• Bayern Munich imetuma ofa ya €50M na nyongeza €5M in kwa VfB Stuttgart ili kuipata huduma ya Nick Woltemade.

    (Source: @Plettigoal)

    #SportsElite
    🚨 Bayern Munich imetuma ofa ya €50M na nyongeza €5M in kwa VfB Stuttgart ili kuipata huduma ya Nick Woltemade. (Source: @Plettigoal) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·10 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz

    Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa.

    Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo.

    Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa.

    (Fabrizio Romano)
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz 🚫🇨🇴 Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa. Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo. Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa. (Fabrizio Romano)
    0 Commentarios ·0 Acciones ·24 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Patrick Agyemang amejiunga na Derby County kwa mkataba wa miaka 4

    Charlotte FC watapokea kitita cha £5.8M pamoja na bonasi zote kutokana na mauzo hayo..

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Patrick Agyemang amejiunga na Derby County kwa mkataba wa miaka 4 Charlotte FC watapokea kitita cha £5.8M pamoja na bonasi zote kutokana na mauzo hayo.. #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·23 Views
  • Niliandika kwa ufupi lakini bado uyu mtoto amepata 10,000 tu
    So far!!!

    Huyu mtoto anaitwa jenifa miaka yake ni 9 aliokotwa ametumwa akiwa na mwaka mmoja
    Bibi alimwokota na kumlea lakini kila alivyo kuwa alionyesha ni mlemavu na aongei kabisa

    Mwaka jana nilipigwa simu kupewa taalifa zake lakini alikuwa akiomba Wheelchair NIKAOMBA waje Dar es Salaam!! Walifika na nikaona si mbaya aende CCBRT KWA UCHUNGUZI

    ALICHUNGUZWA NA MAJIBU YALIONYESHA ANAWEZA TEMBEA AKIFANYIWA MATIBABU BASI KWAKUWA MUDA WA KUKAA NA SIKUWA NA PROGRAM YA KUMWOMBEA ATIBIWE WARIRUDI IRINGA!!!

    NDUGU ZANGU WEEK MBILI ZILIZO PITA NIKATAFUTWA NA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI KUSHINIKIZA ASAIDIWE ANAAKILI SANA ILA. BIBI AONI KWAHIYO HATA SHULE SASA AMESIMAMA
    HII ILINIUMA AS MOMY OR SISTER
    " DISABILITY NOT INABILITY"

    NA GHARAMA WA MATIBABU NI 400K
    USAFIRI 50K
    TUNAHITAJI LAKI 500K
    ELFY 50K NI EMERGENCY

    NAOMBA GUSWA SI LAZIMA KIKUBWA HATA KIDOGO UNAWEZA TOA

    SADAKA NI IBADA

    0777787549
    TIGOPESA
    SHAKILA NANTAMBALELE
    Niliandika kwa ufupi lakini bado uyu mtoto amepata 10,000 tu 🥵 😭 So far!!! Huyu mtoto anaitwa jenifa miaka yake ni 9 aliokotwa ametumwa akiwa na mwaka mmoja Bibi alimwokota na kumlea lakini kila alivyo kuwa alionyesha ni mlemavu na aongei kabisa Mwaka jana nilipigwa simu kupewa taalifa zake lakini alikuwa akiomba Wheelchair NIKAOMBA waje Dar es Salaam!! Walifika na nikaona si mbaya aende CCBRT KWA UCHUNGUZI ALICHUNGUZWA NA MAJIBU YALIONYESHA ANAWEZA TEMBEA AKIFANYIWA MATIBABU BASI KWAKUWA MUDA WA KUKAA NA SIKUWA NA PROGRAM YA KUMWOMBEA ATIBIWE WARIRUDI IRINGA!!! NDUGU ZANGU WEEK MBILI ZILIZO PITA NIKATAFUTWA NA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI KUSHINIKIZA ASAIDIWE ANAAKILI SANA ILA. BIBI AONI KWAHIYO HATA SHULE SASA AMESIMAMA 😭😭😭 HII ILINIUMA AS MOMY OR SISTER " DISABILITY NOT INABILITY" NA GHARAMA WA MATIBABU NI 400K USAFIRI 50K TUNAHITAJI LAKI 500K ELFY 50K NI EMERGENCY NAOMBA GUSWA SI LAZIMA KIKUBWA HATA KIDOGO UNAWEZA TOA SADAKA NI IBADA 0777787549 TIGOPESA SHAKILA NANTAMBALELE
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·132 Views
  • Best PHP Editors: Top Picks for Developers

