ya Diamond Platnumz. Sijui kwa nini Baba Lebo hajatoboa siri hii wakati tunajua kuwa Friji lake haligandishi .
Mimi naishi na huyo mstari wa pili (2).
Kama uliangalia vizuri zile picha za "Best Man na Woman) kwenye harusi ya Jux, huenda ukaelewa hii "Posti" ya Diamond Platnumz. Sijui kwa nini Baba Lebo hajatoboa siri hii wakati tunajua kuwa Friji lake haligandishi 馃槅. Mimi naishi na huyo mstari wa pili (2).0 Comments 路0 Shares 路157 Views -
Baada ya kuwa "Best Man & Woman" wa Ndoa ya Jux na Priscy kutoka Nchini Nigeria , tunaambiwa Diamond Platnumz na Zuchu nao wamepanga kujibu mashambulizi kwa kufunga Ndoa.
Baada ya kuwa "Best Man & Woman" wa Ndoa ya Jux na Priscy kutoka Nchini Nigeria 馃嚦馃嚞, tunaambiwa Diamond Platnumz na Zuchu nao wamepanga kujibu mashambulizi kwa kufunga Ndoa.0 Comments 路0 Shares 路152 Views -
"Nisingependa binti yangu Tiffah awe mwanamziki bali ningependa awe msimamizi wa shughuli zangu ilo tu, ila kusema aimbe hapana sitaki maana sipendi apitie mateso ninayo pitia mimi baba yake, mziki una mateso sana" - diamond Platnumz.
"Nisingependa binti yangu Tiffah awe mwanamziki bali ningependa awe msimamizi wa shughuli zangu ilo tu, ila kusema aimbe hapana sitaki maana sipendi apitie mateso ninayo pitia mimi baba yake, mziki una mateso sana" - diamond Platnumz. -
0 Comments 路0 Shares 路443 Views
-
0 Comments 路0 Shares 路341 Views
-
Jay Melody amemchana Mwijaku kisa madai yake kuwa Diamond Platnumz akifanya collabo na Msanii wa Tanzania basi Msanii huyo anapokea.
Mwijaku anadai kuwa toka Diamond Platnumz amshirikishe Jay Melody kwenye wimbo wa "Mapozi", Jay Melody amepotea mazima.
Jay Melody amemchana Mwijaku kisa madai yake kuwa Diamond Platnumz akifanya collabo na Msanii wa Tanzania basi Msanii huyo anapokea. Mwijaku anadai kuwa toka Diamond Platnumz amshirikishe Jay Melody kwenye wimbo wa "Mapozi", Jay Melody amepotea mazima. -
Hii ndio orodha ya Wasanii wa muziki bora barani Afrika kwa mujibu wa African Facts Zone.
1. Burna Boy
2. Wizkid
3. Davido
4. Rema
5. Diamond Platnumz
6. Mohamed Ramadan
7. Amr Diab
8.Tems
9.Tamer Hosny
10. Cheb Khaled
11. Saad Lamjarred
12. Sherine
13. Black Coffee
14. Ayra Starr
15. Asake
16. Seether
17. Soolking
18. Fally Ipupa
19. Tyla
20. Omah Lay
21.Tiwa Savage
22. Ahmed Saad
23. CKay
24. Yemi Alade
25. Angelique Kidjo
26. Hassan Shakosh
27. Kizz Daniel
28. Ruger
29. Joeboy
30. Spinall
31. Uncle Waffles
32. Black Sherif
33. Rayvanny
34. Harmonize
35. Zuchu
36. Libianca
37. Amaarae
38. Adekunle Gold
39. yler ICU
NB: African Facts Zone wamesema kuwa, wameangalia zaidi ziara za Wasanii, show, "streaming", "views" , ....
Hii ndio orodha ya Wasanii wa muziki bora barani Afrika kwa mujibu wa African Facts Zone. 1. Burna Boy 馃嚦馃嚞 2. Wizkid 馃嚦馃嚞 3. Davido 馃嚦馃嚞 4. Rema 馃嚦馃嚞 5. Diamond Platnumz 馃嚬馃嚳 6. Mohamed Ramadan 馃嚜馃嚞 7. Amr Diab 馃嚜馃嚞 8.Tems 馃嚦馃嚞 9.Tamer Hosny 馃嚜馃嚞 10. Cheb Khaled 馃嚛馃嚳 11. Saad Lamjarred 馃嚥馃嚘 12. Sherine 馃嚜馃嚞 13. Black Coffee 馃嚳馃嚘 14. Ayra Starr 馃嚦馃嚞 15. Asake 馃嚦馃嚞 16. Seether 馃嚳馃嚘 17. Soolking 馃嚛馃嚳 18. Fally Ipupa 馃嚚馃嚛 19. Tyla 馃嚳馃嚘 20. Omah Lay 馃嚦馃嚞 21.Tiwa Savage 馃嚦馃嚞 22. Ahmed Saad 馃嚜馃嚞 23. CKay 馃嚦馃嚞 24. Yemi Alade 馃嚦馃嚞 25. Angelique Kidjo 馃嚙馃嚡 26. Hassan Shakosh 馃嚜馃嚞 27. Kizz Daniel 馃嚦馃嚞 28. Ruger 馃嚦馃嚞 29. Joeboy 馃嚦馃嚞 30. Spinall 馃嚦馃嚞 31. Uncle Waffles 馃嚫馃嚳 32. Black Sherif 馃嚞馃嚟 33. Rayvanny 馃嚬馃嚳 34. Harmonize 馃嚬馃嚳 35. Zuchu 馃嚬馃嚳 36. Libianca 馃嚚馃嚥 37. Amaarae 馃嚞馃嚟 38. Adekunle Gold 馃嚦馃嚞 39. yler ICU 馃嚳馃嚘 NB: African Facts Zone wamesema kuwa, wameangalia zaidi ziara za Wasanii, show, "streaming", "views" , ....0 Comments 路0 Shares 路732 Views -
0 Comments 路0 Shares 路432 Views
-
Diamond Platnumz amefunguka kulipwa Dola milioni moja ($1 million) ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 2.3 za Kitanzania ili kutumbuiza katika harusi inayofanyika leo hii huko Mjini Mombasa Nchini Kenya .
