Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Αναζήτηση
Δημοσιεύσεις
Blogs
Χρήστες
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Mofokeng Elvis @Kas11 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-29 11:33:47 ·
    kamudomo
    kamudomo😀
    Haha
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·485 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Kelvin John @Jumae πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 10:15:14 ·
    Kamudomo
    Kamudomo 🤣
    Love
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·380 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Kelvin John @Jumae πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-27 10:13:08 ·
    Mumeanza kamudomo
    Mumeanza kamudomo 🤣
    Haha
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·362 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Kelvin John @Jumae πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-23 06:53:47 ·
    Kamudomo
    Kamudomo 🤣
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·385 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-03 17:34:32 ·
    Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo.

    "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo.

    Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake.

    Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote?

    Iko hivi

    Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili.

    Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa.

    Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga.

    Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga.

    Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani.

    Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya.

    Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya?

    Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake.

    Shalom."
    Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo. "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo. Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake. Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote? Iko hivi Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili. Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa. Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga. Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga. Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani. Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya. Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya? Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake. Shalom."
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·990 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Abdallah Msangi @Msangi πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-05-17 05:13:44 ·
    Good morning #socialpop users
    #Mbona_kama_naota
    #jodance_hollic
    #cRazYdAnCE
    #UDOM
    Good morning #socialpop users #Mbona_kama_naota #jodance_hollic #cRazYdAnCE #UDOM
    Like
    Love
    10
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views ·134
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers