• Your life will never be the same
    #motivationalQuote
    Your life will never be the same #motivationalQuote
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·189 Views
  • Ver Película Completa Panda Plan Online en Español - Disfruta Gratis de la Pelicula Completa en HD con Audio Español y Subtitulado.


    ¿Cómo ver Panda Plan gratis? HQ Panda Plandit Video Panda Plan (2024) Película Completa Ver en línea gratis Dailymotion [#Panda Plan] Google Drive / [DvdRip-USA / Eng-Subs] Panda Plan !



    𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇https://t.co/XrLPIMkHQq

    𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇https://t.co/XrLPIMkHQq

    Descargar Panda Plan 2024 - Descargar Panda Plan NetFlix Película Completa | Descargar Panda Plan Películas Gratis Y Legal Ilimitado | Descargar Panda Plan Descargar Panda Plan BitTorrent | Torrente | Yify torrent | Utorrent ES | Avi | YouTube | 4K | WEBRIP LATINO | VOSTFR | 720p-1080p HD



    Ver Panda Plan online y sur gratis en HD, es fácil en gracias a sus servidores, rapidos y sin ads. ¿Cómo ver Panda Plan película Completa en
    2024-10-01 de 2024 en cines / 99 min / Acción, Comedia
    Dirigida por Olivia Wilde Panda Plan Jackie Chan, Shi Ce, Wei Xiang, Han Yanbo, Danny Ray, 许君聪 , Emei Film Studio




    Panda Plan pelicula Completa en Español latino

    ver online Panda Plan pelicula Completa en Español latino

    Panda Plan pelicula Completa

    Panda Plan pelicula Completa online

    Panda Plan pelicula Completa en Español latino cuevana

    Panda Plan pelicula Completa en Español latino pelisplus

    ver pelicula Panda Plan online latino

    ver Panda Plan pelicula Completa en Español latino

    Panda Plan pelicula online latino

    Panda Plan pelicula Completa repelis

    Panda Plan pelicula Completa en Español

    ver pelicula Completa de Panda Plan en Español latino
    Ver Película Completa Panda Plan Online en Español - Disfruta Gratis de la Pelicula Completa en HD con Audio Español y Subtitulado. ¿Cómo ver Panda Plan gratis? HQ Panda Plandit Video Panda Plan (2024) Película Completa Ver en línea gratis Dailymotion [#Panda Plan] Google Drive / [DvdRip-USA / Eng-Subs] Panda Plan ! ⬇▶️ 𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇▶️☛ https://t.co/XrLPIMkHQq ⬇▶️ 𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇▶️☛ https://t.co/XrLPIMkHQq Descargar Panda Plan 2024 - Descargar Panda Plan NetFlix Película Completa | Descargar Panda Plan Películas Gratis Y Legal Ilimitado | Descargar Panda Plan Descargar Panda Plan BitTorrent | Torrente | Yify torrent | Utorrent ES | Avi | YouTube | 4K | WEBRIP LATINO | VOSTFR | 720p-1080p HD Ver Panda Plan online y sur gratis en HD, es fácil en gracias a sus servidores, rapidos y sin ads. ¿Cómo ver Panda Plan película Completa en 2024-10-01 de 2024 en cines / 99 min / Acción, Comedia Dirigida por Olivia Wilde Panda Plan Jackie Chan, Shi Ce, Wei Xiang, Han Yanbo, Danny Ray, 许君聪 , Emei Film Studio Panda Plan pelicula Completa en Español latino ver online Panda Plan pelicula Completa en Español latino Panda Plan pelicula Completa Panda Plan pelicula Completa online Panda Plan pelicula Completa en Español latino cuevana Panda Plan pelicula Completa en Español latino pelisplus ver pelicula Panda Plan online latino ver Panda Plan pelicula Completa en Español latino Panda Plan pelicula online latino Panda Plan pelicula Completa repelis Panda Plan pelicula Completa en Español ver pelicula Completa de Panda Plan en Español latino
    0 Comments ·0 Shares ·223 Views
  • Rais wa Senegal , Bassirou Diomaye Faye ametangaza mpango wa kubadilisha majina ya mitaa yenye majina ya enzi za ukoloni na kuyapa majina ya mashujaa wa kitaifa na matukio muhimu ya kihistoria ya Nchi ya Senegal. Mpango huo ulioanzishwa wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri ni sehemu ya juhudi za kurejesha utambulisho wa kitamaduni wa Nchi hiyo.