    “Give me six hours to chop down a tree, and I will spend the first four sharpening the axe.” — Abraham Lincoln.

    It’s not a motivational quote, but a reality. The coding industry is booming, growing at a CAGR of 7.87%. But only for prep geeks decode the success in this competitive sector. They have the correct set of tools and resources to implement logical ideas. PHP, along with reliable PHP hosting, is one of the most prominent server-side programming languages for developing types of web applications.

    Using the best PHP frameworks is one part of the story. However, to test, debug, or write code, developers need the best PHP editors that help them sharpen their tools before tackling the tasks that truly define their project.

    What is PHP Editor?
    A PHP editor is a specialized tool designed for writing, editing, and managing PHP code with ease. Remember, PHP is a programming language that enables the creation of dynamic websites and web applications. PHP editors offer a user-friendly interface that enables developers to write code, along with valuable features such as syntax highlighting, code suggestions, and error checking. These tools enable faster coding, reduce errors, and assist both beginners and experts in writing more effective code.

    Most PHP editors are user-friendly and efficient, offering support for multiple programming languages in addition to PHP. Features such as auto-complete, bracket matching, and debugging tools help identify issues in the code quickly. Several editors support version control systems, such as Git. It makes it easier for developers to manage and collaborate with other community developers. Some popular PHP editors include Visual Studio Code, Sublime Text, PHPStorm, and Notepad++.

    Choosing the right PHP editor depends on the requirements. If you are just beginning, lightweight editor tools like Notepad++ or Visual Studio Code are ideal options because they are easy to use and available at no cost. Whereas PHPStorm is helpful for advanced users who seek features such as smart code analysis, integrated testing tools, and advanced debugging capabilities.

    Top PHP Editors for Developers
    Let’s begin with the best PHP editor software tools that give a paradigm shift in the web development industry.

    Top PHP Editors for Developers
    1. Visual Studio Code
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS

    License: MIT License
    Source code
    Supported languages: PHP, HTML, CSS, SCSS, Less, JavaScript, JSON, TypeScript, Markdown, PowerShell, C++, Java, Python, Go, T-SQL, C#, .NET Core, and more.
    VS Code or Visual Studio Code is an open-source code editor by Microsoft. It gained massive popularity in recent years. By default, it supports the PHP syntax, and you can download further PHP extensions from the VS Code Marketplace, making it an advanced PHP editor suited to the specific coding requirements. You can customize every aspect of VS Code, from themes to key bindings to integrations and functionality.

    Best Features:

    Code navigation and syntax highlighting.
    IntelliSense feature for smart code completion.
    Color theme picker.
    Built-in Git and GitHub integration.
    Built-in Emmet support.
    2. Brackets
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS
    License: MIT License
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, LESS, SCSS, Sass, JavaScript, PHP, Java, Python, Perl, Ruby, C, C++, VBScript, and more
    Adobe’s free and open-source PHP editor focuses on frontend development. However, it also supports several backend languages, including PHP. Its popularity increases due to its inline editing feature for CSS, which allows you to see all selectors belonging to a specific CSS rule.

    Brackets is an ideal PHP editor for frontend and backend development users. It also works with CSS processors like Sass and LESS.

    Glossary:

    Sass: Syntactically Awesome Stylesheet
    LESS: Leaner Style Sheet
    However, it is not an advanced PHP editor on our list. It is an in-built extension registry, but with a restricted number.

    Best Features:

    Vertical and horizontal split view.
    Live preview using a real-time connection with your web browser.
    Lightweight (written in JavaScript).
    Inline editing (for CSS).
    Custom themes are available via the Brackets Extension Registry.
    Support for CSS preprocessors, including quick edit and live highlight functionalities.
    3. Bluefish
    Supported operating systems: Linux, Windows, macOS, FreeBSD, OpenBSD, Solaris
    License: GNU GPL vs 3
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Ruby, Java, C, C++, and more
    Bluefish is an advanced source code editor supporting several programming languages. It comes with a Gnome integration. It becomes a great option if you’re looking for the best free PHP editor for your Linux distribution. Its GUI is consistent with the Gnome Human Interface Guidelines.

    In addition to Emmet (formerly Zen Coding) support, Bluefish features dialogs and wizards for HTML tags, a Unicode character browser, and more, all designed with web developers in mind. Additionally, it features an intuitive user interface and is easy to use, making it a good choice for beginners or those who prefer not to spend a lot of time learning how to use a PHP editor.

    Best Features:

    Fast loading due to its lightweight.
    Multiple document interface.
    Full-screen editing and split view.
    Editing functionality, such as auto-completion.
    Remote file access via FTP, SFTP, HTTP, HTTPS, and other protocols.
    Supports multiple encodings (default is UTF8).
    4. Notepad++
    Supported operating systems: Windows
    License: GNU GPL vs 2
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, XML, YAML, JavaScript, CoffeeScript, PHP, SQL, Perl, Python, C, C++, and more.
    Windows operating system leverages Notepad++ as a default text editor. It comes pre-installed with the operating system. Notepad++ has multiple advanced features in comparison to Notepad editor. Thus, it easily became popular among developers working on Windows machines.

    Nearly 80 programming languages are supported by syntax highlighting. Installs quickly, works out of the box, and provides important editing features like split view, multi-document interface, undo/redo functionality, etc.So if you need a free PHP editor for Windows that’s easy to use and loads fast, Notepad++ is worth a look.

    Best Features:

    Pre-designed themes.
    Multiple editing features like autocompletion.
    Supports different character sets.
    Extensible through plugins.
    Open source plugins are available for both 32-bit and 64-bit systems.
    5. TextMate
    Supported operating systems: macOS
    License: GNU GPL vs 3
    Source code
    Supported languages: HTML, Markdown, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Java, and more
    TextMate is an advanced source code editor for the macOS operating system. As it has been designed specifically for Mac, it integrates with the underlying Unix shell. Therefore, you can code custom actions in any programming language compatible with the Unix Standard Streams (stdin and stdout).

    The original version of TextMate was a licensed software. However, the latest release, TextMate 2.0, has been open-sourced under the GPLv3+ license, making it free to download and use. It’s worth noting that the TextMate license policy indicates they may charge for updates beyond version 2.0 in the future.

    Best Features:

    Custom themes.
    Live HTML/Markdown preview.
    Powerful search tool.
    Clipboard history.
    Easy-to-manage code snippets.
    Foldable code blocks, indented soft wrap, and more.
    Premium PHP Editors
    Premium PHP Editors
    1. PhpStorm
    Supported operating systems: Windows, macOS, Linux.
    License: Proprietary (commercial software with a trial period).
    Source code: Closed source.
    Pricing: $249/ year
    Supported languages: PHP (versions 5.3 through 8.4+), HTML5, CSS, JavaScript, XML, SQL, and databases. Additional language support can be added via plugins.

    PhpStorm is a premium and popular PHP platform to work with WordPress, Drupal, Laravel, Magento, and other frameworks. Thousands of users deploy PhpStorm to develop their websites. It is designed to enhance productivity by providing tools for writing, editing, analyzing, refactoring, testing, and debugging PHP code. It seamlessly integrates with web technologies and offers smart coding assistance.

