• Ready for an Arya Samaj Marriage? Make It Legal & Hassle-Free!

    Looking for a simple yet meaningful way to solemnize your marriage? Have you considered an Arya Samaj marriage, fully recognized under the Special Marriage Act & Hindu Marriage Act?

    Why stress over paperwork, witnesses, or rituals when experts can handle everything for you? Our team at Court Marriage Services ensures smooth marriage registration, Vedic ceremonies, and complete legal compliance.

    Whether it’s a court marriage, Arya Samaj ceremony, or both, don’t you want a stress-free, memorable day?

    Call Us: 9999423333 | 9818476605
    Email: [email protected]
    Website: https://courtmarriage.co.in

    Celebrate love the right way with Arya Samaj Marriage Services!

    #AryaSamajMarriage #CourtMarriage #MarriageRegistration #VedicMarriage #LegalMarriage #WeddingCeremonyIndia #LoveAndMarriage
    💍 Ready for an Arya Samaj Marriage? Make It Legal & Hassle-Free! ✨ Looking for a simple yet meaningful way to solemnize your marriage? 🤔 Have you considered an Arya Samaj marriage, fully recognized under the Special Marriage Act & Hindu Marriage Act? Why stress over paperwork, witnesses, or rituals when experts can handle everything for you? 📝 Our team at Court Marriage Services ensures smooth marriage registration, Vedic ceremonies, and complete legal compliance. Whether it’s a court marriage, Arya Samaj ceremony, or both, don’t you want a stress-free, memorable day? 💖 📞 Call Us: 9999423333 | 9818476605 📧 Email: [email protected] 🌐 Website: https://courtmarriage.co.in Celebrate love the right way with Arya Samaj Marriage Services! 💍🎉 #AryaSamajMarriage #CourtMarriage #MarriageRegistration #VedicMarriage #LegalMarriage #WeddingCeremonyIndia #LoveAndMarriage
    0 التعليقات 0 المشاركات 629 مشاهدة
  • If you're in Bengaluru and searching for a simple, spiritual, and affordable marriage option, Arya Samaj Mandir Bangalore is a perfect choice!
    Their Vedic-style weddings are peaceful, authentic, and beautifully conducted with sacred mantras. The team helps with all documentation, making the entire process smooth and stress-free.
    Whether you're planning a love marriage, inter-caste marriage, or a traditional ceremony, this mandir provides full support and transparency. A serene place to begin your new journey with blessings and positivity!
    Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in.
    Mobile: 099994 23333
    Toll-Free: 1800 120 0644
    Email: [email protected]
    #AryaSamajMandirBangalore #BangaloreWeddings #VedicMarriage #SimpleShaadi #LoveWins
    If you're in Bengaluru and searching for a simple, spiritual, and affordable marriage option, Arya Samaj Mandir Bangalore is a perfect choice! 💍 ✨ Their Vedic-style weddings are peaceful, authentic, and beautifully conducted with sacred mantras. The team helps with all documentation, making the entire process smooth and stress-free. 🌿 🔥 Whether you're planning a love marriage, inter-caste marriage, or a traditional ceremony, this mandir provides full support and transparency. A serene place to begin your new journey with blessings and positivity! Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in. 🌸✨ 📞 Mobile: 099994 23333 📞 Toll-Free: 1800 120 0644 📧 Email: [email protected] #AryaSamajMandirBangalore #BangaloreWeddings #VedicMarriage #SimpleShaadi #LoveWins 💞🕉️
    0 التعليقات 0 المشاركات 852 مشاهدة
  • Huge appreciation for Arya Samaj Mandir Panchkula, the ideal spot for couples seeking a simple yet spiritually rich wedding experience! Their Vedic rituals are performed with care, devotion, and authenticity. From guiding you through each step to providing your marriage certificate, they handle everything with professionalism.
    Perfect choice for love marriages, interfaith couples, or anyone wanting a blessed start without unnecessary expenses. If you believe in simplicity, tradition, and positive energy, this mandir is absolutely worth it!
    Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in.
    Mobile: 099994 23333
    Toll-Free: 1800 120 0644
    Email: [email protected]
    #AryaSamajMandirPanchkula #LoveMarriage #VedicRituals #PanchkulaCouples #BlessedUnion
    Huge appreciation for Arya Samaj Mandir Panchkula, the ideal spot for couples seeking a simple yet spiritually rich wedding experience! 🙌✨ Their Vedic rituals are performed with care, devotion, and authenticity. From guiding you through each step to providing your marriage certificate, they handle everything with professionalism. 🌸 🔥 Perfect choice for love marriages, interfaith couples, or anyone wanting a blessed start without unnecessary expenses. If you believe in simplicity, tradition, and positive energy, this mandir is absolutely worth it! Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in. 🌸✨ 📞 Mobile: 099994 23333 📞 Toll-Free: 1800 120 0644 📧 Email: [email protected] #AryaSamajMandirPanchkula #LoveMarriage #VedicRituals #PanchkulaCouples #BlessedUnion 💍🌿
