• "Msimu uliyopita Zamalek aligomea mechi dhidi ya Al Ahly, Mamlaka za soka nchini Misri zikampa ushindi Al Ahly wa mabao mawili na alama zake tatu kisha wakailima Zamalek alama tatu na timu ikashuka mpaka nafasi ya 12 kama sikosei, Bodi na Chama wala hakikuwaza mara mbili, ni kesi kubwa sana kwenye dunia ya soka kukacha mechi.

    Jana, Al Ahly nae kaleta mbwembwe zile zile za masuala ya Kanuni akagomea mchezo, akasahau kanuni ya kutokea Uwanjani na kucheza mechi ndio kanuni yenye maana zaidi kwenye soka, amejikuta anapoteza alama tatu na mabao matatu kwa Zamalek, Kanuni hii inaweza kusema hivi ila Kanuni nyingine ikawa na maelezo mengine.

    Nikukumbushe tu Al Ahly aliyeadhibiwa ndio Klabu Tajiri zaidi Afrika, Klabu yenye Mashabiki na Wanachama wengi zaidi Afrika, ndio Klabu ya pili kwa Mataji mengi duniani baada ya Real Madrid, ila huko Misri watu hawatazami makunyanzi, ukileta maksudi, Bodi na Chama cha soka zinakufanyia bahati mbaya, Ahly inatajwa pia ina nguvu kubwa sana CAF, sio ya kufikirika ama nadharia ndio uhalisia ila wamepita nayo mapema tu.

    Nawakumbusha tena Watu wangu HAKI huenda na WAJIBU, mfano Tanzania kwa mujibu wa Katiba kuandamana ni haki yako ila unapaswa kutoa taarifa kwa Polisi masaa 72 kabla, umeelewa hapo? Ni haki yako ila huja na Wajibu, Kanuni ili ikulinde hakikisha umetekeleza Wajibu, biashara za Mamlaka za soka duniani ni mpira, kutocheza mpira ni kuzitusi, hazikuachi salama.

    Ni haki yako kuja kufanya mazoezi uwanja wa mechi siku moja kabla ila ni Wajibu wako kunijulisha kuwa nakuja, ili nikuandalie mazingira, huenda narekebisha mfumo wa Umeme? Huenda hali ya usalama sio shwari, huenda nimepulizia dawa za dudu zinaweka kukuathiri, yaani ni HAKI yako ila una WAJIBU wako huu ni mfano tu.

    Mnasemaje Watu wangu wa nchini Yemen haya hayawahusu sana, huko kwenu Kivyenu vyenu Wayemen" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Msimu uliyopita Zamalek aligomea mechi dhidi ya Al Ahly, Mamlaka za soka nchini Misri zikampa ushindi Al Ahly wa mabao mawili na alama zake tatu kisha wakailima Zamalek alama tatu na timu ikashuka mpaka nafasi ya 12 kama sikosei, Bodi na Chama wala hakikuwaza mara mbili, ni kesi kubwa sana kwenye dunia ya soka kukacha mechi. Jana, Al Ahly nae kaleta mbwembwe zile zile za masuala ya Kanuni akagomea mchezo, akasahau kanuni ya kutokea Uwanjani na kucheza mechi ndio kanuni yenye maana zaidi kwenye soka, amejikuta anapoteza alama tatu na mabao matatu kwa Zamalek, Kanuni hii inaweza kusema hivi ila Kanuni nyingine ikawa na maelezo mengine. Nikukumbushe tu Al Ahly aliyeadhibiwa ndio Klabu Tajiri zaidi Afrika, Klabu yenye Mashabiki na Wanachama wengi zaidi Afrika, ndio Klabu ya pili kwa Mataji mengi duniani baada ya Real Madrid, ila huko Misri watu hawatazami makunyanzi, ukileta maksudi, Bodi na Chama cha soka zinakufanyia bahati mbaya, Ahly inatajwa pia ina nguvu kubwa sana CAF, sio ya kufikirika ama nadharia ndio uhalisia ila wamepita nayo mapema tu. Nawakumbusha tena Watu wangu HAKI huenda na WAJIBU, mfano Tanzania kwa mujibu wa Katiba kuandamana ni haki yako ila unapaswa kutoa taarifa kwa Polisi masaa 72 kabla, umeelewa hapo? Ni haki yako ila huja na Wajibu, Kanuni ili ikulinde hakikisha umetekeleza Wajibu, biashara za Mamlaka za soka duniani ni mpira, kutocheza mpira ni kuzitusi, hazikuachi salama. Ni haki yako kuja kufanya mazoezi uwanja wa mechi siku moja kabla ila ni Wajibu wako kunijulisha kuwa nakuja, ili nikuandalie mazingira, huenda narekebisha mfumo wa Umeme? Huenda hali ya usalama sio shwari, huenda nimepulizia dawa za dudu zinaweka kukuathiri, yaani ni HAKI yako ila una WAJIBU wako huu ni mfano tu. Mnasemaje Watu wangu wa nchini Yemen haya hayawahusu sana, huko kwenu Kivyenu vyenu Wayemen😀" - Farhan JR, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·126 Views
  • "Mimi sio Mcameroon mimi ni mfaransa, wakati naanza kucheza mpira, wakati nikiwa bado sijulikani Baba yangu aliwasiliana na Fecafoot(shirikisho la mpira la Cameroon) ili wanipe nafasi ya kucheza timu ya taifa ya Cameroon, lakini waliomba kiasi kikubwa sana cha fedha kwetu ndo mimi nipate nafasi ya kucheza"