    Best Features:

    PHP, JavaScript, HTML, CSS, and etc languages are supported.
    Smart PHP code editor.
    Auto-completion of code.
    Code quality analysis.
    Efficient code navigation and searching feature.
    2. UltraEdit
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS
    Price: $99.95/year
    License: Subscription and perpetual
    Supported languages: HTML, CSS, Markdown, XML, JavaScript, JSON, PHP, MySQL, Python, Perl, Ruby, C, C++, and more
    UltraEdit is a premium PHP editor that has been in the market since 1994. It is a stable and well-tested application for the 4 million customers. It offers a user-friendly onboarding experience. Additionally, it has robust development features enabling developers to work on remote servers. Also, managing projects, encrypting/decrypting files, and others are easier in this tool.

    Working on larger files is easier with UltraEdit. The tool handles large files effectively. Hence, programmers prefer this PHP editor. It includes two versions, one is basic UltraEdit and the other ones is UltraCompare Pro.

    Best Features:

    Custom themes and layouts.
    Powerful search functionality (in and across files).
    Live preview for HTML and Markdown.
    Powerful command palette.
    3. Rapid PHP Editor
    Supported operating systems: Windows
    Price: $59.95 one-time fee
    License: Check its official website
    Supported languages: HTML, CSS, LESS, Sass, JavaScript, PHP, SQL, XML, Smarty, .htaccess.
    Rapid PHP Editor is a premium PHP editor for Windows operating systems. It can be quickly setup as it is a lightweight editor. The Rapid PHP Editor is part of a modular product line designed to remain lightweight and efficient. Each version builds upon the same core editor, offering additional features based on your specific needs.