    0 التعليقات 0 المشاركات 732 مشاهدة
  • Planning a simple, spiritual, and budget-friendly marriage in Haryana? Arya Samaj Mandir Yamuna Nagar is one of the best places for couples who want an authentic Vedic ceremony. The mandir team handles everything—from chanting mantras to completing your legal documentation—so your special day stays peaceful and stress-free.
    Whether it’s a love marriage, inter-caste marriage, or a traditional Vedic wedding, they support you with complete respect and transparency. A perfect blend of simplicity, purity, and tradition!
    Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in.
    Mobile: 099994 23333
    Toll-Free: 1800 120 0644
    Email: [email protected]
    #AryaSamajMandirYamunanagar #YamunanagarWeddings #VedicMarriage #SimpleShaadi #LoveWins
    Planning a simple, spiritual, and budget-friendly marriage in Haryana? 💍✨ Arya Samaj Mandir Yamuna Nagar is one of the best places for couples who want an authentic Vedic ceremony. The mandir team handles everything—from chanting mantras to completing your legal documentation—so your special day stays peaceful and stress-free. 🌿 🔥 Whether it’s a love marriage, inter-caste marriage, or a traditional Vedic wedding, they support you with complete respect and transparency. A perfect blend of simplicity, purity, and tradition! Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in. 🌸✨ 📞 Mobile: 099994 23333 📞 Toll-Free: 1800 120 0644 📧 Email: [email protected] #AryaSamajMandirYamunanagar #YamunanagarWeddings #VedicMarriage #SimpleShaadi #LoveWins 💞🕉️
    0 التعليقات 0 المشاركات 784 مشاهدة
  • More couples today prefer meaningful weddings without the show-off—and Arya Samaj Mandir Mohali delivers exactly that! Their Vedic-style ceremonies are soulful, simple, and filled with spiritual energy. They guide you through every ritual, help with all the required documents, and keep things hassle-free.
    Whether you're opting for inter-caste, inter-religion, or love marriage, this mandir stands as a reliable and respectful choice in Mohali. No drama, no hidden charges—just pure tradition and blessings.
    Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in.
    Mobile: 099994 23333
    Toll-Free: 1800 120 0644
    Email: [email protected]
    #AryaSamajMandirMohali #AffordableWeddings #MohaliMandir #VedicCeremony #TrueLove
    More couples today prefer meaningful weddings without the show-off—and Arya Samaj Mandir Mohali delivers exactly that! 🕉️💫 Their Vedic-style ceremonies are soulful, simple, and filled with spiritual energy. They guide you through every ritual, help with all the required documents, and keep things hassle-free. 🌿 Whether you're opting for inter-caste, inter-religion, or love marriage, this mandir stands as a reliable and respectful choice in Mohali. No drama, no hidden charges—just pure tradition and blessings. Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in. 🌸✨ 📞 Mobile: 099994 23333 📞 Toll-Free: 1800 120 0644 📧 Email: [email protected] #AryaSamajMandirMohali #AffordableWeddings #MohaliMandir #VedicCeremony #TrueLove 💍🌸🔥
    0 التعليقات 0 المشاركات 651 مشاهدة
  • Big shoutout to everyone looking for a stress-free marriage process! Arya Samaj Mandir Kanpur is an amazing option for couples wanting a smooth, legal, and culturally rich ceremony.
    From arranging pandits to completing all paperwork, everything is handled professionally.
    The best part? No unnecessary expenses or complications—just pure Vedic rituals with positive vibes. Perfect for inter-caste, inter-religion, or love marriages. If you're planning your big day, this place deserves to be on your list!
    Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in.
    Mobile: 099994 23333
    Toll-Free: 1800 120 0644
    Email: [email protected]
    #AryaSamajMandirKanpur #LoveMarriage #VedicRituals #KanpurWeddings #SimpleShaadi
    Big shoutout to everyone looking for a stress-free marriage process! 🙌 Arya Samaj Mandir Kanpur is an amazing option for couples wanting a smooth, legal, and culturally rich ceremony. From arranging pandits to completing all paperwork, everything is handled professionally. 💯 The best part? No unnecessary expenses or complications—just pure Vedic rituals with positive vibes. 🌸🔥 Perfect for inter-caste, inter-religion, or love marriages. If you're planning your big day, this place deserves to be on your list! Visit Now To Know More :-www.aryasamajmandir.co.in. 🌸✨ 📞 Mobile: 099994 23333 📞 Toll-Free: 1800 120 0644 📧 Email: [email protected] #AryaSamajMandirKanpur #LoveMarriage #VedicRituals #KanpurWeddings #SimpleShaadi ❤️✨
    0 التعليقات 0 المشاركات 797 مشاهدة
  • Israel yasema itaendelea kusimamia usalama Gaza, licha ya makubaliano ya usitishaji vita.

