• How to Improve Memory Naturally

    Site:- https://yourhealthrights.com/how-to-improve-memory-naturally/

    #Memory #ImproveMemoryNaturally #ypurhealthrights #brain&memory #ImproveMemoryFastin2025 #improvememory #brainhealth #healthsupplement #health #healthytips
    How to Improve Memory Naturally Site:- https://yourhealthrights.com/how-to-improve-memory-naturally/ #Memory #ImproveMemoryNaturally #ypurhealthrights #brain&memory #ImproveMemoryFastin2025 #improvememory #brainhealth #healthsupplement #health #healthytips
    0 Comments ·0 Shares ·76 Views
  • Pain O Soma 350mg
    Pain O Soma 350mg is a muscle relaxant commonly used to relieve lower back pain caused by muscle spasms or strain. It works by blocking pain signals between the nerves and the brain, providing fast and effective relief. Suitable for adults aged 16 to 64, it is a generic version of the brand-name drug Soma.
    https://buysafemg.com/pain-o-soma-350mg
    Pain O Soma 350mg Pain O Soma 350mg is a muscle relaxant commonly used to relieve lower back pain caused by muscle spasms or strain. It works by blocking pain signals between the nerves and the brain, providing fast and effective relief. Suitable for adults aged 16 to 64, it is a generic version of the brand-name drug Soma. https://buysafemg.com/pain-o-soma-350mg
    0 Comments ·0 Shares ·104 Views
  • .KIDNEY CARE
    DAWA YA FIGO
    Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo.
    1.Huboresha figo katika kufanya kazi.
    2.Huondosha vijiwe katika figo
    3.Huondosha matatizo ya mkojo.
    4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili
    5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo.
    6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili.
    ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia.
    MATUMIZI.
    Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji.
    Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo.

    KIDNEY CARE
    Herbal Powder
    Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases.
    1.Improves kidney function.
    2.Removes kidney stones
    3.Eliminates urinary problems.
    4.Swelling of the feet, pain and fatigue
    5.Helps improve brain function.
    6.Improves the digestion system and body immunity.
    ✦Surely God is a healer and will help you.
    USAGE.
    Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge.
    Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture.
    ✦𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮
    .KIDNEY CARE DAWA YA FIGO Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo. 1.Huboresha figo katika kufanya kazi. 2.Huondosha vijiwe katika figo 3.Huondosha matatizo ya mkojo. 4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili 5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo. 6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili. ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia. MATUMIZI. Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji. Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo. KIDNEY CARE Herbal Powder Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases. 1.Improves kidney function. 2.Removes kidney stones 3.Eliminates urinary problems. 4.Swelling of the feet, pain and fatigue 5.Helps improve brain function. 6.Improves the digestion system and body immunity. ✦Surely God is a healer and will help you. USAGE. Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge. Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture. ✦𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮🙏
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mtengeneza maudhui (Content Creator) kwenye mtandao wa Tiktok, Fanuel John Masamaki maarufu Zerobrainer0, ameshinda kipengele cha mtengeneza maudhui bora wa michezo kwa mwaka 2024 barani Afrika, katika tuzo zilizofanyika Februari 8, 2025 Nchini Afrika Kusini.

    Zerobrainer0 ana Wafuasi zaidi ya milioni (12) kwenye mtandao wake wa TikTok huku TikToker huyo akjizoelea umaarufu kwa maudhui yake ya kuchekekesha kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Pia anatajwa kama ‘TikToker’ wa kuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025.