    For example, if you’re working only with HTML and CSS, the Rapid CSS Editor will suffice. However, if your workflow also involves PHP, you can opt for the Rapid PHP Editor — the same intuitive interface, enhanced with PHP support and related tools. This approach ensures you get exactly what you need without unnecessary bloat.
    Best PHP Editors: Top Picks for Developers “Give me six hours to chop down a tree, and I will spend the first four sharpening the axe.” — Abraham Lincoln. It’s not a motivational quote, but a reality. The coding industry is booming, growing at a CAGR of 7.87%. But only for prep geeks decode the success in this competitive sector. They have the correct set of tools and resources to implement logical ideas. PHP, along with reliable PHP hosting, is one of the most prominent server-side programming languages for developing types of web applications. Using the best PHP frameworks is one part of the story. However, to test, debug, or write code, developers need the best PHP editors that help them sharpen their tools before tackling the tasks that truly define their project. What is PHP Editor? A PHP editor is a specialized tool designed for writing, editing, and managing PHP code with ease. Remember, PHP is a programming language that enables the creation of dynamic websites and web applications. PHP editors offer a user-friendly interface that enables developers to write code, along with valuable features such as syntax highlighting, code suggestions, and error checking. These tools enable faster coding, reduce errors, and assist both beginners and experts in writing more effective code. Most PHP editors are user-friendly and efficient, offering support for multiple programming languages in addition to PHP. Features such as auto-complete, bracket matching, and debugging tools help identify issues in the code quickly. Several editors support version control systems, such as Git. It makes it easier for developers to manage and collaborate with other community developers. Some popular PHP editors include Visual Studio Code, Sublime Text, PHPStorm, and Notepad++. Choosing the right PHP editor depends on the requirements. If you are just beginning, lightweight editor tools like Notepad++ or Visual Studio Code are ideal options because they are easy to use and available at no cost. Whereas PHPStorm is helpful for advanced users who seek features such as smart code analysis, integrated testing tools, and advanced debugging capabilities. Top PHP Editors for Developers Let’s begin with the best PHP editor software tools that give a paradigm shift in the web development industry. Top PHP Editors for Developers 1. Visual Studio Code Supported operating systems: Windows, Linux, macOS License: MIT License Source code Supported languages: PHP, HTML, CSS, SCSS, Less, JavaScript, JSON, TypeScript, Markdown, PowerShell, C++, Java, Python, Go, T-SQL, C#, .NET Core, and more. VS Code or Visual Studio Code is an open-source code editor by Microsoft. It gained massive popularity in recent years. By default, it supports the PHP syntax, and you can download further PHP extensions from the VS Code Marketplace, making it an advanced PHP editor suited to the specific coding requirements. You can customize every aspect of VS Code, from themes to key bindings to integrations and functionality. Best Features: Code navigation and syntax highlighting. IntelliSense feature for smart code completion. Color theme picker. Built-in Git and GitHub integration. Built-in Emmet support. 2. Brackets Supported operating systems: Windows, Linux, macOS License: MIT License Source code Supported languages: HTML, CSS, LESS, SCSS, Sass, JavaScript, PHP, Java, Python, Perl, Ruby, C, C++, VBScript, and more Adobe’s free and open-source PHP editor focuses on frontend development. However, it also supports several backend languages, including PHP. Its popularity increases due to its inline editing feature for CSS, which allows you to see all selectors belonging to a specific CSS rule. Brackets is an ideal PHP editor for frontend and backend development users. It also works with CSS processors like Sass and LESS. Glossary: Sass: Syntactically Awesome Stylesheet LESS: Leaner Style Sheet However, it is not an advanced PHP editor on our list. It is an in-built extension registry, but with a restricted number. Best Features: Vertical and horizontal split view. Live preview using a real-time connection with your web browser. Lightweight (written in JavaScript). Inline editing (for CSS). Custom themes are available via the Brackets Extension Registry. Support for CSS preprocessors, including quick edit and live highlight functionalities. 3. Bluefish Supported operating systems: Linux, Windows, macOS, FreeBSD, OpenBSD, Solaris License: GNU GPL vs 3 Source code Supported languages: HTML, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Ruby, Java, C, C++, and more Bluefish is an advanced source code editor supporting several programming languages. It comes with a Gnome integration. It becomes a great option if you’re looking for the best free PHP editor for your Linux distribution. Its GUI is consistent with the Gnome Human Interface Guidelines. In addition to Emmet (formerly Zen Coding) support, Bluefish features dialogs and wizards for HTML tags, a Unicode character browser, and more, all designed with web developers in mind. Additionally, it features an intuitive user interface and is easy to use, making it a good choice for beginners or those who prefer not to spend a lot of time learning how to use a PHP editor. Best Features: Fast loading due to its lightweight. Multiple document interface. Full-screen editing and split view. Editing functionality, such as auto-completion. Remote file access via FTP, SFTP, HTTP, HTTPS, and other protocols. Supports multiple encodings (default is UTF8). 