    Katika taarifa mpya iliyoibua mijadala ya kisiasa na kidiplomasia, Serikali ya Israel imesisitiza kuwa haitakubali kuachia jukumu la usalama wa Ukanda wa Gaza mikononi mwa vikosi vya kimataifa, licha ya kusaini makubaliano ya usitishaji vita yaliyosimamiwa na Marekani.

    Kupitia kikao na Baraza lake la Mawaziri, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alinukuliwa akisema:

    “Israel itaamua yenyewe ni lini na wapi itaendelea kuwakabili maadui zake. Hatutakubali kabisa nchi yoyote kutuamulia kuhusu usalama wetu.”

    Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya makubaliano ya muda ya usitishaji mapigano kuwasilishwa, yakiruhusu kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kitakacholinda amani na usambazaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya Gaza.

    Kulingana na taarifa zilizotolewa, kikosi hicho kitapangwa kutoka mataifa ya Kiarabu au Kiislamu, na kazi yake kuu itakuwa kuhakikisha usalama wa Raia na kusimamia utekelezaji wa masharti ya kusitisha vita.

    Hata hivyo, Netanyahu ameeleza wasiwasi mkubwa juu ya mpango huo:

    “Tutashirikiana pale inapobidi, lakini hatutawahi kukubali Gaza kuwa chini ya mamlaka ya nje bila ridhaa ya Israel. Usalama wa Raia wetu ndio kipaumbele cha kwanza.”

    Kwa mujibu wa Afisa wa Marekani, makubaliano haya ni sehemu ya juhudi za muda mrefu kurejesha utulivu katika eneo hilo, lakini yanategemea ushirikiano wa pande zote mbili, jambo ambalo linazidi kuonekana kuwa gumu kutokana na msimamo wa Israel.

    Hii ni ishara kwamba licha ya mapendekezo ya kimataifa, Israel bado inashikilia msimamo wake wa kulinda mamlaka kamili ya usalama ndani ya Gaza, hatua inayoweza kuchelewesha utekelezaji wa makubaliano haya mapya.

    Je, Israel inaweza kusimamia amani Gaza bila msaada wa Jumuiya ya kimataifa? Au je, dunia inapaswa kuingilia kati kwa nguvu zaidi?

    Toa maoni yako
    Israel yasema itaendelea kusimamia usalama Gaza, licha ya makubaliano ya usitishaji vita. Katika taarifa mpya iliyoibua mijadala ya kisiasa na kidiplomasia, Serikali ya Israel imesisitiza kuwa haitakubali kuachia jukumu la usalama wa Ukanda wa Gaza mikononi mwa vikosi vya kimataifa, licha ya kusaini makubaliano ya usitishaji vita yaliyosimamiwa na Marekani. Kupitia kikao na Baraza lake la Mawaziri, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alinukuliwa akisema: “Israel itaamua yenyewe ni lini na wapi itaendelea kuwakabili maadui zake. Hatutakubali kabisa nchi yoyote kutuamulia kuhusu usalama wetu.” Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya makubaliano ya muda ya usitishaji mapigano kuwasilishwa, yakiruhusu kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kitakacholinda amani na usambazaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya Gaza. Kulingana na taarifa zilizotolewa, kikosi hicho kitapangwa kutoka mataifa ya Kiarabu au Kiislamu, na kazi yake kuu itakuwa kuhakikisha usalama wa Raia na kusimamia utekelezaji wa masharti ya kusitisha vita. Hata hivyo, Netanyahu ameeleza wasiwasi mkubwa juu ya mpango huo: “Tutashirikiana pale inapobidi, lakini hatutawahi kukubali Gaza kuwa chini ya mamlaka ya nje bila ridhaa ya Israel. Usalama wa Raia wetu ndio kipaumbele cha kwanza.” Kwa mujibu wa Afisa wa Marekani, makubaliano haya ni sehemu ya juhudi za muda mrefu kurejesha utulivu katika eneo hilo, lakini yanategemea ushirikiano wa pande zote mbili, jambo ambalo linazidi kuonekana kuwa gumu kutokana na msimamo wa Israel. Hii ni ishara kwamba licha ya mapendekezo ya kimataifa, Israel bado inashikilia msimamo wake wa kulinda mamlaka kamili ya usalama ndani ya Gaza, hatua inayoweza kuchelewesha utekelezaji wa makubaliano haya mapya. Je, Israel inaweza kusimamia amani Gaza bila msaada wa Jumuiya ya kimataifa? Au je, dunia inapaswa kuingilia kati kwa nguvu zaidi? Toa maoni yako
    Love
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa.
    .
    Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi.

    Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira.

    Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu.

    Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi.

    - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa. . Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi. 😀 Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira. Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu. Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi. - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).

    Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury).

    Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu.

    Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia.

    Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha.