    Mtengeneza maudhui (Content Creator) kwenye mtandao wa Tiktok, Fanuel John Masamaki maarufu Zerobrainer0, ameshinda kipengele cha mtengeneza maudhui bora wa michezo kwa mwaka 2024 barani Afrika, katika tuzo zilizofanyika Februari 8, 2025 Nchini Afrika Kusini. Zerobrainer0 ana Wafuasi zaidi ya milioni (12) kwenye mtandao wake wa TikTok huku TikToker huyo akjizoelea umaarufu kwa maudhui yake ya kuchekekesha kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Pia anatajwa kama ‘TikToker’ wa kuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025.
    0 Comments ·0 Shares ·684 Views
  • It's hard for people to talk about things, but it's good to talk or write about them. My relatives just found out that my godmother's brother has a brain tumor. But he was hospitalized so late that it's not certain that he'll survive. The doctors aren't giving me much hope.
    It's hard for people to talk about things, but it's good to talk or write about them. My relatives just found out that my godmother's brother has a brain tumor. But he was hospitalized so late that it's not certain that he'll survive. The doctors aren't giving me much hope.
    0 Comments ·0 Shares ·857 Views
  • MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA.

    C&P

    Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa.

    Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha yetu.

    Yafuatayo ni mambo yanayofanywa na mwili ambayo ni kati ya hiyo mifumo ya ulinzi wa mwili wa binadamu.

    1. KUPIGA MIAYO (YAWNING)
    Lengo kubwa la kupiga muayo ni kuupoza ubongo baada ya joto kuzidi kwenye ubongo au baada ya ubongo kuchoka kufanya kazi.

    Vile vile kama ukiwa umechoka au una njaa husabababisha oxygen kupungua kwenye damu na kwenye mapafu, hii hupelekea tatizo la kupumua, hivyo kupiga miayo husaidia kuingiza oxygen ya ziada mwilini ili irudishe mwili katika hali yake ya kawaida.

    2. KUPIGA CHAFYA (SNEEZING)
    Mara nyingi tunapiga chafya pale pua zetu zinapokua zimejaa bakteria wa magonjwa ambao hawahitajiki mwilini, Vumbi pamoja na takataka mbali mbali zilizoingia kupitia pua.

    Hivyo kupiga chafya ni kitenda cha mwili kujisafisha kwa kuyatoa hayo matakataka nje yaliyoingia mwilini.

    3. KUJINYOOSHA (STRETCHING)
    Kuninyoosha mwili ni kitendo kisicho cha hiari ambacho lengo lake ni kuuandaa mwili kwa ajili ya kazi mbalimbali za kutumia nguvu utakazokabiliana nazo kwa siku nzima. Lakini pia kujinyoosha kunaipa misuli ya mwili mazoezi na kuiweka sawa vilevile kunarudisha mzunguko wa damu katika hali yake ya kawaida na kumtoa mtu katika uchovu.

    4. KWIKWI (HICCUPING)
    Najua umewahi kupata kwikwi, na mara nyingi mara baada ya kumaliza kula chakula. Je umeshawahi kujiuliza ile sauti ya ajabu ya kwikwi inasababishwa na nini au kwa sabababu gani watu hushikwa na kwikwi?

    Hiyo yote husababishwa na DIAPHRAGM (tamka DAYA - FRAM) kiungo kinachopatikana ndani ya mwili wa binadamu chini kabisa ya kifua baada ya mapafu(lungs). Kazi kubwa ya diaphragm ni kusaidia katika upumuaji, (inhale) na (exhale). Pale unapoingiza hewa ndani (inhale) diaphragm hushuka chini ili kusaidia kuivuta hewa ifike kwenye mapafu. Na unapotoa hewa nje (exhale) diaphragm hutulia kwa kubakia sehem yake ili kuwezesha hewa chafu kutoka nje kupitia pua na mdomo.

    Sasa basi, kuna wakati diaphragm kubugudhiwa na kuisababisha kushuka chini kwa kasi sana jambo linalosababisha wewe kuvuta hewa (inhale) kwa kasi isiyo ya kawaida kupitia koromeo la sauti, hewa ikifika kwenye box la sauti (larynx), sehem hiyo hujifunga kwa haraka sana ili kuzuia hewa isipite huko na ndipo KWIKWI hutokea.

    Mambo mengine yanayoweza kuibugudhi diaphragm na kuisababisha kufanya kazi vibaya mpaka kupelekea kwikwi ni kitendo cha kula haraka haraka au kuvimbewa.

