• Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/
    Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah
    Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need.
    From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations.
    What Makes a Good Umrah Package?
    Not all packages are created equal. I realized this the hard way.
    A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included:
    Visa processing
    Roundtrip airfare
    Hotel accommodation near Haram
    Ground transportation
    Daily guidance or group leaders
    It took some comparing, but I found the best one with transparent services.
    Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families
    August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families.
    This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship.
    One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith.
    Budgeting Your Umrah Trip from Houston
    Let’s talk money because it's important.
    My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either.
    Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision.
    Choosing Between Group and Solo Umrah Packages
    Both options have their perks.
    Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating.
    If you're a confident traveler, solo might be your calling.
    My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US
    I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth.
    From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference.
    No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service.
    Best Travel Tips for Umrah from Houston
    Always carry a small power bank and extra Ihram
    Learn basic Arabic phrases to navigate easily
    Choose a hotel within walking distance to the Haram
    Carry your own prayer mat
    Hydrate often, especially during August Umrah Packages
    These small steps made my trip easier and more focused.
    What I Gained Beyond the Rituals
    Performing Umrah wasn’t just about the rituals.
    It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark.
    The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics.
    Houston Umrah Options Are Expanding
    Every year, more travel agencies in Houston join the market.
    That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans.
    I’m already planning to go again next year, insha’Allah.
    Final Thoughts: Make It Your Journey
    Your spiritual journey is yours to shape.
    While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule.
    If you're in Houston, you're in the right place to begin.
    Frequently Asked Questions
    1. How early should I book my Umrah package from Houston?
    I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages.
    2. Can I customize my Umrah package?
    Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration.
    3. What documents are required for an Umrah visa from the US?
    You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/ Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need. From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations. What Makes a Good Umrah Package? Not all packages are created equal. I realized this the hard way. A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included: Visa processing Roundtrip airfare Hotel accommodation near Haram Ground transportation Daily guidance or group leaders It took some comparing, but I found the best one with transparent services. Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families. This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship. One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith. Budgeting Your Umrah Trip from Houston Let’s talk money because it's important. My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either. Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision. Choosing Between Group and Solo Umrah Packages Both options have their perks. Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating. If you're a confident traveler, solo might be your calling. My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth. From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference. No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service. Best Travel Tips for Umrah from Houston Always carry a small power bank and extra Ihram Learn basic Arabic phrases to navigate easily Choose a hotel within walking distance to the Haram Carry your own prayer mat Hydrate often, especially during August Umrah Packages These small steps made my trip easier and more focused. What I Gained Beyond the Rituals Performing Umrah wasn’t just about the rituals. It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark. The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics. Houston Umrah Options Are Expanding Every year, more travel agencies in Houston join the market. That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans. I’m already planning to go again next year, insha’Allah. Final Thoughts: Make It Your Journey Your spiritual journey is yours to shape. While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule. If you're in Houston, you're in the right place to begin. Frequently Asked Questions 1. How early should I book my Umrah package from Houston? I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages. 2. Can I customize my Umrah package? Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration. 3. What documents are required for an Umrah visa from the US? You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    0 Comments ·0 Shares ·536 Views
  • Ufunuo wa Yohana 6:9-11
    [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la :
    [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?

    [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao.

    *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.*

    Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa.

    Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama.

    *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* .

    Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza.

    Galatia 6:9-10
    *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.*

    Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema.

    *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34

    Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi).

    Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini.

    51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51)

    Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia .

    Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana.
    Mathayo 23:35
    *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu*

    Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana .

    Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake.
    Mwanzo 4:10-12
    *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”*

    *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* .

    Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote .

    *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.*

    Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika .
    Yeremia 23:1
    *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA*

    *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .*

    Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    Ufunuo wa Yohana 6:9-11 [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la : [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi? [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao. *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.* Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa. Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama. *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* . Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza. Galatia 6:9-10 *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.* Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema. *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34 Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi). Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini. 51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51) Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia . Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana. Mathayo 23:35 *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu* Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana . Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake. Mwanzo 4:10-12 *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”* *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* . Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote . *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.* Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika . Yeremia 23:1 *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA* *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .* Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·458 Views
  • "Uzito wa Vita vya Kimya"

    Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati.

    Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako.

    Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi.

    Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako.

    Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika.

    Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii.

    #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    "Uzito wa Vita vya Kimya" Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati. Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako. Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi. Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako. Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika. Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii. ❤️ #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·574 Views
  • Huzuni ni ushahidi...
    Kwamba unaweza kuhisi moyo wako mwenyewe ukivunjika. Ni ukumbusho wa ufahamu wa jinsi ulivyopenda sana, jinsi ulivyojali. Huzuni haiji bila upendo-huzaliwa kutoka kwayo, imeundwa nayo, inachukuliwa mbele kwa sababu yake.

    Huzuni inatisha...
    Kwa sababu haiwezekani kurekebisha sababu ya maumivu haya yote. Haijalishi unajaribu sana, haijalishi ni machozi kiasi gani unayotoa au sala unayonong'ona, mtu uliyempoteza harudi. Na ukweli huo—mwisho wake—ni jambo unalopaswa kukabiliana nalo tena na tena.

    Huzuni ni upweke...
    Hata katika umati wa watu. Kwa sababu mtu pekee ambaye unataka kuzungumza naye ni yule ambaye huwezi kufikia. Kutokuwepo kwao kunasikika kwa sauti kubwa kuliko uwepo wowote. Unakaa ukiwa umezungukwa na sauti, lakini ukimya wa kukosa kusikia kwao huhisi kuziba.

    Huzuni ni kimya…
    Unapojaribu kuungana na yule ambaye amekwenda, na maswali yako yanakutana na ukimya. Unaita, ukitarajia jibu, lakini utupu unabaki bila kubadilika. Ni katika nyakati hizo ambapo huzuni huhisi kuwa nzito-ukumbusho wa kile ambacho kimepotea.

    Huzuni inachosha...
    Kupambana kila wakati dhidi ya hali halisi, kutaka tu kuamka kutoka kwa ndoto hii mbaya. Kila siku unahisi kama kupita kwenye mchanga mwepesi, kila hatua ni ngumu zaidi kuliko ya mwisho.