    Mpango huyo utahusu pia kubadilisha majina na kuandika upya historia ya Nchi ya Senegal katika kwa umma, alisema Rais huyo ambapo pia aliongeza kwa kusema “Lazima tuelimishe Vijana wetu kuhusu Watu na matukio yaliyounda na kuijenga Senegal"

    Rais wa Senegal 🇸🇳, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mpango wa kubadilisha majina ya mitaa yenye majina ya enzi za ukoloni na kuyapa majina ya mashujaa wa kitaifa na matukio muhimu ya kihistoria ya Nchi ya Senegal. Mpango huo ulioanzishwa wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri ni sehemu ya juhudi za kurejesha utambulisho wa kitamaduni wa Nchi hiyo. Mpango huyo utahusu pia kubadilisha majina na kuandika upya historia ya Nchi ya Senegal katika kwa umma, alisema Rais huyo ambapo pia aliongeza kwa kusema “Lazima tuelimishe Vijana wetu kuhusu Watu na matukio yaliyounda na kuijenga Senegal"
    0 Comments ·0 Shares ·240 Views
  • #SportsElite
    #NBC YOUTH Ligue
    #SportsElite🇹🇿 #NBC YOUTH Ligue
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·125 Views
  • #SportsElite
    #NBC YOUTH Ligue
    #SportsElite🇹🇿 #NBC YOUTH Ligue
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·112 Views
  • Wilson Orumo Vs Privaldinho

    "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam.

    Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka.

    So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao.

    Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94.

    Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi

    Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu?

    Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu.

    Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi.

    Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ?

    Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube

    Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3
    Ligi kuu: Magoli 7, assists 4,
    Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo
    Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga?

    Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.

    Wilson Orumo Vs Privaldinho "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam. Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka. So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao. Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94. Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu? Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu. Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi. Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ? Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3 Ligi kuu: Magoli 7, assists 4, Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga? Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·154 Views
  • SHEREHEKEENI PAMOJA SIKU YENU

    Picha inaiieleza kwamba ni ya mwaka 1948, waasisi wa klabu ya Yanga wakiwa na wenzao wa Africa Sports ya Zanzibar.

    Picha hii inatufundisha kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haukuwa mwaka 1964 bali zamani sana...mwaka 1964 ulikuwa mkataba tu.

    Na hata kutengana kuliletwa na wakoloni, wakaweka mipaka na kuigawana ardhi...mjerumani akachukua Bara na mwingereza akachukua Zanzibar.

    Lakini kabla ya mipaka yao, hii nchi ilikuwa moja tu, na hata mji wa Dar es Salaam ulianzishwa na Sultan Majid wa Zanzibar.

    Yaani aliamua tu kutoka sehemu moja ya nchi yake na kwenda kuanzisha mji sehemu nyingine ya nchi yake.

    Lakini hilo lengo la andiko hili...

    Lengo la kuandika hapa ni kutaka kuwakumbusha watu kwamba waliopo kwenye picha ni waasisi wa Yanga, na pia hawa ndiyo waasisi wa Simba.

    Na hii ni kwa sababu walioanzisha Simba ni wale wale walioanzisha Yanga, lakini wakajitenga na wenzao.

    Ni hivi

    Kulikuwa na timu iliyoitwa New Young, ambayo ilianzishwa mwaka 1935 na kuanza kushiriki ligi mwaka huo huo.

    Wakati huo ligi ilikuwa moja tu, ya Dar es Salaam...na Dar es Salaam yenyewe ilikuwa wilaya ya jimbo la Mashariki.

    Hakukuwa na ligi nyingine yoyote nchini, japo miaka michache baadaye wilaya zingine nazo zikaanzisha ligi...ikianza wilaya ya Iringa. Stori yake itakuja siku nyingine.

    Ligi ya Dar es Salaam ambayo ilianza 1929 ikiwa na daraja moja tu, la kwanza...ilikua na kuongeza daraja la pili kwenye miaka ya 1930.

    Kwa hiyo New Young ilipojiunga na ligi mwaka 1935, ikaanzia daraja la pili.