    5. KUJIKUNJA KWA NGOZI YA VIDOLE VYA MIKONO BAADA YA KULOWA AU KUKAA MUDA MREFU KWENYE MAJI.
    Je umewahi shuhudia jinsi ngozi ya vidole vyako inavyojikunja baada ya kufua nguo muda mrefu au kushika maji muda mrefu? Unajua ni kwa sababu gani ngozi hujikunja kama ya mtu aliyezeeka angali yu kijana mara baada ya kukaa sana kwenye maji?

    Watu wengi kabla walizani kwamba kujikunja kwa ngozi hiyo hutokana na maji kuingia kwenye ngozi na hivyo ngozi hujikunja baada ya kulowa.

    Lakini wanasayansi baada ya kufanya utafiti kwa muda merefu juu ya nini hasa hupelekea ngozi kujikunja? Walisema HAPANA si kwa sababu ya ngozi kulowana. Na walikuja na majibu haya.

    Mwili unapokutana na majimaji mara moja hupeleka taarifa na kutafsiri kwamba mazingira hayo yana UTELEZI (Slippery) hivyo kutasababisha mikono kushindwa kushika (Grip) au kukamata vitu kwa urahisi kutokana na utelezi huo. Hapo mwili huchukua hatua ya haraka kuikunja ngozi ya mikono yako ili kurahisisha ushikaji wa vitu vinavyoteleza ndani ya maji pamoja na kutembea kwenye utelezi.

    6. VIPELE VIPELE VYA BARIDI KWENYE NGOZI (GOOSEBUMPS)
    Kazi kubwa ya vipele hivi ni kupunguza kiasi cha joto la mwili linalopotea kupitia matundu ya ngozi. Hivyo kwa kufanya hivi humfanya binadamu kutunza joto la mwili hata katika mazingira ambayo hali yake ya hewa si rafiki kwa mwili wa mwanadamu au ni yenye baridi sana.

    7. MACHOZI (TEARS)
    Zaidi ya kuwa majimaji (MUCOUS MEMBRANE ) yanayopatikana kwenye Macho ambayo kazi zake ni kulilinda jicho dhidi ya kitu chochote kigeni kinachoingia jichoni (mfano unapokata vitunguu au mdudu anapoingia jichoni huwa unatoa machozi mengi eeeh!! Pia dhidi ya upepo na moshi) na pia hutumika kama kilainishi cha jicho pale linapokuwa linazunguka zunguka (blink).

    Vilevile machozi yana kazi ya kupunguza HISIA ZA HUDHUNI zinazozalishwa mwilini. Wanasayansi wanaamini kuwa mtu anapokua mwenye msongo wa mawazo (stress) mwili hutengeneza kitu kipya ili kwenda kubugudhi na kuharibu maumivu yote ambayo mtu anajisikia. Hivyo machozi yanayozalishwa hapa huwa na kemikali na yanafahamika kama NATURAL PAINKILLER. Machozi haya ni tofauti na machozi ya kawaida, lengo lake hasa la kuzalishwa ni kwa ajili ya kuondoa kabisa maumivu yaliyozalishwa mwilini

    Hivyo mpaka hapa tumeona kua kuna machozi ya aina tatu ambayo ni
    i. Basal tears (vilainishi)
    ii. Reflex tears (mlinzi)
    iii. Emotion tears (mtuliza maumivu)

    8. KUSHTUKA USINGIZINI (MYOCLONIC JERKS or HYPNIC JERK).
    Je! Ushawahi kutokewa na hali hii? umelala halafu ghafla unashtuka usingizini kwa mguvu nyingi kama umepigwa na shoti ya umeme na akili inakurudi ghafla huku mapigo ya moyo yakikuenda mbio? Na hali hii ikakutokea pasipo hata kuota ndoto yoyote?

    Basi usiogope au kuwasingizia watu uchawi, hii ni hali ya sayansi ya mwili.na ni njia moja wapo katika ile mifumo ya mwili kujilinda.

    Je hutokeaje?