    Huzuni ni nzito...
    Kusonga mbele katika siku hizi mpya, zisizotambulika katika ulimwengu ambao haujaufahamu sasa. Kila kitu huhisi tofauti kwa sababu hawapo tena. Hata kazi rahisi huhisi kuwa kubwa.

    Lakini huzuni pia ni kipimo...
    cha utupu…
    cha maumivu…
    cha upendo ambao bado unawabeba. Na itakuwa milele.

    Kwa sababu huzuni inaweza kuwa isiyostahimilika, pia ni ushuhuda wa kina cha muunganisho wako. Ni uthibitisho kwamba upendo haupotei-hubadilika. Unakaa moyoni mwako, Ukitengeneza wewe ni nani na kukukumbusha yale muhimu zaidi. ❤

    Hisia za ndani
    mkopo kwa msanii
    Huzuni ni ushahidi... Kwamba unaweza kuhisi moyo wako mwenyewe ukivunjika. Ni ukumbusho wa ufahamu wa jinsi ulivyopenda sana, jinsi ulivyojali. Huzuni haiji bila upendo-huzaliwa kutoka kwayo, imeundwa nayo, inachukuliwa mbele kwa sababu yake. Huzuni inatisha... Kwa sababu haiwezekani kurekebisha sababu ya maumivu haya yote. Haijalishi unajaribu sana, haijalishi ni machozi kiasi gani unayotoa au sala unayonong'ona, mtu uliyempoteza harudi. Na ukweli huo—mwisho wake—ni jambo unalopaswa kukabiliana nalo tena na tena. Huzuni ni upweke... Hata katika umati wa watu. Kwa sababu mtu pekee ambaye unataka kuzungumza naye ni yule ambaye huwezi kufikia. Kutokuwepo kwao kunasikika kwa sauti kubwa kuliko uwepo wowote. Unakaa ukiwa umezungukwa na sauti, lakini ukimya wa kukosa kusikia kwao huhisi kuziba. Huzuni ni kimya… Unapojaribu kuungana na yule ambaye amekwenda, na maswali yako yanakutana na ukimya. Unaita, ukitarajia jibu, lakini utupu unabaki bila kubadilika. Ni katika nyakati hizo ambapo huzuni huhisi kuwa nzito-ukumbusho wa kile ambacho kimepotea. Huzuni inachosha... Kupambana kila wakati dhidi ya hali halisi, kutaka tu kuamka kutoka kwa ndoto hii mbaya. Kila siku unahisi kama kupita kwenye mchanga mwepesi, kila hatua ni ngumu zaidi kuliko ya mwisho. Huzuni ni nzito... Kusonga mbele katika siku hizi mpya, zisizotambulika katika ulimwengu ambao haujaufahamu sasa. Kila kitu huhisi tofauti kwa sababu hawapo tena. Hata kazi rahisi huhisi kuwa kubwa. Lakini huzuni pia ni kipimo... cha utupu… cha maumivu… cha upendo ambao bado unawabeba. Na itakuwa milele. Kwa sababu huzuni inaweza kuwa isiyostahimilika, pia ni ushuhuda wa kina cha muunganisho wako. Ni uthibitisho kwamba upendo haupotei-hubadilika. Unakaa moyoni mwako, Ukitengeneza wewe ni nani na kukukumbusha yale muhimu zaidi. ❤ ✍️Hisia za ndani 🎨mkopo kwa msanii
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·394 Views
  • 4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.

    *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*

    *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*

    Zaburi 127:1-2
    *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*

    Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.

    1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako

    Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*

    Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*

    Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.

    2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya

    Zaburi 91:4
    *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
    Zaburi 121:1-4

    Zaburi 34:7
    *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*

    Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .

    *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
    Ayubu 22:21

    *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*

    Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.

    Kutoka 14;14 SUV
    *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*

    Zaburi 23:4
    *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*

    *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*

    *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*

    *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*

    #build new eden
    #restore men position
    4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu. *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.* *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.* Zaburi 127:1-2 *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."* Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja. 1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama* Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote* Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu. 2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya Zaburi 91:4 *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake* Zaburi 121:1-4 Zaburi 34:7 *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.* Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako . *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .* Ayubu 22:21 *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia* Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu. Kutoka 14;14 SUV *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.* Zaburi 23:4 *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda* *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu* *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.* *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.* #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·619 Views

  • This Battle is Not Yours)
    Exodus 14:13-15
    Moses said to the Israelites, "Do not be afraid! Stand firm! Today you will see how the Lord will save you. The Egyptians you see today, you will never see again. The Lord will fight for you; you need only to be still."

    When the Israelites reached the Red Sea, they thought they had come to the end. Looking back, they saw Pharaoh's army approaching and began to complain, wondering if there were no graves in Egypt that they should die there. They completely lost hope and forgot about the great deeds God had done by rescuing them from Pharaoh.

    God, through Moses, told the Israelites that they would no longer see the Egyptians and that they would witness the salvation of the Lord. The Lord will fight for you; you need to be still.

    And indeed, the Lord fought for them and separated them from the Egyptians, and they remained silent.

    The Lord says, Our battles are not against flesh and blood, but against rulers and authorities of darkness. The problem is not with God; it is with us thinking we have the power to fight the battle without Him, which is not true at all.

    What you first see when facing difficulties is your hope. A child of God must learn to return to God's feet for strength to win the battle.

    Life is a battle, and the world is the battlefield. To succeed, you must choose a side. In this world, there are two main networks fighting: God and Satan. Your connection will determine what package you join.

    An Example of Others God Fought For
    2 Chronicles 20:15-17
    When Jehoshaphat saw the approaching army that was larger than his own, he turned to God, praying for three days. During his prayers, the Lord revealed to him, Do not be afraid or discouraged because of this vast army, for the battle is not yours, but God's.

    Jehoshaphat remembered God's promises to Solomon, which assured him of where to find refuge.

    Where do you turn when troubles arise? To mediums or to the God of your forefathers?

    Once you are saved, learn to submit to God so that He becomes your friend. You won't see battles; they will see the God of your fathers.

