• NBCPREMIERLEAGUE

    HT TZ PRISON 0 1 SIMBASC
    ⚽️ 5' Che Malone

    #paulswai
    NBCPREMIERLEAGUE HT TZ PRISON 0 🆚 1 SIMBASC ⚽️ 5' Che Malone #paulswai
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 22 Visualizações
  • TZ PRISON 0 [1] SIMBASC
    DK 5 Che malon

    #paulswai
    TZ PRISON 0 🆚[1] SIMBASC DK 5 ⚽Che malon #paulswai
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 38 Visualizações

  • ITALETA SHIDA KUTOPATA MATOKEO KWENYE MECHI TATU MFULULIZO SIMBASC

    Kikosi cha Simba tayari kiko mkoani Mbeya kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho Jumanne katika uwanja wa Sokoine.

    Msafara wa Simba ulitua Mbeya jana jioni ambapo leo timu itafanya maandalizi ya mwisho katika uwanja wa Sokoine

    Mchezo dhidi ya Tz Prisons ni Muhimu ili kurejesha Morali na Utulivu kwa Wana Msimbazi wote.

    Ni wazi hautakua mchezo rahisi kwani Tanzania Prisons wamekuwa na historia ya kuisumbua Simba hasa wanapocheza katika uwanja wa
    Sokoine

    Simba haijapata ushindi katika mechi mbili zilizopita dhidi ya Coastal Union na Yanga, hivyo hakuna namna alama tatu za mchezo dhidi ya Prisons zina umuhimu mkubwa

    #paulswai
    ITALETA SHIDA KUTOPATA MATOKEO KWENYE MECHI TATU MFULULIZO SIMBASC🦁💪 Kikosi cha Simba tayari kiko mkoani Mbeya kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho Jumanne katika uwanja wa Sokoine. Msafara wa Simba ulitua Mbeya jana jioni ambapo leo timu itafanya maandalizi ya mwisho katika uwanja wa Sokoine Mchezo dhidi ya Tz Prisons ni Muhimu ili kurejesha Morali na Utulivu kwa Wana Msimbazi wote. Ni wazi hautakua mchezo rahisi kwani Tanzania Prisons wamekuwa na historia ya kuisumbua Simba hasa wanapocheza katika uwanja wa Sokoine Simba haijapata ushindi katika mechi mbili zilizopita dhidi ya Coastal Union na Yanga, hivyo hakuna namna alama tatu za mchezo dhidi ya Prisons zina umuhimu mkubwa #paulswai
    Like
    2
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 19 Visualizações
  • KOCHA WA SIMBASC FADLU DAVIDS alivyokutana na Kocha wa Yanga SC Miguel Gamondi kuelekea kwenye derby kesho Benjamin Mkapa.
    #paulswai
    KOCHA WA SIMBASC FADLU DAVIDS alivyokutana na Kocha wa Yanga SC Miguel Gamondi kuelekea kwenye derby kesho Benjamin Mkapa. #paulswai
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 51 Visualizações 17
  • CAF CONFEDERATION CUP
    .
    SIMBA SC AL AHLI TRIPOLI
    16:00
    Machinjioni kwa Mkapa
    .
    Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu.
    .
    Kila la Kheri @SimbaSCTanzania
    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🏆 . 🇹🇿 SIMBA SC 🆚 AL AHLI TRIPOLI 🇱🇾 ⏰ 16:00 🏟️ Machinjioni kwa Mkapa . Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu. . Kila la Kheri @SimbaSCTanzania 🇹🇿 #paulswai
    Like
    4
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 237 Visualizações
  • Mechi za SIMBASC za cuf akiwanyumbani
    #paulswai
    Mechi za SIMBASC za cuf akiwanyumbani #paulswai
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 97 Visualizações
  • KIKOSI CHA SIMBASC KINACHOANZA LEO

    Camara
    Kapombe
    Hussein
    Hamza
    Che Malone
    Kagoma
    Balua
    Fernandes
    Ateba
    🇨🇮 Ahoua
    Mutale
    🚨 KIKOSI CHA SIMBASC KINACHOANZA LEO 🇬🇳 Camara 🇹🇿 Kapombe 🇹🇿 Hussein 🇹🇿 Hamza 🇨🇲 Che Malone 🇹🇿 Kagoma 🇹🇿 Balua 🇬🇳 Fernandes 🇨🇲 Ateba 🇨🇮 Ahoua 🇿🇲 Mutale
    Like
    Love
    2
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 102 Visualizações
  • Kikosi cha SIMBASC kimefika salama Tripoli, Libya
    #paulswai
    Kikosi cha SIMBASC kimefika salama Tripoli, Libya 🇱🇾 #paulswai
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 102 Visualizações
  • Kikosi cha SIMBASC kimefika salama Uturuki. Leo Kitapumzika hapa na kesho kikosi kitaendelea na safari kwenda Libya.
    #paulswai
    Kikosi cha SIMBASC kimefika salama Uturuki. Leo Kitapumzika hapa na kesho kikosi kitaendelea na safari kwenda Libya. #paulswai
    Like
    2
    2 Comentários 0 Compartilhamentos 118 Visualizações
  • Kagoma yupo kwenye safari ya kikosi cha wachezaji Ishirini na Mbili wa Simbasc wanaoifuata Al Hilal Tripoli ya Sudan.
    #paulswai
    Kagoma yupo kwenye safari ya kikosi cha wachezaji Ishirini na Mbili wa Simbasc wanaoifuata Al Hilal Tripoli ya Sudan. #paulswai
    Like
    2
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 119 Visualizações
Páginas impulsionada