    Hii ni hali ya ajabu sana isiyofanywa kwa hiari ambayo huwatokea watu mara tu wamejinyoosha kitandani na kupitiwa na usingizi, mwili hutetemeshwa na kusukumwa kwa nguvu na mtu hushtuka katika hali kama vile kapigwa na shoti ya umeme. Hali hii inaweza kupelekea mtu hata kuanguka kitandani na humwamsha mara moja kutoka usingizini.

    Wanasayansi wanatuambia kua, pale tu unapopata usingizi kiwango cha upumuaji kinashuka ghafla, mapigo ya moyo nayo taratibu yanapungua, misuli inatulia kwa ku-relax, Kitu cha AJABU hapa ubongo unatafsiri hali hii kama ni DALILI ZA KIFO (brain's misinterpretation of muscle relaxation), hivyo huchukua hatua za haraka za kuushtua mwili kwa kuutetemesha au kuuskuma kwa nguvu, hali ambayo humfanya mtu kuamka kutoka usingizini kwa KURUKA kitu ambacho ni hali isiyo ya kawaida.

    Hali hii ikimtokea mtu huambatana na kuongezeka kwa mapigo ya moyo (rapid heartbeat), kuhema haraka haraka, na wakati mwingine mtu hutokwa na jasho jingi.

    Wakati mwingine mtu huamka ametoa macho na kama ukimwangalia, nae huishia hukuangalia tu huku akikosa la kukujibu endapo utamuuliza vipi kuna tatizo gani?

    MWILI WAKO NI ZAIDI YA UNAVYOUJUA. JAMBO LA MSINGI NI KUONDOA HOFU KWANI MWILI WAKO UNAJUA NINI UFANYE NA WAKATI GANI ILI KUKULINDA USIKU NA MCHANA KATIKA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO.