    If you are suffering right now, I am here to tell you to rise up and pray to see the salvation of the Lord. If your marriage is troubled, rise and pray to see the salvation of the Lord because that marriage is not yours; He is the one who established it.

    The Lord will fight for you in your finances, and you will be still.

    For the Lord to fight for you, the scriptures say, Know the Lord well, and good things will follow you.

    Paul says we should wear the armor of faith and the Word to defeat the evil one. Remind God of His Word this morning so that He can fight for you.

    Revelation 12:11
    They overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives so much as to shrink from death.

    Through the blood of Jesus, we must win battles. Today, let us use the blood of Jesus as a powerful tool for overcoming and winning battles.

    Thank you very much. If you ask how you can win battles, I want to tell you it is simple: What you need to do is CONFESS JESUS WITH YOUR MOUTH AND BELIEVE (YOU WILL BE SAVED). You will have the same rights to be fought for with Him.

    If you are not saved and want to submit to the God who fights for Israel, who fought for Judah under Jehoshaphat, you can follow this prayer:

    LORD JESUS, I COME TO YOU AS A SINNER. PLEASE FORGIVE MY SINS AND REMOVE MY NAME FROM THE BOOK OF DEATH AND WRITE MY NAME IN THE BOOK OF LIFE FROM NOW AND FOREVER.

    If you follow this with faith, the Lord Jesus will be yours and will start fighting for you, to the point that you will be amazed.

    Thank you. If you have been saved and want to continue learning and receiving spiritual help, you can contact me at 0622625340.

    My name is Sylvester Mwakabende from (Build New Eden).
    Have a blessed Sunday as we pray and seek the Lord's
    This Battle is Not Yours) Exodus 14:13-15 Moses said to the Israelites, "Do not be afraid! Stand firm! Today you will see how the Lord will save you. The Egyptians you see today, you will never see again. The Lord will fight for you; you need only to be still." When the Israelites reached the Red Sea, they thought they had come to the end. Looking back, they saw Pharaoh's army approaching and began to complain, wondering if there were no graves in Egypt that they should die there. They completely lost hope and forgot about the great deeds God had done by rescuing them from Pharaoh. God, through Moses, told the Israelites that they would no longer see the Egyptians and that they would witness the salvation of the Lord. The Lord will fight for you; you need to be still. And indeed, the Lord fought for them and separated them from the Egyptians, and they remained silent. The Lord says, Our battles are not against flesh and blood, but against rulers and authorities of darkness. The problem is not with God; it is with us thinking we have the power to fight the battle without Him, which is not true at all. What you first see when facing difficulties is your hope. A child of God must learn to return to God's feet for strength to win the battle. Life is a battle, and the world is the battlefield. To succeed, you must choose a side. In this world, there are two main networks fighting: God and Satan. Your connection will determine what package you join. An Example of Others God Fought For 2 Chronicles 20:15-17 When Jehoshaphat saw the approaching army that was larger than his own, he turned to God, praying for three days. During his prayers, the Lord revealed to him, Do not be afraid or discouraged because of this vast army, for the battle is not yours, but God's. Jehoshaphat remembered God's promises to Solomon, which assured him of where to find refuge. Where do you turn when troubles arise? To mediums or to the God of your forefathers? Once you are saved, learn to submit to God so that He becomes your friend. You won't see battles; they will see the God of your fathers. If you are suffering right now, I am here to tell you to rise up and pray to see the salvation of the Lord. If your marriage is troubled, rise and pray to see the salvation of the Lord because that marriage is not yours; He is the one who established it. The Lord will fight for you in your finances, and you will be still. For the Lord to fight for you, the scriptures say, Know the Lord well, and good things will follow you. Paul says we should wear the armor of faith and the Word to defeat the evil one. Remind God of His Word this morning so that He can fight for you. Revelation 12:11 They overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives so much as to shrink from death. Through the blood of Jesus, we must win battles. Today, let us use the blood of Jesus as a powerful tool for overcoming and winning battles. Thank you very much. If you ask how you can win battles, I want to tell you it is simple: What you need to do is CONFESS JESUS WITH YOUR MOUTH AND BELIEVE (YOU WILL BE SAVED). You will have the same rights to be fought for with Him. If you are not saved and want to submit to the God who fights for Israel, who fought for Judah under Jehoshaphat, you can follow this prayer: LORD JESUS, I COME TO YOU AS A SINNER. PLEASE FORGIVE MY SINS AND REMOVE MY NAME FROM THE BOOK OF DEATH AND WRITE MY NAME IN THE BOOK OF LIFE FROM NOW AND FOREVER. If you follow this with faith, the Lord Jesus will be yours and will start fighting for you, to the point that you will be amazed. Thank you. If you have been saved and want to continue learning and receiving spiritual help, you can contact me at 0622625340. My name is Sylvester Mwakabende from (Build New Eden). Have a blessed Sunday as we pray and seek the Lord's
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·862 Views

  • Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/
    To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/ To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    0 Comments ·0 Shares ·514 Views
  • NINAWEKA KIPAUMBELE AMANI YANGU—NA INAHISI KAMA KUJA NYUMBANI

    Siombi tena msamaha kwa kujichagua.

    Kwa muda mrefu zaidi, niliwamwagia wengine huku nikikimbia nikiwa mtupu. Nilitabasamu nikiwa nimechoka. Nilisema "sijambo" wakati roho yangu ilikuwa inauma. Niliendelea kujitokeza—kwa kila mtu isipokuwa mimi mwenyewe. Lakini sivyo tena.

    Sasa, ninachagua kile kinachofanya moyo wangu kuwa mwepesi.
    Ninachagua aina ya amani ambayo haihitaji kuelezewa.
    Aina ya upendo ambayo hauhitaji mimi kuomba tahadhari.
    Aina ya nishati ambayo inaniacha nimejaa, sio kuvunjika.

    Ninatanguliza kile kinachojisikia vizuri kwa roho yangu -
    Asubuhi tulivu. Maneno ya upole. Watu salama.
    Aina ya mazungumzo ambayo hulisha roho yangu, sio kuitenganisha.