Aidha, Wahudhuriaji wa harusi hiyo na mashabiki wameonesha furaha yao kukutana uso kwa uso na Msanii huyo namba moja Nchini Tanzania na Afrika Mashariki.
Pamoja na Diamond Platnumz kulipwa fedha hizo, Wasanii wengine wakubwa wenye hadhi ya kidunia akiwemo Beyonce, Rihanna, Justin Bieber, Katty Perry, Pitbull walipotumbuiza katika harusi za Matajiri walitoza pesa kubwa ili kulinda hadhi zao za muziki zisionekane ni za kutumbuiza katika harusi ili hata Waandamanaji wa matamasha makubwa waendelee kuwaweka viwango vya juu watakapowahitaji kwenye "show".
“$1M For Wedding Show In Mombasa ” - Diamond Platnumz via Instagram.
Diamond Platnumz amefunguka kulipwa Dola milioni moja ($1 million) ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 2.3 za Kitanzania ili kutumbuiza katika harusi inayofanyika leo hii huko Mjini Mombasa Nchini Kenya 馃嚢馃嚜. Aidha, Wahudhuriaji wa harusi hiyo na mashabiki wameonesha furaha yao kukutana uso kwa uso na Msanii huyo namba moja Nchini Tanzania na Afrika Mashariki. Pamoja na Diamond Platnumz kulipwa fedha hizo, Wasanii wengine wakubwa wenye hadhi ya kidunia akiwemo Beyonce, Rihanna, Justin Bieber, Katty Perry, Pitbull walipotumbuiza katika harusi za Matajiri walitoza pesa kubwa ili kulinda hadhi zao za muziki zisionekane ni za kutumbuiza katika harusi ili hata Waandamanaji wa matamasha makubwa waendelee kuwaweka viwango vya juu watakapowahitaji kwenye "show". “$1M For Wedding Show In Mombasa 馃嚢馃嚜” - Diamond Platnumz via Instagram.0 Comments 路0 Shares 路589 Views -
Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF.
Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.
Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF. Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.0 Comments 路0 Shares 路385 Views -
Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka kuhusu Diamond Platnumz kushindwa kutumbuiza huko Nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Hii baada ya Msanii wa kenya Willy Paul kudai kuwa Wasanii wa Tanzania wanapendelewa zaidi Nchini humo huku akimtaja Diamond Platnumz kutaka kutumbuiza kabla yake.
“Nadhani ifike mahali wasanii muwekeze bidii
kwenye kazi, kufeki story sababu ya fame ya kulazimisha bifu ili kutrend haisaidii, Msanii aitwae Willy aseme ukweli alikuwa anabishana na mtoto wa kike ( Zuchu ) aliblock njia Zuchu asipande kwenye steji akisema alikuwepo tokea mwanzo hivyo anataka pande yeye, ilhali wakati zamu yake allitwa apande kwenye stage aligoma na kusema hawezi kupanda yeye ni Headliner anataka Afunge show Mwisho, baada ya kuona wenzake wanapata shangwe akawa anforce kupanda kwenye Muda wa Zuchu na wala sio Diamond. Regarding why Diamond hajapanda is between us and organizer has nothing to do na msanii yoyote. Bless Up” - Sallam SK
Toa maoni yako
Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka kuhusu Diamond Platnumz kushindwa kutumbuiza huko Nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Hii baada ya Msanii wa kenya Willy Paul kudai kuwa Wasanii wa Tanzania wanapendelewa zaidi Nchini humo huku akimtaja Diamond Platnumz kutaka kutumbuiza kabla yake. “Nadhani ifike mahali wasanii muwekeze bidii kwenye kazi, kufeki story sababu ya fame ya kulazimisha bifu ili kutrend haisaidii, Msanii aitwae Willy aseme ukweli alikuwa anabishana na mtoto wa kike ( Zuchu ) aliblock njia Zuchu asipande kwenye steji akisema alikuwepo tokea mwanzo hivyo anataka pande yeye, ilhali wakati zamu yake allitwa apande kwenye stage aligoma na kusema hawezi kupanda yeye ni Headliner anataka Afunge show Mwisho, baada ya kuona wenzake wanapata shangwe akawa anforce kupanda kwenye Muda wa Zuchu na wala sio Diamond. Regarding why Diamond hajapanda is between us and organizer has nothing to do na msanii yoyote. Bless Up” - Sallam SK Toa maoni yako -
-
Diamond Platnumz amechapisha maneno aliyoandika Zuchu kama yalivyo kuhusu kuachana kwao kisha kuongeza "from the Queen her self" yaani kutoka kwa Malkia (Zuchu ) mwenyewe.
