• Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza rasmi kuondoa hitaji la visa kwa Watanzania wanaoingia Nchini humo, kuanzia tarehe 20 Machi, 2025. Hatua hii ni sehemu ya utekelezaji wa uanachama wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na jitihada za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili.

    Ikumbukwe kwamba Nchi ya Tanzania ilikuwa imeondoa utaratibu wa malipo ya visa kwa Raia wa DRC tangu Septemba 2, 2023, ikitarajia hatua ya kurudishiwa fadhila. Uamuzi wa sasa wa DR Congo unaimarisha mahusiano ya ujirani mwema na kufungua fursa zaidi za biashara na ushirikiano wa kikanda.

    Serikali ya Tanzania imesifu hatua hiyo, ikisisitiza kuwa inalingana na ajenda za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mkataba wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA). Hatua hii inaashiria ushirikiano bora wa kidiplomasia na unaleta unafuu mkubwa kwa Wafanyabiashara na wasafiri wa pande zote mbili.

    Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imetangaza rasmi kuondoa hitaji la visa kwa Watanzania wanaoingia Nchini humo, kuanzia tarehe 20 Machi, 2025. Hatua hii ni sehemu ya utekelezaji wa uanachama wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na jitihada za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Tanzania 🇹🇿 ilikuwa imeondoa utaratibu wa malipo ya visa kwa Raia wa DRC tangu Septemba 2, 2023, ikitarajia hatua ya kurudishiwa fadhila. Uamuzi wa sasa wa DR Congo unaimarisha mahusiano ya ujirani mwema na kufungua fursa zaidi za biashara na ushirikiano wa kikanda. Serikali ya Tanzania imesifu hatua hiyo, ikisisitiza kuwa inalingana na ajenda za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mkataba wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA). Hatua hii inaashiria ushirikiano bora wa kidiplomasia na unaleta unafuu mkubwa kwa Wafanyabiashara na wasafiri wa pande zote mbili.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·179 Просмотры
  • NIVESHE IDD

    Alhamdulillah
    Jana tumetoa sadaka z iftar kwa wajane n walemavu

    ndugu Nawaomba
    Pia tuna watoto 10 yatima wanafunga Wallah tuwakumbuke TUVESHE HAWA WATOTO WETU 10
    KILA MTOTO NI 60,000 INAMTOSHA
    60,000×10=600,000

    Tumebakisha siku 15 tu kufikia idd naomba tuwaguse kwa kidogo na kikubwa

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    SADAKA ni ibada
    Alhamdulillah 🤲 Jana tumetoa sadaka z iftar kwa wajane n walemavu ndugu Nawaomba Pia tuna watoto 10 yatima wanafunga Wallah ❤️ tuwakumbuke TUVESHE HAWA WATOTO WETU 10 KILA MTOTO NI 60,000 INAMTOSHA 60,000×10=600,000 Tumebakisha siku 15 tu kufikia idd naomba tuwaguse kwa kidogo na kikubwa 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED SADAKA ni ibada
    Tsh0 Raised of Tsh600000
    0%
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·177 Просмотры ·0 Donations
  • VITABU VYENYE NGUVU DUNIANI AMBAVYO HAUTAFUNDISHWA SHULENI: SIRI KUBWA YA UTAJIRI WA ULIMWENGU!

    Je, umefundishwa katika dini yako kuwa Biblia na Quran ndio vitabu pekee vyenye nguvu na maajabu? Ni kweli vitabu hivi ni miongoni mwa vitabu vyenye maajabu, ila kuna baddhi ya vitabu vinavyofichwa kutokana na nguvu zake za kubadili maisha ya watu, kwa utajiri ama wakawa masikini wa kutupwa na hata kuwa wenye mikosi mikubwa.

    Dunia imejawa siri ambazo wachache wanazitumia kujinufaisha na kujitajirisha, huku wakiwadanganya wengine Kuwa ili ufanikiwe basi wafaa upate muda wa kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa, uwe mvumilivu, Ufanye kazi kwa bidii na mambo mengine mengi,
    lakini hawakuambii mambo ya siri wanayoyafanya na vitabu vya siri wanavyosoma ili kukuza utajiri wao na mvuto wao katika ulimwengu.

