• Trusted Swivel Coupler Supplier for Scaffolding Solutions
    Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/product/ms-scaffolding/scaffolding-swivel-coupler.html
    Trusted Swivel Coupler Supplier for Scaffolding Solutions Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/product/ms-scaffolding/scaffolding-swivel-coupler.html
    0 Comments ·0 Shares ·21 Views
  • Buy High-Quality Mobile Scaffolding Towers – Best Prices Available
    Visit Us:- https://shorturl.at/PzAsZ
    Buy High-Quality Mobile Scaffolding Towers – Best Prices Available Visit Us:- https://shorturl.at/PzAsZ
    0 Comments ·0 Shares ·97 Views
  • U Jack Sale Online | High-Quality Adjustable U Jacks for Scaffolding
    Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/product/ms-scaffolding/u-jack.html
    U Jack Sale Online | High-Quality Adjustable U Jacks for Scaffolding Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/product/ms-scaffolding/u-jack.html
    0 Comments ·0 Shares ·160 Views
  • Premium Quality MS Scaffolding for Sale –Safe & Cost-Effective Solutions for Every Construction Project
    Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/
    Premium Quality MS Scaffolding for Sale –Safe & Cost-Effective Solutions for Every Construction Project Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/
    0 Comments ·0 Shares ·188 Views
  • Buy High-Quality Aluminum Scaffolding Mobile Tower
    https://www.loyalscaffold.com/product/aluminium-scaffolding-mobile-tower-without-staircase.html
    Buy High-Quality Aluminum Scaffolding Mobile Tower https://www.loyalscaffold.com/product/aluminium-scaffolding-mobile-tower-without-staircase.html
    0 Comments ·0 Shares ·161 Views
  • Kumechangamkaa Lucas libeiro kawakataa mamelod kawakataa watoto wa caf

    Lucas Ribeiro Costa avunja mkataba wake na Mamelodi Sundowns!

    Mchezaji huyo wa Kibrazili ametuma barua rasmi ya kusitisha mkataba wake akisema:

    "Ninaamini nina sababu ya msingi ya kusitisha mkataba wangu na Mamelodi Sundowns FC, jambo ambalo nitalieleza mbele ya Mahakama ya Soka ya FIFA."

    Ribeiro anawakilishwa na kampuni ya sheria ya Dupont-Hissel, ambao kwa sasa wanashughulikia kesi kubwa ya ‘Diarra Ruling’.

    #SportsElite
    🚨🚨Kumechangamkaa Lucas libeiro kawakataa mamelod kawakataa watoto wa caf 💣 Lucas Ribeiro Costa avunja mkataba wake na Mamelodi Sundowns! Mchezaji huyo wa Kibrazili ametuma barua rasmi ya kusitisha mkataba wake akisema: "Ninaamini nina sababu ya msingi ya kusitisha mkataba wangu na Mamelodi Sundowns FC, jambo ambalo nitalieleza mbele ya Mahakama ya Soka ya FIFA." Ribeiro anawakilishwa na kampuni ya sheria ya Dupont-Hissel, ambao kwa sasa wanashughulikia kesi kubwa ya ‘Diarra Ruling’. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·255 Views
  • Ms Props for Hire and Sale – Affordable.
    https://www.loyalscaffold.com/product/ms-shuttering/ms-prop.html
    Ms Props for Hire and Sale – Affordable. https://www.loyalscaffold.com/product/ms-shuttering/ms-prop.html
    0 Comments ·0 Shares ·140 Views
  • Gori Keeper Mpya wa Azam FC Issa Fofana na Beki wa Kati Zitoun Tayeb tayari wamejiunga na Kikosi cha Azam....

    Wachezaji hao wameanza mazoezi ya peke yao kabra ya kujumuika na wenzao huko Rwanda....

    Azam FC wenyewe wanakwambia msimu ujao 2025/2026 watakayekutananaye itakuwa ni mali yao kwa maana kikosi walichonacho si cha kutwaa ubingwa wa LIGI tu bali wanautaka hata ubingwa wa CAF...

    #SportsElite
    🚨🚨Gori Keeper Mpya wa Azam FC Issa Fofana na Beki wa Kati Zitoun Tayeb tayari wamejiunga na Kikosi cha Azam.... Wachezaji hao wameanza mazoezi ya peke yao kabra ya kujumuika na wenzao huko Rwanda.... Azam FC wenyewe wanakwambia msimu ujao 2025/2026 watakayekutananaye itakuwa ni mali yao🤣 kwa maana kikosi walichonacho si cha kutwaa ubingwa wa LIGI tu bali wanautaka hata ubingwa wa CAF... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·184 Views
  • Ms Props for Hire and Sale – Affordable Construction Support Systems

    Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/product/ms-shuttering/ms-prop.html
    Ms Props for Hire and Sale – Affordable Construction Support Systems Visit Us:- https://www.loyalscaffold.com/product/ms-shuttering/ms-prop.html
    0 Comments ·0 Shares ·188 Views
  • Boost productivity and safety with our premium Aluminum Scaffolding Mobile Tower for Sale.
    https://shorturl.at/pdBb4
    Boost productivity and safety with our premium Aluminum Scaffolding Mobile Tower for Sale. https://shorturl.at/pdBb4
    0 Comments ·0 Shares ·314 Views
  • When it comes to safe and efficient access at heights, ALUMINUM SCAFFOLDING MOBILE TOWER SALE.

    Visit Us:- https://shorturl.at/tqwnT
    When it comes to safe and efficient access at heights, ALUMINUM SCAFFOLDING MOBILE TOWER SALE. Visit Us:- https://shorturl.at/tqwnT
    0 Comments ·0 Shares ·213 Views
  • RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! ⚽️

    Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania!

    Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali?
    Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! ⚽️

    Source:- Micky Jnr African Football Journalist

    #SportsElite
    🚨🚨 RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! 🇹🇿🔥⚽️ 🔸 Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania! 🤔 Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali? 🦁🟢🔵 Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! 🌍⚽️ Source:- Micky Jnr African Football Journalist #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·630 Views
  • 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI.

    HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26.

    Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu.

    MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao.

    Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu

    1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu.

    2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF].

    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000

    Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼

    Daima Mbele Nyuma Mwiko.
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI. HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26. Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu. MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao. Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu 1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu. 2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF]. 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000 ✅ Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼 Daima Mbele Nyuma Mwiko🔰.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·747 Views
  • Bergen County Academies Prep That Gets Results – MindzQ Education

    MindzQ Education Bergen County Academies Prep offers expert instruction, small classes, and a proven track record to help 8th graders succeed in BCA admissions. With math, English, essay, and interview prep, students gain skills and confidence.

    At MindzQ Education, we offer:
    Spring Warm-Up Classes to build strong foundations in algebra, reading, and writing
    Summer–Fall Intensives that include full-length practice tests, mock interviews, and essay coaching
    Small class sizes and personalized guidance
    Expert instructors with a proven track record of student success

    Visit: https://mindzq.com/bergen-county-academies

    #BCAFall2025 #MindzQEducation #BCAPrep #FallClassesStartSept4 #BCATestPrep #EssayInterviewPrep #JoinMindzQ #BCAPreparation #BergenCountyAcademies #TestPrepExperts #AcademicSuccess #BergenCountyAcademiesPrep
    Bergen County Academies Prep That Gets Results – MindzQ Education MindzQ Education Bergen County Academies Prep offers expert instruction, small classes, and a proven track record to help 8th graders succeed in BCA admissions. With math, English, essay, and interview prep, students gain skills and confidence. At MindzQ Education, we offer: Spring Warm-Up Classes to build strong foundations in algebra, reading, and writing Summer–Fall Intensives that include full-length practice tests, mock interviews, and essay coaching Small class sizes and personalized guidance Expert instructors with a proven track record of student success Visit: https://mindzq.com/bergen-county-academies #BCAFall2025 #MindzQEducation #BCAPrep #FallClassesStartSept4 #BCATestPrep #EssayInterviewPrep #JoinMindzQ #BCAPreparation #BergenCountyAcademies #TestPrepExperts #AcademicSuccess #BergenCountyAcademiesPrep
    0 Comments ·0 Shares ·945 Views
  • *...||TEAM ZILIZOFUZU KUCHEZA CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025/26*

    1. Al Ahly SC
    2. RS Berkane
    3. AS FAR
    4. Pyramids FC
    5. Esperance Tunis
    6. US Monastir
    7. Mamelodi Sundowns
    8. Orlando Pirates
    9. Simba SC
    10. Young Africans Sports Club
    11. Rahimo
    12. FC Nouadhibou
    13. Al Hilal Omdurman
    14. Al Merriekh
    15. Petro Luanda
    16. Remo Stars
    17. Vipers SC
    18. Mangasport
    19. Fassell
    20. Lioli
    21. Aigle Noir
    22. Power Dynamos
    *...||TEAM ZILIZOFUZU KUCHEZA CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025/26* 1. 🇪🇬 Al Ahly SC 2. 🇲🇦 RS Berkane 3. 🇲🇦 AS FAR 4. 🇪🇬 Pyramids FC 5. 🇹🇳 Esperance Tunis 6. 🇹🇳 US Monastir 7. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns 8. 🇿🇦 Orlando Pirates 9. 🇹🇿 Simba SC 10. 🇹🇿 Young Africans Sports Club 11. 🇧🇫 Rahimo 12. 🇲🇷 FC Nouadhibou 13. 🇸🇩 Al Hilal Omdurman 14. 🇸🇩 Al Merriekh 15. 🇦🇴 Petro Luanda 16. 🇳🇬 Remo Stars 17. 🇺🇬 Vipers SC 18. 🇬🇦 Mangasport 19. 🇱🇷 Fassell 20. 🇱🇸 Lioli 21. 🇧🇮 Aigle Noir 22. 🇿🇲 Power Dynamos
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·656 Views
  • .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!

    Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!

    ---

    WALIOSAJILIWA (RASMI):

    1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.

    2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!

    3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.

    4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.

    ---

    WALIOUZWA (CONFIRMED):

    Aziz Ki

    Djigui Diarra

    Clement Mzize

    Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.

    ---

    HAWAMO KWENYE MPANGO:

    Kennedy Musonda

    Aboubakar Khomeiny

    Yao Kouassi

    Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.

    ---

    WANAOWINDWA:

    Aishi Manula

    Pascal Msindo

    Kelvin Nashon

    Henock Inonga Baka

    Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.

    ---

    WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):

    Jonas Mkude

    Aziz Andambwile

    Sureboy

    Farid Musa

    Jonathan Ikangalombo

    Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.

    ---

    MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️‍♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • CAF CONFEDERATION CUP
    .
    STELLENBOSCH SIMBA SC
    16:00
    Moses Mabhida
    .
    Jioni ya leo, Tanzania Yote itasimama kwa dakika 90 kuanzia saa 10:00 jioni. Ni mchezo ambao SIMBA SC wanahitaji sare au ushindi ili waweze Kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
    .
    Kila la kheri @SimbaSCTanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🏆 . 🇿🇦 STELLENBOSCH 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 16:00 🏟️ Moses Mabhida . Jioni ya leo, Tanzania 🇹🇿 Yote itasimama kwa dakika 90 kuanzia saa 10:00 jioni. Ni mchezo ambao SIMBA SC wanahitaji sare au ushindi ili waweze Kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. . Kila la kheri @SimbaSCTanzania 🇹🇿 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa amekubali kujiweka pembeni kwenye kusimamia Uwanja baada ya ombi la Wazee wa klabu ya Simba SC kumtaka kufanya hivyo mpaka mwisho wa mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup) Kati ya Simba SC dhidi ya All Masry ya Misri utakaochezwa keshokutwa April 9, 2025

    Wazee wa klabu ya Simba SC walienda kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa asubuhi wakimtaka Meneja wa Uwanja huo kuondoka mara moja kwa sababu hawana imani naye wakihofia kuwa anaweza kuwahujumu kwenye mchezo wao dhidi ya klabu ya Al Masry. Wazee hao wanadai kuwa hata mchezo wao dhidi ya klabu ya Yanga SC ulioahirishwa chanzo ilikuwa yeye Meneja

    Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa amekubali kujiweka pembeni kwenye kusimamia Uwanja baada ya ombi la Wazee wa klabu ya Simba SC kumtaka kufanya hivyo mpaka mwisho wa mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup) Kati ya Simba SC dhidi ya All Masry ya Misri 🇪🇬 utakaochezwa keshokutwa April 9, 2025 Wazee wa klabu ya Simba SC walienda kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa asubuhi wakimtaka Meneja wa Uwanja huo kuondoka mara moja kwa sababu hawana imani naye wakihofia kuwa anaweza kuwahujumu kwenye mchezo wao dhidi ya klabu ya Al Masry. Wazee hao wanadai kuwa hata mchezo wao dhidi ya klabu ya Yanga SC ulioahirishwa chanzo ilikuwa yeye Meneja
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·846 Views
  • Pamoja na uwezo wa ugomvi wa Mashabiki ambao ulitokea kwenye mchezo wa jana kati ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Esperence kwenye mchezo wa klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League) lakini hiki kitendo kimesisimua zaidi Mashabiki wengi.

    Picha hii inaeleza sababu milioni ya upendo ambao unatakiwa pindi Mashabiki wawapo Uwanjani. Mpira wa miguu unatufanya kuwa ndugu hii ndio maana unaitwa Football kwa kiingereza.

    Pamoja na uwezo wa ugomvi wa Mashabiki ambao ulitokea kwenye mchezo wa jana kati ya Mamelodi Sundowns 🇿🇦dhidi ya Esperence 🇹🇳 kwenye mchezo wa klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League) lakini hiki kitendo kimesisimua zaidi Mashabiki wengi. Picha hii inaeleza sababu milioni ya upendo ambao unatakiwa pindi Mashabiki wawapo Uwanjani. Mpira wa miguu unatufanya kuwa ndugu hii ndio maana unaitwa Football kwa kiingereza.
    0 Comments ·0 Shares ·843 Views
  • BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA.

    Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote.

    Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi.

    Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru.

    Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa

    “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa”

    “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72”

    “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi”

    “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga”

    “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana”

    Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa.
    (khalil ufadiga)

    BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA. Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote. Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi. Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru. Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa” “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72” “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi” “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga” “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana” Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa. (khalil ufadiga)
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
More Results