• beat by myself https://www.youtube.com/watch?v=FMdM4vSgwwk&pp=0gcJCbAJAYcqIYzv
    beat by myself https://www.youtube.com/watch?v=FMdM4vSgwwk&pp=0gcJCbAJAYcqIYzv
    0 Comments ·0 Shares ·48 Views
  • Kurudi huku ni tofauti...

    Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana.

    Hii ni kwa ajili yangu...

    Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika.

    sina hasira. Nimemaliza...

    Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha.

    Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante.
    Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.

    Kurudi huku ni tofauti... Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana. Hii ni kwa ajili yangu... Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika. sina hasira. Nimemaliza... Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha. Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante. Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·117 Views
  • What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others

    .Example of King Josiah (2 Kings 22)
    Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13).

    He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands.

    To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16)

    Joshua gave the Israelites a choice:

    serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You
    Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to:

    Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others.

    Challenge
    Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More
    If you want to study God’s Word more,
    join this WhatsApp group:
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR

    Sylvester Mwakabende from Build New Eden.
    #BuildNewEden
    #RestoreMenPosition
    What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others .Example of King Josiah (2 Kings 22) Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13). He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands. To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16) Joshua gave the Israelites a choice: serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to: Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others. Challenge Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More If you want to study God’s Word more, join this WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR Sylvester Mwakabende from Build New Eden. #BuildNewEden #RestoreMenPosition
    0 Comments ·0 Shares ·387 Views
  • I will never change my personality to make someone love me,loving me is your choice and hate me is your decision.
    I will never change my personality to make someone love me,loving me is your choice and hate me is your decision.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·102 Views
  • 1 Yohana 3:1-3
    [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
    .
    [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.

    [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

    Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi.

    Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo.

    Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani.

    Yohana 1:12-13
    [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

    [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

    Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia.

    Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee.

    Yohana 20:17
    [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

    Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida.

    Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana.

    Yohana 16:4
    [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.

    Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo .

    Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden)

    #Restoremenposition
    #Buildneweden
    1 Yohana 3:1-3 [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. . [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu. Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi. Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo. Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani. Yohana 1:12-13 [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia. Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee. Yohana 20:17 [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida. Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana. Yohana 16:4 [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo . Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake. Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden) #Restoremenposition #Buildneweden
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·480 Views
  • "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "

    Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .

    Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .

    Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.

    Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .

    Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.

    Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .

    Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .

    Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa


    Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .

    Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.

    Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..

    Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "

    Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #restore men position
    Build new eden
    "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa " Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa . Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye . Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake. Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi . Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo. Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra . Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo . Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi . Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu. Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa .. Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako " Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #restore men position Build new eden
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·356 Views
  • Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba.

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa.

    Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa .

    Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa.

    Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa


    Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa .

    Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao .

    Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ?

    Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana.

    Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa?

    Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ?

    Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako.

    Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako.


    Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi .

    Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa. Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa . Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa. Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa . Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao . Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ? Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana. Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa? Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ? Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako. Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako. Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi . Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·344 Views
  • HIVI ULIKUA UNALIJUA ILI?
    KABLA NCHI AMBAYO PESA ZIPO KILA MAHALI!

    Karibu kwenye Somaliland nchi isiyo rasmi iliyojitangazia uhuru kutoka Somalia.

    Hapa, pesa si kitu cha kuvutia ni kama karatasi tu.
    Kila mtu anatembea na maburungutu ya noti mfukoni, kwenye mifuko ya plastiki au hata kwenye ndoo!

    Kwenye maduka, huwezi kuona "Lipa kwa Simu" au POS za swipe.

    Hii ni kwa sababu uchumi wao unategemea sana pesa taslimu.
    Mfumo wa mabenki haujasambaa, na watu wengi hawana akaunti ya benki kabisa.

    Sasa fikiria hili:
    Unataka kununua mbuzi sokoni bei ni 600,000 Somaliland Shillings.

    Unatoa maburungutu yako kwenye mfuko wa nailoni na kuhesabu huku unatokwa na jasho.

    Lakini kwanini watu wabebe noti nyingi kiasi hicho?

    Kwa sababu sarafu yao haina thamani kabisa!
    1 USD ni zaidi ya 8,000 SLSH.
    Yaani, hata ukitoa noti laki moja, huwezi kununua soda 3 vizuri.

    Na cha ajabu zaidi:
    Hakuna ATM nyingi, hakuna mabenki ya kisasa, na watu wengi hawana access na huduma za kifedha.