    Share pia wengine wajue sio kila kitu ni uchawi
    MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA. C&P Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa. Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha yetu. Yafuatayo ni mambo yanayofanywa na mwili ambayo ni kati ya hiyo mifumo ya ulinzi wa mwili wa binadamu. 1. KUPIGA MIAYO (YAWNING) Lengo kubwa la kupiga muayo ni kuupoza ubongo baada ya joto kuzidi kwenye ubongo au baada ya ubongo kuchoka kufanya kazi. Vile vile kama ukiwa umechoka au una njaa husabababisha oxygen kupungua kwenye damu na kwenye mapafu, hii hupelekea tatizo la kupumua, hivyo kupiga miayo husaidia kuingiza oxygen ya ziada mwilini ili irudishe mwili katika hali yake ya kawaida. 2. KUPIGA CHAFYA (SNEEZING) Mara nyingi tunapiga chafya pale pua zetu zinapokua zimejaa bakteria wa magonjwa ambao hawahitajiki mwilini, Vumbi pamoja na takataka mbali mbali zilizoingia kupitia pua. Hivyo kupiga chafya ni kitenda cha mwili kujisafisha kwa kuyatoa hayo matakataka nje yaliyoingia mwilini. 3. KUJINYOOSHA (STRETCHING) Kuninyoosha mwili ni kitendo kisicho cha hiari ambacho lengo lake ni kuuandaa mwili kwa ajili ya kazi mbalimbali za kutumia nguvu utakazokabiliana nazo kwa siku nzima. Lakini pia kujinyoosha kunaipa misuli ya mwili mazoezi na kuiweka sawa vilevile kunarudisha mzunguko wa damu katika hali yake ya kawaida na kumtoa mtu katika uchovu. 4. KWIKWI (HICCUPING) Najua umewahi kupata kwikwi, na mara nyingi mara baada ya kumaliza kula chakula. Je umeshawahi kujiuliza ile sauti ya ajabu ya kwikwi inasababishwa na nini au kwa sabababu gani watu hushikwa na kwikwi? Hiyo yote husababishwa na DIAPHRAGM (tamka DAYA - FRAM) kiungo kinachopatikana ndani ya mwili wa binadamu chini kabisa ya kifua baada ya mapafu(lungs). Kazi kubwa ya diaphragm ni kusaidia katika upumuaji, (inhale) na (exhale). Pale unapoingiza hewa ndani (inhale) diaphragm hushuka chini ili kusaidia kuivuta hewa ifike kwenye mapafu. Na unapotoa hewa nje (exhale) diaphragm hutulia kwa kubakia sehem yake ili kuwezesha hewa chafu kutoka nje kupitia pua na mdomo. Sasa basi, kuna wakati diaphragm kubugudhiwa na kuisababisha kushuka chini kwa kasi sana jambo linalosababisha wewe kuvuta hewa (inhale) kwa kasi isiyo ya kawaida kupitia koromeo la sauti, hewa ikifika kwenye box la sauti (larynx), sehem hiyo hujifunga kwa haraka sana ili kuzuia hewa isipite huko na ndipo KWIKWI hutokea. Mambo mengine yanayoweza kuibugudhi diaphragm na kuisababisha kufanya kazi vibaya mpaka kupelekea kwikwi ni kitendo cha kula haraka haraka au kuvimbewa. 5. KUJIKUNJA KWA NGOZI YA VIDOLE VYA MIKONO BAADA YA KULOWA AU KUKAA MUDA MREFU KWENYE MAJI. Je umewahi shuhudia jinsi ngozi ya vidole vyako inavyojikunja baada ya kufua nguo muda mrefu au kushika maji muda mrefu? Unajua ni kwa sababu gani ngozi hujikunja kama ya mtu aliyezeeka angali yu kijana mara baada ya kukaa sana kwenye maji? Watu wengi kabla walizani kwamba kujikunja kwa ngozi hiyo hutokana na maji kuingia kwenye ngozi na hivyo ngozi hujikunja baada ya kulowa. Lakini wanasayansi baada ya kufanya utafiti kwa muda merefu juu ya nini hasa hupelekea ngozi kujikunja? Walisema HAPANA si kwa sababu ya ngozi kulowana. Na walikuja na majibu haya. Mwili unapokutana na majimaji mara moja hupeleka taarifa na kutafsiri kwamba mazingira hayo yana UTELEZI (Slippery) hivyo kutasababisha mikono kushindwa kushika (Grip) au kukamata vitu kwa urahisi kutokana na utelezi huo. Hapo mwili huchukua hatua ya haraka kuikunja ngozi ya mikono yako ili kurahisisha ushikaji wa vitu vinavyoteleza ndani ya maji pamoja na kutembea kwenye utelezi. 