    Leo hii nimekuletea vitabu vya siri zaidi ya Biblia na Quran, vyenye nguvu sana, na vinavyotumika kubadili maisha ya Matajiri wa dunia hii, na imebakia kuwa siri kwao, wakiificha kwa nguvu zote na kuhakikisha wachache wanaifahamu, huku wengi wakitiwa hofu ya kuiogopa siri hii na kuviona vitabu hivi kama vya mashetani.

    1. The Book of Abramelin the Mage – Kitabu cha kale cha uchawi kinachoeleza njia za kuwasiliana na malaika na nguvu za kichawi. Kitabu hiki kina nguvu za kukufundisha ushirikina na upeo wa juu unaopita uwezo wa kawaida wa mwanadamu.

    2.The Lesser Key of Solomon (Lemegeton) – Kitabu cha uchawi kinachodaiwa kuwa na mafundisho ya mfalme Sulemani kuhusu majini na roho. Ni kitabu kinachosadikika kuandikwa na mfalme wa Israel ajulikanaye kama sulemani, kikiwa kimejaa elimu ya kiroho, na namna ya kuyatumia majini katika shughuli za kila siku bila kutumia nguvu kubwa.

    3.Picatrix – Kitabu cha uchawi wa Kiarabu kinachoeleza jinsi ya kutumia nyota na sayari kwa utajiri. Masomo mengi yanayohusiana na nyota pamoja na bahati, hutolewa katika kitabu hiki cha ajabu. Kuna matamshi ya kiarabu katika kitabu hiki yenye nguvu ya kuleta maajabu usiyotarajia, ambayo sitayasema katika makala hii kwa kuwa sifundishi uchawi, nafunua siri zilizofichwa na mabeberu wachache ili waendelee kuitawala dunia hii kiuchumi na kuwa na nguvu ya ushawishi.

    4.The Kybalion – Kitabu cha Hermeticism kinachofundisha sheria saba za ulimwengu zinazodaiwa kuwa na nguvu za kimetafizikia, zinazoleta mvuto kwa watu wanaokutazama, ushawishi kwa wanaokusikiliza na Nguvu ya fedha.

    5. The Secret (Rhonda Byrne) – Kitabu kinachoelezea sheria ya mvutano (Law of Attraction) na jinsi ya kutumia mawazo kuvutia mafanikio na utajiri. Kitabu hiki ni cha ajabu maana kimejawa na siri zenye uwezo wa Kubadili uchumi wako.

    6. Necronomicon – Ingawa ni kitabu cha kubuniwa na H.P. Lovecraft, kimekuwa na hadithi nyingi zinazodai kuwa kina maelezo ya siri za ulimwengu. Usisome kitabu hiki maana kinaweza kuleta shida maishani mwako bila kupata mwongozo kamili.

    7.The Voynich Manuscript – Kitabu cha ajabu kilichoandikwa kwa lugha isiyojulikana na hakijafasiriwa hadi sasa. Kimekosa tafsiri yake kutokana na ukweli kuwa kiliandikwa katika lugha ambayo haipo hapa duniani, ama ilikuwapo ila imepotea.

    Vitabu hivi ndivyo vinavyowafanya watu kuwa na mvuto, na utajiri mkubwa duniani. Kwa kweli huwezi kuwa na mvuto mkubwa ama utajiri mkubwa duniani pasina kusoma vitabu hivi na kufuata kanuni zake, wenda kama utakuwa tajiri kijijini kwenu lakini si duniani.

