1/21
MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU.
tuanze kwa kujua nini maana ya maombi.
Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake .
Isaya 1:18.
Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.
Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana.
Filip 4:6
6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru.
Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake.
Mathayo 7:7-8
*“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.*
Maombi ni vita .
Efeso 6:10-12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Maombi pia ni ibada .
Zaburi 42:1-3
Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu.
Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini.
Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba .
Warumi 10:17
*Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo.
Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka.
Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake.
Mfano.
Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma.
Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa*
Ndipo anza kuingiza haja yako .
Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako.
Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake .
Ebrania 11:6
Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake.
Ebrania 6:16-17
Yeremia 1:12
Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize.
Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu.
#build new eden
MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU.
tuanze kwa kujua nini maana ya maombi.
Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake .
Isaya 1:18.
Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.
Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana.
Filip 4:6
6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru.
Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake.
Mathayo 7:7-8
*“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.*
Maombi ni vita .
Efeso 6:10-12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Maombi pia ni ibada .
Zaburi 42:1-3
Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu.
Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini.
Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba .
Warumi 10:17
*Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo.
Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka.
Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake.
Mfano.
Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma.
Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa*
Ndipo anza kuingiza haja yako .
Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako.
Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake .
Ebrania 11:6
Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake.
Ebrania 6:16-17
Yeremia 1:12
Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize.
Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu.
#build new eden
1/21
MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU.
tuanze kwa kujua nini maana ya maombi.
Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake .
Isaya 1:18.
Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.
Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana.
Filip 4:6
6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru.
Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake.
Mathayo 7:7-8
*“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.*
Maombi ni vita .
Efeso 6:10-12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Maombi pia ni ibada .
Zaburi 42:1-3
Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu.
Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini.
Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba .
Warumi 10:17
*Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo.
Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka.
Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake.
Mfano.
Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma.
Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa*
Ndipo anza kuingiza haja yako .
Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako.
Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake .
Ebrania 11:6
Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake.
Ebrania 6:16-17
Yeremia 1:12
Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize.
Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu.
#build new eden
0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·54 Views