    Wanalazimika kutegemea cash economy, iliyojaa risks kama wizi au usumbufu.

    Sasa unaweza kujiuliza:
    “Hii si inawapa tabu sana?”

    Ni kweli. Lakini pia kuna upande mwingine:
    Kwa sababu hakuna mifumo ya kisasa, Watu wa Somaliland wamejenga ustahimilivu wa kipekee.
    Wanajua kuishi kwa pesa isiyo na nguvu.

    Kuna bidhaa haziuzwi kwa SLSH hata kidogo.
    Wenye maduka wanakataa kabisa.
    Wanaomba malipo kwa Dola au shilingi ya Ethiopia sarafu zenye nguvu zaidi.

    Ili kuepuka matatizo, kuna watu waliamua KUCHAPISHA PESA KUBWA!

    Yaani noti za SLSH 5,000 au 10,000, ambazo hazina hata security features za maana.
    Ni kama kupiga photostat ya pesa.
    Matokeo? Pesa nyingi, thamani hakuna!

    Somaliland inatufundisha kitu muhimu sana:

    Pesa inaweza kuwa nyingi sana mpaka ukaichoka lakini bila thamani ya kweli, haina maana.

    Hii ni reality ya taifa linaloishi kwenye mzigo wa fedha zisizo na nguvu.

    Kama uliwahi kufikiri una pesa nyingi lakini huna kitu karibu Somaliland, utajua maana halisi.

    Je, unadhani ni bora kuwa na hela nyingi zisizo na thamani, au kidogo zenye nguvu?

    Comment

    Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    HIVI ULIKUA UNALIJUA ILI? KABLA NCHI AMBAYO PESA ZIPO KILA MAHALI! Karibu kwenye Somaliland nchi isiyo rasmi iliyojitangazia uhuru kutoka Somalia. Hapa, pesa si kitu cha kuvutia ni kama karatasi tu. Kila mtu anatembea na maburungutu ya noti mfukoni, kwenye mifuko ya plastiki au hata kwenye ndoo! Kwenye maduka, huwezi kuona "Lipa kwa Simu" au POS za swipe. Hii ni kwa sababu uchumi wao unategemea sana pesa taslimu. Mfumo wa mabenki haujasambaa, na watu wengi hawana akaunti ya benki kabisa. Sasa fikiria hili: Unataka kununua mbuzi sokoni bei ni 600,000 Somaliland Shillings. Unatoa maburungutu yako kwenye mfuko wa nailoni na kuhesabu huku unatokwa na jasho. Lakini kwanini watu wabebe noti nyingi kiasi hicho? Kwa sababu sarafu yao haina thamani kabisa! 1 USD ni zaidi ya 8,000 SLSH. Yaani, hata ukitoa noti laki moja, huwezi kununua soda 3 vizuri. Na cha ajabu zaidi: Hakuna ATM nyingi, hakuna mabenki ya kisasa, na watu wengi hawana access na huduma za kifedha. Wanalazimika kutegemea cash economy, iliyojaa risks kama wizi au usumbufu. Sasa unaweza kujiuliza: “Hii si inawapa tabu sana?” Ni kweli. Lakini pia kuna upande mwingine: Kwa sababu hakuna mifumo ya kisasa, Watu wa Somaliland wamejenga ustahimilivu wa kipekee. Wanajua kuishi kwa pesa isiyo na nguvu. Kuna bidhaa haziuzwi kwa SLSH hata kidogo. Wenye maduka wanakataa kabisa. Wanaomba malipo kwa Dola au shilingi ya Ethiopia sarafu zenye nguvu zaidi. Ili kuepuka matatizo, kuna watu waliamua KUCHAPISHA PESA KUBWA! Yaani noti za SLSH 5,000 au 10,000, ambazo hazina hata security features za maana. Ni kama kupiga photostat ya pesa. Matokeo? Pesa nyingi, thamani hakuna! Somaliland inatufundisha kitu muhimu sana: Pesa inaweza kuwa nyingi sana mpaka ukaichoka lakini bila thamani ya kweli, haina maana. Hii ni reality ya taifa linaloishi kwenye mzigo wa fedha zisizo na nguvu. Kama uliwahi kufikiri una pesa nyingi lakini huna kitu karibu Somaliland, utajua maana halisi. Je, unadhani ni bora kuwa na hela nyingi zisizo na thamani, au kidogo zenye nguvu? Comment Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·303 Views
  • 1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona .

    My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako .

    Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako.

    Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida.

    3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo.

    4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote .

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32

    5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako .

    Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa.
    Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe.
    *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10.
    Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri .
    Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto.

    6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa .

    Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake .

    Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano .

    Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine.

    Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo.


    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona . My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako . Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako. Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida. 3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo. 4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote . Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32 5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako . Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa. Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10. Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri . Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto. 6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa . Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake . Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano . Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine. Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·531 Views
  • Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/
    Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah
    Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need.
    From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations.
    What Makes a Good Umrah Package?
    Not all packages are created equal. I realized this the hard way.
    A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included:
    Visa processing
    Roundtrip airfare
    Hotel accommodation near Haram
    Ground transportation
    Daily guidance or group leaders
    It took some comparing, but I found the best one with transparent services.
    Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families
    August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families.
    This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship.
    One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith.
    Budgeting Your Umrah Trip from Houston
    Let’s talk money because it's important.
    My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either.
    Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision.
    Choosing Between Group and Solo Umrah Packages
    Both options have their perks.
    Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating.
    If you're a confident traveler, solo might be your calling.
    My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US
    I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth.
    From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference.
    No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service.
    Best Travel Tips for Umrah from Houston
    Always carry a small power bank and extra Ihram
    Learn basic Arabic phrases to navigate easily
    Choose a hotel within walking distance to the Haram
    Carry your own prayer mat
    Hydrate often, especially during August Umrah Packages
    These small steps made my trip easier and more focused.
    What I Gained Beyond the Rituals
    Performing Umrah wasn’t just about the rituals.
    It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark.
    The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics.
    Houston Umrah Options Are Expanding
    Every year, more travel agencies in Houston join the market.
    That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans.
    I’m already planning to go again next year, insha’Allah.
    Final Thoughts: Make It Your Journey
    Your spiritual journey is yours to shape.
    While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule.
    If you're in Houston, you're in the right place to begin.
    Frequently Asked Questions
    1. How early should I book my Umrah package from Houston?
    I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages.
    2. Can I customize my Umrah package?
    Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration.
    3. What documents are required for an Umrah visa from the US?
    You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/ Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need. From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations. What Makes a Good Umrah Package? Not all packages are created equal. I realized this the hard way. A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included: Visa processing Roundtrip airfare Hotel accommodation near Haram Ground transportation Daily guidance or group leaders It took some comparing, but I found the best one with transparent services. Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families. This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship. One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith. Budgeting Your Umrah Trip from Houston Let’s talk money because it's important. My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either. Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision. Choosing Between Group and Solo Umrah Packages Both options have their perks. Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating. If you're a confident traveler, solo might be your calling. My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth. From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference. No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service. Best Travel Tips for Umrah from Houston Always carry a small power bank and extra Ihram Learn basic Arabic phrases to navigate easily Choose a hotel within walking distance to the Haram Carry your own prayer mat Hydrate often, especially during August Umrah Packages These small steps made my trip easier and more focused. What I Gained Beyond the Rituals Performing Umrah wasn’t just about the rituals. It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark. The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics. Houston Umrah Options Are Expanding Every year, more travel agencies in Houston join the market. That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans. I’m already planning to go again next year, insha’Allah. Final Thoughts: Make It Your Journey Your spiritual journey is yours to shape. While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule. If you're in Houston, you're in the right place to begin. Frequently Asked Questions 1. How early should I book my Umrah package from Houston? I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages. 2. Can I customize my Umrah package? Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration. 3. What documents are required for an Umrah visa from the US? You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    0 Comments ·0 Shares ·970 Views
  • Ufunuo wa Yohana 6:9-11
    [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la :
    [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?

    [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao.

    *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.*

    Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa.

    Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama.

    *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* .

    Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza.

    Galatia 6:9-10
    *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.*

    Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema.

    *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34

    Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi).

    Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini.

    51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51)

    Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia .

    Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana.
    Mathayo 23:35
    *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu*

    Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana .

    Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake.
    Mwanzo 4:10-12
    *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”*

    *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* .

    Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote .

    *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.*

    Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika .
    Yeremia 23:1
    *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA*

    *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .*

    Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    Ufunuo wa Yohana 6:9-11 [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la : [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi? [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao. *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.* Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa. Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama. *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* . Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza. Galatia 6:9-10 *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.* Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema. *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34 Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi). Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini. 51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51) Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia . Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana. Mathayo 23:35 *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu* Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana . Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake. Mwanzo 4:10-12 *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”* *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* . Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote . *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.* Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika . Yeremia 23:1 *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA* *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .* Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·828 Views
  • "Uzito wa Vita vya Kimya"

    Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati.

    Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako.

    Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi.

    Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako.

    Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika.

    Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii.

    #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    "Uzito wa Vita vya Kimya" Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati. Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako. Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi. Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako. Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika. Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii. ❤️ #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·782 Views
  • Huzuni ni ushahidi...
    Kwamba unaweza kuhisi moyo wako mwenyewe ukivunjika. Ni ukumbusho wa ufahamu wa jinsi ulivyopenda sana, jinsi ulivyojali. Huzuni haiji bila upendo-huzaliwa kutoka kwayo, imeundwa nayo, inachukuliwa mbele kwa sababu yake.

    Huzuni inatisha...
    Kwa sababu haiwezekani kurekebisha sababu ya maumivu haya yote. Haijalishi unajaribu sana, haijalishi ni machozi kiasi gani unayotoa au sala unayonong'ona, mtu uliyempoteza harudi. Na ukweli huo—mwisho wake—ni jambo unalopaswa kukabiliana nalo tena na tena.

    Huzuni ni upweke...
    Hata katika umati wa watu. Kwa sababu mtu pekee ambaye unataka kuzungumza naye ni yule ambaye huwezi kufikia. Kutokuwepo kwao kunasikika kwa sauti kubwa kuliko uwepo wowote. Unakaa ukiwa umezungukwa na sauti, lakini ukimya wa kukosa kusikia kwao huhisi kuziba.

    Huzuni ni kimya…
    Unapojaribu kuungana na yule ambaye amekwenda, na maswali yako yanakutana na ukimya. Unaita, ukitarajia jibu, lakini utupu unabaki bila kubadilika. Ni katika nyakati hizo ambapo huzuni huhisi kuwa nzito-ukumbusho wa kile ambacho kimepotea.

    Huzuni inachosha...
    Kupambana kila wakati dhidi ya hali halisi, kutaka tu kuamka kutoka kwa ndoto hii mbaya. Kila siku unahisi kama kupita kwenye mchanga mwepesi, kila hatua ni ngumu zaidi kuliko ya mwisho.

    Huzuni ni nzito...
    Kusonga mbele katika siku hizi mpya, zisizotambulika katika ulimwengu ambao haujaufahamu sasa. Kila kitu huhisi tofauti kwa sababu hawapo tena. Hata kazi rahisi huhisi kuwa kubwa.

    Lakini huzuni pia ni kipimo...
    cha utupu…
    cha maumivu…
    cha upendo ambao bado unawabeba. Na itakuwa milele.

    Kwa sababu huzuni inaweza kuwa isiyostahimilika, pia ni ushuhuda wa kina cha muunganisho wako. Ni uthibitisho kwamba upendo haupotei-hubadilika. Unakaa moyoni mwako, Ukitengeneza wewe ni nani na kukukumbusha yale muhimu zaidi. ❤

