Upgrade to Pro

  • Arya Samaj Mandir in Haridwar

    Looking for a simple, legal, and spiritual wedding ceremony in the holy city of Haridwar? The Arya Samaj Mandir Haridwar offers authentic Vedic marriage ceremonies performed according to Arya Samaj traditions.
    Contact us fore more details
    Website: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-in-haridwar/
    Email: [email protected]
    09999423333 | 09818476605 | 18001200644

    #AryaSamajMandirHaridwar #VedicMarriage #HaridwarWedding #AryaSamajMarriage
    Arya Samaj Mandir in Haridwar ✨ Looking for a simple, legal, and spiritual wedding ceremony in the holy city of Haridwar? 🙏 The Arya Samaj Mandir Haridwar offers authentic Vedic marriage ceremonies performed according to Arya Samaj traditions. Contact us fore more details 🌐 Website: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-in-haridwar/ 📧 Email: [email protected] 📞 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 #AryaSamajMandirHaridwar #VedicMarriage #HaridwarWedding #AryaSamajMarriage
    ·8 Views
  • Looking for a **trusted place for a simple and Vedic marriage ceremony in Faridabad?**
    **Arya Samaj Mandir Faridabad** offers authentic Vedic rituals performed by experienced Acharyas. Whether it is an **Arya Samaj marriage, love marriage, inter-caste marriage, or court marriage assistance**, the mandir ensures a smooth and legally valid ceremony with proper documentation.
    Book your journey today
    http://www.aryasamajmandir.co.in/registered-arya-samaj-mandir-faridabad-9999423333/
    [[email protected]](mailto:[email protected])
    09999423333 | 09818476605 | 18001200644

    #AryaSamajMandir #AryaSamajMandirFaridabad #AryaSamajMarriage #LoveMarriage #CourtMarriage #VedicMarriage #InterCasteMarriage
    Looking for a **trusted place for a simple and Vedic marriage ceremony in Faridabad?** ✨ **Arya Samaj Mandir Faridabad** offers authentic Vedic rituals performed by experienced Acharyas. Whether it is an **Arya Samaj marriage, love marriage, inter-caste marriage, or court marriage assistance**, the mandir ensures a smooth and legally valid ceremony with proper documentation. 💍📜 Book your journey today 🌐 http://www.aryasamajmandir.co.in/registered-arya-samaj-mandir-faridabad-9999423333/ 📧 [[email protected]](mailto:[email protected]) 📞 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 #AryaSamajMandir #AryaSamajMandirFaridabad #AryaSamajMarriage #LoveMarriage #CourtMarriage #VedicMarriage #InterCasteMarriage
    ·5 Views
  • Arya Samaj Mandir in Noida – Simple & Sacred Vedic Wedding Ceremony

    Looking for a trusted Arya Samaj Mandir in Noida for a simple, legal, and traditional Vedic marriage ceremony? The Arya Samaj Mandir offers a peaceful and sacred environment where couples can get married according to Vedic rituals without unnecessary complications.

    Contact for Arya Samaj Marriage in Noida:
    [email protected]
    | 09999423333 | 09818476605 | 18001200644
    Visit here: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-noida-09999423333/

    #AryaSamajMandirNoida #AryaSamajMarriage #NoidaWedding #VedicMarriage #CourtMarriageNoida #SimpleMarriage #LoveMarriage
    ✨ Arya Samaj Mandir in Noida – Simple & Sacred Vedic Wedding Ceremony ✨ Looking for a trusted Arya Samaj Mandir in Noida for a simple, legal, and traditional Vedic marriage ceremony? 🕉️ The Arya Samaj Mandir offers a peaceful and sacred environment where couples can get married according to Vedic rituals without unnecessary complications. 📞 Contact for Arya Samaj Marriage in Noida: [email protected] | 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 🌐Visit here: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-noida-09999423333/ #AryaSamajMandirNoida #AryaSamajMarriage #NoidaWedding #VedicMarriage #CourtMarriageNoida #SimpleMarriage #LoveMarriage
    ·4 Views
  • Standing on Chulu West Peak means conquering one of the Himalayas’ most stunning summits.

    This climb rewards adventurers with sweeping views of the Annapurna Range and surrounding peaks. If you’re looking for a mix of trekking and technical mountaineering, Chulu West Peak Climbing is your next challenge.

    https://nepalsocialtreks.com/trip/chulu-west-peak-climbing/
    #ChuluWestPeak #PeakClimbingNepal #HimalayanAdventure #NepalMountains #AdventureTravel #SummitGoals #MountainViews #TrekkingNepal
    Standing on Chulu West Peak means conquering one of the Himalayas’ most stunning summits. This climb rewards adventurers with sweeping views of the Annapurna Range and surrounding peaks. If you’re looking for a mix of trekking and technical mountaineering, Chulu West Peak Climbing is your next challenge. https://nepalsocialtreks.com/trip/chulu-west-peak-climbing/ #ChuluWestPeak #PeakClimbingNepal #HimalayanAdventure #NepalMountains #AdventureTravel #SummitGoals #MountainViews #TrekkingNepal
    NEPALSOCIALTREKS.COM
    Chulu West Peak Climbing | Nepal Social Trek
    If you have the strength, stamina, and desire for mountaineering introduction, join Nepal Social Trek for Chulu West Peak Climbing.
    ·262 Views
  • Arya Samaj Mandir South Delhi – Trusted Vedic Marriage Services
    Explore now:
    Call: 09999423333 | 09818476605 | 18001200644
    Email: [email protected]
    Visit: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-south-delhi-09818476605/

    #AryaSamajMandirSouthDelhi #AryaSamajMarriage #LoveMarriage #InterCasteMarriage
    Arya Samaj Mandir South Delhi – Trusted Vedic Marriage Services 💍 Explore now: 📞Call: 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 📧 Email: [email protected] 🌐 Visit: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-south-delhi-09818476605/ #AryaSamajMandirSouthDelhi #AryaSamajMarriage #LoveMarriage #InterCasteMarriage
    ·169 Views
  • Arya Samaj Mandir Ghaziabad – Simple & Legal Marriage Ceremony

    Contact us for more details:
    : 09999423333 | 09818476605 | 18001200644
    Email: [email protected]
    More Info: https://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-in-ghaziabad/

    #AryaSamajMandirGhaziabad #AryaSamajMarriage #CourtMarriageGhaziabad
    💍 Arya Samaj Mandir Ghaziabad – Simple & Legal Marriage Ceremony Contact us for more details: 📞 : 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 📧 Email: [email protected] 🌐 More Info: https://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-in-ghaziabad/ #AryaSamajMandirGhaziabad #AryaSamajMarriage #CourtMarriageGhaziabad
    ·95 Views
  • Court Marriage in Dehradun
    Get a quick, legal, and hassle-free court marriage with expert guidance.