4. Notepad++ Supported operating systems: Windows License: GNU GPL vs 2 Source code Supported languages: HTML, CSS, XML, YAML, JavaScript, CoffeeScript, PHP, SQL, Perl, Python, C, C++, and more. Windows operating system leverages Notepad++ as a default text editor. It comes pre-installed with the operating system. Notepad++ has multiple advanced features in comparison to Notepad editor. Thus, it easily became popular among developers working on Windows machines. Nearly 80 programming languages are supported by syntax highlighting. Installs quickly, works out of the box, and provides important editing features like split view, multi-document interface, undo/redo functionality, etc.So if you need a free PHP editor for Windows that’s easy to use and loads fast, Notepad++ is worth a look. Best Features: Pre-designed themes. Multiple editing features like autocompletion. Supports different character sets. Extensible through plugins. Open source plugins are available for both 32-bit and 64-bit systems. 5. TextMate Supported operating systems: macOS License: GNU GPL vs 3 Source code Supported languages: HTML, Markdown, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Java, and more TextMate is an advanced source code editor for the macOS operating system. As it has been designed specifically for Mac, it integrates with the underlying Unix shell. Therefore, you can code custom actions in any programming language compatible with the Unix Standard Streams (stdin and stdout). The original version of TextMate was a licensed software. However, the latest release, TextMate 2.0, has been open-sourced under the GPLv3+ license, making it free to download and use. It’s worth noting that the TextMate license policy indicates they may charge for updates beyond version 2.0 in the future. Best Features: Custom themes. Live HTML/Markdown preview. Powerful search tool. Clipboard history. Easy-to-manage code snippets. Foldable code blocks, indented soft wrap, and more. Premium PHP Editors Premium PHP Editors 1. PhpStorm Supported operating systems: Windows, macOS, Linux. License: Proprietary (commercial software with a trial period). Source code: Closed source. Pricing: $249/ year Supported languages: PHP (versions 5.3 through 8.4+), HTML5, CSS, JavaScript, XML, SQL, and databases. Additional language support can be added via plugins. PhpStorm is a premium and popular PHP platform to work with WordPress, Drupal, Laravel, Magento, and other frameworks. Thousands of users deploy PhpStorm to develop their websites. It is designed to enhance productivity by providing tools for writing, editing, analyzing, refactoring, testing, and debugging PHP code. It seamlessly integrates with web technologies and offers smart coding assistance. Best Features: PHP, JavaScript, HTML, CSS, and etc languages are supported. Smart PHP code editor. Auto-completion of code. Code quality analysis. Efficient code navigation and searching feature. 2. UltraEdit Supported operating systems: Windows, Linux, macOS Price: $99.95/year License: Subscription and perpetual Supported languages: HTML, CSS, Markdown, XML, JavaScript, JSON, PHP, MySQL, Python, Perl, Ruby, C, C++, and more UltraEdit is a premium PHP editor that has been in the market since 1994. It is a stable and well-tested application for the 4 million customers. It offers a user-friendly onboarding experience. Additionally, it has robust development features enabling developers to work on remote servers. Also, managing projects, encrypting/decrypting files, and others are easier in this tool. Working on larger files is easier with UltraEdit. The tool handles large files effectively. Hence, programmers prefer this PHP editor. It includes two versions, one is basic UltraEdit and the other ones is UltraCompare Pro. Best Features: Custom themes and layouts. Powerful search functionality (in and across files). Live preview for HTML and Markdown. Powerful command palette. 3. Rapid PHP Editor Supported operating systems: Windows Price: $59.95 one-time fee License: Check its official website Supported languages: HTML, CSS, LESS, Sass, JavaScript, PHP, SQL, XML, Smarty, .htaccess. Rapid PHP Editor is a premium PHP editor for Windows operating systems. It can be quickly setup as it is a lightweight editor. The Rapid PHP Editor is part of a modular product line designed to remain lightweight and efficient. Each version builds upon the same core editor, offering additional features based on your specific needs. For example, if you’re working only with HTML and CSS, the Rapid CSS Editor will suffice. However, if your workflow also involves PHP, you can opt for the Rapid PHP Editor — the same intuitive interface, enhanced with PHP support and related tools. This approach ensures you get exactly what you need without unnecessary bloat.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·299 Views
  • Best Explainer Video Agency in Mumbai | Framemakerzzz