    Ninapenda furaha rahisi:
    Kikombe cha joto cha chai. Sauti ya mvua. Kitabu kinachonielewa.
    Hisia ya kuwa peke yangu lakini sio upweke.
    Utambuzi kwamba sio kila ukimya unahitaji kujazwa.

    Ninajifunza kuwa amani ya kweli haipigi kelele.
    Inanong'ona, "Uko salama sasa."
    Ni wakati unapoacha kujaribu kujithibitisha.
    Ni uhuru wa kuwepo, jinsi ulivyo—bila hukumu, bila utendaji, bila uzito.

    Sifukuzi tena mapenzi ambayo yananichanganya.
    Sio kung'ang'ania tena watu wanaokuja tu wakati wanahitaji.
    Sio kuvumilia tena hali zinazonichosha.

    Kwa sababu hatimaye nimekumbuka mimi ni nani.
    Na kwamba kukumbuka? Huo ndio mwanzo wa kila kitu.

    Kwa hivyo hapa ndio msimu huu wa laini.
    Enzi hii ya uponyaji.
    Toleo hili langu ambalo huchagua amani badala ya shinikizo, uwepo juu ya utendakazi, na upendo—upendo wa kweli—ambalo huhisi kama nyumbani.

    Na unajua nini?
    Kwa mara moja, siishi tu ...
    Ninaipenda.
    NINAWEKA KIPAUMBELE AMANI YANGU—NA INAHISI KAMA KUJA NYUMBANI Siombi tena msamaha kwa kujichagua. Kwa muda mrefu zaidi, niliwamwagia wengine huku nikikimbia nikiwa mtupu. Nilitabasamu nikiwa nimechoka. Nilisema "sijambo" wakati roho yangu ilikuwa inauma. Niliendelea kujitokeza—kwa kila mtu isipokuwa mimi mwenyewe. Lakini sivyo tena. Sasa, ninachagua kile kinachofanya moyo wangu kuwa mwepesi. Ninachagua aina ya amani ambayo haihitaji kuelezewa. Aina ya upendo ambayo hauhitaji mimi kuomba tahadhari. Aina ya nishati ambayo inaniacha nimejaa, sio kuvunjika. Ninatanguliza kile kinachojisikia vizuri kwa roho yangu - Asubuhi tulivu. Maneno ya upole. Watu salama. Aina ya mazungumzo ambayo hulisha roho yangu, sio kuitenganisha. Ninapenda furaha rahisi: Kikombe cha joto cha chai. Sauti ya mvua. Kitabu kinachonielewa. Hisia ya kuwa peke yangu lakini sio upweke. Utambuzi kwamba sio kila ukimya unahitaji kujazwa. Ninajifunza kuwa amani ya kweli haipigi kelele. Inanong'ona, "Uko salama sasa." Ni wakati unapoacha kujaribu kujithibitisha. Ni uhuru wa kuwepo, jinsi ulivyo—bila hukumu, bila utendaji, bila uzito. Sifukuzi tena mapenzi ambayo yananichanganya. Sio kung'ang'ania tena watu wanaokuja tu wakati wanahitaji. Sio kuvumilia tena hali zinazonichosha. Kwa sababu hatimaye nimekumbuka mimi ni nani. Na kwamba kukumbuka? Huo ndio mwanzo wa kila kitu. Kwa hivyo hapa ndio msimu huu wa laini. Enzi hii ya uponyaji. Toleo hili langu ambalo huchagua amani badala ya shinikizo, uwepo juu ya utendakazi, na upendo—upendo wa kweli—ambalo huhisi kama nyumbani. Na unajua nini? Kwa mara moja, siishi tu ... Ninaipenda.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·534 Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·638 Views
  • THANK YOU.

    Luke 17:11-19
    We look at the story of the ten lepers who were all healed.

    However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus.

    Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?"

    This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks.

    What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart."

    In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level.

    He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19)

    So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus.

    With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward.

    If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?"

    This is where you understand that giving thanks is a way to praise God.

    "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9)

    To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful."

    After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21)

    To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57)

    After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2)

    Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7)

    You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards.

    My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340.


    #buildneweden

    ##restoremenposition
    THANK YOU. Luke 17:11-19 We look at the story of the ten lepers who were all healed. However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus. Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?" This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks. What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart." In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level. He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19) So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus. With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward. If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?" This is where you understand that giving thanks is a way to praise God. "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9) To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful." After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21) To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57) After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2) Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7) You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards. My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340. #buildneweden ##restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·814 Views
  • ASANTE SANA KWA MAUMIVU

    Ningetamani kuwa nawe katika maisha yote, nyakati zote, lakini upepo wa maisha na tamaa zimetuweka mbali.

    Nilitamani kuiweka dunia yangu kifuani mwako, lakini huenda dunia ninayoishi mimi ni tofauti na dunia yako.

    Dunia ya ufukara ninayoishi mimi dhidi ya dunia yako ya pesa na starehe za gharama.

    Nilishindwa mimi na ufukara wangu, nimedondoka, nimekuacha uende.

    Nimeamini kuwa, ukiwa huna pesa, kitu pekee unachoweza kumiliki kwa mwanamke mrembo ni picha zake tu na sio moyo wake.

    Moyo wa mwanamke ni kama mluzi wa ng'ombe mnadani, kadri miluzi inavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupanda bei.

    Nasikitika kuyajua haya leo, ni kweli inauma sana, nimekubali.

    Nimeelewa nguvu ya ukimya wako, nimeelewa kwanini umeondoka kwangu, bora umeondoka tu, ni ngumu kusubiri ahadi zangu zisizotimia.

    Hongera kwa kumpata mtu wa maisha yako, bado natafuta maisha yangu, nimekubali uende kipepeo wangu wa zamani, japo kumbukumbu zetu zinauma.

    Kwaheri, Mungu akuongoze huko ulikochagua.