NB:Hii ni Kiki mana siyo mara ya kwanzaDiamond Platnumz amechapisha maneno aliyoandika Zuchu kama yalivyo kuhusu kuachana kwao kisha kuongeza "from the Queen her self" yaani kutoka kwa Malkia (Zuchu ) mwenyewe. NB:Hii ni Kiki mana siyo mara ya kwanza0 Comments 路0 Shares 路465 Views -
-
"Diamond Platnumz hakuwahi kuwa mshikaji wangu isipokuwa alikuwa akiniita kaka kipindi nakutana nae, Queen Darleen ndie alinikutanisha nae na kumtambulisha kwangu. Pia naweza kusema mimi ndio nilitoa ruhusa kwa Bob Junior ampe nafasi ya kurekodi kwenye studio za Sharobaro Records na kipindi hicho Bob Junior na mimi tulikuwa na kabineti yetu
Bob Junior alikuwa hawezi kufanya kazi na mtu studio bila kutoa ruhusa yangu kutokana na utaratibu tuliojiwekea pale studio lakini pia Diamond Platnumz kuwa juu kimuziki hainiumi wala kunikera isipokuwa l'm so proud Kwa kazi nzuri anazofanya" - Alikiba, Msanii wa muziki wa Tanzania via Crown FM."Diamond Platnumz hakuwahi kuwa mshikaji wangu isipokuwa alikuwa akiniita kaka kipindi nakutana nae, Queen Darleen ndie alinikutanisha nae na kumtambulisha kwangu. Pia naweza kusema mimi ndio nilitoa ruhusa kwa Bob Junior ampe nafasi ya kurekodi kwenye studio za Sharobaro Records na kipindi hicho Bob Junior na mimi tulikuwa na kabineti yetu Bob Junior alikuwa hawezi kufanya kazi na mtu studio bila kutoa ruhusa yangu kutokana na utaratibu tuliojiwekea pale studio lakini pia Diamond Platnumz kuwa juu kimuziki hainiumi wala kunikera isipokuwa l'm so proud Kwa kazi nzuri anazofanya" - Alikiba, Msanii wa muziki wa Tanzania via Crown FM.0 Comments 路0 Shares 路558 Views -
-
"Mimi siwezi kuhubiri Watu waache dhambi hiyo sio kazi yangu siwezi kuhubiri watu waache dhambi wakati sadaka napata kwa Watu wanaopewa na michepuko yao, mimi nahubiri ambacho naona nafanikiwa basi, wale wanaohubiri utakatifu na kwenda mbinguni kila la kheri ila mimi napambana na Wachawi tu"- Pastor Dominic (Nabii kiboko ya Wachawi, Mchungaji Tanzania.
Mchungaji huyo Kanisa lake lipo maeneo ya Buza Jijini Dar es Salaam huku Wafuasi wengi wakiwa ni Wanawake ambao wametokea kumkubali Mchungaji huyo na wamekuwa wakiongezeka kila kukicha. Kiboko ya Wachawi analindwa na ulinzi mkali yaani "Mabaunsa" akiwemo Mwarabu Fighter aliyekuwa kuwa Mlinzi wa Diamond Platnumz."Mimi siwezi kuhubiri Watu waache dhambi hiyo sio kazi yangu siwezi kuhubiri watu waache dhambi wakati sadaka napata kwa Watu wanaopewa na michepuko yao, mimi nahubiri ambacho naona nafanikiwa basi, wale wanaohubiri utakatifu na kwenda mbinguni kila la kheri ila mimi napambana na Wachawi tu"- Pastor Dominic (Nabii kiboko ya Wachawi, Mchungaji Tanzania. Mchungaji huyo Kanisa lake lipo maeneo ya Buza Jijini Dar es Salaam huku Wafuasi wengi wakiwa ni Wanawake ambao wametokea kumkubali Mchungaji huyo na wamekuwa wakiongezeka kila kukicha. Kiboko ya Wachawi analindwa na ulinzi mkali yaani "Mabaunsa" akiwemo Mwarabu Fighter aliyekuwa kuwa Mlinzi wa Diamond Platnumz.0 Comments 路0 Shares 路311 Views -
0 Comments 路0 Shares 路417 Views
-
Diamond Platnumz Na Paul Pogba Wakutana DubaiDiamond Platnumz Na Paul Pogba Wakutana Dubai
More Results