    Start your new journey together with trusted assistance
    Connect us:
    https://www.aryasamajmandir.co.in
    [email protected]
    09999423333 | 09818476605 | 18001200644

    #CourtMarriageDehradun #CourtMarriage #LoveMarriage #AryaSamajMarriage
    Court Marriage in Dehradun💍✨ Get a quick, legal, and hassle-free court marriage with expert guidance. 📄✅ Start your new journey together with trusted assistance❤️ Connect us: 🌐 https://www.aryasamajmandir.co.in 📧 [email protected] 📞 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 #CourtMarriageDehradun #CourtMarriage #LoveMarriage #AryaSamajMarriage 💑
    ·108 Views
  • Looking for a natural way to support your health? Yashtimadhu (Mulethi) Powder is a powerful Ayurvedic herb known for its soothing and healing properties. It helps support throat health, digestion, and overall immunity.

    Discover the benefits of premium quality Mulethi powder today and support your wellness naturally.

    Explore Here:
    https://sangampharmacy.com/product/yashtimadhu-mulethi-powder/
    [email protected]
    +91-9810556648, +91-9136211551, +91-9136732378

    #Yashtimadhu #MulethiPowder #HerbalRemedies #AyurvedicHerbs #NaturalWellness #HerbalHealth #AyurvedaIndia #NaturalHealing
    Looking for a natural way to support your health? Yashtimadhu (Mulethi) Powder is a powerful Ayurvedic herb known for its soothing and healing properties. It helps support throat health, digestion, and overall immunity. 🌱✨ Discover the benefits of premium quality Mulethi powder today and support your wellness naturally. Explore Here: 🔗https://sangampharmacy.com/product/yashtimadhu-mulethi-powder/ 📧 [email protected] 📞 +91-9810556648, +91-9136211551, +91-9136732378 #Yashtimadhu #MulethiPowder #HerbalRemedies #AyurvedicHerbs #NaturalWellness #HerbalHealth #AyurvedaIndia #NaturalHealing 🌿
    ·206 Views
  • Arya Samaj Mandir Bangalore

    Looking for a simple, legal and traditional Vedic wedding in Bangalore? Arya Samaj Mandir offers authentic Arya Samaj marriage ceremonies with complete legal documentation and expert guidance.
    Explore here:
    Call Now: 09999423333 | 09818476605 | 18001200644
    Email: [email protected]
    Visit: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-bangalore-09818476605/

    #AryaSamajMandirBangalore #AryaSamajMarriage #LoveMarriage #CourtMarriage #IntercasteMarriage #VedicWedding
    💍✨ Arya Samaj Mandir Bangalore Looking for a simple, legal and traditional Vedic wedding in Bangalore? 🔥📜 Arya Samaj Mandir offers authentic Arya Samaj marriage ceremonies with complete legal documentation and expert guidance. Explore here: 📞 Call Now: 09999423333 | 09818476605 | 18001200644 📧 Email: [email protected] 🌐 Visit: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-bangalore-09818476605/ #AryaSamajMandirBangalore #AryaSamajMarriage #LoveMarriage #CourtMarriage #IntercasteMarriage #VedicWedding
    ·189 Views
  • Arya Samaj Mandir in Noida
    Arya Samaj Mandir Noida offers traditional Vedic marriage ceremonies with complete legal documentation support. Whether it’s an inter-caste, inter-religion, or love marriage, all rituals are performed with authenticity, proper guidance, and spiritual values.

    Start your new journey here:
    Call Now: 09999423333, 09818476605, 18001200644
    Email: [email protected]
    Visit: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-noida-09999423333/

    #AryaSamajMandirNoida #CourtMarriageNoida #LoveMarriage #InterCasteMarriage #VedicWedding #NoidaServices
    Arya Samaj Mandir in Noida 💍🔥 Arya Samaj Mandir Noida offers traditional Vedic marriage ceremonies with complete legal documentation support. Whether it’s an inter-caste, inter-religion, or love marriage, all rituals are performed with authenticity, proper guidance, and spiritual values. 📜❤️ Start your new journey here: 📞 Call Now: 09999423333, 09818476605, 18001200644 📧 Email: [email protected] 🌐 Visit: http://www.aryasamajmandir.co.in/arya-samaj-mandir-noida-09999423333/ #AryaSamajMandirNoida #CourtMarriageNoida #LoveMarriage #InterCasteMarriage #VedicWedding #NoidaServices
    ·232 Views
  • 200 Hours Ashtanga Vinyasa Yoga TTC in Goa, India
    200 Hours Ashtanga Vinyasa Yoga TTC in Goa, India
    KUNDALINIYOGASHALA.COM
    200-Hour Ashtanga & Vinyasa Yoga Teacher Training in Goa | Kundalini Yogashala
    Deepen your practice with the 200-Hour Ashtanga & Vinyasa Yoga Teacher Training in Goa. Join our Yoga Alliance certified residential TTC featuring dynamic asana, pranayama, meditation, philosophy, and alignment for all levels. Enroll now!
    ·99 Views
  • Kesi ya uhaini dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwa tena Mahakamani.

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho baada ya Mahakama kushindwa kuendelea na usikilizwaji wake kufuatia mjadala mzito wa kisheria. Chanzo cha mvutano huo ni notisi iliyowasilishwa na upande wa Jamhuri ikieleza nia ya kuleta ushahidi mpya Mahakamani.

    Jamhuri: Notisi Iliwasilishwa kwa mujibu wa sheria.

    Upande wa Mashtaka umeeleza kuwa uliwasilisha notisi hiyo tarehe 20 Februari 2026 kwa mujibu wa kifungu cha 308 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai. Wakili wa Serikali alidai kuwa notisi hiyo ina maudhui ya ushahidi unaokusudiwa kuongezwa kama nyongeza ya ushahidi uliowasilishwa awali na ACP Amini Mahamba.

    Kwa hoja ya Jamhuri:

    - Kifungu cha 308(1) kinatoa mwongozo wa kuwasilisha ushahidi wa ziada.

    - Kifungu cha 308(4) kinahusu ushahidi uliopo katika jalada la kesi.

    - ACP Mahamba alikuwa Mchunguzi wa matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

    Kwa mtazamo wa Jamhuri, ushahidi huo ni wa kuimarisha hoja zao na unafuata taratibu za kisheria.

    Lissu apinga: “Si shahidi mpya”

    Hata hivyo, Tundu Lissu alipinga vikali notisi hiyo akisema haikidhi matakwa ya kisheria.

    Kwa mujibu wa hoja yake:

    - Kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya ambaye ushahidi wake haukusomwa wakati wa hatua ya awali (committal proceedings).

    - Upande wa Jamhuri hauleti shahidi mpya, bali unataka kuongeza ushahidi wa shahidi ambaye tayari alishatoa ushahidi wake.

    - Notisi hiyo haimtaji shahidi mpya kama sheria inavyotaka.

    Lissu alisisitiza kuwa hatua hiyo ni kinyume cha utaratibu wa kisheria na inalenga kupanua wigo wa kesi nje ya hati ya mashtaka.

    Aidha, Lissu alieleza kuwa maelezo yanayohusu matukio ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 hayamo kwenye hati ya mashtaka.

    Alidai kuwa:

    - Serikali inaonekana kutaka kubadilisha hati ya mashtaka bila kufuata utaratibu.

    - Wakati wa matukio hayo, yeye alikuwa mahabusu kwa miezi sita na nusu.

    - Kuruhusu notisi hiyo ni sawa na kufungua “sanduku la Pandora” kwa kuingiza masuala mapya yasiyo kwenye mashtaka ya awali.

    Kutokana na mvutano huo wa kisheria, Mahakama ililazimika kuahirisha kesi hiyo hadi kesho ili kutoa mwongozo au uamuzi kuhusu uhalali wa notisi ya Jamhuri.

    Uamuzi utakaotolewa unaweza kuwa na athari kubwa katika mwelekeo wa kesi hiyo, hasa kuhusu tafsiri na matumizi ya kifungu cha 308 katika mazingira ya ushahidi wa ziada.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Kesi ya uhaini dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwa tena Mahakamani. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho baada ya Mahakama kushindwa kuendelea na usikilizwaji wake kufuatia mjadala mzito wa kisheria. Chanzo cha mvutano huo ni notisi iliyowasilishwa na upande wa Jamhuri ikieleza nia ya kuleta ushahidi mpya Mahakamani. Jamhuri: Notisi Iliwasilishwa kwa mujibu wa sheria. Upande wa Mashtaka umeeleza kuwa uliwasilisha notisi hiyo tarehe 20 Februari 2026 kwa mujibu wa kifungu cha 308 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai. Wakili wa Serikali alidai kuwa notisi hiyo ina maudhui ya ushahidi unaokusudiwa kuongezwa kama nyongeza ya ushahidi uliowasilishwa awali na ACP Amini Mahamba. Kwa hoja ya Jamhuri: - Kifungu cha 308(1) kinatoa mwongozo wa kuwasilisha ushahidi wa ziada. - Kifungu cha 308(4) kinahusu ushahidi uliopo katika jalada la kesi. - ACP Mahamba alikuwa Mchunguzi wa matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025. Kwa mtazamo wa Jamhuri, ushahidi huo ni wa kuimarisha hoja zao na unafuata taratibu za kisheria. Lissu apinga: “Si shahidi mpya” Hata hivyo, Tundu Lissu alipinga vikali notisi hiyo akisema haikidhi matakwa ya kisheria. Kwa mujibu wa hoja yake: - Kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya ambaye ushahidi wake haukusomwa wakati wa hatua ya awali (committal proceedings). - Upande wa Jamhuri hauleti shahidi mpya, bali unataka kuongeza ushahidi wa shahidi ambaye tayari alishatoa ushahidi wake. - Notisi hiyo haimtaji shahidi mpya kama sheria inavyotaka. Lissu alisisitiza kuwa hatua hiyo ni kinyume cha utaratibu wa kisheria na inalenga kupanua wigo wa kesi nje ya hati ya mashtaka. Aidha, Lissu alieleza kuwa maelezo yanayohusu matukio ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 hayamo kwenye hati ya mashtaka. Alidai kuwa: - Serikali inaonekana kutaka kubadilisha hati ya mashtaka bila kufuata utaratibu. - Wakati wa matukio hayo, yeye alikuwa mahabusu kwa miezi sita na nusu. - Kuruhusu notisi hiyo ni sawa na kufungua “sanduku la Pandora” kwa kuingiza masuala mapya yasiyo kwenye mashtaka ya awali. Kutokana na mvutano huo wa kisheria, Mahakama ililazimika kuahirisha kesi hiyo hadi kesho ili kutoa mwongozo au uamuzi kuhusu uhalali wa notisi ya Jamhuri. Uamuzi utakaotolewa unaweza kuwa na athari kubwa katika mwelekeo wa kesi hiyo, hasa kuhusu tafsiri na matumizi ya kifungu cha 308 katika mazingira ya ushahidi wa ziada. Toa maoni yako #Habari
    ·272 Views
  • Msanii wa Afrobeats Simi aibua mjadala mzito kuhusu adhabu kwa Wabakaji wa Watoto.

    Msanii wa muziki wa Afrobeats, Simisola Kosoko maarufu kama Simi, amezua mjadala mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii baada ya kutoa wito wa kuchukuliwa hatua kali dhidi ya Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana.

    Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, nchi hiyo kwa sasa inapitia kipindi kigumu kutokana na ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia. Visa vya ubakaji dhidi ya Wanawake na Watoto vimeripotiwa katika maeneo tofauti ndani ya wiki za hivi karibuni, jambo lililoibua hasira na maumivu miongoni mwa Wananchi.

    Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa X usiku wa Jumanne, tarehe 17 Februari 2026, Simi alionyesha wazi ghadhabu yake dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia, hasa vinavyowalenga Watoto wa kike. Msanii huyo aliitaka serikali pamoja na jamii kwa ujumla kuchukua hatua madhubuti kukomesha uhalifu huo.

    Katika ujumbe wake, aliandika: "Nimechoka na nimekasirika sana. Acheni kubaka Wanawake na Watoto. Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana wanapaswa kuhasiwa na kuchomwa moto wakiwa hai.”

    Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku baadhi ya watu wakimuunga mkono kwa kuonesha uchungu na hasira juu ya matukio ya ubakaji, na wengine wakipinga aina ya adhabu aliyoipendekeza wakisisitiza umuhimu wa kufuata misingi ya sheria na haki za binadamu.

    Wachambuzi wa masuala ya kijamii wanasema kauli ya Simi inaakisi hisia kali za Wananchi wengi wanaohisi mfumo wa haki jinai haujachukua hatua za kutosha kukabiliana na ongezeko la uhalifu wa kijinsia. Hata hivyo, wanasisitiza kuwa mapambano dhidi ya ubakaji yanahitaji mchanganyiko wa hatua za kisheria, elimu ya jamii, pamoja na ulinzi madhubuti kwa waathirika.

    Mjadala unaoendelea unaweka shinikizo kwa mamlaka husika kuimarisha sheria, kuharakisha mashauri ya kesi za ubakaji, na kuhakikisha Wahusika wanawajibishwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

    Toa maoni yako
    #Music
    #Habari
    Msanii wa Afrobeats Simi aibua mjadala mzito kuhusu adhabu kwa Wabakaji wa Watoto. Msanii wa muziki wa Afrobeats, Simisola Kosoko maarufu kama Simi, amezua mjadala mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii baada ya kutoa wito wa kuchukuliwa hatua kali dhidi ya Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana. Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, nchi hiyo kwa sasa inapitia kipindi kigumu kutokana na ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia. Visa vya ubakaji dhidi ya Wanawake na Watoto vimeripotiwa katika maeneo tofauti ndani ya wiki za hivi karibuni, jambo lililoibua hasira na maumivu miongoni mwa Wananchi. Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa X usiku wa Jumanne, tarehe 17 Februari 2026, Simi alionyesha wazi ghadhabu yake dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia, hasa vinavyowalenga Watoto wa kike. Msanii huyo aliitaka serikali pamoja na jamii kwa ujumla kuchukua hatua madhubuti kukomesha uhalifu huo. Katika ujumbe wake, aliandika: "Nimechoka na nimekasirika sana. Acheni kubaka Wanawake na Watoto. Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana wanapaswa kuhasiwa na kuchomwa moto wakiwa hai.” Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku baadhi ya watu wakimuunga mkono kwa kuonesha uchungu na hasira juu ya matukio ya ubakaji, na wengine wakipinga aina ya adhabu aliyoipendekeza wakisisitiza umuhimu wa kufuata misingi ya sheria na haki za binadamu. Wachambuzi wa masuala ya kijamii wanasema kauli ya Simi inaakisi hisia kali za Wananchi wengi wanaohisi mfumo wa haki jinai haujachukua hatua za kutosha kukabiliana na ongezeko la uhalifu wa kijinsia. Hata hivyo, wanasisitiza kuwa mapambano dhidi ya ubakaji yanahitaji mchanganyiko wa hatua za kisheria, elimu ya jamii, pamoja na ulinzi madhubuti kwa waathirika. Mjadala unaoendelea unaweka shinikizo kwa mamlaka husika kuimarisha sheria, kuharakisha mashauri ya kesi za ubakaji, na kuhakikisha Wahusika wanawajibishwa kwa mujibu wa sheria za nchi. Toa maoni yako #Music #Habari
    ·341 Views
  • Umoja wa Afrika wasisitiza “Hakuna kuvumilia kabisa” dhidi ya mapinduzi na mabadiliko yasiyo ya kikatiba.

    Umoja wa Afrika (AU) umetangaza msimamo mkali dhidi ya mabadiliko ya serikali yanayokiuka katiba katika nchi wanachama, ukisisitiza sera ya “Hakuna kuvumilia kabisa” kwa vitendo vinavyovuruga utawala wa kikatiba na utulivu wa bara la Afrika.

    Kauli hiyo imekuja wakati bara la Afrika likikabiliwa na changamoto za mapinduzi ya kijeshi, migogoro ya kisiasa na kuingiliwa kwa masuala ya ndani na nguvu za kigeni. Viongozi wa AU wamesema hatua madhubuti zinahitajika ili kuhakikisha silaha zinanyamaza na misingi ya demokrasia unalindwa.

    Akizungumza kwa niaba ya Umoja huo, Mwenyekiti wa sasa wa AU na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye, alisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya nchi za Afrika dhidi ya ushawishi wa nje.

    “Hakuna nchi ya Afrika inayopaswa kutawaliwa tena kikoloni, kuvamiwa au kulazimishwa kujisalimisha kwa mamlaka yoyote ya kigeni katika karne ya 21.”

    Kauli hiyo inaonesha msimamo wa wazi wa Umoja wa Afrika kupinga aina yoyote ya kuingiliwa kwa uhuru wa nchi wanachama, iwe kwa njia ya mapinduzi ya ndani au shinikizo la kimataifa.

    Kwa mujibu wa misingi ya AU, mabadiliko yoyote ya serikali yanapaswa kufuata katiba na taratibu za kisheria zilizowekwa. Umoja huo kwa muda mrefu umekuwa ukitoa adhabu kama kusimamisha uanachama kwa nchi zinazoshuhudia mapinduzi ya kijeshi au hatua nyingine zisizo za kikatiba.

    Tamko la “Zero Tolerance” linatafsiriwa kama onyo kwa vikundi vyote vinavyotaka kutumia nguvu kuchukua madaraka, pamoja na ujumbe kwa mataifa ya nje kuheshimu mamlaka ya bara la Afrika.

    Sera hiyo pia inaunganishwa na azma ya muda mrefu ya AU ya “Kuzinyamazisha silaha barani Afrika,” kampeni inayolenga kumaliza migogoro ya kivita na kuimarisha amani na usalama.

    Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema msimamo huo unaashiria jitihada za kuimarisha mshikamano wa bara na kulinda misingi ya uhuru, demokrasia na utawala wa sheria.

    Kwa ujumla, kauli ya Umoja wa Afrika inatoa ujumbe mzito: Bara haliko tayari kuvumilia mapinduzi, uvamizi au aina yoyote ya utawala wa kulazimishwa katika zama za sasa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Umoja wa Afrika wasisitiza “Hakuna kuvumilia kabisa” dhidi ya mapinduzi na mabadiliko yasiyo ya kikatiba. Umoja wa Afrika (AU) umetangaza msimamo mkali dhidi ya mabadiliko ya serikali yanayokiuka katiba katika nchi wanachama, ukisisitiza sera ya “Hakuna kuvumilia kabisa” kwa vitendo vinavyovuruga utawala wa kikatiba na utulivu wa bara la Afrika. Kauli hiyo imekuja wakati bara la Afrika likikabiliwa na changamoto za mapinduzi ya kijeshi, migogoro ya kisiasa na kuingiliwa kwa masuala ya ndani na nguvu za kigeni. Viongozi wa AU wamesema hatua madhubuti zinahitajika ili kuhakikisha silaha zinanyamaza na misingi ya demokrasia unalindwa. Akizungumza kwa niaba ya Umoja huo, Mwenyekiti wa sasa wa AU na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye, alisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya nchi za Afrika dhidi ya ushawishi wa nje. “Hakuna nchi ya Afrika inayopaswa kutawaliwa tena kikoloni, kuvamiwa au kulazimishwa kujisalimisha kwa mamlaka yoyote ya kigeni katika karne ya 21.” Kauli hiyo inaonesha msimamo wa wazi wa Umoja wa Afrika kupinga aina yoyote ya kuingiliwa kwa uhuru wa nchi wanachama, iwe kwa njia ya mapinduzi ya ndani au shinikizo la kimataifa. Kwa mujibu wa misingi ya AU, mabadiliko yoyote ya serikali yanapaswa kufuata katiba na taratibu za kisheria zilizowekwa. Umoja huo kwa muda mrefu umekuwa ukitoa adhabu kama kusimamisha uanachama kwa nchi zinazoshuhudia mapinduzi ya kijeshi au hatua nyingine zisizo za kikatiba. Tamko la “Zero Tolerance” linatafsiriwa kama onyo kwa vikundi vyote vinavyotaka kutumia nguvu kuchukua madaraka, pamoja na ujumbe kwa mataifa ya nje kuheshimu mamlaka ya bara la Afrika. Sera hiyo pia inaunganishwa na azma ya muda mrefu ya AU ya “Kuzinyamazisha silaha barani Afrika,” kampeni inayolenga kumaliza migogoro ya kivita na kuimarisha amani na usalama. Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema msimamo huo unaashiria jitihada za kuimarisha mshikamano wa bara na kulinda misingi ya uhuru, demokrasia na utawala wa sheria. Kwa ujumla, kauli ya Umoja wa Afrika inatoa ujumbe mzito: Bara haliko tayari kuvumilia mapinduzi, uvamizi au aina yoyote ya utawala wa kulazimishwa katika zama za sasa. Toa maoni yako #Habari
    ·237 Views
  • Why Houston Facilities Rely on Certified Calibration Services

    Houston facilities rely on certified calibration services to ensure accurate measurements, meet regulatory standards, reduce downtime, improve safety, and maintain operational efficiency across industrial, manufacturing, and laboratory environments. https://scaleandmeasure.com/calibration-services/

    #CalibrationServicesHoustonTX #HoustonIndustrialAccuracy #CertifiedCalibration #IndustrialMeasurement #ISOCompliance #ScaleCalibration
    #EquipmentAccuracy #HoustonManufacturing #QualityAssurance #IndustrialScaleMeasurement
    Why Houston Facilities Rely on Certified Calibration Services Houston facilities rely on certified calibration services to ensure accurate measurements, meet regulatory standards, reduce downtime, improve safety, and maintain operational efficiency across industrial, manufacturing, and laboratory environments. https://scaleandmeasure.com/calibration-services/ #CalibrationServicesHoustonTX #HoustonIndustrialAccuracy #CertifiedCalibration #IndustrialMeasurement #ISOCompliance #ScaleCalibration #EquipmentAccuracy #HoustonManufacturing #QualityAssurance #IndustrialScaleMeasurement
    ·565 Views ·0 Play
  • Participate in our Sound Healing Course in Rishikesh, India, at Rishikesh Yog Kendra, a well-known yoga school in Rishikesh. The sound healing course is a path towards self-discovery and harnessing the power of sound. In the Sound Healing Course, you will learn the Tibetan sound healing therapy, concept, and types of singing bowls, introduction to the chakras, physical therapies, introduction to Mantra, and Mudras. Rishikesh Yog Kendra also provides yoga teacher training courses, such as 100, 200, and 300-Hour Yoga Teacher Training Course, Aerial Yoga Course, and Prenatal and Postnatal Yoga Courses. RYK provides accommodation facilities along with 3 times sattvic meals. You can practice yoga in the lap of Himalayas and the view of the serene Ganges, and also be able to get close to nature as well.For more information, Visit: https://rishikeshyogkendra.com/
    Participate in our Sound Healing Course in Rishikesh, India, at Rishikesh Yog Kendra, a well-known yoga school in Rishikesh. The sound healing course is a path towards self-discovery and harnessing the power of sound. In the Sound Healing Course, you will learn the Tibetan sound healing therapy, concept, and types of singing bowls, introduction to the chakras, physical therapies, introduction to Mantra, and Mudras. Rishikesh Yog Kendra also provides yoga teacher training courses, such as 100, 200, and 300-Hour Yoga Teacher Training Course, Aerial Yoga Course, and Prenatal and Postnatal Yoga Courses. RYK provides accommodation facilities along with 3 times sattvic meals. You can practice yoga in the lap of Himalayas and the view of the serene Ganges, and also be able to get close to nature as well.For more information, Visit: https://rishikeshyogkendra.com/
    RISHIKESHYOGKENDRA.COM
    Traditional Yoga Teacher Training in Rishikesh | 2026-27
    Begin your journey with the best yoga School in Rishikesh, India, and learn authentic yoga teacher training in Rishikesh through holistic yogic teachings.
    ·381 Views
  • Trump: “Mabadiliko ya utawala Iran yangekuwa jambo bora zaidi”.