6. VIPELE VIPELE VYA BARIDI KWENYE NGOZI (GOOSEBUMPS) Kazi kubwa ya vipele hivi ni kupunguza kiasi cha joto la mwili linalopotea kupitia matundu ya ngozi. Hivyo kwa kufanya hivi humfanya binadamu kutunza joto la mwili hata katika mazingira ambayo hali yake ya hewa si rafiki kwa mwili wa mwanadamu au ni yenye baridi sana. 7. MACHOZI (TEARS) Zaidi ya kuwa majimaji (MUCOUS MEMBRANE ) yanayopatikana kwenye Macho ambayo kazi zake ni kulilinda jicho dhidi ya kitu chochote kigeni kinachoingia jichoni (mfano unapokata vitunguu au mdudu anapoingia jichoni huwa unatoa machozi mengi eeeh!! Pia dhidi ya upepo na moshi) na pia hutumika kama kilainishi cha jicho pale linapokuwa linazunguka zunguka (blink). Vilevile machozi yana kazi ya kupunguza HISIA ZA HUDHUNI zinazozalishwa mwilini. Wanasayansi wanaamini kuwa mtu anapokua mwenye msongo wa mawazo (stress) mwili hutengeneza kitu kipya ili kwenda kubugudhi na kuharibu maumivu yote ambayo mtu anajisikia. Hivyo machozi yanayozalishwa hapa huwa na kemikali na yanafahamika kama NATURAL PAINKILLER. Machozi haya ni tofauti na machozi ya kawaida, lengo lake hasa la kuzalishwa ni kwa ajili ya kuondoa kabisa maumivu yaliyozalishwa mwilini Hivyo mpaka hapa tumeona kua kuna machozi ya aina tatu ambayo ni i. Basal tears (vilainishi) ii. Reflex tears (mlinzi) iii. Emotion tears (mtuliza maumivu) 8. KUSHTUKA USINGIZINI (MYOCLONIC JERKS or HYPNIC JERK). Je! Ushawahi kutokewa na hali hii? umelala halafu ghafla unashtuka usingizini kwa mguvu nyingi kama umepigwa na shoti ya umeme na akili inakurudi ghafla huku mapigo ya moyo yakikuenda mbio? Na hali hii ikakutokea pasipo hata kuota ndoto yoyote? Basi usiogope au kuwasingizia watu uchawi, hii ni hali ya sayansi ya mwili.na ni njia moja wapo katika ile mifumo ya mwili kujilinda. Je hutokeaje? Hii ni hali ya ajabu sana isiyofanywa kwa hiari ambayo huwatokea watu mara tu wamejinyoosha kitandani na kupitiwa na usingizi, mwili hutetemeshwa na kusukumwa kwa nguvu na mtu hushtuka katika hali kama vile kapigwa na shoti ya umeme. Hali hii inaweza kupelekea mtu hata kuanguka kitandani na humwamsha mara moja kutoka usingizini. Wanasayansi wanatuambia kua, pale tu unapopata usingizi kiwango cha upumuaji kinashuka ghafla, mapigo ya moyo nayo taratibu yanapungua, misuli inatulia kwa ku-relax, Kitu cha AJABU hapa ubongo unatafsiri hali hii kama ni DALILI ZA KIFO (brain's misinterpretation of muscle relaxation), hivyo huchukua hatua za haraka za kuushtua mwili kwa kuutetemesha au kuuskuma kwa nguvu, hali ambayo humfanya mtu kuamka kutoka usingizini kwa KURUKA kitu ambacho ni hali isiyo ya kawaida. Hali hii ikimtokea mtu huambatana na kuongezeka kwa mapigo ya moyo (rapid heartbeat), kuhema haraka haraka, na wakati mwingine mtu hutokwa na jasho jingi. Wakati mwingine mtu huamka ametoa macho na kama ukimwangalia, nae huishia hukuangalia tu huku akikosa la kukujibu endapo utamuuliza vipi kuna tatizo gani? MWILI WAKO NI ZAIDI YA UNAVYOUJUA. JAMBO LA MSINGI NI KUONDOA HOFU KWANI MWILI WAKO UNAJUA NINI UFANYE NA WAKATI GANI ILI KUKULINDA USIKU NA MCHANA KATIKA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO. Share pia wengine wajue sio kila kitu ni uchawi
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mwanamke hutegemea MOYO kuanzisha mahusiano kichwa wanasukia nywele, ila Mwanaume hutumia KICHWA (BRAIN) kuanzisha mahusiano, sasa iko hivi, shida huja pale ambapo hata huoo MOYO wenyewe unaweza penda hata ujinga wakati mwingine.
    Mwanamke hutegemea MOYO kuanzisha mahusiano kichwa wanasukia nywele, ila Mwanaume hutumia KICHWA (BRAIN) kuanzisha mahusiano, sasa iko hivi, shida huja pale ambapo hata huoo MOYO wenyewe unaweza penda hata ujinga wakati mwingine.
    0 Comments ·0 Shares ·514 Views
  • My sister, uzuri wako sio kama kitu cha kukiweka parade ili watu wakione na kukikubali, then wewe uridhike kutokana na hilo pekee.