    Nikiwa namalizia, kuna Vitabu vyenye nguvu ya kukutajirisha, vyenye nguvu ya kukulaani na hata kukuletea mikosi isiyokoma, ambavyo vimekuwa vikihifadhiwa kwa siri sana, ili kutumiwa na wachache kwa malengo mahususi. Wapo watu kadhaa wanaopinga nguvu ya maandishi katika vitabu wakiidharau na kuyaona maandishi kama herufi za kawaida sana, lakini ukweli ni kuwa kuna nguvu katika vitabu, kuna maajabu katika vitabu na kuna watu waliofunga maisha yao kwa kusoma vifungu fulani kimakosa katika vitabu. Hebu kuwa makini na kila kitabu unachosoma. Hakikisha kwanza kitabu usomacho ni salama, maana kuna vitabu kama vile "Necronomicon, The book of Soyga, The grand Grimoire, n.k" vinavyoweza kukuletea shida na hata mikosi maishani mwako.
    VITABU VYENYE NGUVU DUNIANI AMBAVYO HAUTAFUNDISHWA SHULENI: SIRI KUBWA YA UTAJIRI WA ULIMWENGU! Je, umefundishwa katika dini yako kuwa Biblia na Quran ndio vitabu pekee vyenye nguvu na maajabu? Ni kweli vitabu hivi ni miongoni mwa vitabu vyenye maajabu, ila kuna baddhi ya vitabu vinavyofichwa kutokana na nguvu zake za kubadili maisha ya watu, kwa utajiri ama wakawa masikini wa kutupwa na hata kuwa wenye mikosi mikubwa. Dunia imejawa siri ambazo wachache wanazitumia kujinufaisha na kujitajirisha, huku wakiwadanganya wengine Kuwa ili ufanikiwe basi wafaa upate muda wa kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa, uwe mvumilivu, Ufanye kazi kwa bidii na mambo mengine mengi, lakini hawakuambii mambo ya siri wanayoyafanya na vitabu vya siri wanavyosoma ili kukuza utajiri wao na mvuto wao katika ulimwengu. Leo hii nimekuletea vitabu vya siri zaidi ya Biblia na Quran, vyenye nguvu sana, na vinavyotumika kubadili maisha ya Matajiri wa dunia hii, na imebakia kuwa siri kwao, wakiificha kwa nguvu zote na kuhakikisha wachache wanaifahamu, huku wengi wakitiwa hofu ya kuiogopa siri hii na kuviona vitabu hivi kama vya mashetani. 1. The Book of Abramelin the Mage – Kitabu cha kale cha uchawi kinachoeleza njia za kuwasiliana na malaika na nguvu za kichawi. Kitabu hiki kina nguvu za kukufundisha ushirikina na upeo wa juu unaopita uwezo wa kawaida wa mwanadamu. 2.The Lesser Key of Solomon (Lemegeton) – Kitabu cha uchawi kinachodaiwa kuwa na mafundisho ya mfalme Sulemani kuhusu majini na roho. Ni kitabu kinachosadikika kuandikwa na mfalme wa Israel ajulikanaye kama sulemani, kikiwa kimejaa elimu ya kiroho, na namna ya kuyatumia majini katika shughuli za kila siku bila kutumia nguvu kubwa. 3.Picatrix – Kitabu cha uchawi wa Kiarabu kinachoeleza jinsi ya kutumia nyota na sayari kwa utajiri. Masomo mengi yanayohusiana na nyota pamoja na bahati, hutolewa katika kitabu hiki cha ajabu. Kuna matamshi ya kiarabu katika kitabu hiki yenye nguvu ya kuleta maajabu usiyotarajia, ambayo sitayasema katika makala hii kwa kuwa sifundishi uchawi, nafunua siri zilizofichwa na mabeberu wachache ili waendelee kuitawala dunia hii kiuchumi na kuwa na nguvu ya ushawishi. 4.The Kybalion – Kitabu cha Hermeticism kinachofundisha sheria saba za ulimwengu zinazodaiwa kuwa na nguvu za kimetafizikia, zinazoleta mvuto kwa watu wanaokutazama, ushawishi kwa wanaokusikiliza na Nguvu ya fedha. 5. The Secret (Rhonda Byrne) – Kitabu kinachoelezea sheria ya mvutano (Law of Attraction) na jinsi ya kutumia mawazo kuvutia mafanikio na utajiri. Kitabu hiki ni cha ajabu maana kimejawa na siri zenye uwezo wa Kubadili uchumi wako. 6. Necronomicon – Ingawa ni kitabu cha kubuniwa na H.P. Lovecraft, kimekuwa na hadithi nyingi zinazodai kuwa kina maelezo ya siri za ulimwengu. Usisome kitabu hiki maana kinaweza kuleta shida maishani mwako bila kupata mwongozo kamili. 7.The Voynich Manuscript – Kitabu cha ajabu kilichoandikwa kwa lugha isiyojulikana na hakijafasiriwa hadi sasa. Kimekosa tafsiri yake kutokana na ukweli kuwa kiliandikwa katika lugha ambayo haipo hapa duniani, ama ilikuwapo ila imepotea. Vitabu hivi ndivyo vinavyowafanya watu kuwa na mvuto, na utajiri mkubwa duniani. Kwa kweli huwezi kuwa na mvuto mkubwa ama utajiri mkubwa duniani pasina kusoma vitabu hivi na kufuata kanuni zake, wenda kama utakuwa tajiri kijijini kwenu lakini si duniani. Nikiwa namalizia, kuna Vitabu vyenye nguvu ya kukutajirisha, vyenye nguvu ya kukulaani na hata kukuletea mikosi isiyokoma, ambavyo vimekuwa vikihifadhiwa kwa siri sana, ili kutumiwa na wachache kwa malengo mahususi. Wapo watu kadhaa wanaopinga nguvu ya maandishi katika vitabu wakiidharau na kuyaona maandishi kama herufi za kawaida sana, lakini ukweli ni kuwa kuna nguvu katika vitabu, kuna maajabu katika vitabu na kuna watu waliofunga maisha yao kwa kusoma vifungu fulani kimakosa katika vitabu. Hebu kuwa makini na kila kitabu unachosoma. Hakikisha kwanza kitabu usomacho ni salama, maana kuna vitabu kama vile "Necronomicon, The book of Soyga, The grand Grimoire, n.k" vinavyoweza kukuletea shida na hata mikosi maishani mwako.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·196 Просмотры
  • "Simba walitumia kanuni ya 17 (45) kuto kuja uwanjani ila hiyo kanuni ina muongozo wake ambao uliwataka Simba kutoa faarifa ya kutumia uwanja.