    Ikashinda ubingwa na kupanda daraja la kwanza, mwaka 1936. Hata hivyo ilicheza ligi kwa mtindo wa VIEW ONCE kwani ilishuka mwaka huo huo.

    Kushuka kwao ndiko kulikoleta mpasuko na wengine kujitenga.

    Waliojitenga ndiyo hawa ambao sasa ni Simba, na waliobaki wakabadili jina kutoka New Young na kujiita Young Africans ambao ndiyo Yanga.

    Lakini hawa watu walikuwa pamoja mwaka mmoja tu uliopita...na ndiyo waliopo kwenye picha hii.

    Kwa hiyo leo inatakiwa hii sherehe iwe yao wote! Happy Birthday Yanga na Simba. Furahieni siku yenu kwa amani. Sisi tunajua nyinyi ni ndugu ila mnatuzuga tu!
    (Zakazakazi )

    SHEREHEKEENI PAMOJA SIKU YENU Picha inaiieleza kwamba ni ya mwaka 1948, waasisi wa klabu ya Yanga wakiwa na wenzao wa Africa Sports ya Zanzibar. Picha hii inatufundisha kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haukuwa mwaka 1964 bali zamani sana...mwaka 1964 ulikuwa mkataba tu. Na hata kutengana kuliletwa na wakoloni, wakaweka mipaka na kuigawana ardhi...mjerumani akachukua Bara na mwingereza akachukua Zanzibar. Lakini kabla ya mipaka yao, hii nchi ilikuwa moja tu, na hata mji wa Dar es Salaam ulianzishwa na Sultan Majid wa Zanzibar. Yaani aliamua tu kutoka sehemu moja ya nchi yake na kwenda kuanzisha mji sehemu nyingine ya nchi yake. Lakini hilo lengo la andiko hili... Lengo la kuandika hapa ni kutaka kuwakumbusha watu kwamba waliopo kwenye picha ni waasisi wa Yanga, na pia hawa ndiyo waasisi wa Simba. Na hii ni kwa sababu walioanzisha Simba ni wale wale walioanzisha Yanga, lakini wakajitenga na wenzao. Ni hivi Kulikuwa na timu iliyoitwa New Young, ambayo ilianzishwa mwaka 1935 na kuanza kushiriki ligi mwaka huo huo. Wakati huo ligi ilikuwa moja tu, ya Dar es Salaam...na Dar es Salaam yenyewe ilikuwa wilaya ya jimbo la Mashariki. Hakukuwa na ligi nyingine yoyote nchini, japo miaka michache baadaye wilaya zingine nazo zikaanzisha ligi...ikianza wilaya ya Iringa. Stori yake itakuja siku nyingine. Ligi ya Dar es Salaam ambayo ilianza 1929 ikiwa na daraja moja tu, la kwanza...ilikua na kuongeza daraja la pili kwenye miaka ya 1930. Kwa hiyo New Young ilipojiunga na ligi mwaka 1935, ikaanzia daraja la pili. Ikashinda ubingwa na kupanda daraja la kwanza, mwaka 1936. Hata hivyo ilicheza ligi kwa mtindo wa VIEW ONCE kwani ilishuka mwaka huo huo. Kushuka kwao ndiko kulikoleta mpasuko na wengine kujitenga. Waliojitenga ndiyo hawa ambao sasa ni Simba, na waliobaki wakabadili jina kutoka New Young na kujiita Young Africans ambao ndiyo Yanga. Lakini hawa watu walikuwa pamoja mwaka mmoja tu uliopita...na ndiyo waliopo kwenye picha hii. Kwa hiyo leo inatakiwa hii sherehe iwe yao wote! Happy Birthday Yanga na Simba. Furahieni siku yenu kwa amani. Sisi tunajua nyinyi ni ndugu ila mnatuzuga tu! (Zakazakazi ✍️)
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·301 Views
  • They wish that every time they see us we cry, but God saves us from their desires.
    Say amen if you believe God can save you from your enemies.
    They wish that every time they see us we cry, but God saves us from their desires. 🙏🙏🙏Say amen if you believe God can save you from your enemies.
    0 Comments ·0 Shares ·176 Views
  • #Blame your self
    #Blame your self🐝
    Sad
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·206 Views
  • See your life before
    See your life before
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·153 Views
  • #PART5

    Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite.

    Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo.

    Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba.

    Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay.