    Huu Ulimwengu sio jumba la makumbusho kwamba uzunguke huku na huko kuvuta attention ya watu ili wakuone na kukukubali as if wewe ni kivutio cha utalii then ndio ujione umefanikiwa kwa hilo.

    Uzuri wako sio kama hifadhi ya Gombe, watalii walipe waje waone sokwe wanavoruka ruka, na kuondoka zao. Sio kama hifadhi ya Serengeti au grumeti watalii waje waone Nyumbu wanavyohama kutoka upande huu kwenda upande mwengine. Walipe dola zao na kuondoka.

    Ni bora zaidi uthaminiwe na mwanaume mmoja, kuliko kutamaniwa na dazani ya useless horny men.

    Ndio uwe mzuri, lakini mzuri kwa ajili yako peke yako..na sio kwa ajili ya ulimwengu. Hauwezi kushindana na ulimwengu kwa ku-base kwenye uzuri, makalio, shape, etc..ulimwengu unao wanawake wa aina hiyo wengi sana na ambao hawana wanaweza wakapata kwa artificial ways.

    Lakini roho nzuri, utu wema, tabia iliyo njema nani anaweza ku-fake? Beautiful mind nani anaweza kuipata? Sio vizuri hata kidogo kupiga picha za nusu uchi na kuziweka mitandaoni ili upate comments na likes za kutosha. Sio vema hata kidogo kuvaa nguo za mitego kwa minajili ya kusumbua vichwa vya wanaume wakware.

    Hata kama una-hustle, unajitafutia riziki yako kwa mikono yako wewe mwenyewe, vaa vizuri, ishi maisha mazuri yatakayowapendeza na kuwabariki wengine...ishi maisha ambayo watu watapenda kukusikia jinsi unavyoongea kuliko wanavyopenda kukuona ukiwa unatembea nusu uchi, kuna kitu Mwenyezi Mungu amekiweka kwenye ulimi wako...wewe ni mzuri zaidi ya sura na shepu yako.

    My wisdom, "The female brain itself is a highly intuitive emotion-processing machine, which when put to practice in the progress of the society, would do much more than any man can with all his analytical perspectives"
    My sister, uzuri wako sio kama kitu cha kukiweka parade ili watu wakione na kukikubali, then wewe uridhike kutokana na hilo pekee. Huu Ulimwengu sio jumba la makumbusho kwamba uzunguke huku na huko kuvuta attention ya watu ili wakuone na kukukubali as if wewe ni kivutio cha utalii then ndio ujione umefanikiwa kwa hilo. Uzuri wako sio kama hifadhi ya Gombe, watalii walipe waje waone sokwe wanavoruka ruka, na kuondoka zao. Sio kama hifadhi ya Serengeti au grumeti watalii waje waone Nyumbu wanavyohama kutoka upande huu kwenda upande mwengine. Walipe dola zao na kuondoka. Ni bora zaidi uthaminiwe na mwanaume mmoja, kuliko kutamaniwa na dazani ya useless horny men. Ndio uwe mzuri, lakini mzuri kwa ajili yako peke yako..na sio kwa ajili ya ulimwengu. Hauwezi kushindana na ulimwengu kwa ku-base kwenye uzuri, makalio, shape, etc..ulimwengu unao wanawake wa aina hiyo wengi sana na ambao hawana wanaweza wakapata kwa artificial ways. Lakini roho nzuri, utu wema, tabia iliyo njema nani anaweza ku-fake? Beautiful mind nani anaweza kuipata? Sio vizuri hata kidogo kupiga picha za nusu uchi na kuziweka mitandaoni ili upate comments na likes za kutosha. Sio vema hata kidogo kuvaa nguo za mitego kwa minajili ya kusumbua vichwa vya wanaume wakware. Hata kama una-hustle, unajitafutia riziki yako kwa mikono yako wewe mwenyewe, vaa vizuri, ishi maisha mazuri yatakayowapendeza na kuwabariki wengine...ishi maisha ambayo watu watapenda kukusikia jinsi unavyoongea kuliko wanavyopenda kukuona ukiwa unatembea nusu uchi, kuna kitu Mwenyezi Mungu amekiweka kwenye ulimi wako...wewe ni mzuri zaidi ya sura na shepu yako. My wisdom, "The female brain itself is a highly intuitive emotion-processing machine, which when put to practice in the progress of the society, would do much more than any man can with all his analytical perspectives"
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • KIDNEY CARE
    DAWA YA FIGO
    Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo.
    1.Huboresha figo katika kufanya kazi.
    2.Huondosha vijiwe katika figo
    3.Huondosha matatizo ya mkojo.
    4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili
    5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo.
    6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili.
    ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia.
    MATUMIZI.
    Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji.
    Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo.