    Hisia za ndani
    mkopo kwa msanii
    Huzuni ni ushahidi... Kwamba unaweza kuhisi moyo wako mwenyewe ukivunjika. Ni ukumbusho wa ufahamu wa jinsi ulivyopenda sana, jinsi ulivyojali. Huzuni haiji bila upendo-huzaliwa kutoka kwayo, imeundwa nayo, inachukuliwa mbele kwa sababu yake. Huzuni inatisha... Kwa sababu haiwezekani kurekebisha sababu ya maumivu haya yote. Haijalishi unajaribu sana, haijalishi ni machozi kiasi gani unayotoa au sala unayonong'ona, mtu uliyempoteza harudi. Na ukweli huo—mwisho wake—ni jambo unalopaswa kukabiliana nalo tena na tena. Huzuni ni upweke... Hata katika umati wa watu. Kwa sababu mtu pekee ambaye unataka kuzungumza naye ni yule ambaye huwezi kufikia. Kutokuwepo kwao kunasikika kwa sauti kubwa kuliko uwepo wowote. Unakaa ukiwa umezungukwa na sauti, lakini ukimya wa kukosa kusikia kwao huhisi kuziba. Huzuni ni kimya… Unapojaribu kuungana na yule ambaye amekwenda, na maswali yako yanakutana na ukimya. Unaita, ukitarajia jibu, lakini utupu unabaki bila kubadilika. Ni katika nyakati hizo ambapo huzuni huhisi kuwa nzito-ukumbusho wa kile ambacho kimepotea. Huzuni inachosha... Kupambana kila wakati dhidi ya hali halisi, kutaka tu kuamka kutoka kwa ndoto hii mbaya. Kila siku unahisi kama kupita kwenye mchanga mwepesi, kila hatua ni ngumu zaidi kuliko ya mwisho. Huzuni ni nzito... Kusonga mbele katika siku hizi mpya, zisizotambulika katika ulimwengu ambao haujaufahamu sasa. Kila kitu huhisi tofauti kwa sababu hawapo tena. Hata kazi rahisi huhisi kuwa kubwa. Lakini huzuni pia ni kipimo... cha utupu… cha maumivu… cha upendo ambao bado unawabeba. Na itakuwa milele. Kwa sababu huzuni inaweza kuwa isiyostahimilika, pia ni ushuhuda wa kina cha muunganisho wako. Ni uthibitisho kwamba upendo haupotei-hubadilika. Unakaa moyoni mwako, Ukitengeneza wewe ni nani na kukukumbusha yale muhimu zaidi. ❤ ✍️Hisia za ndani 🎨mkopo kwa msanii
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·576 Views
  • 4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.

    *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*

    *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*

    Zaburi 127:1-2
    *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*

    Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.

    1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako

    Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*

    Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*

    Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.

    2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya

    Zaburi 91:4
    *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
    Zaburi 121:1-4

    Zaburi 34:7
    *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*

    Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .

    *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
    Ayubu 22:21

    *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*

    Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.

    Kutoka 14;14 SUV
    *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*

    Zaburi 23:4
    *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*

    *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*

    *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*

    *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*

    #build new eden
    #restore men position
    4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu. *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.* *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.* Zaburi 127:1-2 *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."* Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja. 1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama* Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote* Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu. 2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya Zaburi 91:4 *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake* Zaburi 121:1-4 Zaburi 34:7 *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.* Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako . *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .* Ayubu 22:21 *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia* Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu. Kutoka 14;14 SUV *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.* Zaburi 23:4 *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda* *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu* *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.* *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.* #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·819 Views

  • This Battle is Not Yours)
    Exodus 14:13-15
    Moses said to the Israelites, "Do not be afraid! Stand firm! Today you will see how the Lord will save you. The Egyptians you see today, you will never see again. The Lord will fight for you; you need only to be still."

    When the Israelites reached the Red Sea, they thought they had come to the end. Looking back, they saw Pharaoh's army approaching and began to complain, wondering if there were no graves in Egypt that they should die there. They completely lost hope and forgot about the great deeds God had done by rescuing them from Pharaoh.

    God, through Moses, told the Israelites that they would no longer see the Egyptians and that they would witness the salvation of the Lord. The Lord will fight for you; you need to be still.

    And indeed, the Lord fought for them and separated them from the Egyptians, and they remained silent.

    The Lord says, Our battles are not against flesh and blood, but against rulers and authorities of darkness. The problem is not with God; it is with us thinking we have the power to fight the battle without Him, which is not true at all.

    What you first see when facing difficulties is your hope. A child of God must learn to return to God's feet for strength to win the battle.

    Life is a battle, and the world is the battlefield. To succeed, you must choose a side. In this world, there are two main networks fighting: God and Satan. Your connection will determine what package you join.

    An Example of Others God Fought For
    2 Chronicles 20:15-17
    When Jehoshaphat saw the approaching army that was larger than his own, he turned to God, praying for three days. During his prayers, the Lord revealed to him, Do not be afraid or discouraged because of this vast army, for the battle is not yours, but God's.

    Jehoshaphat remembered God's promises to Solomon, which assured him of where to find refuge.

    Where do you turn when troubles arise? To mediums or to the God of your forefathers?

    Once you are saved, learn to submit to God so that He becomes your friend. You won't see battles; they will see the God of your fathers.

    If you are suffering right now, I am here to tell you to rise up and pray to see the salvation of the Lord. If your marriage is troubled, rise and pray to see the salvation of the Lord because that marriage is not yours; He is the one who established it.

    The Lord will fight for you in your finances, and you will be still.

    For the Lord to fight for you, the scriptures say, Know the Lord well, and good things will follow you.