    Frame Makerzzz is best explainer video agency in mumbai at affordable prices. We offering exceptional explainer video for healthcare, businesses, technology and fashion etc.
    Best Explainer Video Agency in Mumbai | Framemakerzzz Frame Makerzzz is best explainer video agency in mumbai at affordable prices. We offering exceptional explainer video for healthcare, businesses, technology and fashion etc.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·114 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County.

    Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇺🇸 Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County. Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    0 Commentarios ·0 Acciones ·73 Views
  • | JUST IN

    Barcelona na Frenkie de Jong wako kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu hadi Juni 2029, na chaguo la mwaka mmoja zaidi. Mazungumzo sasa yako katika hatua za juu na yanaendelea vyema.

    Ili kusaidia uthabiti wa kifedha wa klabu, De Jong anakubali kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa—kutoka zaidi ya €700k kwa wiki (kutokana na malipo yaliyocheleweshwa hapo awali) hadi kiasi cha kudumu kati ya €200k na €250k kwa wiki.

    Source [ Transfer News]

    #SportsElite
    🚨 | JUST IN Barcelona na Frenkie de Jong wako kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu hadi Juni 2029, na chaguo la mwaka mmoja zaidi. Mazungumzo sasa yako katika hatua za juu na yanaendelea vyema. 🔵🔴 Ili kusaidia uthabiti wa kifedha wa klabu, De Jong anakubali kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa—kutoka zaidi ya €700k kwa wiki (kutokana na malipo yaliyocheleweshwa hapo awali) hadi kiasi cha kudumu kati ya €200k na €250k kwa wiki. 💰 Source [ Transfer News] #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·137 Views
  • WAZEE WANASEMA;

    "Mtu anayekwenda hospitalini na kuishia kueleza ugonjwa wa mwenzake kuliko ugonjwa wake, hakika atarudi nyumbani akiwa mgonjwa bado." Tutambue kwamba nisitegemee mwenzangu ameze dawa ili ugonjwa wangu upone. Dawa napaswa nimeze mimi. Mara nyingi tunaona shida za wenzetu kuliko za kwetu. Tunafikiria ati wenzetu ndio wenye matatizo bila kujua kwamba matatizo yapo kwetu sisi wenyewe. Tunataka wenzetu wakameze dawa wakati sisi ndio wagonjwa. Tujiulize, dawa zetu tutameza saa ngapi? Unataka mzinzi au aliyefumaniwa akameze dawa-jiulize, na wewe dawa yako ya umbea utameza saa ngapi?, dawa zako za uchoyo, ukatili utazimeza lini?"

    Pd.PK,
    WAZEE WANASEMA; "Mtu anayekwenda hospitalini na kuishia kueleza ugonjwa wa mwenzake kuliko ugonjwa wake, hakika atarudi nyumbani akiwa mgonjwa bado." Tutambue kwamba nisitegemee mwenzangu ameze dawa ili ugonjwa wangu upone. Dawa napaswa nimeze mimi. Mara nyingi tunaona shida za wenzetu kuliko za kwetu. Tunafikiria ati wenzetu ndio wenye matatizo bila kujua kwamba matatizo yapo kwetu sisi wenyewe. Tunataka wenzetu wakameze dawa wakati sisi ndio wagonjwa. Tujiulize, dawa zetu tutameza saa ngapi? Unataka mzinzi au aliyefumaniwa akameze dawa-jiulize, na wewe dawa yako ya umbea utameza saa ngapi?, dawa zako za uchoyo, ukatili utazimeza lini?" ©️Pd.PK,
    0 Commentarios ·0 Acciones ·154 Views
  • Today's Match 🏟

    PSG vs REAL MADRID
    ⌚️ 22:00 EAT

    Stream live here
    https://duduumendez.xyz/FootballLiveMatch


    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4
    ▶︎ ●────────── 0:41
    Today's Match 🏟 PSG vs REAL MADRID ⌚️ 22:00 EAT Stream live here 👇👇 https://duduumendez.xyz/FootballLiveMatch > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4 ▶︎ ●────────── 0:41
    0 Commentarios ·0 Acciones ·133 Views
  • 𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz sasa amekubali kujiunga Barça bila masharti yoyote wala vipengele amesema Mundo.

    “anaamini huwenda Barça ikamsajili mshambuliaji huyo”.