    Donald Trump, Rais wa Marekani, amesema kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa suluhisho bora kufuatia kile alichokitaja kuwa ni miongo kadhaa ya mazungumzo yasiyozaa matunda kati ya pande hizo mbili.

    Kauli hiyo inakuja wakati mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka, hasa kuhusu suala la makubaliano ya nyuklia na usalama wa kikanda.

    Akizungumza na Waandishi wa habari, Trump alisema: “Mabadiliko ya utawala nchini Iran yangekuwa jambo bora zaidi ambalo lingeweza kutokea. Kwa miaka 47, wamekuwa wakizungumza na kuzungumza. Wakati huo huo, tumepoteza maisha mengi huku wakizungumza. Miguu imepasuka, mikono imepasuka, nyuso zimepasuka. Tumekuwa tukiendelea kwa muda mrefu kwa hivyo hebu tuone kitakachotokea.”

    Kauli hiyo inaashiria msimamo mkali wa Washington kuhusu mwenendo wa mazungumzo na Tehran, huku Trump akionyesha kutoridhishwa na kile alichokiita historia ya ahadi zisizotekelezwa.

    Aliendelea kusisitiza kuwa Marekani iko tayari kwa suluhisho la kidiplomasia, lakini kwa masharti maalum: “Kama wakitupa makubaliano sahihi, hatutafanya hivyo lakini, unajua, kihistoria, hawajafanya hivyo. Nitasema wanataka kuzungumza lakini hadi sasa, wanazungumza sana na hakuna hatua.”

    Trump aliongeza kuwa suluhu ya kudumu ingekuwa mafanikio makubwa kwa pande zote: “Kama tungeweza kusuluhisha mambo mara moja na kwa wote, hilo lingekuwa jambo zuri.”

    Alipoulizwa ni nani angependa aongoze Iran iwapo mabadiliko ya utawala yangetokea, Trump alijibu kwa tahadhari: “Sitaki kuzungumzia hilo, kuna watu.”

    Kauli hizi zimezua mjadala mpana kimataifa, huku Wachambuzi wakitathmini iwapo msimamo huo utaongeza shinikizo la kisiasa dhidi ya Iran au kufungua mlango mpya wa mazungumzo ya moja kwa moja.

    Kwa sasa, macho ya dunia yanaelekezwa katika hatua zitakazochukuliwa na pande zote mbili, huku mustakabali wa uhusiano wa Marekani na Iran ukiwa katika mizani nyeti ya kidiplomasia.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Trump: “Mabadiliko ya utawala Iran yangekuwa jambo bora zaidi”. Donald Trump, Rais wa Marekani, amesema kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa suluhisho bora kufuatia kile alichokitaja kuwa ni miongo kadhaa ya mazungumzo yasiyozaa matunda kati ya pande hizo mbili. Kauli hiyo inakuja wakati mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka, hasa kuhusu suala la makubaliano ya nyuklia na usalama wa kikanda. Akizungumza na Waandishi wa habari, Trump alisema: “Mabadiliko ya utawala nchini Iran yangekuwa jambo bora zaidi ambalo lingeweza kutokea. Kwa miaka 47, wamekuwa wakizungumza na kuzungumza. Wakati huo huo, tumepoteza maisha mengi huku wakizungumza. Miguu imepasuka, mikono imepasuka, nyuso zimepasuka. Tumekuwa tukiendelea kwa muda mrefu kwa hivyo hebu tuone kitakachotokea.” Kauli hiyo inaashiria msimamo mkali wa Washington kuhusu mwenendo wa mazungumzo na Tehran, huku Trump akionyesha kutoridhishwa na kile alichokiita historia ya ahadi zisizotekelezwa. Aliendelea kusisitiza kuwa Marekani iko tayari kwa suluhisho la kidiplomasia, lakini kwa masharti maalum: “Kama wakitupa makubaliano sahihi, hatutafanya hivyo lakini, unajua, kihistoria, hawajafanya hivyo. Nitasema wanataka kuzungumza lakini hadi sasa, wanazungumza sana na hakuna hatua.” Trump aliongeza kuwa suluhu ya kudumu ingekuwa mafanikio makubwa kwa pande zote: “Kama tungeweza kusuluhisha mambo mara moja na kwa wote, hilo lingekuwa jambo zuri.” Alipoulizwa ni nani angependa aongoze Iran iwapo mabadiliko ya utawala yangetokea, Trump alijibu kwa tahadhari: “Sitaki kuzungumzia hilo, kuna watu.” Kauli hizi zimezua mjadala mpana kimataifa, huku Wachambuzi wakitathmini iwapo msimamo huo utaongeza shinikizo la kisiasa dhidi ya Iran au kufungua mlango mpya wa mazungumzo ya moja kwa moja. Kwa sasa, macho ya dunia yanaelekezwa katika hatua zitakazochukuliwa na pande zote mbili, huku mustakabali wa uhusiano wa Marekani na Iran ukiwa katika mizani nyeti ya kidiplomasia. Toa maoni yako #Habari
    ·365 Views
  • AFC/M23 yasisitiza utekelezaji wa makubaliano ya Doha, yaituhumu Kinshasa kwa “Mbinu za mawasiliano”.

    Muungano wa Waasi wa AFC/M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umetangaza upya msimamo wake kuhusu wito wa kusitisha mapigano, ukisema uko tayari kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kupitia mchakato wa Doha, huku ukitupia lawama Serikali ya Kinshasa kwa kile ilichokiita “mbinu za mawasiliano” zenye lengo la kupotosha (kutangaza uongo) umma.