    "Baba yangu alichukizwa na huo mtazamo wao akaamua kwenda kuomba Ufaransa, Ufaransa walinipa nafasi ili niionyeshe dunia ni kipi nilichonacho, leo hii nimekua mchezaji ghali duniani ndipo Cameroon wananiita na kunisifia kwa uraia usio wakwangu, mimi ni mfaransa na nitabaki kuwa Mfaransa" - Kilyan Mbappé, Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya Real Madrid.

    "Mimi sio Mcameroon mimi ni mfaransa, wakati naanza kucheza mpira, wakati nikiwa bado sijulikani Baba yangu aliwasiliana na Fecafoot(shirikisho la mpira la Cameroon) ili wanipe nafasi ya kucheza timu ya taifa ya Cameroon, lakini waliomba kiasi kikubwa sana cha fedha kwetu ndo mimi nipate nafasi ya kucheza" "Baba yangu alichukizwa na huo mtazamo wao akaamua kwenda kuomba Ufaransa, Ufaransa walinipa nafasi ili niionyeshe dunia ni kipi nilichonacho, leo hii nimekua mchezaji ghali duniani ndipo Cameroon wananiita na kunisifia kwa uraia usio wakwangu, mimi ni mfaransa na nitabaki kuwa Mfaransa" - Kilyan Mbappé, Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya Real Madrid.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·178 Views
  • Vita ya wakongoman kurud caf champion
    Vita ya wakongoman kurud caf champion 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    0 Comments ·0 Shares ·132 Views
  • "Hatakama Yanga wangevuka hatua ya makundi na kwenda robo fainali ya CAF Champions Ligi, huku mshabuliaji wao kinara akiwa PRINCE DUBE bado uwezekano wa kufanya vyema ungekuwa mdogo msimu huu, kwakuwa ni dhahiri sasa kwamba DUBE sio mfungaji asilia, ni aina ya mshambuliaji anaehitaji nafasi 6 za WAZI kufunga mabao 2 dhidi ya KEN GOLD walio mkiani kwenye ligi kuu" - Jemedari Said, Mchambuzi.

    "Hatakama Yanga wangevuka hatua ya makundi na kwenda robo fainali ya CAF Champions Ligi, huku mshabuliaji wao kinara akiwa PRINCE DUBE bado uwezekano wa kufanya vyema ungekuwa mdogo msimu huu, kwakuwa ni dhahiri sasa kwamba DUBE sio mfungaji asilia, ni aina ya mshambuliaji anaehitaji nafasi 6 za WAZI kufunga mabao 2 dhidi ya KEN GOLD walio mkiani kwenye ligi kuu" - Jemedari Said, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·241 Views
  • Privaldinho amjia juu Juma Ayo (Mchambuzi) kisa chapisho lake pichani.

    "Ni kijana mtanzania anayechukia kijana Mtanzania mwenzake akipewa credit. Halafu kutwa agapiga simu kwa Injinia kuhitaji msaada.

    Tanzania tunajivunia kuwa na kiongozi mkubwa kwenye ngazi ya soka Kimataifa, lakini anatokea bumunda mmoja anataka kudogodesha jambo hili.

    Hawa ndio waliomsifia sana yule Dada aliyekuwa Ukoloni enzi hizo. Leo anajaribu kubadilisha agenda kuwa ACA sio chombo huru.