    Kwa kigezo hicho hakukuwa na sababu ya Simba kutoleta timu uwanjani

    Leo nimetazama kiwango cha Simba,wachezaji walikuwa sharp,walikuwa na utashi na uwezo wa kufanya mambo yatokee,nahisi wangeweza kushinda hata goli 10.

    Nyie msimu huu Simba wana timu na sielewi kwanini waliogopa kuleta timu uwanjani siku ya tarehe 8

    Sielewi tarehe 8 kwanini hawakuleta timu uwanjani,sielewi,sielewi" - Hans Rafael, Mchambuzi.

    FT': Simba SC 6-0 Dodoma Jiji

    "Simba walitumia kanuni ya 17 (45) kuto kuja uwanjani ila hiyo kanuni ina muongozo wake ambao uliwataka Simba kutoa faarifa ya kutumia uwanja. Kwa kigezo hicho hakukuwa na sababu ya Simba kutoleta timu uwanjani✍️ Leo nimetazama kiwango cha Simba,wachezaji walikuwa sharp,walikuwa na utashi na uwezo wa kufanya mambo yatokee,nahisi wangeweza kushinda hata goli 10. Nyie msimu huu Simba wana timu na sielewi kwanini waliogopa kuleta timu uwanjani siku ya tarehe 8🙌 Sielewi tarehe 8 kwanini hawakuleta timu uwanjani,sielewi,sielewi🖐️" - Hans Rafael, Mchambuzi. FT': Simba SC 6-0 Dodoma Jiji
    0 Комментарии ·0 Поделились ·175 Просмотры
  • MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP
    .
    FT: SIMBA SC 3-0 TMA


    #paulswai
    MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP . FT: SIMBA SC 3-0 TMA #paulswai
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·254 Просмотры
  • Alhamdulillah MASHALLAH

    napokea iftari kwa AJILI ya ndugu ndugu zetu mayatima wajane mafakir


    Tunaomba swadaka ya kufturisha ndugu waislam wenzetu katika funga hii
    Swadaka ni tiba swadaka ni ibada kubwa zaidi
    ibada