    Nashusha karamu yangu chini, ngoja niache kuwaza upuuzi wa mapenzi.
    ASANTE SANA KWA MAUMIVU 💔 Ningetamani kuwa nawe katika maisha yote, nyakati zote, lakini upepo wa maisha na tamaa zimetuweka mbali. Nilitamani kuiweka dunia yangu kifuani mwako, lakini huenda dunia ninayoishi mimi ni tofauti na dunia yako. Dunia ya ufukara ninayoishi mimi dhidi ya dunia yako ya pesa na starehe za gharama. Nilishindwa mimi na ufukara wangu, nimedondoka, nimekuacha uende. Nimeamini kuwa, ukiwa huna pesa, kitu pekee unachoweza kumiliki kwa mwanamke mrembo ni picha zake tu na sio moyo wake. Moyo wa mwanamke ni kama mluzi wa ng'ombe mnadani, kadri miluzi inavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupanda bei. Nasikitika kuyajua haya leo, ni kweli inauma sana, nimekubali. Nimeelewa nguvu ya ukimya wako, nimeelewa kwanini umeondoka kwangu, bora umeondoka tu, ni ngumu kusubiri ahadi zangu zisizotimia. Hongera kwa kumpata mtu wa maisha yako, bado natafuta maisha yangu, nimekubali uende kipepeo wangu wa zamani, japo kumbukumbu zetu zinauma. Kwaheri, Mungu akuongoze huko ulikochagua. Nashusha karamu yangu chini, ngoja niache kuwaza upuuzi wa mapenzi.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·410 Views
  • Ninafunga macho yangu, naona uso wako,
    Tabasamu la upole, kukumbatia kwa joto.
    Ingawa wakati unasonga mbele, moyo wangu bado unakaa,
    Katika kumbukumbu za jana zetu.

    Sauti yako bado inasikika akilini mwangu,
    Wimbo mtamu, mzuri sana.
    Mikono yako iliyonishika, salama na imara,
    Sasa nishikilie usiku tu.

    Ninatafuta nyota, nasema jina lako,
    Na ingawa ni kimya, sio sawa.
    Unaweza kuwa umeenda mbali na macho na sauti,
    Lakini katika nafsi yangu, unapatikana kila wakati.

    Haijalishi ni wapi maisha haya yanaweza kuzurura,
    Moyo wangu utaniongoza nyumbani kila wakati.
    Kwako, Mama mpendwa, kwa upendo wa kweli -
    Sehemu yangu ilienda huko na wewe.
    #mama #familia
    Ninafunga macho yangu, naona uso wako, Tabasamu la upole, kukumbatia kwa joto. Ingawa wakati unasonga mbele, moyo wangu bado unakaa, Katika kumbukumbu za jana zetu. Sauti yako bado inasikika akilini mwangu, Wimbo mtamu, mzuri sana. Mikono yako iliyonishika, salama na imara, Sasa nishikilie usiku tu. Ninatafuta nyota, nasema jina lako, Na ingawa ni kimya, sio sawa. Unaweza kuwa umeenda mbali na macho na sauti, Lakini katika nafsi yangu, unapatikana kila wakati. Haijalishi ni wapi maisha haya yanaweza kuzurura, Moyo wangu utaniongoza nyumbani kila wakati. Kwako, Mama mpendwa, kwa upendo wa kweli - Sehemu yangu ilienda huko na wewe. #mama #familia
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·439 Views
  • HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI.

    Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha-
    Yeye ni maisha yangu.

    Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu.
    Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba.
    Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu.

    Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ...
    Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua."

    Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu.
    Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu.

    Upendo wake? Aina ambayo haina kelele.
    Ni kimya. Imara. Mtakatifu.

    Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu,
    Namaanisha kila neno.
    Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa.

    #WeweNdiweMaishaYangu#
    #MamaYanguMoyoWangu#
    #Upendo Usio na Masharti
    #MileleAsante#
    #MamaNiNyumbaYangu#
    #MaishaKwasababuYake#
    HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI. Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha- Yeye ni maisha yangu. Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu. Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba. Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu. Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ... Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua." Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu. Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu. Upendo wake? Aina ambayo haina kelele. Ni kimya. Imara. Mtakatifu. Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu, Namaanisha kila neno. Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa. #WeweNdiweMaishaYangu# #MamaYanguMoyoWangu# #Upendo Usio na Masharti #MileleAsante# #MamaNiNyumbaYangu# #MaishaKwasababuYake#
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·731 Views
  • UNAJIUMIZA KWA KUJIDHARAU

    Sio maisha yanayo kunyima nafasi ila niwewe unaye jinyima thamani yako, kila wakati unajiona hustahili, unajiona kuwa hutoshi bila fulani una jiona kila wakati wewe ni fungu la kukosa, hujawahi kujiona katika hali ya ushindi kila wakati unajiweka katika hali ya kujijeruhi hali ambayo inafanya ukose nafasi

    Nafahamu unasema kwa sauti ya chini, lakini ni sauti ya chini iliyo jionia hivyo kila ikitoka inatoka kwa makali sana, kiasi kwamba unapo jiona si kitu inaingiza hofu mbele zako ,unapojitilia shaka inakupotezea thamani kimya kimya

    Acha kujificha kwa tabasamu ili watu wasione jinsi ambavyo una jidharau, katika nyakati za ukimya hali ya kujidharau inapo jirudia hukuumiza zaidi kwakua katika ukimya hujikumbusha mambo. Ulimwengu utakumulika kwa vile ambavyo wewe binafsi utavyo penda kujitazama

    Unafikiri kwakua umefahamu kusema samahani basi unaitoa kila sehemu na kila wakati, mpaka samahani inapoteza thamani yake, yote ni kwasababu wewe binafsi umepoteza thamani yako kwa kujidharau. Unaamua kujidharau kwasababu kila sehemu unaona hustahili

    Marcus Aurielius anasema

    " Una thamani si kwasababu watu wanasema, bali kwasababu upo"

    Naye Epictetus anasema

    "Jifahamu kwanza kisha jipambe na huo ukweli "

    Ndugu unapo jidharau unauonesha ulimwengu haukustahili kukuleta ili ulitimize kusudi kuu la wewe kuwapo, unajidhurumu mpangilio wa maisha unao kustahili. Unaamini kuna watu walio letwa dunia kuwa uthibitisho wako, ikiwa ndivyo basi unajidanganya hakuna aliye letwa kwasababu hiyo zaidi yako

    Acha, acha kujinyima kwa woga wa siwezi, siku zote thamani yako haisubiri sifa za dunia. Usiogope kuzungumza kwa hofu ya kukosea tu si kwakua hujapata cha kuongea.Lazima uamini kuwa sauti yako ina maana mbele ya yoyote yule ,acha kujidogodesha ili tu wengine wajivike vazi la ukubwa.