    Tazama huyu ni mwandishi ambaye hajui ACA inafanyaje kazi. Sasa kama ACA ni chombo kinachojumuisha viongozi wa vilabu ni kivipi CAF inaingilia utendaji wake?

    Shida tasnia ya habari imeruhusu vichwa maji wengi kutoa maoni kwenye platform kubwa. Tunakosa kusikiliza watu wenye weledi tunasikiliza waropokaji.

    Kuna muda unajiuliza hawa watu wanatumwa au wanatumika au hawana uelewa wa mambo unagundua inawezekana vyote kwa pamoja kwa sababu haiwezekan mtu mwenye akili akatumika kujidhalilisha.

    Wakati tunataka kuweka uhuru wa vilabu kwenye maamuzi anakuja kapuku mmoja anakwambia ACA ni chombo cha CAF.? Muulize uchaguzi wa ACA umefanyikaje! Hajui

    ACA sio chama kinachoongozwa na mtu, ni ushirika wa vilabu vyote ambavyo vimejisali. Mwenyekiti kazi yake kusimamia maamuzi ya msimamo wa Chama ikiwa ni pamoja na utekelezaji wake na kuwaongoza wenzake kulingana na maono yake.
    #
    Uanzishwaji wa ACA hauna tofauti na ECA. Je ECA s ndio hao hao ambao walikataa Superleague tena mwenyekiti wa ECA wakati ule Agnelli alikuwa muumini wa Superleague lakini aliheshimu maamuzi ya Chama.

    Maana yake nini? ACA ni chombo huru kinachojitegemea. Kazi yake kuu kulinda maslahi ya vilabu na sio maslahi ya CAF. Jifunzeni kufanya tafiti.

    Fanyeni kazi yenu kwa weledi. Acheni majungu na roho. Vijana wadogo mmejawa chuki na wivu usiokuwa na manufaa wala tija. Uchale chale unafanya mnataka kuiga watani na wasemaji kwenye utani wao mnauleta kwenye tasnia.

    St*pid" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.

    Privaldinho amjia juu Juma Ayo (Mchambuzi) kisa chapisho lake pichani. "Ni kijana mtanzania anayechukia kijana Mtanzania mwenzake akipewa credit. Halafu kutwa agapiga simu kwa Injinia kuhitaji msaada. Tanzania tunajivunia kuwa na kiongozi mkubwa kwenye ngazi ya soka Kimataifa, lakini anatokea bumunda mmoja anataka kudogodesha jambo hili. Hawa ndio waliomsifia sana yule Dada aliyekuwa Ukoloni enzi hizo. Leo anajaribu kubadilisha agenda kuwa ACA sio chombo huru. Tazama huyu ni mwandishi ambaye hajui ACA inafanyaje kazi. Sasa kama ACA ni chombo kinachojumuisha viongozi wa vilabu ni kivipi CAF inaingilia utendaji wake? Shida tasnia ya habari imeruhusu vichwa maji wengi kutoa maoni kwenye platform kubwa. Tunakosa kusikiliza watu wenye weledi tunasikiliza waropokaji. Kuna muda unajiuliza hawa watu wanatumwa au wanatumika au hawana uelewa wa mambo unagundua inawezekana vyote kwa pamoja kwa sababu haiwezekan mtu mwenye akili akatumika kujidhalilisha. Wakati tunataka kuweka uhuru wa vilabu kwenye maamuzi anakuja kapuku mmoja anakwambia ACA ni chombo cha CAF.? Muulize uchaguzi wa ACA umefanyikaje! Hajui ACA sio chama kinachoongozwa na mtu, ni ushirika wa vilabu vyote ambavyo vimejisali. Mwenyekiti kazi yake kusimamia maamuzi ya msimamo wa Chama ikiwa ni pamoja na utekelezaji wake na kuwaongoza wenzake kulingana na maono yake. # Uanzishwaji wa ACA hauna tofauti na ECA. Je ECA s ndio hao hao ambao walikataa Superleague tena mwenyekiti wa ECA wakati ule Agnelli alikuwa muumini wa Superleague lakini aliheshimu maamuzi ya Chama. Maana yake nini? ACA ni chombo huru kinachojitegemea. Kazi yake kuu kulinda maslahi ya vilabu na sio maslahi ya CAF. Jifunzeni kufanya tafiti. Fanyeni kazi yenu kwa weledi. Acheni majungu na roho. Vijana wadogo mmejawa chuki na wivu usiokuwa na manufaa wala tija. Uchale chale unafanya mnataka kuiga watani na wasemaji kwenye utani wao mnauleta kwenye tasnia. St*pid" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
    0 Comments ·0 Shares ·858 Views
  • "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF

    Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO

    Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi

    Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara

    ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha.

    Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali.

    Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha. Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali. Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said👏👏" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·310 Views
  • "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF

    Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO

    Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi

    Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara

    ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha.

    Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali.

    Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha. Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali. Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said👏👏" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    0 Comments ·0 Shares ·289 Views
  • JEAN CHARLES AHOUA

    Jean Ahoua amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa CAF Confederation Cup hatua ya makundi.
    🚨JEAN CHARLES AHOUA Jean Ahoua amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa CAF Confederation Cup hatua ya makundi.
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·234 Views
  • "Natamani kuziona timu zote zinazotoa wachezaji kwenye timu za taifa ziwe zinanufaika na hao wachezaji maana wao ndio wanawatunza hao wachezaji kwa kila kitu na hata mchezaji akiumia timu ya taifa atarudi kwenye klabu yake ili imtibie na wao ndio wanagharamika na hayo matibabu, natakani kuona chama chetu ACA kikipigania hili iwe kama ilivyokuwa kwenye kombe la Dunia pale Qatar kila klabu ilinufaika na wachezaji wao waliokuna timu zao taifa nchini Qatar."

    "Kwa muda mfupi ACA tumepiga kelele angalau hata zile timu ambazo zinazoanzia hatua ya awali na kutolewa kwenye mashindano ya CAF Interclub ziwe zinalipwa sio hadi zifuzu makundi na tumefanikiwa mwaka huu CAF wametoa dollars Elfu 50, tunataka ikiwezekana kila klabu ambayo itakuwa mwanachama wa ACA hata isipocheza haya mashindano ya Afrika iwe inanufaika."- Eng. Hersi Said M/Kiti wa ACA
    "Natamani kuziona timu zote zinazotoa wachezaji kwenye timu za taifa ziwe zinanufaika na hao wachezaji maana wao ndio wanawatunza hao wachezaji kwa kila kitu na hata mchezaji akiumia timu ya taifa atarudi kwenye klabu yake ili imtibie na wao ndio wanagharamika na hayo matibabu, natakani kuona chama chetu ACA kikipigania hili iwe kama ilivyokuwa kwenye kombe la Dunia pale Qatar kila klabu ilinufaika na wachezaji wao waliokuna timu zao taifa nchini Qatar." "Kwa muda mfupi ACA tumepiga kelele angalau hata zile timu ambazo zinazoanzia hatua ya awali na kutolewa kwenye mashindano ya CAF Interclub ziwe zinalipwa sio hadi zifuzu makundi na tumefanikiwa mwaka huu CAF wametoa dollars Elfu 50, tunataka ikiwezekana kila klabu ambayo itakuwa mwanachama wa ACA hata isipocheza haya mashindano ya Afrika iwe inanufaika."- Eng. Hersi Said M/Kiti wa ACA
    Love
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·351 Views
  • Tukafurahie Simba yetu na kuwapongeza wachezaji wetu kwa kutinga robo fainali ya CAF CC. #CRDBBankFederationCup

    #paulswai

    Tukafurahie Simba yetu na kuwapongeza wachezaji wetu kwa kutinga robo fainali ya CAF CC. #CRDBBankFederationCup #paulswai
    Like
    Wow
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·600 Views
  • "Mimi CAF hawawezi kunifuata kwa sababu nina ratiba ya kuandaa timu kuelekea Robo Fainali, kwahiyo CAF wanaangalia nani hana kazi, ndiyo maana wanamualika yaani Jobless" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC akijibu swali kuhusu kutokualikwa kwenye droo ya CAF Morocco baada ya Msemaji mwenzie wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe kualikwa.

    "Mimi CAF hawawezi kunifuata kwa sababu nina ratiba ya kuandaa timu kuelekea Robo Fainali, kwahiyo CAF wanaangalia nani hana kazi, ndiyo maana wanamualika yaani Jobless" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC akijibu swali kuhusu kutokualikwa kwenye droo ya CAF Morocco baada ya Msemaji mwenzie wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe kualikwa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·368 Views
  • "Mimi CAF hawawezi kunifuata kwa sababu nina ratiba ya kuandaa timu kuelekea Robo Fainali, kwahiyo CAF wanaangalia nani hana kazi, ndiyo maana wanamualika yaani Jobless" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC akijibu swali kuhusu kutokualikwa kwenye droo ya CAF Morocco baada ya Msemaji mwenzie wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe kualikwa.