    April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha.

    March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.

    Kumekua na jitihada mbalimbali za kumaliza mgogoro wa DRC kwa njia za kidiplomasia ikiwemo mkutano wa viongozi wakuu wa SADC na EAC uliofanyika leo jijini Dar.

    #MyaTake:
    1. Congo imeponzwa na ukarimu wake. Wakati wa vita vya Rwanda, Congo ilipokea Watutsi wengi na kuwapa hifadhi, akiwemo Kagame. Baada ya utawala wa Habyarimana kuangushwa Wahutu nao wakakimbilia Congo na kupewa hifadhi. Sasa hicho kimekua kigezo cha Rwanda kuingiza majeshi Congo kila mara kwa madai ya kuwatafuta Wahutu wa FDLR. Kwa lugha rahisi vita ya ndugu wawili (Wahutu na Watutsi) iliyopaswa kupiganwa Rwanda sasa inapiganwa Congo.

    2. Congo inateswa na mipaka ya kikoloni. Laiti wakati wa kuchora mipaka jamii yote ya Watutsi ingewekwa Rwanda, leo kusingekuwa na Banyamulenge Congo, kwahiyo Watutsi wasingepata sababu ya kuishi Congo na kujifanya raia. Ni sawa na kukuta Wamasai 1,000 pale Longido, halafu uambiwe kati yao wapo wa Kenya. Utawajuaje? Utawatofautishaje?

    3. Congo inateswa na rasilimali zake. Kama eneo la Kivu lisingekuwa na utajiri, mgogoro usingekuwa mkubwa kama ulivyo. Rejea #Part1 kujua utajiri uliopo Kivu. Kumbuka bila Kivu dunia haina laptop wala smartphones kwa sababu 80% ya coltan yote duniani inatoka Kivu.

    4. Rwanda na Uganda ni Keyplayers kwenye mgogoro wa Congo. Kwa miaka mingi majeshi yao yameigeuza Congo shamba la bibi. Waondoe majeshi yao Congo.

    5. Viongozi wengi wa M23 ni Wanyarwanda. Huu ni udhibitisho kuwa Rwanda ni kinara kwenye mgogoro huu.

    6. Congo ni kubwa sana na hivyo inakosa jeshi imara la kutosha kulinda mipaka yake yote. Congo ni kubwa mara 90 ya Rwanda. Wapo wanaoshauri igawanywe kama njia ya kutatua mgogoro. Kama ambavyo Yugoslavia iligawanywa na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.

    7. Kiongozi wa sasa wa M23 Corneille Nangaa alikua Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi 2019 na ndiye aliyemtangaza Tshisekedi kuwa Rais kwa ushindi wa 38%. Lakini alilaumiwa kupunguza kura za Martin Fayulu aliyepata 34%. Huenda kuna ahadi alipewa haikutimizwa ndio maana akaungana na Waasi.

    Sababu hizo hapo juu zikifanyiwa kazi, mgogoro wa Congo unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa. Mnaopenda kujifunza zaidi, naandika Kitabu. Get ready to have your copy. MWISHO.!

    (Malisa GJ )