    Toa maoni yako
    Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs). Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury). Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu. Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia. Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha. Toa maoni yako
    0 التعليقات 0 المشاركات 629 مشاهدة
  • https://www.yasminkhan.in/gurgaon-call-girls.html
    https://site-xjy3pol2u.godaddysites.com/
    https://www.mrclarksdesigns.builderspot.com/board/board_topic/690695/6729664.htm
    https://www.crossroadsbaitandtackle.com/board/board_topic/9053260/6946687.htm
    https://www.milliescentedrocks.com/board/board_topic/2189097/6946703.htm
    https://www.coffeesix-store.com/board/board_topic/7560063/6972102.htm
    https://www.gamerlaunch.com/community/users/blog/6589659/2417488/thrilling-sexual-experiences-with-female-gurgaon-e/?gid=535
    http://ofbiz.116.s1.nabble.com/Meet-The-Well-Trained-Gurgaon-Escort-YasminKhan-td4884326.html
    https://www.driedsquidathome.com/forum/topic/38744/gurgaon-escorts-service-%7C-cash-payment-availability-with-free-home-delivery.
    https://www.fw-follow.com/forum/topic/23560/gurgaon-escort-service-%7C-3.7k-cash-payment-with-free-delivery
    https://www.ttlxshipping.com/forum/topic/95460/sexy-escort-in-gurgaon-at-4.9k%7Cfree-hotel-and-room-delivery-24-7
    https://www.navacool.com/forum/topic/95465/vip-gurgaon-escort%7C-free-home-delivery-with-cash-payment.
    https://www.bonback.com/forum/topic/95467/gurgaon-escort-service-with-free-home-delivery-option
    https://www.cemkrete.com/forum/topic/40752/gurgaon-escort-at-%E2%82%B93500-with-free-hotel-,room-delivery-24-7
    https://www.natthadon-sanengineering.com/forum/topic/18775/gurgaon-escorts-service-%7C-connect-with-talented-call-girls
    https://blogs.rufox.ru/~babitareddy/69525.htm
    https://sg-docs.gogox.com/discuss/68871dc5e9e4423cf9b6579a
    https://herbalmeds-forum.biolife.com.my/d/264517-fulfill-your-fantasies-with-alluring-female-gurgaon-escorts-yasminkhan
    https://itkr.com.ua/forum/viewtopic.php?t=37907
    https://api.pushcrew.com/discuss/68d1264028549a4361b56237
    https://www.cobler.us/board/board_topic/7966425/7213737.htm
    https://zdravei.bg/forums/thread/6814/
    https://www.edufex.com/forums/discussion/general/flexible-private-encounters-from-gurgaon-escort-service
    http://forums.graphonomics.org/index.php?threads/make-every-encounter-with-female-gurgaon-escorts.324907/
    https://techdesigner.ru/posts/verified-hot-companions-at-gurgaon-escort-service
    https://sexymonterrey.activeboard.com/t72179399/passionate-private-encounters-with-escort-service-gurgaon/
    https://kadrmaskreations.com/forum/topic/genuine-gurgaon-escort-for-an-erotic-experience/
    https://bitcoinviagraforum.com/showthread.php?tid=467183
    https://www.volgmijnreis.nl/profiel/yasminkhan&blog=69036
    https://vtpaddlers.net/vpcbb/phpBB/viewtopic.php?t=1326126
    https://forum.amzgame.com/thread/detail?id=455787
    https://www.gabitos.com/catalunyauniversal/template.php?nm=1758706512
    https://myworldgo.com/blog/172920/cheap-yet-trusted-verified-escorts-in-gurgaon
    https://www.sendungsverfolgung24.org/forum/topic/find-the-most-fabulous-escorts-girls-in-gurgaon/#postid-2316008
    https://www.nedrago.com/forums/topic/most-irresistible-gurgaon-escort-service-directly-to-your-doorstep/