    KIDNEY CARE
    Herbal Powder
    Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases.
    1.Improves kidney function.
    2.Removes kidney stones
    3.Eliminates urinary problems.
    4.Swelling of the feet, pain and fatigue
    5.Helps improve brain function.
    6.Improves the digestion system and body immunity.
    ✦Surely God is a healer and will help you.
    USAGE.
    Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge.
    Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture.
    𝐂𝐚𝐥𝐥 𝐔𝐬 𝐨𝐫 𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐀𝐩𝐩
    +255767607724
    KIDNEY CARE DAWA YA FIGO Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo. 1.Huboresha figo katika kufanya kazi. 2.Huondosha vijiwe katika figo 3.Huondosha matatizo ya mkojo. 4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili 5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo. 6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili. ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia. MATUMIZI. Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji. Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo. KIDNEY CARE Herbal Powder Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases. 1.Improves kidney function. 2.Removes kidney stones 3.Eliminates urinary problems. 4.Swelling of the feet, pain and fatigue 5.Helps improve brain function. 6.Improves the digestion system and body immunity. ✦Surely God is a healer and will help you. USAGE. Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge. Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture. 𝐂𝐚𝐥𝐥 𝐔𝐬 𝐨𝐫 𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐀𝐩𝐩 +255767607724
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·693 Views
  • A small my hand and my brain design skills
    A small my hand and my brain 🧠 design skills 👌
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·686 Views
  • >Kurap Sio Fashion,,*
    >Jua Kurap Ni Passion,,*
    >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen,,*
    >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen,,*

    #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_
    #Set_yr_brain
    >Kurap Sio Fashion,,* >Jua Kurap Ni Passion,,* >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen,,* >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen,,* #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_ #Set_yr_brain
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Alcohol doesn't make you forget anything. When you get blackout drunk, the brain temporarily loses the ability to create memories.
    Alcohol doesn't make you forget anything. When you get blackout drunk, the brain temporarily loses the ability to create memories.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·108 Views
  • >Kurap Sio Fashion...
    >Jua Kurap Ni Passion...
    >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen...
    >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen...
    #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_
    #Set_yr_brain




    >Kurap Sio Fashion... >Jua Kurap Ni Passion... >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen... >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen... #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_ #Set_yr_brain
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • DID YOU KNOW?

    There are live enzymes in honey.

    When in contact with a metal spoon, these enzymes die.

    The best way to eat honey is with wooden or plastic spoon.

    Honey contains a substance that helps your brain work better.

    Honey is one of the rare foods on earth that alone can sustain human life.

    One teaspoon of honey is enough to sustain human life for 24 hours.

    Propolis that bees produce, is one of the most powerful natural antibiotics

    Honey has no expiration date.

    The bodies of the great emperors of the world were buried in golden coffins and then covered with honey to prevent putrefaction.

    The term "honeymoon" comes from the fact that newlyweds consumed honey for fertility after the wedding.

    A bee lives less than 40 days, visits at least 1000 flowers and produces less than a teaspoon of honey in its lifetime.

    One of the first coins had a bee symbol on it.

    Deep gratitude to the humble BEE!
    DID YOU KNOW? 🐝There are live enzymes in honey. 🐝When in contact with a metal spoon, these enzymes die. 🐝The best way to eat honey is with wooden or plastic spoon. 🐝Honey contains a substance that helps your brain work better. 🐝Honey is one of the rare foods on earth that alone can sustain human life. 🐝One teaspoon of honey is enough to sustain human life for 24 hours. 🐝Propolis that bees produce, is one of the most powerful natural antibiotics 🐝Honey has no expiration date. 🐝The bodies of the great emperors of the world were buried in golden coffins and then covered with honey to prevent putrefaction. 🐝The term "honeymoon" comes from the fact that newlyweds consumed honey for fertility after the wedding. 🐝A bee lives less than 40 days, visits at least 1000 flowers and produces less than a teaspoon of honey in its lifetime. 🐝One of the first coins had a bee symbol on it. Deep gratitude to the humble BEE!🐝
    Love
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·1K Views