    #PART5 Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite. Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo. Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba. Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay. April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha. March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa. Kumekua na jitihada mbalimbali za kumaliza mgogoro wa DRC kwa njia za kidiplomasia ikiwemo mkutano wa viongozi wakuu wa SADC na EAC uliofanyika leo jijini Dar. #MyaTake: 1. Congo imeponzwa na ukarimu wake. Wakati wa vita vya Rwanda, Congo ilipokea Watutsi wengi na kuwapa hifadhi, akiwemo Kagame. Baada ya utawala wa Habyarimana kuangushwa Wahutu nao wakakimbilia Congo na kupewa hifadhi. Sasa hicho kimekua kigezo cha Rwanda kuingiza majeshi Congo kila mara kwa madai ya kuwatafuta Wahutu wa FDLR. Kwa lugha rahisi vita ya ndugu wawili (Wahutu na Watutsi) iliyopaswa kupiganwa Rwanda sasa inapiganwa Congo. 2. Congo inateswa na mipaka ya kikoloni. Laiti wakati wa kuchora mipaka jamii yote ya Watutsi ingewekwa Rwanda, leo kusingekuwa na Banyamulenge Congo, kwahiyo Watutsi wasingepata sababu ya kuishi Congo na kujifanya raia. Ni sawa na kukuta Wamasai 1,000 pale Longido, halafu uambiwe kati yao wapo wa Kenya. Utawajuaje? Utawatofautishaje? 3. Congo inateswa na rasilimali zake. Kama eneo la Kivu lisingekuwa na utajiri, mgogoro usingekuwa mkubwa kama ulivyo. Rejea #Part1 kujua utajiri uliopo Kivu. Kumbuka bila Kivu dunia haina laptop wala smartphones kwa sababu 80% ya coltan yote duniani inatoka Kivu. 4. Rwanda na Uganda ni Keyplayers kwenye mgogoro wa Congo. Kwa miaka mingi majeshi yao yameigeuza Congo shamba la bibi. Waondoe majeshi yao Congo. 5. Viongozi wengi wa M23 ni Wanyarwanda. Huu ni udhibitisho kuwa Rwanda ni kinara kwenye mgogoro huu. 6. Congo ni kubwa sana na hivyo inakosa jeshi imara la kutosha kulinda mipaka yake yote. Congo ni kubwa mara 90 ya Rwanda. Wapo wanaoshauri igawanywe kama njia ya kutatua mgogoro. Kama ambavyo Yugoslavia iligawanywa na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe. 7. Kiongozi wa sasa wa M23 Corneille Nangaa alikua Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi 2019 na ndiye aliyemtangaza Tshisekedi kuwa Rais kwa ushindi wa 38%. Lakini alilaumiwa kupunguza kura za Martin Fayulu aliyepata 34%. Huenda kuna ahadi alipewa haikutimizwa ndio maana akaungana na Waasi. Sababu hizo hapo juu zikifanyiwa kazi, mgogoro wa Congo unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa. Mnaopenda kujifunza zaidi, naandika Kitabu. Get ready to have your copy. MWISHO.! (Malisa GJ ✍️)
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·956 Views
  • RASMI : Young Africans vs Ken Gold ni Khalid Aucho na Maokoto Day....

    Mashabiki wa klab ya Young Africans wameuomba Uongozi wa klab yao Juu ya kumtaarifu kiungo wao Mkabaji Raia wa Uganda Khalid Aucho 'Doctor' kuwa ndiye watakaye mpa zawadi ya pesa 'Maokoto kwenye kibegi' siku ya Jumatano kwenye mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Klab ya Ken Gold,

    Ameyasema hayo Mkuu wa kitengo cha habari Ali kamwe baada ya kupokea maombi hayo kutoka kwa mashabiki wa klab yao,

    Mashabiki wa klab ya Yanga wamekuwa na utaratibu huo na baadhi ya wachezaji ambao wamepata maokoto hayo ni:

    Bacca
    Kibwana
    Mzize
    Maxi
    Pacome

    Next game:

    🫶Young Africans vs Ken Gold
    05-02-2025
    16:00 Hrs
    Kmc Complex
    RASMI : Young Africans vs Ken Gold ni Khalid Aucho na Maokoto Day.... Mashabiki wa klab ya Young Africans wameuomba Uongozi wa klab yao Juu ya kumtaarifu kiungo wao Mkabaji Raia wa Uganda Khalid Aucho 'Doctor' kuwa ndiye watakaye mpa zawadi ya pesa 'Maokoto kwenye kibegi' siku ya Jumatano kwenye mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Klab ya Ken Gold, Ameyasema hayo Mkuu wa kitengo cha habari Ali kamwe baada ya kupokea maombi hayo kutoka kwa mashabiki wa klab yao, Mashabiki wa klab ya Yanga wamekuwa na utaratibu huo na baadhi ya wachezaji ambao wamepata maokoto hayo ni: 👉Bacca 👉Kibwana 👉Mzize 👉Maxi 👉Pacome Next game: 🫶Young Africans vs Ken Gold 📌05-02-2025 🕑16:00 Hrs ⛳Kmc Complex
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·559 Views
  • Ukisikia madai ya Rwanda kuvuruga amani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ukarudi kuangalia ramani na takwimu za mataifa hayo hakika utaamini ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Kitakwimu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeizidi Rwanda kila kitu ikiwemo ukubwa wa eneo, rasilimali, madini pamoja na idadi ya Watu.