    Paul says we should wear the armor of faith and the Word to defeat the evil one. Remind God of His Word this morning so that He can fight for you.

    Revelation 12:11
    They overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives so much as to shrink from death.

    Through the blood of Jesus, we must win battles. Today, let us use the blood of Jesus as a powerful tool for overcoming and winning battles.

    Thank you very much. If you ask how you can win battles, I want to tell you it is simple: What you need to do is CONFESS JESUS WITH YOUR MOUTH AND BELIEVE (YOU WILL BE SAVED). You will have the same rights to be fought for with Him.

    If you are not saved and want to submit to the God who fights for Israel, who fought for Judah under Jehoshaphat, you can follow this prayer:

    LORD JESUS, I COME TO YOU AS A SINNER. PLEASE FORGIVE MY SINS AND REMOVE MY NAME FROM THE BOOK OF DEATH AND WRITE MY NAME IN THE BOOK OF LIFE FROM NOW AND FOREVER.

    If you follow this with faith, the Lord Jesus will be yours and will start fighting for you, to the point that you will be amazed.

    Thank you. If you have been saved and want to continue learning and receiving spiritual help, you can contact me at 0622625340.

    My name is Sylvester Mwakabende from (Build New Eden).
    Have a blessed Sunday as we pray and seek the Lord's
    This Battle is Not Yours) Exodus 14:13-15 Moses said to the Israelites, "Do not be afraid! Stand firm! Today you will see how the Lord will save you. The Egyptians you see today, you will never see again. The Lord will fight for you; you need only to be still." When the Israelites reached the Red Sea, they thought they had come to the end. Looking back, they saw Pharaoh's army approaching and began to complain, wondering if there were no graves in Egypt that they should die there. They completely lost hope and forgot about the great deeds God had done by rescuing them from Pharaoh. God, through Moses, told the Israelites that they would no longer see the Egyptians and that they would witness the salvation of the Lord. The Lord will fight for you; you need to be still. And indeed, the Lord fought for them and separated them from the Egyptians, and they remained silent. The Lord says, Our battles are not against flesh and blood, but against rulers and authorities of darkness. The problem is not with God; it is with us thinking we have the power to fight the battle without Him, which is not true at all. What you first see when facing difficulties is your hope. A child of God must learn to return to God's feet for strength to win the battle. Life is a battle, and the world is the battlefield. To succeed, you must choose a side. In this world, there are two main networks fighting: God and Satan. Your connection will determine what package you join. An Example of Others God Fought For 2 Chronicles 20:15-17 When Jehoshaphat saw the approaching army that was larger than his own, he turned to God, praying for three days. During his prayers, the Lord revealed to him, Do not be afraid or discouraged because of this vast army, for the battle is not yours, but God's. Jehoshaphat remembered God's promises to Solomon, which assured him of where to find refuge. Where do you turn when troubles arise? To mediums or to the God of your forefathers? Once you are saved, learn to submit to God so that He becomes your friend. You won't see battles; they will see the God of your fathers. If you are suffering right now, I am here to tell you to rise up and pray to see the salvation of the Lord. If your marriage is troubled, rise and pray to see the salvation of the Lord because that marriage is not yours; He is the one who established it. The Lord will fight for you in your finances, and you will be still. For the Lord to fight for you, the scriptures say, Know the Lord well, and good things will follow you. Paul says we should wear the armor of faith and the Word to defeat the evil one. Remind God of His Word this morning so that He can fight for you. Revelation 12:11 They overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives so much as to shrink from death. Through the blood of Jesus, we must win battles. Today, let us use the blood of Jesus as a powerful tool for overcoming and winning battles. Thank you very much. If you ask how you can win battles, I want to tell you it is simple: What you need to do is CONFESS JESUS WITH YOUR MOUTH AND BELIEVE (YOU WILL BE SAVED). You will have the same rights to be fought for with Him. If you are not saved and want to submit to the God who fights for Israel, who fought for Judah under Jehoshaphat, you can follow this prayer: LORD JESUS, I COME TO YOU AS A SINNER. PLEASE FORGIVE MY SINS AND REMOVE MY NAME FROM THE BOOK OF DEATH AND WRITE MY NAME IN THE BOOK OF LIFE FROM NOW AND FOREVER. If you follow this with faith, the Lord Jesus will be yours and will start fighting for you, to the point that you will be amazed. Thank you. If you have been saved and want to continue learning and receiving spiritual help, you can contact me at 0622625340. My name is Sylvester Mwakabende from (Build New Eden). Have a blessed Sunday as we pray and seek the Lord's
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views

  • Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/
    To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/ To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    0 Comments ·0 Shares ·743 Views
  • NINAWEKA KIPAUMBELE AMANI YANGU—NA INAHISI KAMA KUJA NYUMBANI

    Siombi tena msamaha kwa kujichagua.

