• _|| ๐— ๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐—•๐—œ๐—ž๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—š๐—” ๐—ช๐—”๐—ข๐— ๐—•๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—–๐—›๐—จ๐—ž๐—จ๐—” ๐—ง๐—”๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—œ.

    Uongozi wa klabu ya Yanga umewataka mashabiki watakaojitokeza uwanja wa Benjamin Mkapa leo katika mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Al Hilal kutofanya vurugu ili kuepuka adhabu ya Shirikisho la soka barani Afrika (CAF)

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema mashabiki hawapaswi kuwasha fataki, moto au kufanya vurugu za aina yoyote

    “Niwaombe mashabiki wote mtakaokuja uwanjani, tuendeleze utamaduni wetu wa amani na utulivu, tushangilie timu yetu kistaarabu bila ya vurugu wala kuwasha moto na kupiga fataki’’

    “Baadhi ya timu zimefungiwa kuingiza mashabiki katika mechi zao kutokana na matukio ya aina hiyo. Hivyo tunapaswa kuepuka vurugu za aina yoyote ili tuhakikishe mechi zetu zote tutakazocheza nyumbani mashabiki wanaruhusiwa," alisema Kamwe

    MC Alger ya Algeria ni miongoni mwa klabu ambazo zimefungiwa kuingiza mashabiki katika mechi zao kutokana na matukio ya vurugu

    Baada ya mchezo dhidi ya Al Hilal, mchezo utakaofuata Yanga itachuana na MC Alger huko Algeria Disemba 07 na kutokana na kifungo hicho cha MC Alger, hakutakuwa na mashabiki.

    #Mknewsswahili
    ๐Ÿšจ_|| ๐— ๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐—•๐—œ๐—ž๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—š๐—” ๐—ช๐—”๐—ข๐— ๐—•๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—–๐—›๐—จ๐—ž๐—จ๐—” ๐—ง๐—”๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—œ. Uongozi wa klabu ya Yanga umewataka mashabiki watakaojitokeza uwanja wa Benjamin Mkapa leo katika mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Al Hilal kutofanya vurugu ili kuepuka adhabu ya Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema mashabiki hawapaswi kuwasha fataki, moto au kufanya vurugu za aina yoyote “Niwaombe mashabiki wote mtakaokuja uwanjani, tuendeleze utamaduni wetu wa amani na utulivu, tushangilie timu yetu kistaarabu bila ya vurugu wala kuwasha moto na kupiga fataki’’ “Baadhi ya timu zimefungiwa kuingiza mashabiki katika mechi zao kutokana na matukio ya aina hiyo. Hivyo tunapaswa kuepuka vurugu za aina yoyote ili tuhakikishe mechi zetu zote tutakazocheza nyumbani mashabiki wanaruhusiwa," alisema Kamwe MC Alger ya Algeria ni miongoni mwa klabu ambazo zimefungiwa kuingiza mashabiki katika mechi zao kutokana na matukio ya vurugu Baada ya mchezo dhidi ya Al Hilal, mchezo utakaofuata Yanga itachuana na MC Alger huko Algeria Disemba 07 na kutokana na kifungo hicho cha MC Alger, hakutakuwa na mashabiki. #Mknewsswahili
    Like
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท319 Views
  • _|| ๐—™๐—จ๐—Ÿ๐—Ÿ ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜ : CAF Champions League

    PYRAMIDS SC 5๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ SAGRADA ESPERANCA
    โšฝ๏ธ 17" Adel
    โšฝ๏ธ 50" Hamdi
    โšฝ๏ธ 74" Adel
    โšฝ๏ธ 77" Mayele
    โšฝ๏ธ 89" El Sayed
    -------------------------------------
    โšฝ๏ธ 90+2" Cachi

    #Mknewsswahili
    ๐Ÿšจ_|| ๐—™๐—จ๐—Ÿ๐—Ÿ ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜ : CAF Champions League PYRAMIDS SC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 5๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ SAGRADA ESPERANCA ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด โšฝ๏ธ 17" Adel โšฝ๏ธ 50" Hamdi โšฝ๏ธ 74" Adel โšฝ๏ธ 77" Mayele โšฝ๏ธ 89" El Sayed ------------------------------------- โšฝ๏ธ 90+2" Cachi #Mknewsswahili
    Like
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท188 Views