    SUKARI KG 100
    TAMBI
    MCHELE KG 200
    NGANO KG 100

    CHANGIA SADAKA KIDOGO KWA PALE ULIPO BARIKIWA ALLAH ATAKULIPA

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    SWADAKA NDIO IBADA KUBWA ZAIDI
    Alhamdulillah MASHALLAH 🤲 napokea iftari kwa AJILI ya ndugu ndugu zetu mayatima wajane mafakir Tunaomba swadaka ya kufturisha ndugu waislam wenzetu katika funga hii Swadaka ni tiba swadaka ni ibada kubwa zaidi ibada SUKARI KG 100 TAMBI MCHELE KG 200 NGANO KG 100 CHANGIA SADAKA KIDOGO KWA PALE ULIPO BARIKIWA ALLAH ATAKULIPA 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED SWADAKA NDIO IBADA KUBWA ZAIDI
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·337 Просмотры
  • SOFTWARE ZINAZOTUMIKA KUFLASH SIMU ZA AINA ZOTE

    software hizo apo unaweza kutumia kutoa lock za simu, na lock z mordem zitumie line zote

    Hizo apo chini ndo list ya software zenyewe

    Softwares
    Miracle box
    Oss Client Pro
    Z3x Premium
    Gsm Alladin
    Infinix Box
    Octopus Samsung
    DC Unlocker
    NCK Box & Nck Dongle
    SP Flash Tool
    Infinity Best Dongle box
    Furious gold tool box
    Mtk Tool Box
    Octoplus Suite
    Volcano box
    Merapi tool
    Xt2 clip box
    SP Flash Tool
    Infinity Chinese miracle 2 Mtk box
    GbKEY Dongle
    Smart clip 2 tool
    CS Tool Dongle
    Medusa Pro Box
    BST dongle
    UFI Box International Version
    Atf box
    Avenger box
    Magma box
    Ultimate Multi Tool Box
    GPG Dragon
    Zamsung Crypter Advance Frp Tool Remover

    Je unatka kusoma na kupata izi link za program.
    🎉SOFTWARE ZINAZOTUMIKA KUFLASH SIMU ZA AINA ZOTE 🦠software hizo apo unaweza kutumia kutoa lock za simu, na lock z mordem zitumie line zote 🦠Hizo apo chini ndo list ya software zenyewe Softwares 💢Miracle box 💢Oss Client Pro 💢Z3x Premium 💢Gsm Alladin 💢Infinix Box 💢Octopus Samsung 💢DC Unlocker 💢NCK Box & Nck Dongle 💢SP Flash Tool 💢Infinity Best Dongle box 💢Furious gold tool box 💢Mtk Tool Box 💢Octoplus Suite 💢Volcano box 💢Merapi tool 💢Xt2 clip box 💢SP Flash Tool 💢Infinity Chinese miracle 2 Mtk box 💢GbKEY Dongle 💢Smart clip 2 tool 💢CS Tool Dongle 💢Medusa Pro Box 💢BST dongle 💢UFI Box International Version 💢Atf box 💢Avenger box 💢Magma box 💢Ultimate Multi Tool Box 💢GPG Dragon 💢Zamsung Crypter Advance Frp Tool Remover Je unatka kusoma na kupata izi link za program. 🥱🥱🥱
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·398 Просмотры
  • #SportsElite
    #FT
    #SportsElite🇪🇦 #FT
    0 Комментарии ·0 Поделились ·285 Просмотры
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue FT
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue FT
    Sad
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·442 Просмотры
  • #SportsElite
    #NBCPremierligue FT
    #SportsElite🇹🇿 #NBCPremierligue FT
    Like
    Yay
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·472 Просмотры
  • #SportsElite
    #Laliga FT
    #SportsElite🇪🇦 #Laliga FT
    Yay
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·390 Просмотры
  • Cha msingi We tafta hela tu
    Cha msingi We tafta hela tu😂
    Haha
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·219 Просмотры
  • FT: Barcelona 1️⃣ - 0️⃣ Rayo Vallecano
    Lewandowski
    FT: Barcelona 1️⃣ - 0️⃣ Rayo Vallecano Lewandowski ⚽
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·213 Просмотры
  • After valentine day me to pay all bills
    After valentine day me to pay all bills🤣
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·279 Просмотры
  • Movie Name: Den of Thieves 2: Pantera (2025)
    Rating: 219
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 144 min.
    Language: English
    Subtitles: English
    Credit Cast: Gerard Butler Diamond Film Productions
    Stars: Gerard Butler, O'Shea Jackson, Jr., Evin Ahmad, Salvatore Esposito, Orli Shuka, Stéphane Coulon
    Genres: Action, Crime, Thriller