    Kupitia taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa AFC/M23, Corneille Naanga, Muungano huo ulieleza kuwa uko tayari kuchukua hatua mara moja katika kutekeleza utaratibu wa usitishaji mapigano uliokubaliwa.

    Naanga alisema: "Kufuatia wito unaoendelea wa kusitisha mapigano, AFC/M23 inathibitisha tena dhamira yake ya kutekeleza, bila kuchelewa na kwa nia njema, utaratibu uliokubaliwa katika mfumo wa mchakato wa Doha. Hatua hii inaendana na mantiki ya uwajibikaji wa kisiasa na nia ya dhati ya kufikia suluhu ya mazungumzo, ya kudumu na shirikishi ya mzozo huu.”

    Kauli hiyo inaashiria msimamo wa AFC/M23 wa kuonyesha utayari wa kushiriki katika juhudi za kidiplomasia zinazolenga kumaliza mzozo wa muda mrefu mashariki mwa DRC.

    Hata hivyo, Muungano huo uliikosoa vikali Serikali ya DRC yenye makao yake Kinshasa, ukidai kuwa tangazo la kukubali kusitisha mapigano si la dhati.

    Naanga aliongeza: “Kwa AFC, kile kinachodaiwa kuwa kukubali kwa Kinshasa kanuni ya kusitisha mapigano ni mbinu tu ya mawasiliano na jaribio la upotoshaji linalolenga kudanganya maoni ya kitaifa na kimataifa, kujiepusha na wajibu wake na kuficha mwendelezo wa mkakati wa kijeshi usiobadilika.”

    Kauli hiyo inaibua mvutano mpya wa kisiasa wakati juhudi za kimataifa zikiongezeka kuhimiza pande husika kurejea katika meza ya mazungumzo kupitia mchakato wa Doha.

    Mzozo kati ya serikali ya DRC na AFC/M23 umeendelea kuathiri hali ya usalama na kibinadamu mashariki mwa nchi hiyo, huku jumuiya ya kimataifa ikiendelea kusisitiza umuhimu wa suluhu ya mazungumzo badala ya mapambano ya kijeshi.

    Toa maoni yako
    #Habari
    AFC/M23 yasisitiza utekelezaji wa makubaliano ya Doha, yaituhumu Kinshasa kwa “Mbinu za mawasiliano”. Muungano wa Waasi wa AFC/M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umetangaza upya msimamo wake kuhusu wito wa kusitisha mapigano, ukisema uko tayari kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kupitia mchakato wa Doha, huku ukitupia lawama Serikali ya Kinshasa kwa kile ilichokiita “mbinu za mawasiliano” zenye lengo la kupotosha (kutangaza uongo) umma. Kupitia taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa AFC/M23, Corneille Naanga, Muungano huo ulieleza kuwa uko tayari kuchukua hatua mara moja katika kutekeleza utaratibu wa usitishaji mapigano uliokubaliwa. Naanga alisema: "Kufuatia wito unaoendelea wa kusitisha mapigano, AFC/M23 inathibitisha tena dhamira yake ya kutekeleza, bila kuchelewa na kwa nia njema, utaratibu uliokubaliwa katika mfumo wa mchakato wa Doha. Hatua hii inaendana na mantiki ya uwajibikaji wa kisiasa na nia ya dhati ya kufikia suluhu ya mazungumzo, ya kudumu na shirikishi ya mzozo huu.” Kauli hiyo inaashiria msimamo wa AFC/M23 wa kuonyesha utayari wa kushiriki katika juhudi za kidiplomasia zinazolenga kumaliza mzozo wa muda mrefu mashariki mwa DRC. Hata hivyo, Muungano huo uliikosoa vikali Serikali ya DRC yenye makao yake Kinshasa, ukidai kuwa tangazo la kukubali kusitisha mapigano si la dhati. Naanga aliongeza: “Kwa AFC, kile kinachodaiwa kuwa kukubali kwa Kinshasa kanuni ya kusitisha mapigano ni mbinu tu ya mawasiliano na jaribio la upotoshaji linalolenga kudanganya maoni ya kitaifa na kimataifa, kujiepusha na wajibu wake na kuficha mwendelezo wa mkakati wa kijeshi usiobadilika.” Kauli hiyo inaibua mvutano mpya wa kisiasa wakati juhudi za kimataifa zikiongezeka kuhimiza pande husika kurejea katika meza ya mazungumzo kupitia mchakato wa Doha. Mzozo kati ya serikali ya DRC na AFC/M23 umeendelea kuathiri hali ya usalama na kibinadamu mashariki mwa nchi hiyo, huku jumuiya ya kimataifa ikiendelea kusisitiza umuhimu wa suluhu ya mazungumzo badala ya mapambano ya kijeshi. Toa maoni yako #Habari
    ·177 Views
  • WAKAZI WA PAKADJUMA WAKATAA KUONDOKA ENEO LILILOBOMOLEWA, WAKABILIA POLISI LIMETE.

    Hali ya wasiwasi na taharuki imetanda katika eneo la Pakadjuma, Wilaya ya Limete, Jijini Kinshasa, DR Congo, baada ya Wakazi wa eneo hilo kukataa kuondoka katika sehemu iliyobomolewa na mamlaka za Jiji. Hatua hiyo imesababisha makabiliano kati ya Wakazi na vikosi vya polisi vilivyotumwa kutekeleza agizo la kusafisha eneo hilo.

    Kwa mujibu wa mamlaka za Jiji la Kinshasa, Wakazi wa Pakadjuma waliondolewa katika eneo hilo kwa sababu kadhaa, ikiwemo madai kuwa makazi hayo yalijengwa bila kufuata mipango rasmi ya Mji, hali inayoyafanya kutambuliwa kama makazi yasiyo halali. Vilevile, eneo hilo limekuwa likitajwa kuwa hatarishi kiafya kutokana na uchafuzi wa mazingira, taka na mafuriko ya mara kwa mara, hali inayodaiwa kuhatarisha maisha ya Wakazi.