    Ulimwengu hautakupa mafanikio mpaka pale ambapo utaacha kujidharau, utakapo acha kujificha nyuma ya migongo ya wengine```
    UNAJIUMIZA KWA KUJIDHARAU Sio maisha yanayo kunyima nafasi ila niwewe unaye jinyima thamani yako, kila wakati unajiona hustahili, unajiona kuwa hutoshi bila fulani una jiona kila wakati wewe ni fungu la kukosa, hujawahi kujiona katika hali ya ushindi kila wakati unajiweka katika hali ya kujijeruhi hali ambayo inafanya ukose nafasi Nafahamu unasema kwa sauti ya chini, lakini ni sauti ya chini iliyo jionia hivyo kila ikitoka inatoka kwa makali sana, kiasi kwamba unapo jiona si kitu inaingiza hofu mbele zako ,unapojitilia shaka inakupotezea thamani kimya kimya Acha kujificha kwa tabasamu ili watu wasione jinsi ambavyo una jidharau, katika nyakati za ukimya hali ya kujidharau inapo jirudia hukuumiza zaidi kwakua katika ukimya hujikumbusha mambo. Ulimwengu utakumulika kwa vile ambavyo wewe binafsi utavyo penda kujitazama Unafikiri kwakua umefahamu kusema samahani basi unaitoa kila sehemu na kila wakati, mpaka samahani inapoteza thamani yake, yote ni kwasababu wewe binafsi umepoteza thamani yako kwa kujidharau. Unaamua kujidharau kwasababu kila sehemu unaona hustahili Marcus Aurielius anasema " Una thamani si kwasababu watu wanasema, bali kwasababu upo" Naye Epictetus anasema "Jifahamu kwanza kisha jipambe na huo ukweli " Ndugu unapo jidharau unauonesha ulimwengu haukustahili kukuleta ili ulitimize kusudi kuu la wewe kuwapo, unajidhurumu mpangilio wa maisha unao kustahili. Unaamini kuna watu walio letwa dunia kuwa uthibitisho wako, ikiwa ndivyo basi unajidanganya hakuna aliye letwa kwasababu hiyo zaidi yako Acha, acha kujinyima kwa woga wa siwezi, siku zote thamani yako haisubiri sifa za dunia. Usiogope kuzungumza kwa hofu ya kukosea tu si kwakua hujapata cha kuongea.Lazima uamini kuwa sauti yako ina maana mbele ya yoyote yule ,acha kujidogodesha ili tu wengine wajivike vazi la ukubwa. Ulimwengu hautakupa mafanikio mpaka pale ambapo utaacha kujidharau, utakapo acha kujificha nyuma ya migongo ya wengine```
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·360 Views
  • UTAPATA TENA - BARUA KWA MOYO WAKO ULIOCHOKA

    Labda sio leo. Labda si kesho. Lakini siku moja, utaamka, na uzito katika kifua chako utakuwa nyepesi kidogo.
    Maumivu yanayong’ang’ania nafsi yako, maumivu hayo tulivu unayoyabeba hata katikati ya kicheko—Hayatatoweka mara moja. Lakini polepole, kwa upole, itaanza kufifia. Na ukimya unaohisi kuwa unakumeza mzima sasa hivi? Itageuka kuwa mahali ambapo amani huanza kunong'ona tena.
    Hivi sasa, inaweza kuhisi kama unazama katika vita visivyoonekana. Kama vile unajitokeza kwa ajili ya ulimwengu kwa tabasamu lililopakwa rangi huku moyo wako ukitoweka nyuma ya pazia. Lakini hata hapa, katika machafuko haya, uponyaji umeanza.
    Huenda huioni bado— Lakini ni kwa jinsi unavyoinuka kitandani wakati ingekuwa rahisi kujikunja. Ni kwa njia ambayo bado unajaribu, bado unatumaini, bado unapumua- Hata wakati kila kitu kinahisi kuwa kizito.
    Si lazima kuwa na yote kufikiriwa nje. Huna haja ya kuwa na nguvu kila wakati. Kulia haimaanishi kuwa wewe ni dhaifu. Kuhitaji nafasi hakukufanyi kuwa mzigo. Kuvunjika hakukufanyi kuvunjika.
    Wewe ni binadamu. Na uponyaji sio njia moja kwa moja - ni mbaya. Ni nyuma na kando. Ni kicheko katika pumzi moja na machozi katika inayofuata.
    Siku kadhaa, utahisi kama umefika upande mwingine. Na siku kadhaa, itahisi kama umerudi mwanzoni. Lakini hujashindwa. Huo ni mdundo tu wa kupona- Lugha ya ustahimilivu.
    Utapata njia yako ya kurudi kwako - kwa toleo lako ambalo halifafanuliwa na maumivu, lakini linaloundwa nayo. Mwenye hekima zaidi. Laini zaidi. Nguvu zaidi. Sio licha ya yale ambayo umepitia, Lakini kwa sababu yake.
    Siku moja, utaona jua likiangaza kupitia nyufa za roho yako, Na utambue kuwa linahisi joto tena. Utasikia wimbo na kutetemeka, Na utambue uzito wa kifua chako sio mkubwa. Utakutana na tafakari yako kwa wema, Sio ukosoaji.
    Na siku hiyo ikija - Utatabasamu. Kwa sababu utajua: Uliokoka. Umepona. Umefanikiwa.
    Kwa hivyo shikilia. Ichukue dakika moja baada ya nyingine. Sio lazima kuharakisha. Sio lazima kujifanya uko sawa wakati hauko sawa. Lazima tu uendelee.

    Hata kama ni kupumua tu.

    Hata kama ni kuishi tu.

    Kwa sababu utakuwa sawa tena.

    Na siku moja, utakuwa sawa - utakuwa mzima.