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/604685/DenofThieves2Pantera
    Movie Name: Den of Thieves 2: Pantera (2025) Rating: 219 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 144 min. Language: English Subtitles: English Credit Cast: Gerard Butler Diamond Film Productions Stars: Gerard Butler, O'Shea Jackson, Jr., Evin Ahmad, Salvatore Esposito, Orli Shuka, Stéphane Coulon Genres: Action, Crime, Thriller Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/604685/DenofThieves2Pantera
    0 Комментарии ·0 Поделились ·606 Просмотры
  • #SprtsElite
    #UEFA FT
    #SprtsElite #UEFA FT
    Sad
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·326 Просмотры
  • #SportsElite
    FT: Everton vs Liverpool
    #SportsElite🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 FT: Everton vs Liverpool
    Angry
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·296 Просмотры
  • Mwaka 2017, Program hii ya aina ya CHATGPT kabla haijaanza kuitwa Akili bandia, Mfanyabiashara Tajiri na maarufu Duniani, Bill Gates alisema kuwa Tekinolojia hii inaweza kuwa tishio baadaye. Kwa sasa inaonyesha jinsi gani Teknolojia za AI zinavyoshika kasi Duniani kote.

    Mwanzilishi huyo wa kampuni ya Microsoft, Bill gates alisema kuwa kampuni ambazo zinaunda Maroboti kwa ajili ya kuchukua ajira za Watu wanatakiwa kulipia kodi ya kuhusu mashine (Roboti) hizo kama wanavyofanya kwa Wanadamu wanavyolipa kodi.

    Kutokana na maendeleo ya Tekinolojia ya AI inavyokwenda kwa kasi na inatishia kuchukua kazi za Watu mbalimbali basi, inapaswa wale Wamiliki wa maroboti kulipa kodi ya mashine zao ili kuwepo na usawa huo kati ya mashine hizo na Binadamu (Watu) kwa sababu Watu wanalipa kodi kwa ajili ya kazi zao ila maroboti hayo hayalipi kodi kwa kufanya kazi hizo za Kibinadamu.

    Mwaka 2017, Program hii ya aina ya CHATGPT kabla haijaanza kuitwa Akili bandia, Mfanyabiashara Tajiri na maarufu Duniani, Bill Gates alisema kuwa Tekinolojia hii inaweza kuwa tishio baadaye. Kwa sasa inaonyesha jinsi gani Teknolojia za AI zinavyoshika kasi Duniani kote. Mwanzilishi huyo wa kampuni ya Microsoft, Bill gates alisema kuwa kampuni ambazo zinaunda Maroboti kwa ajili ya kuchukua ajira za Watu wanatakiwa kulipia kodi ya kuhusu mashine (Roboti) hizo kama wanavyofanya kwa Wanadamu wanavyolipa kodi. Kutokana na maendeleo ya Tekinolojia ya AI inavyokwenda kwa kasi na inatishia kuchukua kazi za Watu mbalimbali basi, inapaswa wale Wamiliki wa maroboti kulipa kodi ya mashine zao ili kuwepo na usawa huo kati ya mashine hizo na Binadamu (Watu) kwa sababu Watu wanalipa kodi kwa ajili ya kazi zao ila maroboti hayo hayalipi kodi kwa kufanya kazi hizo za Kibinadamu.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·580 Просмотры
  • STOP checking up on them. STOP responding. Let them go in peace. What's meant for you will find you. It's time to shift the focus. FOCUS on your GOALS, GLOW, & GRIND
    STOP checking up on them. STOP responding. Let them go in peace. What's meant for you will find you. It's time to shift the focus. FOCUS on your GOALS, GLOW, & GRIND‼️
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·341 Просмотры
  • Alimtafta sana
    Alimtafta sana🔥
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·199 Просмотры
Расширенные страницы