    Kwa muda mrefu zaidi, niliwamwagia wengine huku nikikimbia nikiwa mtupu. Nilitabasamu nikiwa nimechoka. Nilisema "sijambo" wakati roho yangu ilikuwa inauma. Niliendelea kujitokeza—kwa kila mtu isipokuwa mimi mwenyewe. Lakini sivyo tena.

    Sasa, ninachagua kile kinachofanya moyo wangu kuwa mwepesi.
    Ninachagua aina ya amani ambayo haihitaji kuelezewa.
    Aina ya upendo ambayo hauhitaji mimi kuomba tahadhari.
    Aina ya nishati ambayo inaniacha nimejaa, sio kuvunjika.

    Ninatanguliza kile kinachojisikia vizuri kwa roho yangu -
    Asubuhi tulivu. Maneno ya upole. Watu salama.
    Aina ya mazungumzo ambayo hulisha roho yangu, sio kuitenganisha.

    Ninapenda furaha rahisi:
    Kikombe cha joto cha chai. Sauti ya mvua. Kitabu kinachonielewa.
    Hisia ya kuwa peke yangu lakini sio upweke.
    Utambuzi kwamba sio kila ukimya unahitaji kujazwa.

    Ninajifunza kuwa amani ya kweli haipigi kelele.
    Inanong'ona, "Uko salama sasa."
    Ni wakati unapoacha kujaribu kujithibitisha.
    Ni uhuru wa kuwepo, jinsi ulivyo—bila hukumu, bila utendaji, bila uzito.

    Sifukuzi tena mapenzi ambayo yananichanganya.
    Sio kung'ang'ania tena watu wanaokuja tu wakati wanahitaji.
    Sio kuvumilia tena hali zinazonichosha.

    Kwa sababu hatimaye nimekumbuka mimi ni nani.
    Na kwamba kukumbuka? Huo ndio mwanzo wa kila kitu.

    Kwa hivyo hapa ndio msimu huu wa laini.
    Enzi hii ya uponyaji.
    Toleo hili langu ambalo huchagua amani badala ya shinikizo, uwepo juu ya utendakazi, na upendo—upendo wa kweli—ambalo huhisi kama nyumbani.

    Na unajua nini?
    Kwa mara moja, siishi tu ...
    Ninaipenda.
    NINAWEKA KIPAUMBELE AMANI YANGU—NA INAHISI KAMA KUJA NYUMBANI Siombi tena msamaha kwa kujichagua. Kwa muda mrefu zaidi, niliwamwagia wengine huku nikikimbia nikiwa mtupu. Nilitabasamu nikiwa nimechoka. Nilisema "sijambo" wakati roho yangu ilikuwa inauma. Niliendelea kujitokeza—kwa kila mtu isipokuwa mimi mwenyewe. Lakini sivyo tena. Sasa, ninachagua kile kinachofanya moyo wangu kuwa mwepesi. Ninachagua aina ya amani ambayo haihitaji kuelezewa. Aina ya upendo ambayo hauhitaji mimi kuomba tahadhari. Aina ya nishati ambayo inaniacha nimejaa, sio kuvunjika. Ninatanguliza kile kinachojisikia vizuri kwa roho yangu - Asubuhi tulivu. Maneno ya upole. Watu salama. Aina ya mazungumzo ambayo hulisha roho yangu, sio kuitenganisha. Ninapenda furaha rahisi: Kikombe cha joto cha chai. Sauti ya mvua. Kitabu kinachonielewa. Hisia ya kuwa peke yangu lakini sio upweke. Utambuzi kwamba sio kila ukimya unahitaji kujazwa. Ninajifunza kuwa amani ya kweli haipigi kelele. Inanong'ona, "Uko salama sasa." Ni wakati unapoacha kujaribu kujithibitisha. Ni uhuru wa kuwepo, jinsi ulivyo—bila hukumu, bila utendaji, bila uzito. Sifukuzi tena mapenzi ambayo yananichanganya. Sio kung'ang'ania tena watu wanaokuja tu wakati wanahitaji. Sio kuvumilia tena hali zinazonichosha. Kwa sababu hatimaye nimekumbuka mimi ni nani. Na kwamba kukumbuka? Huo ndio mwanzo wa kila kitu. Kwa hivyo hapa ndio msimu huu wa laini. Enzi hii ya uponyaji. Toleo hili langu ambalo huchagua amani badala ya shinikizo, uwepo juu ya utendakazi, na upendo—upendo wa kweli—ambalo huhisi kama nyumbani. Na unajua nini? Kwa mara moja, siishi tu ... Ninaipenda.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·682 Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·813 Views
  • THANK YOU.