    #UponyajiSiyo Mstari ##KutokaMaumivuKwendaAmani #
    UTAPATA TENA - BARUA KWA MOYO WAKO ULIOCHOKA Labda sio leo. Labda si kesho. Lakini siku moja, utaamka, na uzito katika kifua chako utakuwa nyepesi kidogo. Maumivu yanayong’ang’ania nafsi yako, maumivu hayo tulivu unayoyabeba hata katikati ya kicheko—Hayatatoweka mara moja. Lakini polepole, kwa upole, itaanza kufifia. Na ukimya unaohisi kuwa unakumeza mzima sasa hivi? Itageuka kuwa mahali ambapo amani huanza kunong'ona tena. Hivi sasa, inaweza kuhisi kama unazama katika vita visivyoonekana. Kama vile unajitokeza kwa ajili ya ulimwengu kwa tabasamu lililopakwa rangi huku moyo wako ukitoweka nyuma ya pazia. Lakini hata hapa, katika machafuko haya, uponyaji umeanza. Huenda huioni bado— Lakini ni kwa jinsi unavyoinuka kitandani wakati ingekuwa rahisi kujikunja. Ni kwa njia ambayo bado unajaribu, bado unatumaini, bado unapumua- Hata wakati kila kitu kinahisi kuwa kizito. Si lazima kuwa na yote kufikiriwa nje. Huna haja ya kuwa na nguvu kila wakati. Kulia haimaanishi kuwa wewe ni dhaifu. Kuhitaji nafasi hakukufanyi kuwa mzigo. Kuvunjika hakukufanyi kuvunjika. Wewe ni binadamu. Na uponyaji sio njia moja kwa moja - ni mbaya. Ni nyuma na kando. Ni kicheko katika pumzi moja na machozi katika inayofuata. Siku kadhaa, utahisi kama umefika upande mwingine. Na siku kadhaa, itahisi kama umerudi mwanzoni. Lakini hujashindwa. Huo ni mdundo tu wa kupona- Lugha ya ustahimilivu. Utapata njia yako ya kurudi kwako - kwa toleo lako ambalo halifafanuliwa na maumivu, lakini linaloundwa nayo. Mwenye hekima zaidi. Laini zaidi. Nguvu zaidi. Sio licha ya yale ambayo umepitia, Lakini kwa sababu yake. Siku moja, utaona jua likiangaza kupitia nyufa za roho yako, Na utambue kuwa linahisi joto tena. Utasikia wimbo na kutetemeka, Na utambue uzito wa kifua chako sio mkubwa. Utakutana na tafakari yako kwa wema, Sio ukosoaji. Na siku hiyo ikija - Utatabasamu. Kwa sababu utajua: Uliokoka. Umepona. Umefanikiwa. Kwa hivyo shikilia. Ichukue dakika moja baada ya nyingine. Sio lazima kuharakisha. Sio lazima kujifanya uko sawa wakati hauko sawa. Lazima tu uendelee. Hata kama ni kupumua tu. Hata kama ni kuishi tu. Kwa sababu utakuwa sawa tena. Na siku moja, utakuwa sawa - utakuwa mzima. #UponyajiSiyo Mstari ##KutokaMaumivuKwendaAmani #
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·480 Views
  • Kuyasema Mabaya Ya Mwengine Hakutakufanya Wewe Uonekane Mwema sana Jifunze Kukaa Kimya
    ⚠️ Kuyasema Mabaya Ya Mwengine Hakutakufanya Wewe Uonekane Mwema sana Jifunze Kukaa Kimya📌
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·160 Views
  • Giant

    Videoview to my videos make it be money
    Videoview to my videos make it be money
    Tsh0 Raised of Tsh100000
    0%
    0 Comments ·0 Shares ·264 Views ·0 Donations
  • Eating yammy food
    Eating yammy food
    0 Comments ·0 Shares ·217 Views
  • KUWA KWENYE UHUSIANO NA MWANAUME MWENYE KAZI NGUMU

    Kuwa na mwanamume mchapakazi si jambo la kukata tamaa.
    Ni kwa ajili ya mwanamke ambaye anaelewa kwamba upendo hauji kila wakati na waridi na mashairi -
    Wakati mwingine, huja na usiku wa manane, macho yenye uchovu, na mikono iliyochoshwa na jukumu.
    Hawezi kuwa na saa za kutumia simu kila wakati au jioni ndefu za kimapenzi zilizopangwa,
    Sio kwa sababu hajali ...
    Lakini kwa sababu yuko huko akijenga siku zijazo - kwa ajili yako.
    Kwa nyinyi wawili.
    Mwanaume mwenye bidii hawezi kujibu mara moja,
    Lakini ukimya wake mara nyingi huzungumza juu ya dhabihu.
    Ni katika zamu hizo ndefu, saa za ziada, mapumziko yaliyoruka -
    Hapo ndipo upendo wake unaishi.
    Na ndio, kutakuwa na siku ambazo nishati yake pekee itatumika kurudi nyumbani,
    Kumbusu usiku mwema, na kugonga kitandani
    Ili tu kuamka na kuifanya tena.
    Lakini kamwe usichanganye uchovu na kutojali.
    Kamwe usichanganye utulivu na umbali.
    Kwa sababu uaminifu wake hauvai suti kila wakati na kuzungumza kwa maua -
    Wakati mwingine huvaa buti zilizovaliwa, mashati yenye rangi, na macho ambayo ndoto ya kukupa kila kitu.
    Ikiwa una mwanaume mwenye bidii,
    Mthamini.
    Ongea lugha yake ya upendo - uvumilivu, imani, kutia moyo.
    Simama karibu naye, sio nyuma yake -
    Mshangilie, sio kumshinikiza -
    Muunge mkono, usimdharau.
    Kwa sababu nyuma ya kila familia yenye nguvu, salama, na yenye mafanikio
    Ni mtu aliyeinuka kabla ya jua
    Na ilifanya kazi hadi ilipowekwa -
    Sio kwa pesa tu,
    Lakini kwa maisha aliyokuahidi.
    Basi hapa ni kwa wanaume wanaobeba uzito wa dunia mabegani mwao,
    Na wanawake wenye uwezo wa kutembea nao kwa neema.
    Kufanya kazi kwa bidii ni lugha yake ya upendo.
    Na ikiwa unasikiliza kwa makini -
    Utasikia "nakupenda"
    Katika kila juhudi anazofanya.