    http://forum.446.s1.nabble.com/For-Sensual-Delight-and-Complete-Discretion-Hire-Gurgaon-Escorts-tc95957.html
    https://www.live4cup.com/f-sp1745297-.html#p1745297
    https://www.yasminkhan.in/gurgaon-call-girls.html https://site-xjy3pol2u.godaddysites.com/ https://www.mrclarksdesigns.builderspot.com/board/board_topic/690695/6729664.htm https://www.crossroadsbaitandtackle.com/board/board_topic/9053260/6946687.htm https://www.milliescentedrocks.com/board/board_topic/2189097/6946703.htm https://www.coffeesix-store.com/board/board_topic/7560063/6972102.htm https://www.gamerlaunch.com/community/users/blog/6589659/2417488/thrilling-sexual-experiences-with-female-gurgaon-e/?gid=535 http://ofbiz.116.s1.nabble.com/Meet-The-Well-Trained-Gurgaon-Escort-YasminKhan-td4884326.html https://www.driedsquidathome.com/forum/topic/38744/gurgaon-escorts-service-%7C-cash-payment-availability-with-free-home-delivery. https://www.fw-follow.com/forum/topic/23560/gurgaon-escort-service-%7C-3.7k-cash-payment-with-free-delivery https://www.ttlxshipping.com/forum/topic/95460/sexy-escort-in-gurgaon-at-4.9k%7Cfree-hotel-and-room-delivery-24-7 https://www.navacool.com/forum/topic/95465/vip-gurgaon-escort%7C-free-home-delivery-with-cash-payment. https://www.bonback.com/forum/topic/95467/gurgaon-escort-service-with-free-home-delivery-option https://www.cemkrete.com/forum/topic/40752/gurgaon-escort-at-%E2%82%B93500-with-free-hotel-,room-delivery-24-7 https://www.natthadon-sanengineering.com/forum/topic/18775/gurgaon-escorts-service-%7C-connect-with-talented-call-girls https://blogs.rufox.ru/~babitareddy/69525.htm https://sg-docs.gogox.com/discuss/68871dc5e9e4423cf9b6579a https://herbalmeds-forum.biolife.com.my/d/264517-fulfill-your-fantasies-with-alluring-female-gurgaon-escorts-yasminkhan https://itkr.com.ua/forum/viewtopic.php?t=37907 https://api.pushcrew.com/discuss/68d1264028549a4361b56237 https://www.cobler.us/board/board_topic/7966425/7213737.htm https://zdravei.bg/forums/thread/6814/ https://www.edufex.com/forums/discussion/general/flexible-private-encounters-from-gurgaon-escort-service http://forums.graphonomics.org/index.php?threads/make-every-encounter-with-female-gurgaon-escorts.324907/ https://techdesigner.ru/posts/verified-hot-companions-at-gurgaon-escort-service https://sexymonterrey.activeboard.com/t72179399/passionate-private-encounters-with-escort-service-gurgaon/ https://kadrmaskreations.com/forum/topic/genuine-gurgaon-escort-for-an-erotic-experience/ https://bitcoinviagraforum.com/showthread.php?tid=467183 https://www.volgmijnreis.nl/profiel/yasminkhan&blog=69036 https://vtpaddlers.net/vpcbb/phpBB/viewtopic.php?t=1326126 https://forum.amzgame.com/thread/detail?id=455787 https://www.gabitos.com/catalunyauniversal/template.php?nm=1758706512 https://myworldgo.com/blog/172920/cheap-yet-trusted-verified-escorts-in-gurgaon https://www.sendungsverfolgung24.org/forum/topic/find-the-most-fabulous-escorts-girls-in-gurgaon/#postid-2316008 https://www.nedrago.com/forums/topic/most-irresistible-gurgaon-escort-service-directly-to-your-doorstep/ http://forum.446.s1.nabble.com/For-Sensual-Delight-and-Complete-Discretion-Hire-Gurgaon-Escorts-tc95957.html https://www.live4cup.com/f-sp1745297-.html#p1745297
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • IMANI KUBWA.

    Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.

    #Waebrania 11:1
    [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

    Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.

    Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.

    Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.

    Akida alikuwa mfano wa jambo hili.

    #Luka 7:7
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.

    Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.

    #Luka 7:7,9
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.

    Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.

    Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.

    #Zaburi 107:20
    [20]Hulituma neno lake, huwaponya,
    Huwatoa katika maangamizo yao.

    Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.

    Mfano mwingine .

    Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .

    Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.

    Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
    Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.

    #Luka 5:5
    [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

    Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.

    #Luka 5:6-7
    [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
    .
    [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

    Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.

    Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.

    Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .

    Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.

    Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.

    Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.

    Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa

    NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa sylvester Mwakabende
    Build new eden ministry
    0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    IMANI KUBWA. Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana. #Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo. Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona. Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi. Akida alikuwa mfano wa jambo hili. #Luka 7:7 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone. Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo. #Luka 7:7,9 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha. Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote. #Zaburi 107:20 [20]Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote. Mfano mwingine . Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki . Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua. Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini, Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu. #Luka 5:5 [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika. #Luka 5:6-7 [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; . [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya. Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako. Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote . Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika. Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote. Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa. Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU. Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa sylvester Mwakabende Build new eden ministry 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
  • Eklavya School Jalandhar cultivates well-rounded growth by combining strong academics with enriching co-curricular activities. Through innovative teaching and a supportive atmosphere, it inspires students to excel intellectually and evolve into confident, capable individuals. Visit us at https://eklavyaschooljal.org/
    Eklavya School Jalandhar cultivates well-rounded growth by combining strong academics with enriching co-curricular activities. Through innovative teaching and a supportive atmosphere, it inspires students to excel intellectually and evolve into confident, capable individuals. Visit us at https://eklavyaschooljal.org/
    0 التعليقات 0 المشاركات 474 مشاهدة
  • Looking for the Best SSB Coaching in Noida Delhi/NCR to kickstart your defence career?

    Breakthrough Point Defence Academy is one of the most trusted names in SSB interview preparation, mentored by the highly respected Bhavishya Sir.

    Our 15-day, 150-hour SSB Interview Training Program is designed to give you a complete edge—covering psychology tests, personal interviews, group discussions, GTO tasks, and real-time practice sessions. With a mix of theory, practical training, mock interviews, and outdoor GTO tasks, you gain the confidence and skills needed to crack the SSB interview.

    Why aspirants choose us as the Best SSB coaching in Noida Delhi/NCR:
    Mentorship by Bhavishya Sir, an expert in SSB interview training
    Complete 2-week structured training with mock tests & feedback
    Special GTO ground for outdoor practice
    Daily sessions on current affairs, personality development & effective speaking
    Hostel/PG facility with meals for both boys and girls
    If you are serious about your Armed Forces dream, this is where you begin your journey.

    Join Breakthrough Point – https://breakthroughpoint.co.in/ssb-interview-training

    #BestSSBCoachingInNoidaDelhiNCR #BestSSBCoachingInNoida #BestSSBCoachingInstitute #BestSSBTrainingAcademy #BestDefenceCoachingDelhiNCR #SSBInterviewPreparation #SSBInterviewCoaching #SSBCoachingWithBhavishyaSir #SSBInterviewTrainingNoida #BestCoachingForSSBInterview
    Looking for the Best SSB Coaching in Noida Delhi/NCR to kickstart your defence career? 🚀 Breakthrough Point Defence Academy is one of the most trusted names in SSB interview preparation, mentored by the highly respected Bhavishya Sir. Our 15-day, 150-hour SSB Interview Training Program is designed to give you a complete edge—covering psychology tests, personal interviews, group discussions, GTO tasks, and real-time practice sessions. With a mix of theory, practical training, mock interviews, and outdoor GTO tasks, you gain the confidence and skills needed to crack the SSB interview. Why aspirants choose us as the Best SSB coaching in Noida Delhi/NCR: ✅ Mentorship by Bhavishya Sir, an expert in SSB interview training ✅ Complete 2-week structured training with mock tests & feedback ✅ Special GTO ground for outdoor practice ✅ Daily sessions on current affairs, personality development & effective speaking ✅ Hostel/PG facility with meals for both boys and girls If you are serious about your Armed Forces dream, this is where you begin your journey. 🌟 👉 Join Breakthrough Point – https://breakthroughpoint.co.in/ssb-interview-training #BestSSBCoachingInNoidaDelhiNCR #BestSSBCoachingInNoida #BestSSBCoachingInstitute #BestSSBTrainingAcademy #BestDefenceCoachingDelhiNCR #SSBInterviewPreparation #SSBInterviewCoaching #SSBCoachingWithBhavishyaSir #SSBInterviewTrainingNoida #BestCoachingForSSBInterview
    BREAKTHROUGHPOINT.CO.IN
    Best SSB Interview Training Coaching in Noida Delhi/NCR | Crack SSB in First Attempt
    Join Noida Delhi/NCR best SSB Interview Training program at Breakthrough Point in Delhi. Get expert guidance, personalized coaching, and real-time mock interviews to ace your SSB exam on your first attempt. Enroll now!
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
  • Eklavya School Jalandhar cultivates well-rounded growth by combining strong academics with enriching co-curricular activities. Through innovative teaching and a supportive atmosphere, it inspires students to excel intellectually and evolve into confident, capable individuals. Visit us at https://eklavyaschooljal.org/
    Eklavya School Jalandhar cultivates well-rounded growth by combining strong academics with enriching co-curricular activities. Through innovative teaching and a supportive atmosphere, it inspires students to excel intellectually and evolve into confident, capable individuals. Visit us at https://eklavyaschooljal.org/
    0 التعليقات 0 المشاركات 490 مشاهدة
  • Eklavya School Jalandhar nurtures well-rounded individuals by seamlessly integrating strong academics with diverse co-curricular activities. Its innovative approach and supportive setting empower students to achieve intellectual and personal excellence. Visit us at https://eklavyaschooljal.org/
    Eklavya School Jalandhar nurtures well-rounded individuals by seamlessly integrating strong academics with diverse co-curricular activities. Its innovative approach and supportive setting empower students to achieve intellectual and personal excellence. Visit us at https://eklavyaschooljal.org/
    0 التعليقات 0 المشاركات 499 مشاهدة
  • Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden...

    Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ?

    Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ?

    Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao..

    Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream...

    Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja...

    Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari...

    Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza...

    #SportsElite
    Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden... Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ? Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ? Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao.. Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream... Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja... Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari... Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza... #SportsElite
    0 التعليقات 0 المشاركات 917 مشاهدة
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 3كيلو بايت مشاهدة
  • Mwanzo 49:3-4
    [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza,
    Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu.
    Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.

    [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu,
    Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako,
    Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu

    Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben

    Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu.

    Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa.

    Kumbukumbu la Torati 27:20
    [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina.

    Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake.

    Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi.

    Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi .

    Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!!

    Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao.

    Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo.

    Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote.

    *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.*

    Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi .

    Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake.

    Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba.

    Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza.

    Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Karibu katika group letu la Whatsapp
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Simu :0622625340
    #Restore men position
    #Build new eden
    Mwanzo 49:3-4 [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu. Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa. Kumbukumbu la Torati 27:20 [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina. Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake. Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi. Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi . Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!! Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao. Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo. Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote. *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.* Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi . Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake. Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba. Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza. Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Karibu katika group letu la Whatsapp https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Simu :0622625340 #Restore men position #Build new eden
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
  • SME AIRTEL FREE
    ACTIVATION

    LIPA AIRTEL FREE
    ACTIVATION
    KIGEZO
    NAMBA YA SIMU TU

    LIPA YAS FREE ACTIVATION
    PIA NATOA USER POPOTE PALE ULIPO USER INAINGIA KIDOLE CHOCHOTE

    LIPA MPESA FREE ACTIVATION

    NAPOKEA ODER KUANZIA
    SAHIVI USIACHE PESA MTAANI
    AGENT
    Piga simu
    0786711057
    📌SME AIRTEL FREE ACTIVATION 📌LIPA AIRTEL FREE ACTIVATION KIGEZO ↔️NAMBA YA SIMU TU 📌LIPA YAS FREE ACTIVATION PIA NATOA USER POPOTE PALE ULIPO USER INAINGIA KIDOLE CHOCHOTE 📌LIPA MPESA FREE ACTIVATION NAPOKEA ODER KUANZIA SAHIVI USIACHE PESA MTAANI AGENT Piga simu 0786711057 👏👏👏👏👏
    Love
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 843 مشاهدة
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
الصفحات المعززة