• "Nazielewa sana Frustration za Clement Mzize baada ya Kutolewa

    Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO.

    Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa.

    Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi

    Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu..

    Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa?

    I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.

    "Nazielewa sana Frustration za Clement Mzize baada ya Kutolewa✍️ Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO. Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa. Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu.. Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa? I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·751 Views
  • #cheka_tu
    #cheka_tu
    Like
    Love
    Haha
    12
    · 4 Comments ·0 Shares ·149 Views
  • #cheka tu
    #cheka tu
    Like
    Love
    Haha
    12
    · 9 Comments ·0 Shares ·147 Views