    Eneo la Congo ni karibu mara mia (100) ya eneo la Rwanda. Idadi ya Watu wa Kongo ni takribani mara 10 Watu wa Rwanda. Pamoja na hayo yote Congo wanalalamika kwamba Rwanda ndio inayounga mkono makundi ya waasi mashariki mwa nchi hiyo ambayo yamelemea majeshi ya serikali na kusonga mbele kiasi cha kutwaa miji mikubwa ya kimkakati yenye utajiri mkubwa wa madini.

    Rwanda pamoja na kuzidiwa takwimu hizo ila mipango thabiti na uwekezaji wa kimkakati katika masuala ya kijeshi, ulinzi na usalama katika eneo hilo ndio umeifanya ionekane kama ndio taifa kubwa. Yaani kiufupi ukiwa hujui ramani na takwimu unaweza kudhani Rwanda ndio taifa kubwa ndio maana inalalamikiwa kuionea Kongo. Kiufupi Rwanda inanufaika mno na mipango thabiti ya kiuongozi, wakati Kongo ikiwa na uongozi usio na mipango thabiti ya kikanda na kimkakati kulinda mipaka yake na majimbo ya Mashariki yenye utajiri mkubwa wa madini

    Rwanda ina idadi kubwa ya Watutsi ambao pia wanapatikana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na wachache Burundi na Uganda. Historia ya watutsi inasemekana walitokea Ethiopia kuja maziwa makuu na sifa yao kuu wanapenda uongozi (kwa mnaowajua mtakua mashahidi). Jamii ya watutsi ni watu ambao huwa hawapendi unyonge wala kuonewa, ni wepesi kujitetea na huwa wanaumoja sana.

    Baada ya Wakoloni kugawa mipaka ndio walisababisha watutsi kujikuta ndani ya nchi nyingi tofauti ila ni wazawa wa maeneo hayo na historia yao katika nchi hizo ni toka zama za kale hivyo ni ngumu kuwaita Wahamiaji. Watutsi ndio waliomsaidia Hayati Laurent Kabila kumpindua Mobutu Seseseko na inasemekana Mama mzazi wa Joseph Kabila alikua Mtutsi pia. Kimsingi Kongo haikupaswa kuilalamikia Rwanda, bali Rwanda ndio ingepaswa kuilalamikia Kongo.

    Ukisikia madai ya Rwanda 🇷🇼 kuvuruga amani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 ukarudi kuangalia ramani na takwimu za mataifa hayo hakika utaamini ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Kitakwimu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeizidi Rwanda kila kitu ikiwemo ukubwa wa eneo, rasilimali, madini pamoja na idadi ya Watu. Eneo la Congo ni karibu mara mia (100) ya eneo la Rwanda. Idadi ya Watu wa Kongo ni takribani mara 10 Watu wa Rwanda. Pamoja na hayo yote Congo wanalalamika kwamba Rwanda ndio inayounga mkono makundi ya waasi mashariki mwa nchi hiyo ambayo yamelemea majeshi ya serikali na kusonga mbele kiasi cha kutwaa miji mikubwa ya kimkakati yenye utajiri mkubwa wa madini. Rwanda pamoja na kuzidiwa takwimu hizo ila mipango thabiti na uwekezaji wa kimkakati katika masuala ya kijeshi, ulinzi na usalama katika eneo hilo ndio umeifanya ionekane kama ndio taifa kubwa. Yaani kiufupi ukiwa hujui ramani na takwimu unaweza kudhani Rwanda ndio taifa kubwa ndio maana inalalamikiwa kuionea Kongo. Kiufupi Rwanda inanufaika mno na mipango thabiti ya kiuongozi, wakati Kongo ikiwa na uongozi usio na mipango thabiti ya kikanda na kimkakati kulinda mipaka yake na majimbo ya Mashariki yenye utajiri mkubwa wa madini Rwanda ina idadi kubwa ya Watutsi ambao pia wanapatikana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na wachache Burundi na Uganda. Historia ya watutsi inasemekana walitokea Ethiopia kuja maziwa makuu na sifa yao kuu wanapenda uongozi (kwa mnaowajua mtakua mashahidi). Jamii ya watutsi ni watu ambao huwa hawapendi unyonge wala kuonewa, ni wepesi kujitetea na huwa wanaumoja sana. Baada ya Wakoloni kugawa mipaka ndio walisababisha watutsi kujikuta ndani ya nchi nyingi tofauti ila ni wazawa wa maeneo hayo na historia yao katika nchi hizo ni toka zama za kale hivyo ni ngumu kuwaita Wahamiaji. Watutsi ndio waliomsaidia Hayati Laurent Kabila kumpindua Mobutu Seseseko na inasemekana Mama mzazi wa Joseph Kabila alikua Mtutsi pia. Kimsingi Kongo haikupaswa kuilalamikia Rwanda, bali Rwanda ndio ingepaswa kuilalamikia Kongo.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·424 Views
  • STOP checking up on them. STOP responding. Let them go in peace. What's meant for you will find you. It's time to shift the focus. FOCUS on your GOALS, GLOW, & GRIND
    STOP checking up on them. STOP responding. Let them go in peace. What's meant for you will find you. It's time to shift the focus. FOCUS on your GOALS, GLOW, & GRIND‼️
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·266 Views
  • Take your time you gone ball ⛹🏽‍♂️ nigga be patient
    Take your time 🕰️ you gone ball ⛹🏽‍♂️ nigga be patient‼️
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·205 Views
  • #PART4