    #SportsElite
    🚨🎖️ 𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz sasa amekubali kujiunga Barça bila masharti yoyote wala vipengele amesema Mundo. “anaamini huwenda Barça ikamsajili mshambuliaji huyo”. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·56 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Birmingham City FC imemalizana na Demarai Gray (29) kutoka Al-Ettifaq. ⚪️

    #SportsElite
    🇯🇲 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Birmingham City FC imemalizana na Demarai Gray (29) kutoka Al-Ettifaq. 🔵⚪️✨ #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·70 Views
  • Endrick kutaka kuondoka Real Madrid?
    Ripoti kutoka COPE zasema kuwa kambi ya Endrick tayari imezungumza na uongozi wa Real Madrid kuhusu uwezekano wa kuondoka klabuni msimu huu wa joto! ⚪️

    Mpaka sasa hakuna uamuzi rasmi uliochukuliwa, lakini hali inaonekana kuwa na sintofahamu juu ya nafasi yake ndani ya kikosi cha Los Blancos.


    #SportsElite
    Endrick kutaka kuondoka Real Madrid?👀 📰 Ripoti kutoka COPE zasema kuwa kambi ya Endrick 🇧🇷 tayari imezungumza na uongozi wa Real Madrid kuhusu uwezekano wa kuondoka klabuni msimu huu wa joto! 😳⚪️ ➡️ Mpaka sasa hakuna uamuzi rasmi uliochukuliwa, lakini hali inaonekana kuwa na sintofahamu juu ya nafasi yake ndani ya kikosi cha Los Blancos. ⏳🤍 #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·110 Views
  • #SportsElite

    - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..!
    .
    .
    - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹!
    .
    .

    …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊
    #SportsElite - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..! 🤝 . . - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹! . . …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊
    0 Commentarios ·0 Acciones ·288 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    🏟 Michezo - 182
    ⚽️ Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 🕊.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    🇵🇹 😢 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.😢 . Q🚨 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 🚨 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 🏟 Michezo - 182 ⚽️ Mabao - 65 🎯 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 😢 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii😭 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 💔 . 🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"😢 . Weka Alama hii 🙏 Kama kumuombea Diogo Jota. 💔 Mungu Atupe mwisho Mwema 💔🙏🕊. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Commentarios ·0 Acciones ·275 Views
  • Atlanta imethibitisha kukamilisha usajiri wa Kamaldeen Sulemana kutoka Southampton.
    🚨🇬🇭 Atlanta imethibitisha kukamilisha usajiri wa Kamaldeen Sulemana kutoka Southampton.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·111 Views
  • VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    0 Commentarios ·0 Acciones ·434 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham imemaliza mazungumzo na Mohammed Kudus, Huku ikimuhaidi kumpata mkataba hadi 2030...

    #SportsElite
    🚨🇬🇭💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham imemaliza mazungumzo na Mohammed Kudus, Huku ikimuhaidi kumpata mkataba hadi 2030... #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·107 Views
  • Atalanta imekubali kumsajiri Kamaldeen Sulemana kutoka Southampton kwa ada €17.5m + €4m



    (Source: Sky Sports)

    #sportselite
    🚨 Atalanta imekubali kumsajiri Kamaldeen Sulemana kutoka Southampton kwa ada €17.5m + €4m (Source: Sky Sports) #sportselite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·106 Views
  • Nguvu iliyoko kwenye neno part 3.

    #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe.

    Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu.

    Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema.

    #Warumi 12:2
    [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.

    Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako .

    Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi .

    #Mithali 29:18
    [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.*

    Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake.

    #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu.

    Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati.

    #Yeremia 29:11
    [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo.

    Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno .

    Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema.

    Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako .

    Karibu katika group

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry

    #restore men position
    #build new eden
    Nguvu iliyoko kwenye neno part 3. #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe. Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu. Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema. #Warumi 12:2 [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako . Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi . #Mithali 29:18 [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.* Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake. #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu. Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati. #Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo. Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno . Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema. Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako . Karibu katika group https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry #restore men position #build new eden
    0 Commentarios ·0 Acciones ·515 Views
Resultados de la búsqueda