    "Mimi CAF hawawezi kunifuata kwa sababu nina ratiba ya kuandaa timu kuelekea Robo Fainali, kwahiyo CAF wanaangalia nani hana kazi, ndiyo maana wanamualika yaani Jobless" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC akijibu swali kuhusu kutokualikwa kwenye droo ya CAF Morocco baada ya Msemaji mwenzie wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe kualikwa.
    Haha
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·328 Views
  • CAF CHAMPIONS LEAGUE
    CAF CHAMPIONS LEAGUE 👐
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·182 Views
  • .A: ALAMA ZA SIMBA NA YANGA CAF JAN 2025
    SIMBA
    1. 2 x 5 = 10
    2. 3 x 4 = 12
    3. 3 x 3 = 9
    4. 2 x 2 = 4
    5. 3 x 1 = 3
    Jumla 38

    YANGA
    1. 2 x 5 = 10
    2. 3 x 4 = 12
    3. 4 x 3 = 12
    4. 0
    5. 0
    Jumla 34

    B: KAMA SIMBA ATAISHIA ROBO FAINALI, ALAMA ZITAKAZOANZA MSIMU UJAO NI;
    SIMBA
    1. 0
    2. 2 x 4 = 8
    3. 3 x 3 = 9
    4. 3 x 2 = 6
    5. 2 x 1 = 2
    Jumla 25

    YANGA;
    1. 0
    2. 2 x 4 = 8
    3. 3 x 3 = 9
    4. 4 x 2 = 8
    5. 0
    Jumla 25
    .A: ALAMA ZA SIMBA NA YANGA CAF JAN 2025 SIMBA 1. 2 x 5 = 10 2. 3 x 4 = 12 3. 3 x 3 = 9 4. 2 x 2 = 4 5. 3 x 1 = 3 Jumla 38 YANGA 1. 2 x 5 = 10 2. 3 x 4 = 12 3. 4 x 3 = 12 4. 0 5. 0 Jumla 34 B: KAMA SIMBA ATAISHIA ROBO FAINALI, ALAMA ZITAKAZOANZA MSIMU UJAO NI; SIMBA 1. 0 2. 2 x 4 = 8 3. 3 x 3 = 9 4. 3 x 2 = 6 5. 2 x 1 = 2 Jumla 25 YANGA; 1. 0 2. 2 x 4 = 8 3. 3 x 3 = 9 4. 4 x 2 = 8 5. 0 Jumla 25
    Like
    Love
    9
    · 1 Comments ·0 Shares ·503 Views
  • .*TUTUNZE HII MESEJI*

    Kwa mujibu wa Kikokotoo cha CAF, Klabu ya Simba kwa sasa ina points 38 na kushika nafasi ya 6 kwa vilabu vya Afrika. Kama ataishia hatua hii ya robo fainali, basi msimu ujao ataanza na points 25.

    Yanga kwa sasa ana points 34 na kushika nafasi ya 10 kwa vilabu vya Afrika. Msimu ujao ataanza na points 25.

    NB; Simba akitaka kuendelea kuwa juu ya Yanga ni lazima ahakikishe anavuka hatua ya robo fainali, vinginevyo msimu ujao wataanza sawa na Yanga, na baada ya hapo Yanga ataanza kuchukua nafasi yake.
    .*TUTUNZE HII MESEJI* Kwa mujibu wa Kikokotoo cha CAF, Klabu ya Simba kwa sasa ina points 38 na kushika nafasi ya 6 kwa vilabu vya Afrika. Kama ataishia hatua hii ya robo fainali, basi msimu ujao ataanza na points 25. Yanga kwa sasa ana points 34 na kushika nafasi ya 10 kwa vilabu vya Afrika. Msimu ujao ataanza na points 25. NB; Simba akitaka kuendelea kuwa juu ya Yanga ni lazima ahakikishe anavuka hatua ya robo fainali, vinginevyo msimu ujao wataanza sawa na Yanga, na baada ya hapo Yanga ataanza kuchukua nafasi yake.
    Like
    Love
    7
    · 1 Comments ·0 Shares ·572 Views
  • Orodha ya klabu (30) bora barani Afrika baada ya mechi za hatua ya makundi 2024/25 ya Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF.