    Wakati hayo yakiendelea Congo, kule Rwanda, kikundi cha waasi cha RPF chini ya Paul Kagame kilifanikiwa kuyashinda majeshi ya serikali na kuchukua dola baada ya yale mauaji ya kimbari. Askari wa jeshi la Rwanda, ambao wengi walikuwa Wahutu (Itarahamwe), walikimbilia Congo. Walipofika kule, wakaanzisha kikundi cha waasi cha kupigana na serikali ya Rwanda kilichoitwa FDLR. Kikundi hicho kikaungwa mkono na serikali ya Mobutu. Hivyo Mobutu akawa anawapa silaha wapigane na serikali ya Kagame ili kurudisha utawala wa Wahutu madarakani.

    Wakati Mobutu akisaidia waasi kuangusha serikali ya Rwanda, kulikia na vikundi vya waasi zaidi ya 40 vinapigana na jeshi lake. Moja kati ya vikundi hivyo ni Alliance of Democratic Forces for the Liberation (AFDL) kilichokuwa kinaongozwa na Mzee Laurent Kabila, ambaye ni Mluba wa Katanga, kusini mashariki mwa Congo karibu na Ziwa Tanganyika.

    Baada ya miaka karibu 30 ya kupigana msituni, hatimaye nguvu zikapungua. Akawa haendi tena mstari wa mbele. Mara kwa mara alikuja kupumzika nyumbani kwake Msasani jijini DSM, akimuachia Kanali Reuben Um-Nyobe kuongoza kikosi msituni.

    Mobutu alipoamua kuwasaidia askari wa FDLR (Intarahamwe) kupigana na serikali ya Rwanda, Kagame nae akaamua kumuunga mkono Laurent Kabila na kikundi chake cha AFDL ili wamng'oe Mobutu. Yaani, serikali ya Rwanda ikaunga mkono waasi wa Congo kwa sababu serikali ya Congo inaunga mkono waasi wa Rwanda. ‘Scratch my back, and I will scratch yours’.

    Wakati huo, inadaiwa serikali ya Rwanda ilikuwa imepata silaha nyingi kutoka Ufaransa na UK, kwa hiyo Kagame alijipima akaona ana nguvu za kupigana na Mobutu. Wakati huo Kagame alikuwa Makamu wa Rais chini ya Pasteur Bizimungu, lakini yeye ndiye aliyeongoza kila kitu. Sababu za kumuunga mkono Kabila;
    1. Ethnicity (Waluba na Watutsi wanaelewana)
    2. Mobutu kuunga mkono FDLR (Intarahamwe)
    3. Uwepo wa rasilimali nyingi sana eneo la Kivu, hasa madini.
    (Malisa GJ)