    Hatua ya ubomoaji pia inaelezwa kuwa ni sehemu ya mpango wa upangaji na usafi wa Jiji la Kinshasa, unaolenga kuondoa makazi yaliyojengwa kinyume cha sheria, kurejesha maeneo ya hifadhi na kuboresha miundombinu ya jiji pamoja na usalama wa Wakazi.

    Hata hivyo, Wakazi wa Pakadjuma wamepinga vikali uamuzi huo, wakisema hawajapewa makazi mbadala wala fidia ya kuridhisha. Wengi wao wameendelea kubaki katika eneo hilo licha ya ubomoaji, wakidai hawana sehemu nyingine ya kwenda.

    Mmoja wa wakazi hao amenukuliwa akisema, “Hatuwezi kuondoka hapa bila kupata uhakika wa mahali pa kuishi. Nyumba zetu zimebomolewa na hatujapewa suluhisho lolote.”

    Mvutano uliongezeka pale Polisi walipojaribu kuwasukuma Wakazi kuondoka katika eneo hilo, hali iliyopelekea makabiliano ya moja kwa moja kati ya pande hizo mbili. Mashuhuda wanasema hali ilikuwa ya vurugu kwa nyakati tofauti huku Wakazi wakionyesha hasira zao dhidi ya hatua za mamlaka.

    Kwa upande wake, Afisa mmoja wa usalama aliyekuwepo eneo la tukio amesema, “Tupo hapa kutekeleza maagizo ya kisheria na kuhakikisha usalama wa Raia wote. Tunawahimiza Wakazi kushirikiana na mamlaka ili kuepuka madhara.”

    Hadi sasa, hali bado ni tete katika eneo la Pakadjuma, huku Wakazi wakiendelea kushikilia msimamo wao na mamlaka za Jiji la Kinshasa zikiwa bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu mpango wa makazi mbadala au fidia kwa Waathirika wa zoezi hilo.

    Toa maoni yako
    #Habari
    WAKAZI WA PAKADJUMA WAKATAA KUONDOKA ENEO LILILOBOMOLEWA, WAKABILIA POLISI LIMETE. Hali ya wasiwasi na taharuki imetanda katika eneo la Pakadjuma, Wilaya ya Limete, Jijini Kinshasa, DR Congo, baada ya Wakazi wa eneo hilo kukataa kuondoka katika sehemu iliyobomolewa na mamlaka za Jiji. Hatua hiyo imesababisha makabiliano kati ya Wakazi na vikosi vya polisi vilivyotumwa kutekeleza agizo la kusafisha eneo hilo. Kwa mujibu wa mamlaka za Jiji la Kinshasa, Wakazi wa Pakadjuma waliondolewa katika eneo hilo kwa sababu kadhaa, ikiwemo madai kuwa makazi hayo yalijengwa bila kufuata mipango rasmi ya Mji, hali inayoyafanya kutambuliwa kama makazi yasiyo halali. Vilevile, eneo hilo limekuwa likitajwa kuwa hatarishi kiafya kutokana na uchafuzi wa mazingira, taka na mafuriko ya mara kwa mara, hali inayodaiwa kuhatarisha maisha ya Wakazi. Hatua ya ubomoaji pia inaelezwa kuwa ni sehemu ya mpango wa upangaji na usafi wa Jiji la Kinshasa, unaolenga kuondoa makazi yaliyojengwa kinyume cha sheria, kurejesha maeneo ya hifadhi na kuboresha miundombinu ya jiji pamoja na usalama wa Wakazi. Hata hivyo, Wakazi wa Pakadjuma wamepinga vikali uamuzi huo, wakisema hawajapewa makazi mbadala wala fidia ya kuridhisha. Wengi wao wameendelea kubaki katika eneo hilo licha ya ubomoaji, wakidai hawana sehemu nyingine ya kwenda. Mmoja wa wakazi hao amenukuliwa akisema, “Hatuwezi kuondoka hapa bila kupata uhakika wa mahali pa kuishi. Nyumba zetu zimebomolewa na hatujapewa suluhisho lolote.” Mvutano uliongezeka pale Polisi walipojaribu kuwasukuma Wakazi kuondoka katika eneo hilo, hali iliyopelekea makabiliano ya moja kwa moja kati ya pande hizo mbili. Mashuhuda wanasema hali ilikuwa ya vurugu kwa nyakati tofauti huku Wakazi wakionyesha hasira zao dhidi ya hatua za mamlaka. Kwa upande wake, Afisa mmoja wa usalama aliyekuwepo eneo la tukio amesema, “Tupo hapa kutekeleza maagizo ya kisheria na kuhakikisha usalama wa Raia wote. Tunawahimiza Wakazi kushirikiana na mamlaka ili kuepuka madhara.” Hadi sasa, hali bado ni tete katika eneo la Pakadjuma, huku Wakazi wakiendelea kushikilia msimamo wao na mamlaka za Jiji la Kinshasa zikiwa bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu mpango wa makazi mbadala au fidia kwa Waathirika wa zoezi hilo. Toa maoni yako #Habari
    ·315 Views
  • Arya Samaj Mandir Faridabad – Traditional Vedic Ceremonies with Heart
    Discover the Arya Samaj Mandir in Faridabad, where Vedic rituals, havans, and Arya Samaj marriage ceremonies are conducted with sincerity and deep spiritual values. Ideal for couples and families seeking meaningful, legally recognized ceremonies rooted in tradition

    Contact: 09999423333
    More Info: https://www.aryasamajmandir.co.in/registered-arya-samaj-mandir-faridabad-9999423333/

    Celebrate life’s special moments with peace, purity, and tradition
    🙏 Arya Samaj Mandir Faridabad – Traditional Vedic Ceremonies with Heart✨ Discover the Arya Samaj Mandir in Faridabad, where Vedic rituals, havans, and Arya Samaj marriage ceremonies are conducted with sincerity and deep spiritual values. Ideal for couples and families seeking meaningful, legally recognized ceremonies rooted in tradition 💍📜 📞 Contact: 09999423333 🔗 More Info: https://www.aryasamajmandir.co.in/registered-arya-samaj-mandir-faridabad-9999423333/ Celebrate life’s special moments with peace, purity, and tradition 🙏✨
    ·558 Views
More Results