    1. Al Ahly
    2. ES Tunis
    3. Mamelodi Sundowns
    4. Zamalek SC
    5. Wydad AC

    6. Simba SC
    7. USM Alger
    7. RS Berkane
    9. CR Belouizdad
    10. Young Africans

    Orodha ya klabu (30) bora barani Afrika baada ya mechi za hatua ya makundi 2024/25 ya Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF. 1. Al Ahly 2. ES Tunis 3. Mamelodi Sundowns 4. Zamalek SC 5. Wydad AC 6. Simba SC 7. USM Alger 7. RS Berkane 9. CR Belouizdad 10. Young Africans
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·353 Views
  • Heshima ya nchi kimataifa ipo salama mikononi kwa Simba SC. #TotalEnergiesCAFCC

    #paulswai
    Heshima ya nchi kimataifa ipo salama mikononi kwa Simba SC. #TotalEnergiesCAFCC #paulswai
    Love
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·648 Views
  • Haikuwa riziki wananchi msimu huu CAFCL
    Haikuwa riziki wananchi msimu huu CAFCL🔰
    0 Comments ·0 Shares ·494 Views


  • CAFCC : SIMBA SC vs CS CONSTANTINE 19 JAN 2025 saa 04:00PM (Jioni)

    Michezo Yote Itakua Live Kupitia App Hii Download Sasa

    https://uploadapk.store/view-app.php?id=57uploads/apk/apk_6782b7f1b77c4MPINGO_TV_1.3.apk
    ⚽ CAFCC : SIMBA SC vs CS CONSTANTINE 19 JAN 2025 saa 04:00PM (Jioni) Michezo Yote Itakua Live Kupitia App Hii Download Sasa 👇👇👇 https://uploadapk.store/view-app.php?id=57uploads/apk/apk_6782b7f1b77c4MPINGO_TV_1.3.apk
    0 Comments ·0 Shares ·497 Views
  • “Maandalizi yapo vizuri tunamshukuru mwenyezi Mungu, sisi kama Yanga SC tupo vizuri kabisa kwa mchezo. Tumefanya maandalizi makubwa na yapo sawa tuwaachie tu mashabiki waje uwanjani”

    “Sisi tunataka kwenda robo fainali ya CAF champions League, tunataka tuingie kwenye Top 5 ya klabu bora barani Afrika, kwa mujibu wa taratibu wa renki za klabu kwa ubora barani Afrika tukishinda kesho tunapata point 39 tunataka nafasi ya tano na inakuwa mara ya kwanza klabu ya Tanzania na Afrika mashariki kufika nafasi ya tano, tuna vitu vingi vyakutusukuma kwenda kupambana kesho kupata maatokeo mazuri”

    “Malengo makubwa ambayo viongozi waliyatoa mapema ni kufika tulipofika msimu uliopita yaani tukifika robo fainali tutakuwa tumefikia malengo yetu ya michuano ya kimataifa baada ya hapo gari itakuwa imekata breki ila atakayekuja mbele yeyote yule tutamfokea na kuruka naye sababu itakuwa tayari presha imeshaondoka”

    “Kwanza tumalize mchezo wa kesho kwa wana Yanga njooni tukajaze uwanja,tukamchinje mwarabu, na kuhusu mauzo ya tiketi yanakwenda vizuri” - Ally Kamwe Msemaji wa Klabu ya Yanga SC.

    “Maandalizi yapo vizuri tunamshukuru mwenyezi Mungu, sisi kama Yanga SC tupo vizuri kabisa kwa mchezo. Tumefanya maandalizi makubwa na yapo sawa tuwaachie tu mashabiki waje uwanjani” “Sisi tunataka kwenda robo fainali ya CAF champions League, tunataka tuingie kwenye Top 5 ya klabu bora barani Afrika, kwa mujibu wa taratibu wa renki za klabu kwa ubora barani Afrika tukishinda kesho tunapata point 39 tunataka nafasi ya tano na inakuwa mara ya kwanza klabu ya Tanzania na Afrika mashariki kufika nafasi ya tano, tuna vitu vingi vyakutusukuma kwenda kupambana kesho kupata maatokeo mazuri” “Malengo makubwa ambayo viongozi waliyatoa mapema ni kufika tulipofika msimu uliopita yaani tukifika robo fainali tutakuwa tumefikia malengo yetu ya michuano ya kimataifa baada ya hapo gari itakuwa imekata breki ila atakayekuja mbele yeyote yule tutamfokea na kuruka naye sababu itakuwa tayari presha imeshaondoka” “Kwanza tumalize mchezo wa kesho kwa wana Yanga njooni tukajaze uwanja,tukamchinje mwarabu, na kuhusu mauzo ya tiketi yanakwenda vizuri” - Ally Kamwe Msemaji wa Klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·407 Views
More Results