    #PART4 Wakati hayo yakiendelea Congo, kule Rwanda, kikundi cha waasi cha RPF chini ya Paul Kagame kilifanikiwa kuyashinda majeshi ya serikali na kuchukua dola baada ya yale mauaji ya kimbari. Askari wa jeshi la Rwanda, ambao wengi walikuwa Wahutu (Itarahamwe), walikimbilia Congo. Walipofika kule, wakaanzisha kikundi cha waasi cha kupigana na serikali ya Rwanda kilichoitwa FDLR. Kikundi hicho kikaungwa mkono na serikali ya Mobutu. Hivyo Mobutu akawa anawapa silaha wapigane na serikali ya Kagame ili kurudisha utawala wa Wahutu madarakani. Wakati Mobutu akisaidia waasi kuangusha serikali ya Rwanda, kulikia na vikundi vya waasi zaidi ya 40 vinapigana na jeshi lake. Moja kati ya vikundi hivyo ni Alliance of Democratic Forces for the Liberation (AFDL) kilichokuwa kinaongozwa na Mzee Laurent Kabila, ambaye ni Mluba wa Katanga, kusini mashariki mwa Congo karibu na Ziwa Tanganyika. Baada ya miaka karibu 30 ya kupigana msituni, hatimaye nguvu zikapungua. Akawa haendi tena mstari wa mbele. Mara kwa mara alikuja kupumzika nyumbani kwake Msasani jijini DSM, akimuachia Kanali Reuben Um-Nyobe kuongoza kikosi msituni. Mobutu alipoamua kuwasaidia askari wa FDLR (Intarahamwe) kupigana na serikali ya Rwanda, Kagame nae akaamua kumuunga mkono Laurent Kabila na kikundi chake cha AFDL ili wamng'oe Mobutu. Yaani, serikali ya Rwanda ikaunga mkono waasi wa Congo kwa sababu serikali ya Congo inaunga mkono waasi wa Rwanda. ‘Scratch my back, and I will scratch yours’. Wakati huo, inadaiwa serikali ya Rwanda ilikuwa imepata silaha nyingi kutoka Ufaransa na UK, kwa hiyo Kagame alijipima akaona ana nguvu za kupigana na Mobutu. Wakati huo Kagame alikuwa Makamu wa Rais chini ya Pasteur Bizimungu, lakini yeye ndiye aliyeongoza kila kitu. Sababu za kumuunga mkono Kabila; 1. Ethnicity (Waluba na Watutsi wanaelewana) 2. Mobutu kuunga mkono FDLR (Intarahamwe) 3. Uwepo wa rasilimali nyingi sana eneo la Kivu, hasa madini. (Malisa GJ)
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·569 Views
  • ABDUL SOPU 9: TAYARI MKATABA KUVUNJWA
    HUU MWAKA HUU MWAKA!! KASAINI MIAKA MITATU ( 3 ).
    #sokachampions
    #bongotrending
    #AzamSports1HD
    #clamvevo
    #milardayoupdates
    #sokaonlineupdates
    ABDUL SOPU 9: TAYARI MKATABA KUVUNJWA🤣 HUU MWAKA HUU MWAKA!! KASAINI MIAKA MITATU ( 3 ).💚💛 #sokachampions #bongotrending #AzamSports1HD #clamvevo #milardayoupdates #sokaonlineupdates
    Like
    Love
    2
    · 3 Comments ·0 Shares ·898 Views
  • Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • [LIVE] Kolkata Fatafat FF Result | কলকাতা ফটাফট রেজাল্ট লাইভ
    Kolkata Fatafat FF Result Live Online. It is the fastest and most reliable platform. From here you can easily check Kolkata Fatafat Today Result and Kolkata FF Old Result. Also, we provide accurate information about Kolkata Fatafat FF Tips and Kolkata Fatafat FF Lucky Number.
    [LIVE] Kolkata Fatafat FF Result | কলকাতা ফটাফট রেজাল্ট লাইভ Kolkata Fatafat FF Result Live Online. It is the fastest and most reliable platform. From here you can easily check Kolkata Fatafat Today Result and Kolkata FF Old Result. Also, we provide accurate information about Kolkata Fatafat FF Tips and Kolkata Fatafat FF Lucky Number.
    Kolkata Fatafat FF Result 29.1.2025 (Live) কলকাতা ফটাফট রেজাল্ট লাইভ
    kolkatafatafatff.com
    Kolkata Fatafat FF Result Live Online. Here you can easily check Kolkata Fatafat Today Result, and Kolkata FF old Result. Kolkata Fatafat FF Tips.
    0 Comments ·0 Shares ·451 Views
More Results