    Luke 17:11-19
    We look at the story of the ten lepers who were all healed.

    However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus.

    Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?"

    This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks.

    What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart."

    In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level.

    He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19)

    So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus.

    With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward.

    If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?"

    This is where you understand that giving thanks is a way to praise God.

    "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9)

    To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful."

    After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21)

    To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57)

    After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2)

    Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7)

    You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards.

    My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340.


    #buildneweden

    ##restoremenposition
    THANK YOU. Luke 17:11-19 We look at the story of the ten lepers who were all healed. However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus. Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?" This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks. What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart." In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level. He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19) So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus. With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward. If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?" This is where you understand that giving thanks is a way to praise God. "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9) To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful." After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21) To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57) After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2) Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7) You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards. My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340. #buildneweden ##restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • ASANTE SANA KWA MAUMIVU

    Ningetamani kuwa nawe katika maisha yote, nyakati zote, lakini upepo wa maisha na tamaa zimetuweka mbali.

    Nilitamani kuiweka dunia yangu kifuani mwako, lakini huenda dunia ninayoishi mimi ni tofauti na dunia yako.

    Dunia ya ufukara ninayoishi mimi dhidi ya dunia yako ya pesa na starehe za gharama.

    Nilishindwa mimi na ufukara wangu, nimedondoka, nimekuacha uende.

    Nimeamini kuwa, ukiwa huna pesa, kitu pekee unachoweza kumiliki kwa mwanamke mrembo ni picha zake tu na sio moyo wake.

    Moyo wa mwanamke ni kama mluzi wa ng'ombe mnadani, kadri miluzi inavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupanda bei.

    Nasikitika kuyajua haya leo, ni kweli inauma sana, nimekubali.

    Nimeelewa nguvu ya ukimya wako, nimeelewa kwanini umeondoka kwangu, bora umeondoka tu, ni ngumu kusubiri ahadi zangu zisizotimia.

    Hongera kwa kumpata mtu wa maisha yako, bado natafuta maisha yangu, nimekubali uende kipepeo wangu wa zamani, japo kumbukumbu zetu zinauma.

    Kwaheri, Mungu akuongoze huko ulikochagua.

    Nashusha karamu yangu chini, ngoja niache kuwaza upuuzi wa mapenzi.
    ASANTE SANA KWA MAUMIVU 💔 Ningetamani kuwa nawe katika maisha yote, nyakati zote, lakini upepo wa maisha na tamaa zimetuweka mbali. Nilitamani kuiweka dunia yangu kifuani mwako, lakini huenda dunia ninayoishi mimi ni tofauti na dunia yako. Dunia ya ufukara ninayoishi mimi dhidi ya dunia yako ya pesa na starehe za gharama. Nilishindwa mimi na ufukara wangu, nimedondoka, nimekuacha uende. Nimeamini kuwa, ukiwa huna pesa, kitu pekee unachoweza kumiliki kwa mwanamke mrembo ni picha zake tu na sio moyo wake. Moyo wa mwanamke ni kama mluzi wa ng'ombe mnadani, kadri miluzi inavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupanda bei. Nasikitika kuyajua haya leo, ni kweli inauma sana, nimekubali. Nimeelewa nguvu ya ukimya wako, nimeelewa kwanini umeondoka kwangu, bora umeondoka tu, ni ngumu kusubiri ahadi zangu zisizotimia. Hongera kwa kumpata mtu wa maisha yako, bado natafuta maisha yangu, nimekubali uende kipepeo wangu wa zamani, japo kumbukumbu zetu zinauma. Kwaheri, Mungu akuongoze huko ulikochagua. Nashusha karamu yangu chini, ngoja niache kuwaza upuuzi wa mapenzi.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·576 Views
More Results