KUFUZU AFCON 2025
TANZANIA
ETHIOPIA
19:00
Mkapa.
Tunaweza kufuzu kwa kuanza kampeni vyema dhidi ya Ethiopia tunayoikaribisha leo ikiwa na rekodi zisizovutia. Ethiopia haijapata ushindi wowote katika mechi 11 za kimashindano zilizopita, ikipoteza sita na kuambulia sare tano.
Tunawakumbusha wachezaji wetu kupambana hadi mwisho na mashabiki wajitokeze kusapoti. Kwa sababu hawa Waethiopia ni wetu kabisa hawa. Kila la kheri
@TaifaStars_
#paulswai
KUFUZU AFCON 2025
๐น๐ฟ TANZANIA ๐ ETHIOPIA ๐ช๐น
โฐ 19:00
๐๏ธ Mkapa.
Tunaweza kufuzu kwa kuanza kampeni vyema dhidi ya Ethiopia tunayoikaribisha leo ikiwa na rekodi zisizovutia. Ethiopia haijapata ushindi wowote katika mechi 11 za kimashindano zilizopita, ikipoteza sita na kuambulia sare tano.
Tunawakumbusha wachezaji wetu kupambana hadi mwisho na mashabiki wajitokeze kusapoti. Kwa sababu hawa Waethiopia ni wetu kabisa hawa. Kila la kheri ๐น๐ฟ@TaifaStars_
#paulswai