    #WeweNdiweMaishaYangu # #UmejengwaKwaSadaka# #UpendoHalisi Huzungumza Kwa Utulivu #
    KUWA KWENYE UHUSIANO NA MWANAUME MWENYE KAZI NGUMU Kuwa na mwanamume mchapakazi si jambo la kukata tamaa. Ni kwa ajili ya mwanamke ambaye anaelewa kwamba upendo hauji kila wakati na waridi na mashairi - Wakati mwingine, huja na usiku wa manane, macho yenye uchovu, na mikono iliyochoshwa na jukumu. Hawezi kuwa na saa za kutumia simu kila wakati au jioni ndefu za kimapenzi zilizopangwa, Sio kwa sababu hajali ... Lakini kwa sababu yuko huko akijenga siku zijazo - kwa ajili yako. Kwa nyinyi wawili. Mwanaume mwenye bidii hawezi kujibu mara moja, Lakini ukimya wake mara nyingi huzungumza juu ya dhabihu. Ni katika zamu hizo ndefu, saa za ziada, mapumziko yaliyoruka - Hapo ndipo upendo wake unaishi. Na ndio, kutakuwa na siku ambazo nishati yake pekee itatumika kurudi nyumbani, Kumbusu usiku mwema, na kugonga kitandani Ili tu kuamka na kuifanya tena. Lakini kamwe usichanganye uchovu na kutojali. Kamwe usichanganye utulivu na umbali. Kwa sababu uaminifu wake hauvai suti kila wakati na kuzungumza kwa maua - Wakati mwingine huvaa buti zilizovaliwa, mashati yenye rangi, na macho ambayo ndoto ya kukupa kila kitu. Ikiwa una mwanaume mwenye bidii, Mthamini. Ongea lugha yake ya upendo - uvumilivu, imani, kutia moyo. Simama karibu naye, sio nyuma yake - Mshangilie, sio kumshinikiza - Muunge mkono, usimdharau. Kwa sababu nyuma ya kila familia yenye nguvu, salama, na yenye mafanikio Ni mtu aliyeinuka kabla ya jua Na ilifanya kazi hadi ilipowekwa - Sio kwa pesa tu, Lakini kwa maisha aliyokuahidi. Basi hapa ni kwa wanaume wanaobeba uzito wa dunia mabegani mwao, Na wanawake wenye uwezo wa kutembea nao kwa neema. Kufanya kazi kwa bidii ni lugha yake ya upendo. Na ikiwa unasikiliza kwa makini - Utasikia "nakupenda" Katika kila juhudi anazofanya. #WeweNdiweMaishaYangu # #UmejengwaKwaSadaka# #UpendoHalisi Huzungumza Kwa Utulivu #
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·669 Views
  • Nakuhitaji Kama Moyo Unaohitaji Mapigo

    Sio mfano tu ...
    Ni ukweli mbichi wa jinsi umekuwa sehemu yangu kwa undani.

    Nakuhitaji kama vile moyo unavyohitaji mpigo -
    si tu kwa ajili ya upendo, lakini kuishi.
    Wewe ndiye mapigo ambayo huniweka sawa
    wakati wa machafuko na utulivu sawa.

    Maisha yanapokuwa mazito,
    uwepo wako unakuwa amani yangu.
    Wakati kila kitu kinasikika kwa sauti kubwa,
    sauti yako ni utulivu unaotuliza dhoruba zangu.

    Wewe ni zaidi ya mtu ninayempenda -
    wewe ni mdundo wa siku zangu,
    sababu ninatarajia kesho.

    Nahitaji kicheko chako kama vile roho yangu inahitaji mwanga.
    Nahitaji mkono wako ndani yangu wakati ulimwengu unahisi kutokuwa na uhakika.
    Nahitaji jinsi unavyonitazama
    kana kwamba nina zaidi ya kutosha -
    machoni pako,
    Hatimaye nimejifunza kuamini pia.

    Wewe sio tu hamu au hamu -
    Wewe ni sehemu ya nafsi yangu.
    Wewe ndiye unaupa ulimwengu rangi yangu,
    ukimya wangu unamaanisha,
    na kila mapigo ya moyo wangu ni sababu ya kuendelea.

    Kwa hivyo ninaposema "Ninakuhitaji,"
    namaanisha-
    Nakuhitaji kupumua, kuota, kuishi, kupenda.
    Kwa sababu kukupenda imekuwa
    sehemu ya asili zaidi kwangu.

    #WeweNdiweMaishaYangu # #MileleSisi#
    Nakuhitaji Kama Moyo Unaohitaji Mapigo ♥️🥀💞 Sio mfano tu ... Ni ukweli mbichi wa jinsi umekuwa sehemu yangu kwa undani. Nakuhitaji kama vile moyo unavyohitaji mpigo - si tu kwa ajili ya upendo, lakini kuishi. Wewe ndiye mapigo ambayo huniweka sawa wakati wa machafuko na utulivu sawa. Maisha yanapokuwa mazito, uwepo wako unakuwa amani yangu. Wakati kila kitu kinasikika kwa sauti kubwa, sauti yako ni utulivu unaotuliza dhoruba zangu. Wewe ni zaidi ya mtu ninayempenda - wewe ni mdundo wa siku zangu, sababu ninatarajia kesho. Nahitaji kicheko chako kama vile roho yangu inahitaji mwanga. Nahitaji mkono wako ndani yangu wakati ulimwengu unahisi kutokuwa na uhakika. Nahitaji jinsi unavyonitazama kana kwamba nina zaidi ya kutosha - machoni pako, Hatimaye nimejifunza kuamini pia. Wewe sio tu hamu au hamu - Wewe ni sehemu ya nafsi yangu. Wewe ndiye unaupa ulimwengu rangi yangu, ukimya wangu unamaanisha, na kila mapigo ya moyo wangu ni sababu ya kuendelea. Kwa hivyo ninaposema "Ninakuhitaji," namaanisha- Nakuhitaji kupumua, kuota, kuishi, kupenda. Kwa sababu kukupenda imekuwa sehemu ya asili zaidi kwangu. #WeweNdiweMaishaYangu # #MileleSisi#
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·505 Views
More Results